17 Yalomkuta Saleh Sadalla

  Рет қаралды 33,069

MzeeBarwani

MzeeBarwani

8 жыл бұрын

Saleh Sadalla aligombana na Karume kwa sababu ya mwanamke. Karume alimtukana Sasalla kwenye kikao cha baraza la mapinduzi. Karume kataka kumpiga Sadalla na Sadalla akataka kumpiga risasi Karume, hakufaulu. Kwahivyo Sadalla kafungwa na baadae Karume kamuua.

Пікірлер: 20
@rashidsalum722
@rashidsalum722 6 жыл бұрын
Allah akupe pepo ya hali ya juu kabisa shehe Aman Than kiukweli mlipata mateso makubwa sana.
@ussikhamisussi4882
@ussikhamisussi4882 4 жыл бұрын
Allah(SW) akuweke mahali pema peponi amin. Haya mambo hayasemwi na wanaendelea kupotosha ukweli huu kwenye misingi ya elimu.
@salamakhamis7245
@salamakhamis7245 5 жыл бұрын
Watesaji wateswaji wote wameshafika kwa Hakim muadilifu
@farhatfatma12
@farhatfatma12 8 жыл бұрын
sasa kiduchu nimeanza kupata ukweli wa mambo yalivyokua wakati wa utawala wa serikali ya kwanza ya mapinduzi. inaonekana tulivyosomeshwa skuli sivyo kabisa. Allah mrehemu mzee huyu kwa kutupa ukweli wa mambo na umuingize kwenye pepo yako tukufu.
@MzeeBarwani
@MzeeBarwani 8 жыл бұрын
Mwenyezi Mungu anatufundisha: "Wanataka kuizima Nuru ya Mwenyezi Mungu kwa vinywa vyao, na Mwenyezi Mungu anakataa ila aitimize Nuru yake ijapo kuwa makafiri watachukia." (9:33) Na Abraham Lincoln anatuambia: "Unaweza kudanganya watu kwa muda mchache na baadhi ya watu milele, lakin huwezi kudanganya watu wote milele"
@farhatfatma12
@farhatfatma12 4 жыл бұрын
@@MzeeBarwani , Baada ya miaka 3 najibu message yako. Allah akubarik. Kila nikipata muda humaikiliza marehemu Thani, hakika katufumbua macho.
@ThobiasMarandu
@ThobiasMarandu 5 жыл бұрын
Naomba Ruhusa Kuzitumia Hizi Video zako Ndugu yangu, Zitasaidia sana Kusaidia Tanzania Kuona Umuhimu wa Kujali haki.
@jeanmubemba1204
@jeanmubemba1204 3 жыл бұрын
MZEE THAN WAS SO GENIUS
@King_Of_Everything
@King_Of_Everything 6 ай бұрын
✌️👊🙏.
@masoudmasoud8138
@masoudmasoud8138 4 жыл бұрын
Inshallah kher
@andrewairo3483
@andrewairo3483 7 жыл бұрын
kumbe wakati wa utawala wa mwanzo yalifanyika mambo mazito
@donpablo2651
@donpablo2651 4 жыл бұрын
Wamegeuka mbogo wakaanza kulana wenyewe kwa wenyewe dhambi ya damu bana
@user-yy6vy4xu2s
@user-yy6vy4xu2s 3 ай бұрын
Na kizuri walifanyiana ubaya wenyewe kwa wenyewe.
@salamakhamis7245
@salamakhamis7245 5 жыл бұрын
Ukweli ni huu kuusuta ni uwongo
@seifcrony2435
@seifcrony2435 3 жыл бұрын
Yule baharia alikuwa mshenzi sana
@user-vi3xx5ew5i
@user-vi3xx5ew5i 10 ай бұрын
Unamutoleya rais bastola. ? Unafikikiya nn. ? Kisa kuma za Kizanji za wote haya limekukuta majuto mjukuu yote hii elimu Dunia angekuwa nayo yasingemukuta Karume hajasoma harafu unashindana naye
@alhamdulillahalhamdulillah7529
@alhamdulillahalhamdulillah7529 2 жыл бұрын
Eti tunamuondoa muarabu madhalim wakubwa washirazi wangapi muliwaangamiza
@ibrahimnassor1561
@ibrahimnassor1561 6 жыл бұрын
Kumbe mambo ndivyo yalivyokua hivyo
@hassanmtema194
@hassanmtema194 5 жыл бұрын
wazee wali teseka san jamani
@donpablo2651
@donpablo2651 4 жыл бұрын
Wamegeuka mbogo wakaanza kulana wenyewe kwa wenyewe dhambi ya damu bana
18 Kisa cha Hanga 1
9:45
MzeeBarwani
Рет қаралды 27 М.
16. Amani Thani: Kisa cha Hanga
24:11
Hilmi Hilal 259
Рет қаралды 4,4 М.
Мы никогда не были так напуганы!
00:15
Аришнев
Рет қаралды 6 МЛН
Nutella bro sis family Challenge 😋
00:31
Mr. Clabik
Рет қаралды 12 МЛН
16 Kutoka Gerezani 1967
13:15
MzeeBarwani
Рет қаралды 26 М.
Kumbukumbu ya Sheikh Abeid Karume 2016
1:01:16
Mwanahistoria MohamedSaid
Рет қаралды 32 М.
12  Twala Kanielezea Jela
12:10
MzeeBarwani
Рет қаралды 21 М.
24 Ahmed Diria 1
11:41
MzeeBarwani
Рет қаралды 23 М.
17. Amani Thani: Aliyoyafanya Ahmed Hassan Diria Pemba
21:40
Hilmi Hilal 259
Рет қаралды 4,3 М.
Мы никогда не были так напуганы!
00:15
Аришнев
Рет қаралды 6 МЛН