Mwalim wangu Ustaadh wangu Jaafar Mponda big up Sana
@jmm18403 жыл бұрын
Mr Japhar Mponda duuh ni miaka mingi sana ndugu yangu.
@thomsonmwakyanjala75363 жыл бұрын
Mbali na matamushi yake ya awali kupinga Wabunge wasio na Chama kuendelea kuwa Bungeni, je Mheshimiwa Pius Musekwa anafanya nini kuhusu Wabunge 19 wasio na Chama kuendelea kuwa Bungeni kinyume na matakwa ya Katiba yetu?
@harsoshelezi46583 жыл бұрын
Baada ya Uasili wa Tanganyika kushiba Historia ya waislam (sio uislam), ndipo maandalizi ya kuandaliwa watakao chukua nafasi ya wakoloni (waingereza) yalipo shika hatamu wakaandaliwa kupitia elimu. Alinyimwa nafasi ya kusoma makerere Abdulwahid Syles (Kiongozi wa TAA na kisha TANU), kwa kisingizio cha umri lakini kanuni hiyo ya umri ilifumbiwa macho alipo ingizwa Jeshini, vitani. Kuibainia Zanzibar ilikuwa tangu zamani hata haya anayo yaongea mzee LUKUVI ni muendelezo.
@alijuma72043 жыл бұрын
Kwanini referendum iwe kwawanachama na sio kwa wa Tanzania
@arngemer3 жыл бұрын
System sawa na nchi nyingine nyingi. (grade 1-12)
@jubilatemanase90503 жыл бұрын
Kun kitu mzee anachenga kidogo hapo kwny hilo kundi la G55 kuna wabunge hawakukubaliana na maamuzi ya chama na matokeo yake walipotea moja kwa moja kwny system e.g kina Tuntemeke Sanga
@Ambagaye2 жыл бұрын
Kabla ya kuwa VC wa UDSM, nadhani Msekwa aliwahi kuwa mkuu wa chuo TANU cha Kivukoni !!