Kumbe na Madhebu nayo ni tatizo,basi inabidi tuangalie sana,kwasababu tofauti hizo tulizikuta, na wengine sasa wanajadili utumwa upi ni bora (wamzungu au mwarabu)!
@Adeeii-zu5kh11 ай бұрын
Sheikh Rusaganya Allah akuhifadhi Inshalah
@subirajohn7282 жыл бұрын
Tanzania tunajulikana kimataifa inawezekana kabisa kwa mtu ambaye si mtambuzi wa ramani ya dunia asiijue Tanzania hiyo si ajabu Shekh wetu!
@SharifHaji-xc1pj10 ай бұрын
Allah akuweke Sh. Wetu
@dazuuhhassan3078 Жыл бұрын
Shk nakukubali Sana mungu akupe umri mrefu
@sabitinaeastafrica58222 жыл бұрын
MashAllah
@fardoshnassor78472 жыл бұрын
Mashallah Allah 💕
@hudHud-lo3il2 жыл бұрын
All is good but Nyerere kwa alivyo hujumu zanzibar ni laanatul llah
Jifunze quran kusoma kuandik gusa picha yang hapo kama hautojli
@user-nk5bf7hj3q9 ай бұрын
m mwezimungu akulipe lkilalaheri
@husseinmongolare3417 Жыл бұрын
Shukran ❤
@swalesale22298 ай бұрын
💯
@user-lt1bi5nr1x9 ай бұрын
Watz wengi manyani tu
@munasayed86572 жыл бұрын
S.A.W
@bakariomari4251 Жыл бұрын
mashaallah
@yahkiwera36112 жыл бұрын
Sasa shekh namshukuru mungu kwanemahiyo
@zvpOnlineTv2 жыл бұрын
Alhamdulillah
@kajirumsangi80862 жыл бұрын
@@zvpOnlineTv Mbona mashia hawawatukani jamii ya mtume?
@mikidadmhando25049 ай бұрын
JE umesema Pangani Warabu wa Oman wapo, nauliza huko Kugoma wapo Waoman au ni kina la mtaa tu?
@masoudmasoud8138 Жыл бұрын
Nikweli Tanzania haijulikani bora angelisema anatoka zinjibar wangelijua maana zinjibar wanaijua 🤔
@muhammadkipangatv26742 жыл бұрын
Jifunze quran kusom kuandik gusa picha yang hapo kama hautojl
@hamadiomari780411 ай бұрын
Nahitaj kujifunza
@Catherine-mh8sw9 ай бұрын
Mimi pia
@abdallahmsham-eb7jz10 ай бұрын
sisi wazanzibari tunayajuwa yote hoyo ndiyo waengereza waliofanyaa ujinga huu na vibaraka wao tunawajuwa duuu
@ambokileasheengai11409 ай бұрын
MAKASIRIKO YA WAZUNGU WALIWAFANYA NINI.......KWAHYO WAARABU NDIO WEMA SIO
@fatmafatu11288 ай бұрын
Pita kushoto usiwapangie watu kwanza huku hapakuhusu
@yaedlifemedia32032 жыл бұрын
Sasa waislael wanachokataa nini juu ya uislam kumbe Mohammed s.a.w alifika had kwao na historia wanayo.ALLAHUAKBAR
@saynabmohammed62632 жыл бұрын
Mbona umesema wake wa mtume S.A.W 12
@tatuaamuuinyi96332 жыл бұрын
Nikweli kabisa Tanzania hatufahamiki
@yasinamiri76492 жыл бұрын
Ndio kabsa Tanzania 🇹🇿🇹🇿 haijulika sana kama kenya maana Obama ni mkenya na alikua akiitangaza nichi yake duniani ila Tanzania alhamdulillah sisi bola uhai tu
Wewe kafiri mwafrika kiingereza cha nn kwani wewe mzungu ..!😅😅
@issaibony34742 жыл бұрын
Mtu kama ww ndie unafaa kua kiongoz wanchi maana 2nahitaji kiongozi ama viongozi wenye hofu yamungu kama ww rusaganya
@abasayoo59342 жыл бұрын
Ukiwa si tajiri umeweza fika kote huko. Je wewe tajiri? Laa mo kafika,manji kafika zakharia kafikaa,aliko dangote kafika? Wewe shujaa maskini wewe alaah anatekeleza matamanio yako
@clarencehilary55889 ай бұрын
Mmanyema akikumbelea nyumbani kwako na wewe ni msukuma na wewe utakuwa mmanyema? Tusiwe wajinga wa kumwabudu mwarabu mmanyema utabaki kuwa mmanyem a na mwarabu atabaki kuwa mwarabu
@Catherine-mh8sw9 ай бұрын
Na mzungu atabaki kuwa mzungu
@paulinacherement25342 жыл бұрын
Mashallah alhamdulillah ALLAH AKBAR
@alimzee2 жыл бұрын
Masha Allah
@zvpOnlineTv2 жыл бұрын
Mashaallah
@user-ks3vx5xj9m9 ай бұрын
Ma Shaa Allah sheikh wangu
@nakundwamkubwe78232 жыл бұрын
Mashallah
@Abuuhurayrahsaalim Жыл бұрын
Maa shaa Allaah namuomba Allaah anijaalie niwe Kama Shekh hashimu rusaganya allaahumma taqabal minnii🙏