ZITTO ATEMA CHECHE ZA KISOMI | TUTAPATA RAIS MUUZA UNGA TUSIPO TOA RUZUKU KWA VYAMA VYA SIASA NA...

  Рет қаралды 39,192

RAI TV

RAI TV

Күн бұрын

Пікірлер: 26
@salimsaid8348
@salimsaid8348 8 ай бұрын
Huyu Mtu yupo vzr MashaAllah. Na ndiyo maana ACT-Wazalendo ni chama mbadala chenye maono Pana ya Uzalendo na Maendeleo mm navutiwa sana na hiki chama mwenendo wake sio wapiga kelele ovyo ovyo mihemko isiyo na Tija km wale wengine.
@ibrahimshilinde6129
@ibrahimshilinde6129 8 ай бұрын
Huyu ni plan B,Kama hujui
@user-ti4gw9jb8w
@user-ti4gw9jb8w 8 ай бұрын
Hiyo ni ccm b
@user-no2ut7yd3e
@user-no2ut7yd3e 7 ай бұрын
Wanasiasa acheni kuongea maneno juu mwamba Jpm aachwa apumuzike,ni Rais wa kwanza Bara ubora Afrika .Ni maoni yangu.
@anafikamugisha8834
@anafikamugisha8834 7 ай бұрын
Yaani kama kuna MTU aliondolewa bungeni Kwa hila likaniumiza ni zitto kabwe.zitto ukigombea uraisi namimi nitakupigia kampeni
@maase2023
@maase2023 7 ай бұрын
Ss hawa wapinzani wanategemea ruzuku toka serikali ambayo ni ya ccm hivi kweli kuna upinzani hapa????
@princekelvin5834
@princekelvin5834 8 ай бұрын
Hongera sana zitto na serikali kwa ujumla
@margarethpolepole7438
@margarethpolepole7438 7 ай бұрын
Kwa kweli jitahidini hapo msije mkapata kweli Rais muuza unga maana wamejipanga kweli kweli maana humo kwenyewe ndani ya ccm kuna nsugusno mkali maana Mama mwenyewe wamemgeuka aliyowaoa vyeo vya Uwaziri Laana inawatafuna inshallah mungu atatoa jibu tu
@margarethpolepole7438
@margarethpolepole7438 7 ай бұрын
ccm oyeeeee yetu macho na masikio na bado bado sanaaaa kila lenye mwanzo halikosi mwisho
@bonabonala5559
@bonabonala5559 7 ай бұрын
muuza democracia kiongozi wa HIMA EMPERE ni zito kabwe hununuriwa N ccm kuharibu ajenda za democrasia ya tz au tanganyika
@hamzaathuman9703
@hamzaathuman9703 7 ай бұрын
1) Mishahara ya wabunge ipunguzwe kabisaaaaa ibakie nusu. 2) ukomo wa ubunge na Uwaziri iwe ni mihula miwili tuu nasio zaidi. Pia kila chama kijitegemee kwny ruzuku habari za wauza unga hata km chama kitapewa ruzuku muuza unga akiingia hapo itakuwa imetoka kama hujui
@AugustKisaka-qy7kl
@AugustKisaka-qy7kl 8 ай бұрын
Ruzuku,ela za Walala hoi na nyie mnazitaka ,mnatakiwa mjitegemee vyama vyote zisitumie ela za walala hoi,stop kutumia ela zetu atutaki .
@MiriamAbdallah
@MiriamAbdallah 7 ай бұрын
Ila CCM mnairuhusu kutumia Kodi za walalahoi?
@stephenmzimya9632
@stephenmzimya9632 8 ай бұрын
Vijana wenye akili hawa wanahitaji utulivu wa akili kuwaelewa. Bahati mbaya wengi hawapendi kutulia kuwasikiliza. Tungekuwa mbali sana ktk uwanda wa siasa kama hawa tungewasikiliza na kuwatumia
@user-zu9jg8hx5l
@user-zu9jg8hx5l 7 ай бұрын
Angalieni kuweni makini urais nao umekuwa ni wa kugawa tu utampa pekee yako
@gracekagoma3231
@gracekagoma3231 8 ай бұрын
Hoyee Zitto ndugu yangu🎉❤
@ChristerShao
@ChristerShao 8 ай бұрын
Mnaeleza vizuri,tatizo mnakuaga kigeugeu.
@gracekagoma3231
@gracekagoma3231 8 ай бұрын
Ndugu yangu anasema ukweli🎉
@abdallahmsham-eb7jz
@abdallahmsham-eb7jz 8 ай бұрын
hahahaha wakishaa kuona wameshidwa kucheza mpira uwanjani wanautiya mpira kwapani watakwenda nao mbio wanaanza propagandaa na mapemaa duuuu
@zuberisalum2004
@zuberisalum2004 8 ай бұрын
Wewe in mnafiki kauli yako tunaikumbuka
@user-hf7id2oi7g
@user-hf7id2oi7g 8 ай бұрын
Ujiji Oyee, ese ebalo 💪
@luganomwakyusa7697
@luganomwakyusa7697 8 ай бұрын
Huyu ni sungura mjanja
@user-ti4gw9jb8w
@user-ti4gw9jb8w 8 ай бұрын
We ndumilakuwilii
@zuberisalum2004
@zuberisalum2004 8 ай бұрын
Huna lolote mpaka naandika text hiii. Magufuri licha yakuwa amekufa ndio kiongoz mwenyewafuwas wengi kuliko mwanasiasa yyt Tanzania. We zito nimnafiki tuu
@HhhTt-vl9ct
@HhhTt-vl9ct 8 ай бұрын
Mtu anaeleza kweli anaambiwa Asante ili akae kitako. Makunaliano wameyapiga teke kumbe manyagh'au dah !!
@jeiranikinunda151
@jeiranikinunda151 8 ай бұрын
Kchw ch Kgm☀️☀️
Самое неинтересное видео
00:32
Miracle
Рет қаралды 703 М.
Fake watermelon by Secret Vlog
00:16
Secret Vlog
Рет қаралды 6 МЛН
Real Or Cake For $10,000
00:37
MrBeast
Рет қаралды 60 МЛН
WILL IT BURST?
00:31
Natan por Aí
Рет қаралды 42 МЛН
RC: SERUKAMBA AWABANA WAKURUGENZI AMEWATAKA KUKAMILISHA MIRADI KWA WAKATI.
18:00
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Iringa
Рет қаралды 148
Самое неинтересное видео
00:32
Miracle
Рет қаралды 703 М.