Huyu Mtu yupo vzr MashaAllah. Na ndiyo maana ACT-Wazalendo ni chama mbadala chenye maono Pana ya Uzalendo na Maendeleo mm navutiwa sana na hiki chama mwenendo wake sio wapiga kelele ovyo ovyo mihemko isiyo na Tija km wale wengine.
@ibrahimshilinde61298 ай бұрын
Huyu ni plan B,Kama hujui
@user-ti4gw9jb8w8 ай бұрын
Hiyo ni ccm b
@user-no2ut7yd3e7 ай бұрын
Wanasiasa acheni kuongea maneno juu mwamba Jpm aachwa apumuzike,ni Rais wa kwanza Bara ubora Afrika .Ni maoni yangu.
@anafikamugisha88347 ай бұрын
Yaani kama kuna MTU aliondolewa bungeni Kwa hila likaniumiza ni zitto kabwe.zitto ukigombea uraisi namimi nitakupigia kampeni
@maase20237 ай бұрын
Ss hawa wapinzani wanategemea ruzuku toka serikali ambayo ni ya ccm hivi kweli kuna upinzani hapa????
@princekelvin58348 ай бұрын
Hongera sana zitto na serikali kwa ujumla
@margarethpolepole74387 ай бұрын
Kwa kweli jitahidini hapo msije mkapata kweli Rais muuza unga maana wamejipanga kweli kweli maana humo kwenyewe ndani ya ccm kuna nsugusno mkali maana Mama mwenyewe wamemgeuka aliyowaoa vyeo vya Uwaziri Laana inawatafuna inshallah mungu atatoa jibu tu
@margarethpolepole74387 ай бұрын
ccm oyeeeee yetu macho na masikio na bado bado sanaaaa kila lenye mwanzo halikosi mwisho
@bonabonala55597 ай бұрын
muuza democracia kiongozi wa HIMA EMPERE ni zito kabwe hununuriwa N ccm kuharibu ajenda za democrasia ya tz au tanganyika
@hamzaathuman97037 ай бұрын
1) Mishahara ya wabunge ipunguzwe kabisaaaaa ibakie nusu. 2) ukomo wa ubunge na Uwaziri iwe ni mihula miwili tuu nasio zaidi. Pia kila chama kijitegemee kwny ruzuku habari za wauza unga hata km chama kitapewa ruzuku muuza unga akiingia hapo itakuwa imetoka kama hujui
@AugustKisaka-qy7kl8 ай бұрын
Ruzuku,ela za Walala hoi na nyie mnazitaka ,mnatakiwa mjitegemee vyama vyote zisitumie ela za walala hoi,stop kutumia ela zetu atutaki .
@MiriamAbdallah7 ай бұрын
Ila CCM mnairuhusu kutumia Kodi za walalahoi?
@stephenmzimya96328 ай бұрын
Vijana wenye akili hawa wanahitaji utulivu wa akili kuwaelewa. Bahati mbaya wengi hawapendi kutulia kuwasikiliza. Tungekuwa mbali sana ktk uwanda wa siasa kama hawa tungewasikiliza na kuwatumia
@user-zu9jg8hx5l7 ай бұрын
Angalieni kuweni makini urais nao umekuwa ni wa kugawa tu utampa pekee yako
Huna lolote mpaka naandika text hiii. Magufuri licha yakuwa amekufa ndio kiongoz mwenyewafuwas wengi kuliko mwanasiasa yyt Tanzania. We zito nimnafiki tuu
@HhhTt-vl9ct8 ай бұрын
Mtu anaeleza kweli anaambiwa Asante ili akae kitako. Makunaliano wameyapiga teke kumbe manyagh'au dah !!