Mungu akulinde Mh.Makonda popote ulipo, tunakuomba urudi kazini tunakupenda na Arusha inakutegemea. Mungu akulinde nyakati zote🙏🏿🙏🏿🙏🏿
@ramahawai34302 ай бұрын
Ninaogopa sana kuhusu kutokuonekana kwake. Namkubali sana Makonda. Asante Mama samia kwa kumteua Makonda kuwa mkuu wa mkoa wa Arusha. Mungu amlinde mteuzi wake na mteuliwa.
@UmuHaitham-v3b2 ай бұрын
Allah atamrudisha kwa salama. Atamkinga na kila shari na maadui wote duniani.
@ScopionScopion-zj9cd2 ай бұрын
dah huzuni nchi nzima mungu akusadie makonda
@AishaHussein-en3wf2 ай бұрын
Mungu akulinde uko ulipo,nyota ya uraisi ipo mbele,nakupenda sana makonda,dah mungu akuinde ukirurudi,urudi daa kwetu kama zamani,tunakupenda sana
@TumainMlyuka2 ай бұрын
Mungu alisema wadamu wanaangamia Kwa kukosa maarifa angalia makonda afanya Kaz nzur sana lakn kunawatu hawapend na kumtakia mabaya jaman makonda Mungu apiganie maisha yako watu wanao Jua thaman ya makonda maombi yao yatainuka kwajili ya makonda
@lucykristensen71452 ай бұрын
Mimi ninaamini Makonda wetu yuko salama. Nataka kuamini hivyo si vinginevyo. Mwenyezi Mungu atamlinda na kumtunza mahali popote pale alipo. Tuendelee kumuombea afya njema, ulinzi wa Bwana pamoja na Malaika Watakatifu.
@hafsalucky10882 ай бұрын
Makonda Nakuombea Salama huko uliko, Tunakuhitaji, Mungu akulinde🙏
@UpendoFoya-po4me2 ай бұрын
Jmn eee mungu akusaidie jmn mungu tusaidie makonda wetu allah awe salama jmn jmn tunampenda sana makonda jmn mungu akuinue upya kiongozi wetu
@nicodemashaggite84292 ай бұрын
Bring back our lovely Makonda!!!
@ZipporahNyanchama-n4v2 ай бұрын
Makonda is a good guy..like him very much GOD protect him
@ChachaNyabare2 ай бұрын
Watuachiye makonda wetu jamani wanafiki wote wakaye pembeni
@LungelePatrick-ko3cp2 ай бұрын
thgtgvttgtthytyhyygyyyghyhg
@tielyelibariki89582 ай бұрын
Mungu amlinde Makonda kipenzi Cha wengi awe salama.
@jacobnghwani18912 ай бұрын
May God bless this guy wherever he'll be!
@pillyseleman80902 ай бұрын
Mungu tulindie makonda tumuone amerudia kazi kwa salama mungu awashinde wabaya wake wote wasiotaka mazur na maendeleo mumgu atawalaani mara elf sabiini
@johansenf.mrengimrengi70502 ай бұрын
Safi sana! Unahekima Mtu wa Mungu!
@SafinaKephasi2 ай бұрын
Mungu akulinde siku zote za maisha yako makonda
@edithafrancis8472 ай бұрын
Mungu simama na Makonda wetu,
@EliethaKisetu2 ай бұрын
Mungu amponye kiongozi wetu makonda na amsamehe kwa yote,waliowaza kumpa sum Mungu atahusika nao.
@ShamilaAbdul-n8b2 ай бұрын
Jamani😢 Makonda Allah akulinde na Shari hapo ulipo
@zianasalimuhivikunamchunga52242 ай бұрын
Eee Mwenye enzi Mungu mwingi wa rehema yarabil nakuomba mm mja wako umlinde huko alinde mola wangu wa haki mlinde mja wako mpe afya Mungu
@JosephSappe2 ай бұрын
Gonga like kama unamkubali makonda
@Ahmedikiringamoyo2 ай бұрын
Daaaa jamani
@vladimirputn18092 ай бұрын
Nmpendasana
@mohammedmdangwe20562 ай бұрын
mama samia mwanao makonda yupo wapi wananchi wa Arusha tumechanganyikuwa
@FghgRyy2 ай бұрын
Allah akufanyie wepesi huko ulipo makonda wetu tunakupenda
@jairosgreyson32682 ай бұрын
Mungu akuepushe ,
@RachelElias-j3g2 ай бұрын
Mungu amlinde popote halipo.. Arusha tunakuitaji sana ..
@gladistaemanueliy63362 ай бұрын
Mungu wa mbinguni, naomba popote alipo mh makonda umpe afya na ulinzi juu yake, nimekosa usingizi namuwaza makonda tu
@dorothyannan81842 ай бұрын
Makonda huko uliko mazuri uliofanya yakufwate.
@ayshaaysha21652 ай бұрын
Kweli kabisa
@juliusntandu43022 ай бұрын
IPM Good talking God bless you
@baghabaghaingwengwe17502 ай бұрын
Mungu ni mwema atamponya na homa kama anaumwa
@nackylindo2 ай бұрын
Aaameni
@anithawidambe75432 ай бұрын
MAMA SAMIA ALIFANYA JAMBOLA MAANA KUMCHAGUA MAKONDA. SASA YUPO WAPI? JAMANI MUNGU AMNUSURU NA MABAYA YOTE. KM KUNA WATU WANAMTAKIA MABAYA MUNGU AWALAANI WAO NA WATOTO WAO NA VIZAZI VYAO. AMINA
@pillyseleman80902 ай бұрын
Alf amiyn yaarab l'alamiyn 🤲
@jacklinejohn57272 ай бұрын
Yeye aliona kuwa 2025makonda atachukua uraisi akaamua kumpotezaaaa
@HappyMwakasege-k7o2 ай бұрын
Mungu wewe ni mwenye rehema, mwingi wa fadhila, mkumbuke makonda huko uliko, uturudishe akiwa salama🙏🙏
@joycealex86522 ай бұрын
Kweri mji ulikuwa giza tangu niingie mji wa ars nilikuwa sijawahi kuona kiongozi akifanya kazi matokeo walikuwepo kama hawapo Mungu mlinde makonda adui zake wawe adui zako na kila ulimi utakao inuka juu yake utauhesabu kuwa mkosa Bwana Yesu mlinde na umfunike kwa Damu yako iliyomwagika msalabani kwaajili yake🙏
@HanifaOman-oo4pl2 ай бұрын
Huyu mjanjatu ilaiimani yake yakiislam abafanya vitu vyazambihuku abajua rohoyake inajisuta ni basitu pesa zinamdanganya anajipa moyo ila naamini kabra ajafa huyu atabadilialudi kwa molawake wakweli. Siamini kama ataxikwa kwenye.ukilisto labda aumwe ashindwe kuongea au afe ghafla. Mtualosomadini nitofauti na asiyesoma. Ataruditu lnshaallah❤❤
@OsOs-l7c2 ай бұрын
Kweli kaka nakukubali
@loishiyesamwel13742 ай бұрын
Makonda alishasema hakuna wa kuweza kumdhuru, Ni pale tu Mungu atakapokubali na sasa hajakubali adhuriwe ❤❤
@RebbeccaJohn-it3by2 ай бұрын
Mungu akulinde popote ulipo
@MariamWiliam-z8k2 ай бұрын
Hongera kaka wewe unaongea ukweli mpenz wa mungu hao wanaokubeze achana nao wanajibeza wenyewe hawana lolote
@StellaShirima-t4x2 ай бұрын
Imani, matumaini ata ekima kk wangu imepotea kabisa siku ya Leo nimejitia mb zangu
@elinurukitomali60082 ай бұрын
Anae mchukia Mr .Makonda hata akiletewa yesu mbele yake hatampenda . Wapgaji ndo hawampendi tu hii nisadaka ya mkoa wetu
@joycemfuru47522 ай бұрын
acha kumchanganya yesu na vitu ovyo
@naimarishedy15232 ай бұрын
Ahsante Mtumishi kwa kuchangamua kiufasaha🙏
@rachelnabarikiwasanananyim7842 ай бұрын
Sielewi jaman mtetezi wetu tunaumia onekana baba tunakutegemea
@mohammedmdangwe20562 ай бұрын
makonda ni habari nyingine katka nchi hii mama tuambie mwanao yupo wapi?
@AbelaPius2 ай бұрын
Mh.Makonda Mungu akukinge na hila zote za maadui.
@faridimbaraksaid77032 ай бұрын
Kama ni kweli naomba mungu ampe shifaa inshallah
@CikeTanzania2 ай бұрын
Tumekuwa na waswas wanatufichaga hivi hivi mwisho wa cku tunakuja kuckia tuu mtu kaaga dunia sio poa,Allah akulinde makonda popote ulipo tunakupenda sana.
@josephineokama22002 ай бұрын
tena wanatangaza usiku wa manane
@aishaalbalushaishabalush82912 ай бұрын
@@josephineokama2200hiyo usiku wa manane kama wachawi hata teuzi ni usiku 😂😂😂
@bobelichi77212 ай бұрын
Kaaaga Dunia tena!😂😂😂😂😂
@CikeTanzania2 ай бұрын
Sasa kumbe 😄 🤣 😂
@aishaalbalushaishabalush82912 ай бұрын
@@CikeTanzania yaani hadi myoto wanawasha usiku kuunguza vibanda vya wafanya biashara na usiku you huo wanachoma masoko na kubeba mali za watu yaani uongozi wa huyu mama wakichawi kweli ametia mkosi wanawake wote tanzania hawatokuja pewa urais
@shersaid79882 ай бұрын
Mchungaji anajielewa 🎉
@jedidahbintidaudi82412 ай бұрын
kweli kabisa, hata mie nimeliona hilo kwa huyu mtu
@ShangeMbogo2 ай бұрын
Kwahyo Yuko wapi sasa
@KafumuBoniphace2 ай бұрын
Makonda ni kiongozi
@christophermwalugaja92962 ай бұрын
Huyu ni traole wa tanzania.
@yesuyuhaipectv91762 ай бұрын
Hongera sana Mtumishi wa Mungu ufafanua vizuri sana
@rukiawagaba20802 ай бұрын
Mungu simama na mankonda wetu
@MoshiJoseph832 ай бұрын
Huyu mchungaji namukubali sana
@MaryShayo-tg4vq2 ай бұрын
Mungu mlinde makonda najamuhuri nzima ikitokea kunamsaliti mtumbue hazaran
@festinamwakipale39192 ай бұрын
Makonda Tanzania imemkubali
@saada74992 ай бұрын
Yuko wapi
@saidikapama48692 ай бұрын
Mungu yupo pamoja na makonda atakuwa salama
@deejaytinoflavour49712 ай бұрын
Kunawakati uwa nawaza kusema ila naogopa dar amekaa miaka mitano hajawahi kwenda likizo iwaje leo toka nimeanza kujawa mambo ya siasa sijawahi sikia kiongozi yupo likizo na asiongee kitu chochote hata magufuli mlitwambaia yupo salama lakini aibu ikawakuta mkatangaza kafa sasa ole wenu
@annamwakibinga5272 ай бұрын
Bring back Makonda please
@evangelicalmiraclesfellowship2 ай бұрын
Tunamtaka makonda wetu CCM mna maneno mengi yuko wapi makonda???
@ShukranMwakyambo2 ай бұрын
True .
@MariamWiliam-z8k2 ай бұрын
Kwanza unajua kuichambu bibilia na qoran vzr
@naimarishedy15232 ай бұрын
Daaah mungu tulindie Makonda wrtu maana hadi tunakosa amani ikizingatia sie wajane, wazee,wanafunzi masikini😮😮
@HamisiMbatyani2 ай бұрын
Nakubali. ❤❤
@elinurukitomali60082 ай бұрын
Sasa jamani na huyu Mr Makonda jitokeze bac tukuone
@nikkimbishiunju24022 ай бұрын
Kuimiliki au kuongoza?
@marybanyakile4342 ай бұрын
Umeongea 💯 kabisaaaaaa
@HemedRajab-v3i2 ай бұрын
Makonda ni chaguo la mungu
@HildaMacharia2 ай бұрын
That's is true
@annamwakibinga5272 ай бұрын
Waziri mkuu tujulisheni Makonda yuko wapi
@bashiruhassani10172 ай бұрын
Makonda nakubar sana popyr alipo mung ampe uzima ili aweze kurud Tena kazin
@shaibuhassan69252 ай бұрын
Bro,,makonda ni mtu ambae akiwa na muda wa kutulia out of job ANATUMIA VIZUR MUDA,,,hata kipindi ambacho akuwa serikalin ALIKUWA kimya NOW kama yupo likizo,,,,ni kawaida Sana kwake kuwa kimya TENA LIKIZO,,
@LameckKasomi-v2d2 ай бұрын
Boss na ww naomba Samia akuone uweze kumsaidie
@trophywilson72112 ай бұрын
Makonda Njoooo
@DinaKyahe2 ай бұрын
Mtu wa maana kabisa,mtu wa wawatu,mtetezi wa wanyonge, yupo Mungu yu pamoja nae.
@@ericlowasa3097 Basi atarudi tenatu uislam lnshaallah
@isacksimonmahungilo2 ай бұрын
Magu ilianza HIV sum zimezidi
@Maulid-p5y2 ай бұрын
Makonda kipenzi chetu arusha
@michaelmaterego24892 ай бұрын
Ukiona kinajana hawapo Kuna jambo kubwa lipo na mayo analia kufiwa Mume bado ana majonzi mtoto naye anawindwa mpaka haonekani jiongeze
@danfordkessy5152 ай бұрын
Kwanini Kuna baadhi ya maswali ukimuuliza anacheka kama kunakitu anakijua kuhusu makonda? Hembu tujiulize zaidi
@chandeyusufu95702 ай бұрын
Nakufatilia sana nikiwa dubai
@dorahmushi-we6ts2 ай бұрын
Natamani iwe ndoto
@JolotaErastoJuma2 ай бұрын
Mchungaji 🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤
@RaheliEmmanuel-k1t2 ай бұрын
Kwa kweli alikuwa mtu wa watu na ndio maana watu wa Arusha wanamuulizia kiongozi wao
@4revertv5232 ай бұрын
daaah, makonda
@PilliMlulu2 ай бұрын
Huyu inaonyesha anasujudu sana🎉
@Sidrasidra6362 ай бұрын
Huu jama sio mwislam sasa mbona sijdah haipotei!?😊
@matalo05512 ай бұрын
NAMTABIRIA MZEE WA SPANA MHESHIMIWA MAKONDA, NDIO MRITHI WA KINANA UMAKAMU MWENYEKITI WA CCM, yupo short course, akigraduate uteuzi wake unatangazwa very soon....
@MageSamwel-bp6od2 ай бұрын
Umeongea maneno ya busara sana
@clevermgedzi47082 ай бұрын
Nyie viongozi kweli huyu makonda yupo likizo? Kwa nini mnatudanganya?
@DicksonAlone2 ай бұрын
Siwatuweke wazi alipo jamani
@annanasoro30072 ай бұрын
Piga bas simu tukusikie makonda tunakufa kihoro huku
@alexmatt95042 ай бұрын
Huyu jamaa ana wisdom ukimsikiliza anavyojibu maswali,mimi binafsi namkubali
@janethpallangyo38552 ай бұрын
MUNGU AKULINDE MAKONDA HUKU ULIKO
@robisonikadogo73712 ай бұрын
Akuna kunakitu Tuna wasiwasi
@sayimayenga36562 ай бұрын
Jamani Makonda kaka yetu tunahitaji kukuona kwenye vyombo vya matangazo,
@raymondnlelwa4272 ай бұрын
Kusifia sifia tu ndo nini?
@AmenMushi-j2j2 ай бұрын
Utakula kitu kufisha hakitakudhuru ww mbona Mang'ula yupo
@annakenjewala73452 ай бұрын
Waseme ukweli kiongoz wetu yupo wp
@johnsebastian-bx6qn2 ай бұрын
Mh rais samia wtz tunataka viongozi aina ya makonda ili wakusaidie vizuri kazi ya kulijenga taifa lakini pia tunataka kusikia makonda yuko wapi ili kuondoa maswari mengi kwenye vichwa vya wtz