1_ASTON MBAYA AMEJIBU YOTE KHS KUJIREMBA,CHRISTMAS,NDOTO,WATOTO KUZIMU,TB JOSHUA KUZIMU,MAKANISA...

  Рет қаралды 24,616

PROMOVER TV

PROMOVER TV

Күн бұрын

Пікірлер: 223
@MabelKaaya-hl2je
@MabelKaaya-hl2je 3 ай бұрын
GLORY TO GOD. MBARIKIWE SANA WATUMISHI WA MUNGU KWA HUDUMA KUBWA MUNGU ALIYOWAPA. SIFA KWA BWANA YESU KRISTO. HALLELUYA.
@RedentaMahessa
@RedentaMahessa 8 ай бұрын
Asante Mungu kwaneema hii japo nmechelewa kuyajua haya
@tamarali8325
@tamarali8325 3 жыл бұрын
Prophet Aston Umejaa Roho wa Mungu Aliye hai. Unayajibu kwa ustadi mkubwa sana. Barikiwa sana
@BagumaCongolais
@BagumaCongolais 9 ай бұрын
Asante yesu niwezeshe kushinda mambo ya duniani asante watumishi wa MUNGU mubarikiwe na bwana
@MMASAANDBERNADETTEBAHELANYACHA
@MMASAANDBERNADETTEBAHELANYACHA 9 ай бұрын
Amina utukuzwe Mungu na Yesu mwokoziwetu kwakutufunulia haya.
@julianawanjala6495
@julianawanjala6495 2 жыл бұрын
Mubarikiwe sana watumishi wa Mungu..Asanteni sanaa kwa kujibu maswali yetu
@DenisCasey-kh8ub
@DenisCasey-kh8ub 2 ай бұрын
Amen Mungu Awabariki watumishi
@ridiajofrey8276
@ridiajofrey8276 Жыл бұрын
Asante mungu kwa kutufufunulia Hy Asante mtumishi kwa kutufafanulia
@maureenmgeni
@maureenmgeni 10 ай бұрын
Bwana yesu, nahitaji msaada wako. Nirehemu mtumwa wako. Amina.
@sarifusteven4634
@sarifusteven4634 9 ай бұрын
Good job
@johnmkama8074
@johnmkama8074 3 жыл бұрын
Asante kwa kupangiria vuzuri aina ya vifo na jinsi ya maraika anavo wachukua watu wengine anawaacha hapo kwani hawajafa asante umetuongezea ufunuo (maramu penza Adamu mbaya kwa kutembea kiroho Amen.
@linayego6663
@linayego6663 Жыл бұрын
6
@dokasa9176
@dokasa9176 3 жыл бұрын
Asante mbarikiwe, Mungu awatie nguvu kenyan, nafuatilia kutoka Saudi Arabia
@tabithakawira7844
@tabithakawira7844 2 жыл бұрын
Asant Sana mtumizi wangu kwa ktueleza Mambo mengi hatunge fikiria nindhambi
@thomasjohn7176
@thomasjohn7176 3 жыл бұрын
Mungu awabariki kwa kujibu maswali vizuri. Roho wa Mungu amewatumia vizuri kwa kutumia Neno la Mungu.
@etoomkongwa3246
@etoomkongwa3246 2 жыл бұрын
Asante MUNGU
@josephinemsekwahalidkijang5183
@josephinemsekwahalidkijang5183 3 жыл бұрын
34:38 - 36:48 Aisee I can feel the presence of the Holy Spirit this is a SERIOUS ISSUE. Women let's walk in the right path of God though it's narrow and not easy alot of persecution but God in Jesus name will comfort us and change those into JOY, PEACE, HAPPINESS.
@leonardanzurunipombi2499
@leonardanzurunipombi2499 3 жыл бұрын
Amen asante watumishi wa MUNGU barikiweni
@keziaranga6329
@keziaranga6329 3 жыл бұрын
Mungu awabariki watumishi wa Mungu, mnatubariki sana,Jacktan Mungu akubariki san akuinue
@PromovertvTz
@PromovertvTz 3 жыл бұрын
Amen
@alodiajason9061
@alodiajason9061 3 жыл бұрын
Hongera Jacktan kwa kazi nzuri nimechelewa kujiunga ila nilitaka umuulize Nabii Adam Mungu alivyomchukua siku zote hizo je hapa duniani alitoweka au huo mwili wake ulikuwa wapi siku zote hizo.
@gracelauzi9746
@gracelauzi9746 3 жыл бұрын
Mwili wake ulikua kwa chumba chake kwenye nyumba yao hivyo ndio alisema Aston kama Sikuelewa promo TV ita nikosoa Asaniteni
@trophywilson7211
@trophywilson7211 3 жыл бұрын
@@gracelauzi9746 kwa hiyo alikuwa kama amekufa??
@gracelauzi9746
@gracelauzi9746 3 жыл бұрын
@@trophywilson7211 kibinadamu ndio tunge Sema amekufa lakini mchungaji wake alikua anajua hata mamake alijua ndio hawakushutuka hata alipo kua akilala siku Tatu walijua Ata rudi tuu maana yuko mikono salama
@glorytogod1793
@glorytogod1793 3 жыл бұрын
Ameen Mungu awabariki sana watumishi wa Mungu kwa ajili ya kazi njema
@tabithakawira7844
@tabithakawira7844 2 жыл бұрын
Mm watumishi wa mungu ,mm ninaumia kapisa maana waubiri wengi ni wale wame potesa watoto wa Mungu ,kufanya ishara kubwa ,mungu tu ni we we unatuyua
@maggyirene110
@maggyirene110 3 жыл бұрын
Ameen ameen, asanteni Kwa majibu hayo, nabarikiwa. Mungu awabariki. From ksa
@margaretomwakwe9162
@margaretomwakwe9162 2 жыл бұрын
Shalom maggie
@tamarali8325
@tamarali8325 3 жыл бұрын
Wow hiyo ya Christmas. Imeniacha mdomo wazi. Barikiweni sana Watumishi wa Mungu wa Bwana Wetu Yesu Kristo
@valentinandukuvalentinandu4779
@valentinandukuvalentinandu4779 3 жыл бұрын
hata pia kufanya makumbusho kwa ajili ya mtu aliekufa ni makosa
@truth7796
@truth7796 3 жыл бұрын
@@valentinandukuvalentinandu4779 makosa kubwa kabisa pia kunyoa nyewele
@trophywilson7211
@trophywilson7211 3 жыл бұрын
@@truth7796 mmmm nywele kwa wanaume au kwa wanawake?mafundisho y wapi hayo?
@lucykapinga369
@lucykapinga369 2 жыл бұрын
​@@trophywilson7211 kwenye kifoo kafa mtyu wakaribi alafu wengi wanatabia kunyoa nywelee
@susankimani3697
@susankimani3697 3 жыл бұрын
I thank God because am in the light way we're in the same gospel congratulations keep it up man of God
@vickiemerere4056
@vickiemerere4056 3 жыл бұрын
Asante kwa maarifa,hakika kupitia ninyi watumishi tutapona
@bentallynemayayo3631
@bentallynemayayo3631 2 жыл бұрын
Thanks my questions are well answered
@florencendatila9183
@florencendatila9183 3 жыл бұрын
Mbarikiwe sana
@happykajeli5453
@happykajeli5453 3 жыл бұрын
Asante kwa ushuhuda wa majibu mazuri Christmas imetupoteza sana kwakuwa nimejua ukweli sitopotea tena
@elizalililove9193
@elizalililove9193 3 жыл бұрын
Jastani mtumishi wa mungu nahomba munisaidiye naba za simu munazotumikisha kuhosapo, juninashida natakakuhogeya na mtumishi wa mungu
@Faraja2023
@Faraja2023 3 жыл бұрын
@@elizalililove9193 mtumishi hajui kiingereza Wala kiswahili
@josephmusagasa5566
@josephmusagasa5566 3 жыл бұрын
Mimi namkubali sana huyu jamaa,ushuhuda wake ni kweli,tena kweli tupu
@veronicaonesmo899
@veronicaonesmo899 3 жыл бұрын
Jamani mbarikiwe sana nimejifunza mambo mengii sana sana.MUNGU atuwezeshe tuishi maisha ya kumpendeza na kuyatenda mapenzi yake MUNGU.
@inviolatevedasto4230
@inviolatevedasto4230 3 жыл бұрын
Amen Amen Mungu awabariki,
@florafaustine4637
@florafaustine4637 3 жыл бұрын
Mwenye masikio na asikie
@annitahpraize1247
@annitahpraize1247 3 жыл бұрын
Amen, mungu awabariki saana, nimejifunza mengi.
@agnes7675
@agnes7675 Жыл бұрын
AMEN
@melaniendihokubwayo7389
@melaniendihokubwayo7389 3 жыл бұрын
Jambo sana watumishi wa Mungu, asante sana kwa majibu yote, lakini kuhusu suluwali na mimi niko marekani tena kunabaridi nyingi tena nyingi, na ninatumika kazi na tena sivayi suluwali.
@melaniendihokubwayo7389
@melaniendihokubwayo7389 3 жыл бұрын
Wana wake waache kusema eti wako marekani wako wapi eti kuna balidi nyingi eti ndio maana wanavaa masuluwa hapana waache uongo.asante sana.
@PromovertvTz
@PromovertvTz 3 жыл бұрын
Barikiwa sana
@mwigarleysaid5406
@mwigarleysaid5406 3 жыл бұрын
Kwani marekani haikuwepo zamani marekani ilikuwepo kabla ya wanawake kuanza kuvaa suruali na baridi ilikuwepo kabla ya wanawake kuanza kuvaa suruali kwahiyo hakuna jipya Ni dhambi tubuni muache
@jesusreignsrestorationministry
@jesusreignsrestorationministry 3 жыл бұрын
Uvae tu sketi na kazini hawana tatizo lolote. Zipo dini kanisa zao wanavaa sketi na wanafunika kitambaa kichwani na kazi inaendelea tu🙏🙏🙏
@chamwenyewecjembe7359
@chamwenyewecjembe7359 3 жыл бұрын
@@PromovertvTz Naomba tuwasiliane
@evelyneedward373
@evelyneedward373 2 жыл бұрын
Much love prophet 🙌🏼
@dawhiteschola8847
@dawhiteschola8847 3 жыл бұрын
Barikiwa Sana mtumishi
@marianachriss2444
@marianachriss2444 3 жыл бұрын
Nisamehe Sana BWANA YESU KRISTO,nimejua kwako Kuna rehema nyingi ,uniongoze ktk njia zako za kweli na haki
@gosbertmuta5421
@gosbertmuta5421 2 жыл бұрын
MAMANGU ESTA MASANJA NA KATEKELA NA HUYU MWAMBA🙏🙌🙌🙌
@maryamayitsa6181
@maryamayitsa6181 2 жыл бұрын
Nimekuja kuchekelewa japo nimejifunza kitu,🙏🇰🇪.
@jacobwenga6943
@jacobwenga6943 3 жыл бұрын
Amina wapendwa
@abisairobert5098
@abisairobert5098 3 жыл бұрын
Bwana asifiwe sana
@andremartins2447
@andremartins2447 Жыл бұрын
Paz de cristo eu peço alguém se levante para traduzir para o BRASIL amem e amem JESUS.
@elizalililove9193
@elizalililove9193 3 жыл бұрын
🙏🙏🙏🙏 Ameen ubarikiwe Asate Sana 🙏🙏
@elizalililove9193
@elizalililove9193 3 жыл бұрын
Ameeeen 🙏🙏🙏🙏
@tamarali8325
@tamarali8325 3 жыл бұрын
Barikiwa sana Jacktan
@PromovertvTz
@PromovertvTz 3 жыл бұрын
Amen
@henryosoro7696
@henryosoro7696 3 жыл бұрын
Praise the Lord
@gracekinyaki2376
@gracekinyaki2376 3 жыл бұрын
Mungu atusaidie sana . Wenyewe hatuwezi.
@mawazobayndulwa1909
@mawazobayndulwa1909 3 жыл бұрын
Asant sana jacktan Mungu hakubariki sana baba ila na mini nitahuliza mtumishi wa Mungu Aston inakuwaje pastor Wakanisa kama mchungaji hakiwa mmbaya inashika je wahumini? na biblia inasema mtoto hatabeba mzigo wa baba wala baba hatabeba mzigo wa mwana kwa nini zambi ya mchungaji inapoteza waumini?
@truth7796
@truth7796 3 жыл бұрын
The best way to eliminate bad dreams is to remain prayerfully forever
@charlottechance675
@charlottechance675 3 жыл бұрын
True!!!
@trophywilson7211
@trophywilson7211 3 жыл бұрын
not all ad dreams comes from devil you need to know that
@carendeborah5687
@carendeborah5687 2 жыл бұрын
You have to sacrifice to stop that spirit ,majini maimuna inatoka Kwa devil na hao ndo wanafanya mapenzi Kwa ndoto,kuleta fibroids na kutoa mimba za watu,kupoteza nguvu za kiume.
@florafaustine4637
@florafaustine4637 3 жыл бұрын
Mafundisho mazuri sana mbarikiwe sana watumishi
@florencendatila9183
@florencendatila9183 3 жыл бұрын
Dah! 🙇
@koletajeanne8824
@koletajeanne8824 3 жыл бұрын
Amen akisati yesu
@edwinmbwilo6128
@edwinmbwilo6128 2 жыл бұрын
Kanisa ni moja tu ni Yesu kristo, tatizo ni fundisho
@lilianachiengministries3386
@lilianachiengministries3386 3 жыл бұрын
Choo Naam,heaven is real alisema heaven also celebrates Christmas' day,but it should be celebrated in helping pple.iread the book myself.
@lovenesswalter6650
@lovenesswalter6650 3 жыл бұрын
Kwakweli
@lovenesswalter6650
@lovenesswalter6650 3 жыл бұрын
Nlisoma pia yaan
@christopherbomola4151
@christopherbomola4151 3 жыл бұрын
Inawezekana wanasherehekea siku ya kuzaliwa kwa Yesu na sio specifically tarehe 25 December
@macamezunguzungu5584
@macamezunguzungu5584 3 жыл бұрын
Amen 🙏
@carendeborah5687
@carendeborah5687 2 жыл бұрын
Breaking sacrifice,,divorce ,family curses,poverty, generational curses, rejection, kumbe ni ukweli ,,building God's altar.
@linetmusee6500
@linetmusee6500 3 жыл бұрын
Amina!
@christinaisanguisangu2974
@christinaisanguisangu2974 2 жыл бұрын
Je kama mwanamke sio mchungaji ila kuna nafasi wanapewa kufundisha madhabahuni je hiyo ni sawa
@lilianachiengministries3386
@lilianachiengministries3386 3 жыл бұрын
WanawKe wanafaa kumtumikia vipi mungu.
@trophywilson7211
@trophywilson7211 3 жыл бұрын
wakiwa wamejitimiza kuvaa nguo vema,,na kuwa na uCHARGE WA MUNGU
@winfridalazaro296
@winfridalazaro296 Жыл бұрын
1kor 11 soma ndg
@tamarali8325
@tamarali8325 3 жыл бұрын
Yani nikwa Neema kumuona Mungu Especially wanawake
@trophywilson7211
@trophywilson7211 3 жыл бұрын
DUNIA INAMWANGALIA MWANAMKE.ILA WAAFRIKA TUMEZIDISHA.WAZUNGU WALIOOKOKA WAKO SIMPLE
@zeitunitweve9356
@zeitunitweve9356 3 жыл бұрын
Asante sana nimefatilia shuhuda zenu zote, naomba kuuliza mtu akikopa deni lawatu nahakulipa akitubu dhambi bado atakuwa nahatia kwamungu?
@PromovertvTz
@PromovertvTz 3 жыл бұрын
Ndio,lazima pia ashughulikie hilo deni
@trophywilson7211
@trophywilson7211 3 жыл бұрын
NDIYO,LABDA ANAYEKUDAI AKUSAMEHE
@lilianluhasi5053
@lilianluhasi5053 3 жыл бұрын
Ni jukumu lako kuamua kuvaa suruali ili kulidhisha mwili na dunia au kutovaa suruali ili uikomboe roho yako
@loraumuhire4755
@loraumuhire4755 3 жыл бұрын
Bwana Yesu kristo asifiwe, swari yangu ni ii, kira kanisa yenye mucungaji ni mwanamuke hairuhusie? je ire ushuhuda wa 999 year mbona anafundinda na nimwanuke? sierewe naomba muniereweshe asante Mungu awabariki.
@rehemaelastus4596
@rehemaelastus4596 3 жыл бұрын
Bwana yesu asifiwe nauliza tunaosali makanisa wanaosherea krismasi inakuwaje je kuhusu unatizo maji mengi na machache ba ukibatizwa mkubwa au mtoto vipi hapo tunomba atueleze bila kuficha makanisa ya kweli na ya shetani ili tupone
@sarahgaula2220
@sarahgaula2220 2 жыл бұрын
Na kuna Yule mtumishi esta naye.alipelekwa mbinguni Ila anahubiri sasa sielewi kipi ni kipi
@valentinandukuvalentinandu4779
@valentinandukuvalentinandu4779 3 жыл бұрын
jamani mngetoa hata cd yake ama kitabu kwa kuhusu sadaka ni muhimu sana kujua
@erianne494
@erianne494 3 жыл бұрын
Amen
@harimakidesu3680
@harimakidesu3680 3 жыл бұрын
Adam wewe nimtumishi kwenye swali lasuluar kwasisi tunaefanya kazi kwenye taasisi Fulani umejibu vizur umeshaur vizur
@bedykedy3604
@bedykedy3604 3 жыл бұрын
Saaaafii kwa kumuelewa
@reginanduku3746
@reginanduku3746 3 жыл бұрын
Amen,,am following from Kenya,,,plz ask Aston about women in monthly prds should use pads,tumpons etc,,,2.should a woman shave hair?
@BerylSeer1
@BerylSeer1 3 жыл бұрын
Waa Regina 🤣🤣
@everlinekemunto267
@everlinekemunto267 2 жыл бұрын
Haki hapo kwa prds umenifinish,sasa tuaje hivyo surely.
@loice123faida8
@loice123faida8 Жыл бұрын
Mimi mwanamke nilieolewa bibi wapili na miminimezaa neno na watoto watatu msichana na vijana wawili na yule mukemwanza tunaishi boma moja pamoja na huyo mume na je mimi ni munaweza kutaka talaka
@priskamsuya7453
@priskamsuya7453 11 ай бұрын
Naitwa Priska wa Tanzania Arusha tunawasikiliza swali langu mwanamke anaetengeneza dred kichwani hiyo ni mbaya?
@linetmusee6500
@linetmusee6500 3 жыл бұрын
Mimi ni wanamke, na huhisi msukumo kufundisha neno la Mungu au kuubiri , sijafundushwa jinsi ya kuhubiri lakini hupata tu ufahamu wa neno na kufunuliwa wakati nasoma biblia. Na punde tu ninapohubiri (sharing the word whether in church or elsewhere), nasikia kuwa mwepesi na kupata utulivu moyoni, he nezafanyaje . Kama wanawake hawaruhusiwi kuhubiri? Na naweza kuwa naongozwa na Mungu au na shetani?
@bahatirobart7380
@bahatirobart7380 2 жыл бұрын
Mwanamke haruhusiwi kuhubiri madhabahuni Mimi nilivyoelewa ila KAZI ya uinjilisti tunaruhusiwa
@wililoatu989
@wililoatu989 3 жыл бұрын
Mmhhhhh MUNGU tusaidie kubadilika
@veilasam6597
@veilasam6597 3 жыл бұрын
Ulaji wa Nguruwe ni sawa?
@anordlaurent8751
@anordlaurent8751 Жыл бұрын
2024nairudia shuhuda
@msanginaza905
@msanginaza905 Жыл бұрын
Kama watu wanaobeba vitu vyake wako kuzimu yeye Yuko salama ? Mungu nisamehe coz mm nilikuwa namfuatilia TB Joshua mnooo mpk niliwahi kutaka kwenda jamani jamani...sasa mbona watu wengi wamebeba ma anointing water yake???? Dada yangu mpk Leo ana anointed sticker zake TB Joshua nyumbani kwake Mungu tusaidie
@babumrisha
@babumrisha 3 жыл бұрын
Swali la kwanza naweza kubaliana nae. Mungu aliwahi kunisemesha hicho kitu miaka 30 iliopita nilipokua nikimuomba Mungu aniondoe duniani sababu ya changamoto nyingi. Nilijua hilo ila sikujua nimejuaje mana nilikua mchanga sana kiroho
@tabithakawira7844
@tabithakawira7844 2 жыл бұрын
Kwa kunyenyekea,na hicho sk zote ulikuwa uko mbinguni mwili uliachwa wapi
@mwlayubueliudimsyani7804
@mwlayubueliudimsyani7804 3 жыл бұрын
WATANZANIA WATANZANIA HII NI NEEMA SISI KUTEMBELEWA NA HUYU MTUMISHI WA MUNGU. KILA MWENYE SIKIO NA ASIKIE PLZ HAKUNA MBADALA NI KUJITOA VILIVYO KUUTAFUTA UFALME WA MUNGU, HAPA DUNIANI TUNA MUDA MCHACHE SANA. JACTANI UTALIPWA USIPOZIMIA MOYO, ASTON NA MTUMISHI WA MUNGU LANGI, MUNGU AWAKUMBUKE.
@micamathew2595
@micamathew2595 3 жыл бұрын
Hivi kumbe kusherekea Kristmas ni dhambi!!! Ohhh Mungu wangu, nisamehe.
@trophywilson7211
@trophywilson7211 3 жыл бұрын
SIJAWAAMINI HAWA MAANA NA WAZUNGU WNGI HUKU NILIKO WANASALI SIKU MOJA KABLA YA CHRISMATS
@pendomwawasi1770
@pendomwawasi1770 3 жыл бұрын
Aina 27 ya sadaka? Sikuwahi kusikia somo hilo. Tafadhali naomba kiandikwe kitabu cha ushuhuda wake na mafundisho yake kwa kingereza. Nitapenda sana kukisoma.
@andremartins2447
@andremartins2447 Жыл бұрын
Vc pode escrever para mim para me saber eu moro no Brasil e não sei os idiomas.
@lilianluhasi5053
@lilianluhasi5053 3 жыл бұрын
Na pia ukiwa tumboni Mungu alikujua kama ni wake au si wake, Kama ni wake ungali tumboni huwezi kukubali uchawi
@jmeliasshanelle4303
@jmeliasshanelle4303 3 жыл бұрын
Kuhusu Roho zinazobaki duniani i think imeelezewa katika vitabu vya Apocrypha
@margaretmkangala7774
@margaretmkangala7774 3 жыл бұрын
Jeshini zipo sketi
@reginaruta3249
@reginaruta3249 3 жыл бұрын
Bwana Yesu asifiwe. Naulizia je kama nauza hizo suruari na vipodozi na sivitumii. Je sintaenda mbinguni?
@marianachriss2444
@marianachriss2444 3 жыл бұрын
Hutakiwi kuuza,kuwa sababu chochote kinachomtia mtu dhambi ni dhambi maana wewe unajua ni dhambi halafu watu wengine wafanye dhambi,hata ukiuza vipodozi, halafu wewe hutumii ni dhambi, maana unasabaisha dhambip
@lovenesswalter6650
@lovenesswalter6650 3 жыл бұрын
Usiviuze ni dhambi
@shuhudazakweli3406
@shuhudazakweli3406 3 жыл бұрын
Wazazi na wanunuzi wako ndani ya makosa
@valentinandukuvalentinandu4779
@valentinandukuvalentinandu4779 3 жыл бұрын
hata mbinguni utapasikia tu kwa sababu ni dhambi kwa nini uuzie wenzio mimi herini nilitoa zamani sitaki kukosa mbingu jamani
@jesusreignsrestorationministry
@jesusreignsrestorationministry 3 жыл бұрын
Mtu wa Mungu ~ Kubali hasara. Ondosha hivyo vitu na anza kuuza sketi, gauni ndefu au bidhaa zingine
@aminaally4163
@aminaally4163 3 жыл бұрын
ASANTE BWANA YESU KRISTO UNATUFUNULIA TUSIYOYAJUA
@estherdamian4137
@estherdamian4137 2 жыл бұрын
Biblia unaposema Mwanamke afunike kichwa akiwa anahutubia anahutubia wapi? Ikiwa haruhusiwi kuhutubu?
@marianachriss2444
@marianachriss2444 3 жыл бұрын
Natubu ktk Mwili, roho na nafsi BWANA YESU KRISTO nitakase dhambi zangu zote kwa damu yako.
@lovenesswalter6650
@lovenesswalter6650 3 жыл бұрын
Kaka Jactan naomba umuulze kuhusu chanjo
@lilymatoli7117
@lilymatoli7117 3 жыл бұрын
Hhhha
@trophywilson7211
@trophywilson7211 3 жыл бұрын
yaani mimi sasa nashindwa hata kuelewa hawa wanaokwenda kuzimu na mbinguni wanakja na mambo Lundo ndiyo maana Mwakipesile anajisemea mitumme wa siku hizi na manabii si wa kusikiliza wantupotosha saana,hapa naanza kupata akili nishike nilichonacho
@mediatricenizeyimana7966
@mediatricenizeyimana7966 3 жыл бұрын
Je mutu akifa cabla ya kueneza siku zake anaweza kwenda mbinguni?
@mariahyera3737
@mariahyera3737 3 жыл бұрын
Kaka Jactani samahani, Muulize mgeni wetu kuhusu kusuka nywele za mkono bila kuweka wala viambata. Inakubaliwa?
@trophywilson7211
@trophywilson7211 3 жыл бұрын
inakubaliwa asikupotoshe huyo mgeni ,ili mradi Roho yako iwe salama imufuate Mungu kikamirifu
@annamalingi7415
@annamalingi7415 2 жыл бұрын
@@trophywilson7211 wasema hiyo wewe ndoulokuwa mbinguni?
@georgehiza4854
@georgehiza4854 2 жыл бұрын
@@annamalingi7415 😂😂😂
@hellen9056
@hellen9056 2 жыл бұрын
Samahani lakini iyo hata kama jactan hajajibu biblia yenyewe tu imekataza my barikiwa
@trophywilson7211
@trophywilson7211 3 жыл бұрын
Huyo kaka anatupoteza sasa kama huku hawasherehekei tena Christmas na wameacha hata kusali kabisaa
@flm1530
@flm1530 2 жыл бұрын
Utaendelea kuisherekea had kuzimu
@eliabuelinafassam6127
@eliabuelinafassam6127 3 жыл бұрын
Hakika MUNGU ni mwemaa
@harimakidesu3680
@harimakidesu3680 3 жыл бұрын
Jactan nimechelewa
@PromovertvTz
@PromovertvTz 3 жыл бұрын
Karibu sana
@witnesssamson2347
@witnesssamson2347 3 жыл бұрын
Naomba kuuliza swali mtumishi mwanamke anaaruhusiwa kuongoza ibada kanisani ?
@BerylSeer1
@BerylSeer1 3 жыл бұрын
La
@witnesssamson2347
@witnesssamson2347 3 жыл бұрын
Cjaelewa
@salomejames5892
@salomejames5892 3 жыл бұрын
Lakini hapo kwenye swali la mwanamke kumtumikia MUNGU itakuaje na kwa watumishi ambao MUNGU mwenyewealiwaita na kuwambia kumtumikia?
@kimsamespa8490
@kimsamespa8490 3 жыл бұрын
Hapo Mimi naona sielewi kabisa
@everlinekemunto267
@everlinekemunto267 2 жыл бұрын
Kama yule mcongo,domitila nabibone,si alienda mbinguni akaambia afundishe neno.
@bintalmasi2393
@bintalmasi2393 3 жыл бұрын
Kwa sababu tumepata habari ya vyumba vichache, je kipo chumba cha wale wanaomwomba bikira Maria?
@PromovertvTz
@PromovertvTz 3 жыл бұрын
Ndio,na tayari tushakipita
@reginaruta3249
@reginaruta3249 3 жыл бұрын
Na je kama nimeota watu waliokufa. Sintaweza kuna ufalme wa Mungu. Naniomba lakini ndoto zimekuja tena.
@marianachriss2444
@marianachriss2444 3 жыл бұрын
Amesema toa sadaka halafu ufanye maombi ya kufunga na kuomba
@evelyneedward373
@evelyneedward373 2 жыл бұрын
Lin anakuja tena huyu Mtu waMungu
@PromovertvTz
@PromovertvTz 2 жыл бұрын
Mwezi Aprili
@piusmtwale7690
@piusmtwale7690 3 жыл бұрын
Vipi kuhusu siku ya kuabudu
@lilianachiengministries3386
@lilianachiengministries3386 3 жыл бұрын
Nadhani baya anafanya kuingia mbingu kua ngumu sana....tb joshua.
@makichachamchaumbi2024
@makichachamchaumbi2024 2 жыл бұрын
Acheni kupotosha wanadamu. Mambo ya kuzimu siku zote no ushetani. Katika Amri kimi za Mungu no wapo iliandikwa kubwa no dhambi kusherekea Christmas. Mungu alitufunulia neno lake katika maandiko matakatifu vipi tena wewe imekuwa nadala ya biblia?
@msanginaza905
@msanginaza905 Жыл бұрын
Mbingu sio Lele mama tusijifariji huo ndo ukweli kabisa Aston Yuko sahihi mno anajibu kulingana na Bible kabisa
@sarahjacobs8814
@sarahjacobs8814 3 жыл бұрын
Je unaota ya kwamba umepoteza mjukuu maana yake ni nini??,🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@victorymvlog875
@victorymvlog875 3 жыл бұрын
U had a great vision but it died before it was formed. Pray for your plans,dreams and visions
@aberymsovela8866
@aberymsovela8866 3 жыл бұрын
Je kama unaota biblia yako imeungua
@sarahsarai8690
@sarahsarai8690 3 жыл бұрын
Na je ukiota ukivua nguo au ukiota una mtoto,,, ina maana gani?
@gracelauzi9746
@gracelauzi9746 3 жыл бұрын
Hilo nijini lina kutumia tafuta maombi
How to treat Acne💉
00:31
ISSEI / いっせい
Рет қаралды 108 МЛН
Гениальное изобретение из обычного стаканчика!
00:31
Лютая физика | Олимпиадная физика
Рет қаралды 4,8 МЛН
The Best Band 😅 #toshleh #viralshort
00:11
Toshleh
Рет қаралды 22 МЛН