Bella yupo single na pia zoravo yupo single shida Iko wapi??,wanafaana sana
@PreciousMwampondele3 ай бұрын
Waimbaji kuoana ni kwa neema maana inatakiwa mmoja awe na kipawa kingine kama cha kutawala na kuomba ili kutunza kipawa cha mwenzake.....ni mtazamo wangu tu ila Mungu anaweza yote
@PeaceMfzz33433 ай бұрын
Zoravo please owo Bella mutumikiye mungu pamoja
@NinaTitus4043 ай бұрын
Wamsikilize Mungu zaidi ya mashabiki, mana kama Mungu kapanga hata watu wakikataa bado itakua tuu. However it's my wish wawe pamoja
@remmyalfred67363 ай бұрын
HEBU WATU MUWE MNAENDELEA NA MATUKIO MENGINE SASA TUMESHAELEWA, KILA SIKU LI HABARI HILO HILO UMBEA TU KUPIGA MSWAKI AAAAAAH
@julianamwamgogwa2 ай бұрын
Wala pepo anatumika kuzimu
@SophiaMogitu3 ай бұрын
Mmmmh kuimba na masuluali iliyobana wapi na wapi warumi 12:1 basi itoeni miili yenu iwe dhabihu takatifu mana ndyo ibada njema ya kumpendeza Mungu
@Patrick.W.Pallangyo3 ай бұрын
Unavyosema Rastoni inakera kinoma
@givenessdavid37433 ай бұрын
Mungu awatendee ndoa njema
@visionmartin8 ай бұрын
Wow May it be🙏 I love this guys❤
@julianamwamgogwa2 ай бұрын
Wimbaji umevamiwa kwaheli injili yakeli
@FIDELISMfugale3 ай бұрын
KWA HIYO KUNA TATIZO GANII POST ZINGINE ZA KISHAMBAA SANAA
@jaligawesa3 ай бұрын
Glory to God!!😅
@waytruthlife41713 ай бұрын
kuabudu siyo kuimba nyimbo za taratibu
@MelkisedekiSamson-kd7gw3 ай бұрын
Sahihi worship is real not talent ni kipawa cha kristo
@berthamwaitenda72073 ай бұрын
Kweli kabisa kweli kabisa watu wanapaswa kujua hili
@AbigaelMisigo-id5cm3 ай бұрын
Worship is a lifestyle...
@Patrick.W.Pallangyo3 ай бұрын
Ni Laston sio Rastoni
@Mgayapaulina3 ай бұрын
Ukopowa mamy
@joelemmanuel96163 ай бұрын
🎉
@LodvolaLameck-jl5vs3 ай бұрын
Alivyojipamba jini akasome This lady is not the servant of Almighty God
@annagidion78173 ай бұрын
Huna kipimo.wako watu wanavaa majuba ni mashwetwani kuliko shetani mwenyewe.bella jikwatue vaa pendeza nukia dada .jipe Raha maisha ni matamu .poda na urwmbo uko duniani mbinguni hakuna.
@LodvolaLameck-jl5vs3 ай бұрын
@@annagidion7817 Mtie moyo for nothing lakini Biblia ni msemaji wa mwisho Isaya 3:16-24
@judy830-b5v3 ай бұрын
Sijawahi kumuamini na sitakaa nimuamini kama mtumishi wa Mungu
@neemangwesa33723 ай бұрын
Kwamba alitakiwa achakae ndo awe mtumishi wa Mungu