Safi sana mizigo wapakie kwene train yao ya mizigo
@husseinmilao578929 күн бұрын
Big up, pia wale watu wanao kuja kupanda train hiyo kama hawajakoga au wamevyaa nguo chafu pia wasiruhusiwe kupanda watawacha vundo kwenye viti na mazingira ya ndani ya train kama duka la nyama. Mana wengine wachafu wanasingizia mila na tamaduni.
Kama hivyo mnatakiwa kumantain hiyo kiwango ya treni.Siyo baadaye tupande hadi na kuku!
@chescoatupele248429 күн бұрын
Hongereni pia kwa huduma zenu nzuri, muendelee hivyo!
@swahilitherapytv384629 күн бұрын
Wekeni app bwana TRC
@MeshackChumiАй бұрын
Hee mpaka Shangazi ammutaki😅😅
@lumuliminga226Ай бұрын
😊 standards...
@fredyjunior6961Ай бұрын
Safi.
@davidmunisi5420Ай бұрын
😂😂😂
@kisutabora5914Ай бұрын
Safi sana, kwa mtu mwenye mabegi ya kilo 40 na ana daraja la biashara (business class) anaweza kulipia kilo zilizozidi? Je kuna matoroli ya kubebea mabegi kama airport?
@lumuliminga226Ай бұрын
Swali zuri
@justusathanas1085Ай бұрын
Kuchukua pesa tu ila Shangazi kaja aaaah
@athumaniamiri880Ай бұрын
😂😂😂ssasa mchele tubebe kwenye gunia au😊
@ezekielmubofu234Ай бұрын
Pesa kidogo hamtaki “shngazi kaja”
@joshuawenceslaus2466Ай бұрын
😂😂😂😂
@h.alshidhani8971Ай бұрын
Saa mbili au masaa mawili😂
@athuman6223Ай бұрын
wabongo wanaonaga kasoro tu🤦🏽♂️
@nasibugunda7927Ай бұрын
Masaa mawili umewahi kuyaona wapi?
@Halphan-cw3deАй бұрын
Yupo sahihi huyo dada, wingi wa saa Ni saa hivyo hivyo
@yahyamajidyahyahilalal-har8762Ай бұрын
Yupo sahihi @@athuman6223
@user-ws3ui6lo2qАй бұрын
Saa Haina wingi
@modenasayiАй бұрын
Repeat in English
@askarikanzu1054Ай бұрын
Kuna umuhimu gani?
@UnitedAfrica-uw9ct29 күн бұрын
let the english use google translator
@modenasayi29 күн бұрын
@@askarikanzu1054 I can’t understand Swahili
@modenasayi29 күн бұрын
@@UnitedAfrica-uw9ct help me with the transitions
@ContentSmartphone-rq6po29 күн бұрын
Dada umeyakanyaga kama hauna mtu wa kukutafsilia maana hata ukienda German hakuna mambo hayo wewe jifunze tu kiswahili sababu jana tu tumetoka kuazimisha siku hiyo Duniani sijui umenielewa samahani lakini kama nimekukera😊