TUNAMSHUKURU MUNGU KWA MAFUNUO HAYA MAKUBWA USHAURI WA BURE SIKILIZA WATUMISHI UKIONA KUNA KITU HAKIKUFAI SIO LAZIMA UKOSOE KIACHE KILE KIBAYA CHUKUA CHA KUKUSAIDIA MAISHA YASONGE
@odethierpaschal3 күн бұрын
Wow siku tano mwanza hadi raha Karibu sana mwalimu ❤
@AnnastaziaJeremiah-ch3vx2 күн бұрын
Amen ubarikiwe mwalimu
@gladnessmmary29883 күн бұрын
Mbadilishe kabisa tabia ee mungu namueka katika mikono yako mungu awe mtoto mwema na watu wamuongelee kwa mema na sio mabaya kwenye vinywa vya watu yatoke yalio mazuri na wamuone akiwa mtoto mwema
@ElizabethBunga-y8p3 күн бұрын
Mungu azidi kukutumia atakavyo nabarikiwa sana
@lennickjoseph3 күн бұрын
Mungu ana mpango na ss amin hivo kuwa wewe ni wahtaman san kwa Mungu
@godfreyhiza10754 күн бұрын
Amina!! Nimebarikiwa sana!!
@sirielmunis65254 күн бұрын
Amen nimefunguliwa kwa damu ya Yesu
@nurukamendu3 күн бұрын
We Mungu nisaidie nielewe SoMo zuri sana hili.
@gladnessmmary29883 күн бұрын
Ee mungu najiungamanisha na madhabahu hii naomba ee yesu umfungue mwanangu aziz aondokane na makundi mabaya awe mtoto msikivu asitekwe na mambo ya kidunia awe mtoto mwema ee mungu msaidie
@ernestbutagalala3 күн бұрын
Baba nifundishe kutembea katika neema yako nataka nikufahamu
@CastawayMpaki3 күн бұрын
MUNGU akuongezee neema na hekima mwalimu wetu mwakasege
@christinewomanoffaith54794 күн бұрын
🙌🙌😢Yesu tusaidie watt wako Haya mambo sio marahisi sn Tufunulie akili zetu tupate kuelewa
@ernestbutagalala3 күн бұрын
Baba peleka mkutano na mkoa wa Geita na wilaya zake
@evarisaernest21464 күн бұрын
AMEN
@kapiriisavictoria41754 күн бұрын
Amen Amen 🙏
@marymlelwa84714 күн бұрын
Amen
@queenchristopher1515Күн бұрын
Naomba muendelee kuniombe,knaushinda mkubwa nlkuwa nmepata nafuu lkn hali inarud nyuma
@sarahlussingu60293 күн бұрын
Damu ya Yesu inenayo mema ikafungue Watoto wangu JSJ wapate Mibaraka kila eneo la Maisha yao,wawe na Kibali kila wanapokanyaga,natamka Neema juu yao eehh Mungu wapige Muhuri wa Damu Ya Yesu na shetani ajue hawa watoto ni wa kwako asiwaguse kamwe IJN🙏🙏
@subbyluckson62313 күн бұрын
😢
@vickyayo87123 күн бұрын
Ndg samoskiyalo jumbe zako jitahidi ziende direct kwa mhusika
@MultiHumphrey113 сағат бұрын
DAMU YA YESU NI NGAO NA KIGAO...BILA HII DAMU OOH YEESU TUSINGETOBOA
@dixonkivambe72503 күн бұрын
HALLELUJA
@laletiispretty34213 күн бұрын
Tunaomba mturuhisu kidownload jamani maana tunahitaji kurudia na kurudia gharama ni kubwa sana kulipia
@neemabuyingo27754 күн бұрын
NAOMBA DAMU YA YESU IFUNGUE WATOTO WANGU
@Princessd-iy1reКүн бұрын
Sio kila mtu yupo perfect jmn. Kuna mda mtu ulimi una teleza, kwanza kabla hauja kosoa, jitafakari wewe ni mangapi una yawasilisha wrong,,, ata kama amesema walikua mapacha hapo sijaona ubaya wowote kwasababu walizaliwa na baba na mama mmoja kakini pia ujumbe umefikishwa vizuri ilihali amesema mapacha. So ni bora ukaacha ku hukumu vitu vya ajabu.
Kudownload ili uwe unasikiliza na kusikiliza mbona inawezekana
@StellaJohn-cx7dz2 күн бұрын
MUNGU AZIDI KUKUPA AFYA NJEMA NA HUDUMA YOTE YA MANA
@samoskiyalo60954 күн бұрын
Kaini na Hbiri walikuwa si mapicha Biblia inasema Adamu akasema nimepata mtoto mwanamume kwa Bwana ,pia inasema akaongeza Mwakasege ludi kasome Chuo cha Biblia
@ninaelgeoffrey58444 күн бұрын
Wewe ndio inabidi ukajifunze kwanza walau kuandika
@christinewomanoffaith54794 күн бұрын
Kajifunze kwanza ,tutolee ujinga hapa We ndo unanifaham sn biblia kuliko wengine
@christinewomanoffaith54794 күн бұрын
😅huyu mpuuzi eti Mwakasege akasome chuo Cha biblia, we uliye soma hicho chuo umeisaidiaje kanisa lako? Kutwa kuja kukosoa mambo yasiyo na tija halafu mnachukua haya mafunuo mnaenda kufundisha makanisani kwenu
@BahatiIdd4 күн бұрын
@@ninaelgeoffrey5844asante mtumishi😅😅
@neemasanga53334 күн бұрын
Mimi nimekupenda buree, kuna Mchungaji aliniambia nitubu kwa Sababu nimempa mwlimu nafasi YA Mungu nilimchukia na kufuza Nyumbani kwangu, siku nilipa ada ya watilu wawili na kuambiwa nipeme afya ndio nihuzuriye kongano nilikata tamaa nilitamani Kufa ndio nikamkumbuka yule mama Mchungaji, naona mandulele wenzangu wanakupinga, mimi nakupongeza Anadanganyaga mara nyingi tu Na tunaamini mara kadhaa amefundisha kwamba joka Alitaka amlee mtoto wa ufunuo Tuliamini wakati joka alita amle 😢
@samoskiyalo60954 күн бұрын
Kwa yari uliyo nayo huna wa kukukosoa na kukurekebisha nimeona una mapungufu mengi kama haya unayo sema kukosa aliye juu yako ni tatizo
@christinewomanoffaith54794 күн бұрын
Badala ya kuchukua vinavyokufaa ujifunze ndo kwanza unatafut vya kukosoa Huna akili kabisa Hebu tupishe