22 Maovu ya Mapinduzi

  Рет қаралды 46,086

MzeeBarwani

MzeeBarwani

8 жыл бұрын

Aman Thani anamuelezea Ibrahim Noor maovu ya mapinduzi. Kushrehekea mapinduzi ni aibu kubwa. Faida gani ya mapinduzi yamepatikana baada ya miaka yote hii?

Пікірлер: 137
@AbdallaMwagora-sm1rj
@AbdallaMwagora-sm1rj 4 ай бұрын
Mm ni mtanganyika lkn sifurahii mateso waliopitia wazanzibari.
@user-et9vf2ro2k
@user-et9vf2ro2k 4 ай бұрын
Wewe sio mtanganyika t wewe ni binaadamu mwenye kuujua utu
@Qadar-vx4gj
@Qadar-vx4gj 4 жыл бұрын
Allah Akupe Qawl Thabit
@hakimtzu9157
@hakimtzu9157 6 жыл бұрын
Dah meng yamefichwa nyuma ya mapinduz,mungu atawalipa wote na uonevu wao na chuki, Hongera mzee wetu kwa kuongelea ukweli
@nduryamwadzaya3972
@nduryamwadzaya3972 4 жыл бұрын
Mzee ovyo
@nassorali5511
@nassorali5511 2 жыл бұрын
@@nduryamwadzaya3972 mh
@charlesbibombe2301
@charlesbibombe2301 13 күн бұрын
Duuh, tumedanganywa Sana kuhusu mapinduzi ya Zanzibar. Nipo bara natetemeka mzee anavosimulia haya
@ussikhamisussi4882
@ussikhamisussi4882 6 жыл бұрын
Mambo haya yanaumiza sana nafsi, wengi wetu tunazugwa na viongozi.
@ruaiyatruaiyat691
@ruaiyatruaiyat691 6 жыл бұрын
Subhanallah
@kingosman9311
@kingosman9311 7 жыл бұрын
Nimekuelewa mzee.
@madinayussufhamadi2678
@madinayussufhamadi2678 6 жыл бұрын
Wallah umesema kweli allah atakulipa kwa ukweli ulio sema
@aiyamirubba6528
@aiyamirubba6528 3 жыл бұрын
Yote yatalipwa
@alialamoudi9729
@alialamoudi9729 3 ай бұрын
Wazanzibari waliuliwa kinyama ilfu ishirini walikufa wakawazika pamoja katika mashimo makuubwa wtoto wadogo NA wazee NA wanawake NA wanaume wakawapanga fuleni NA wote walipigwa raisi bila huruma wakawazika pamoja katika mashimo wakati serekali ya hapo awali ilichaguliwa ki halali
@nduryamwadzaya3972
@nduryamwadzaya3972 4 жыл бұрын
Ni sawa. Wakati mukishika waAfrika kutoka Congo kuwatembeza maelfu ya kilomita na kumuuza kama mnyama. Sawa kabisa.
@yasiralkindi5332
@yasiralkindi5332 4 жыл бұрын
Mapicha ya kuedit yameshakuathiri tyr pamoja na histry za uongo إنالله وانا اليه راجعون
@nduryamwadzaya3972
@nduryamwadzaya3972 4 жыл бұрын
@@yasiralkindi5332 tutapigana na hamtachkuwa ardhi yoyote tena. MWEUSI SASA FOREVER. Hata kama sisi waislamu pia. Sisi sio weupe.
@misscoast3174
@misscoast3174 3 жыл бұрын
@@nduryamwadzaya3972 kwani huyo anaeelezea hapo ni mweupe??? Mbona me siwaelewi nyie wengine??
@user-vi3xx5ew5i
@user-vi3xx5ew5i 10 ай бұрын
Yamewakuta ss roho zinauma tangu lini muarabu akawa mtu. ?
@FeisalDoctor-tn9vd
@FeisalDoctor-tn9vd 4 ай бұрын
​@@nduryamwadzaya3972We ni kafiri uislam haun rangi
@hashirsalim9570
@hashirsalim9570 3 жыл бұрын
Wanaosherehekea kazi kwenu.
@salimabdallah5176
@salimabdallah5176 8 ай бұрын
DHIKRI FIKRI SHUKRI SUBRI
@khamissalum9285
@khamissalum9285 4 жыл бұрын
Eti waarabu niwakoloni wakoloni nitanganyika wanatutawala
@officialwawa4370
@officialwawa4370 4 жыл бұрын
Jamaa umedanganyika daahhh Sasa Unataka kusema etii unalani mapinduzi
@yasiralkindi5332
@yasiralkindi5332 4 жыл бұрын
@@officialwawa4370 ww co mzanzibar so kaa kimya mama cwa
@hajihassan5433
@hajihassan5433 3 жыл бұрын
@@yasiralkindi5332 Mzanzibar ni nani?
@salamakhamis7245
@salamakhamis7245 5 жыл бұрын
ALLAHU AKBAR
@yasiniselemani2412
@yasiniselemani2412 5 жыл бұрын
Truth do pain
@asilclub
@asilclub 7 жыл бұрын
لا غالب الا الله
@salummzee9739
@salummzee9739 4 жыл бұрын
Nyny mulikuwa vibaraka warabu kwaio kujikomboa ss tumefaidika mbona mashamba yetu waliyahodhi warabu sasa leo jumejikomboa kwaio kusherekea mapinduz lazima
@misscoast3174
@misscoast3174 3 жыл бұрын
Ama kweli fitna, chuki na uongo una nguvu sana.. lkn naamini haidumu ipo siku itajitenga na ukweli utajulikana nani ni nani na kwanini walifanya waloyafanya... ni swala la muda tu! Allah awasamehe walotangulia na awahukumie kwa dhulma walotendewa
@zahorsalum663
@zahorsalum663 2 жыл бұрын
Mapinduzi yamekuja kutuua njaa wazanzibar nakutawaliwa.namafisadi tuu.
@canoksancomprehensivelearn7182
@canoksancomprehensivelearn7182 5 жыл бұрын
Na atakayeuliwa au kuteswa kwa ajili ya Allah ujira wake ataupata wala hataonewa. Msihuzunike yupo nanyi na mola atawalipa uovu Wote waliohusika na mapinduzi hayo watapinduliwa pinduliwa motoni huko. Nayachukia maana nayajua maovu na uovu wa waliohusika.
@ludacrissrangiyabank3737
@ludacrissrangiyabank3737 5 жыл бұрын
Fidia namjua story zake tumepewa na wazee
@asiajuma7906
@asiajuma7906 3 жыл бұрын
So painful
@LovelyBubbleTea-vz4ol
@LovelyBubbleTea-vz4ol Ай бұрын
Kumkubali sio kumkubari
@hashirsalim9570
@hashirsalim9570 3 жыл бұрын
Ayo yote inshallah yataonekana na yatalipwa,
@ablamaryamsalehvg5eazhst3n52
@ablamaryamsalehvg5eazhst3n52 3 жыл бұрын
Hamna faida yoyote ya mapinduzi labda kuendelea dhulma na kuwadhalilisha raiya' na mauwaji yanaendelea km kawaida 'inshalla Allah atawahukumu madhalimu 'tunajua hakuna mwanzo usio na mwisho
@yanayojiri1900
@yanayojiri1900 4 жыл бұрын
Ongea
@user-yy6vy4xu2s
@user-yy6vy4xu2s 3 ай бұрын
Diria aliishia wapi na vpi?
@imraniqbal00765
@imraniqbal00765 5 жыл бұрын
Wameshafika mbele ya haki wapo kwa Allah Huko hakuna mapinduzi huko Ni haki tu ,na sifikiriii ktk wapinduzi kama yupo alokufa kifo cha kibinaadamu wengi wao walidhalilika kabla ya kufa kwao Mandela alikua akikaa kidongo Chekundu siku ya mauti yake alfungiwa chumba jinsi alivyokua Akipaparika na mwisho alikutwa Chini ya mvungu wa kitanda Ulimi Pima
@wakilihaji4809
@wakilihaji4809 5 жыл бұрын
KHAMIS khamis
@allyderossi9742
@allyderossi9742 5 жыл бұрын
KHAMIS khamis;:Ndo nani huyo MANDELA tena???? naona mapya hayo nayackia
@misscoast3174
@misscoast3174 3 жыл бұрын
@@allyderossi9742 mandera alikua kwenye hiyo jela ya mateso akitesa watu na kuuwa... angalia video zote kwenye channel hii ametajwa sana
@aliyabdillahi7332
@aliyabdillahi7332 5 жыл бұрын
Wee Ahmed Masoud si umezaliwa juzi tu.
@davidisaya3625
@davidisaya3625 4 жыл бұрын
IPO SKU atayajibu haya mbere ya mungu kua hidini iriwakwaza nn
@LovelyBubbleTea-vz4ol
@LovelyBubbleTea-vz4ol Ай бұрын
Wewe mbara ?
@ahmedmussa8231
@ahmedmussa8231 5 жыл бұрын
Mola alikuhifazi wasikuuwe ili uje utujuze yalopita mola atawalipa pepo walozulimiwa nafsi zao
@LovelyBubbleTea-vz4ol
@LovelyBubbleTea-vz4ol Ай бұрын
Huy sio kibaraka alikua kiongozi
@hassandeuj2517
@hassandeuj2517 4 жыл бұрын
Ccm niwaongo kupita kiasi
@hohi7746
@hohi7746 3 жыл бұрын
HESABU IPO
@khalifanassor5349
@khalifanassor5349 4 жыл бұрын
Unapofanya unyama malipo duniani akhera hesabu
@LovelyBubbleTea-vz4ol
@LovelyBubbleTea-vz4ol Ай бұрын
Wewe mbara sio wakoroni atakiswahilli chako kinaonesha
@fatmasaid5864
@fatmasaid5864 5 жыл бұрын
Maneno yako ni ukweli mtupu
@tecnof1232
@tecnof1232 4 жыл бұрын
Ajabu wengine kasumba na propaganda zimewaganda ndii! hata kufikiri wanashindwa! Mapinduzi matukufu sawa, je waliouwa watakwenda peponi?
@officialwawa4370
@officialwawa4370 4 жыл бұрын
@@tecnof1232 jeee na ss kutufanya watumwa na kutuuwa na kutuzalilisha wataenda mbinguni
@fatumamisinga6211
@fatumamisinga6211 Жыл бұрын
Aman than anaishi wapi hivi sasa?
@kaliskaguzkalis4424
@kaliskaguzkalis4424 Жыл бұрын
Wote leo mko mbele ya Mola Wenu
@awadhirajabu7754
@awadhirajabu7754 5 жыл бұрын
apo nimekuerewa mzee kwa msemo wa kuua mtu ni zambi sana rakini utamkuta mtu anashiliki kuua uku akijiamini mbere ya wezie kwa asira kali ajui kama kila nausi itaonja umauti kuua ni zambi mwenye kuamini uwepo wa mungu asiuwe wandugu
@nassorali5511
@nassorali5511 2 жыл бұрын
Apo zamani tulikuwa twasema znz ni Mkka ndongo kwa elimu lkn sahiz naona znz ni Itali ndongo kwa uwovu
@andrewnyamwaro5174
@andrewnyamwaro5174 3 жыл бұрын
Hata useme nini, usultani Mwafrika kakataa. Unayesema we Mwarabu mbona usende uko huko ukaishi raha mstarehe. Mapinduzi ulikuwa lazima kupinga dhulma. Jengeni nchi yenu kwanzia hapa...
@misscoast3174
@misscoast3174 3 жыл бұрын
Kwani kulikua na haja gani ya kuuwa watu wakati sultan alikimbia? Ukishafanya mapinduzi na mtawala akakimbia raia walokuepo ni wako wote sasa ubaya ni pale walipowauwa wale raia.. hugo dhambi haitawaacha milele daima
@nduryamwadzaya3972
@nduryamwadzaya3972 4 жыл бұрын
Ni Jambo la aibu kuliko kuteka weusi kwao? Nyie weupe mulileta faida gani hapo zanze
@mjige9088
@mjige9088 4 жыл бұрын
Diriye aje Hargeisa somaliland tumuathibu babu yake tumemfasiria haya yote unayosema machozi imemtoka
@mshairikinda4694
@mshairikinda4694 4 жыл бұрын
Wazanzibar mnaudhi kisha mkakera isee,hivi hamuelewi siasa zilikua zinaendaje,mkimchukua muarabu unatarajiwa uchukie kila chake
@abdullahihussein6836
@abdullahihussein6836 2 ай бұрын
Huyo hapo ni mwarabu wa wapi ?
@madrasatulmujtabahschool7621
@madrasatulmujtabahschool7621 5 жыл бұрын
Sasa ukweli upi kila mmoja anatuzonga
@allyderossi9742
@allyderossi9742 5 жыл бұрын
ABUBAKAR ALI HAMDANI,,wala ucseme jamaa yng.
@farhatfatma12
@farhatfatma12 4 жыл бұрын
Unajizonga mwenyewe. Huyu mzee ni mtu maarufu zanzibar na anachosema ni ukweli mtupu kwasababu aliwekwa ndani miaka mingi. Allah amsamehe makosa yake na amuingize kwenye pepo yake ya juu kwa kutupa ukweli.
@LovelyBubbleTea-vz4ol
@LovelyBubbleTea-vz4ol Ай бұрын
Huna akili wewe mlevi
@msakuzikondo536
@msakuzikondo536 2 жыл бұрын
Waislamu waliwafanya waislamu wenzao watumwa Zanzibar.Mtu mweusi wakati wa Sultan alikuwa kama hana thamani.Mapinduzi Tukufu Daima .
@shd12m55
@shd12m55 7 жыл бұрын
Unatuliza wanao baba
@kassimmbelwa6011
@kassimmbelwa6011 4 жыл бұрын
we mchawi tu mtoto wa sultani watetee
@officialwawa4370
@officialwawa4370 4 жыл бұрын
Unaona huyu kibaraka wa sultan ndugu unajuwa sultan bado ana ndoto ya kuitawala Zanzibar tena
@samirs764
@samirs764 3 жыл бұрын
Huyo anasema kweli shekhe mashalla
@misscoast3174
@misscoast3174 3 жыл бұрын
Kuna watu hawatoamini mpaka yawafike
@rastafare878
@rastafare878 2 жыл бұрын
Nyinyi mnaopinga hapa wengi wenu ni watanganyika munajifanya kuwasemea vibaya waarabu halafu haohao wanakusaidieni na wAla hamukatai , hebu jaribuni kuangalia video mmoja youtube magufuli Na kiongozi mmoja kiarabu aliahidiwa atachimbiwa visiwa vingi sana , munawasema vibaya waarabu cha kushangaza haohao ndio wanakusaidieni na wAla hamukatai
@user-xv4tl8iv4l
@user-xv4tl8iv4l 2 ай бұрын
hana lolote mnafiki huyu. tunamjua mtwana mkubwa kusema hayo na mengine na huo umri anaosema ni muongo. aje nimuoneshe kipande/kibali cha kupatachakula 1918 cha baba yangu kipo. mwafrika anapata chakula dona ratili 3,sukari ratili 1. mchele ratili 2 kwa mwezi , waarabu hakuna kitu kama chakula na kidogo afadhali uwe mngazija.
@aliyahya7885
@aliyahya7885 5 жыл бұрын
Ni haki kimfukuza mtu uliemkaribisha kwako akataka kukuongoza kwa kila ktu hatimae had nyumba akataka iwe yake
@officialwawa4370
@officialwawa4370 4 жыл бұрын
Uyu mpuuzi Sasa yeye alitaka tufanywe punda wa waarabu huyu simtusi lakini dahhh
@yasiralkindi5332
@yasiralkindi5332 4 жыл бұрын
Ndio kaka ni haki vilevile kunajisiwa mwanaume na ni haki mtoto kumwingilia mzazi wake na ni haki kaka kumwingilia sister wake yote ni haki tu au vp. JITAMBUE WW
@misscoast3174
@misscoast3174 3 жыл бұрын
@@officialwawa4370 kama ungeamua kusoma historia ya kweli ingekua vyema kabla hujaamua kusema kitu
@aliyahya7885
@aliyahya7885 5 жыл бұрын
Mm nayathamini mapinduzi kwa sababu yametutoa katika utawala wa wazungu na waarabu
@salehsuleiman1218
@salehsuleiman1218 5 жыл бұрын
Ww thamini2 isichokijua maana yake Na nn lengo lake lkn kumbuka hao warabau ndio walioifanya Leo kuenea kwa uislam Zanzibar Na kuleta maadili ya kiarabu yan mavazi ya kiheshima pia ujue mapinduzi ndio yalio waua masheikh wakubwa ambao ndio masharifu yan wasomi Na mengi2 yaliofanyika ila ww bado mdogo hauwez kujua ndio maana ukipewa maneno ovyo unakubali2 pass nakujua nn faida yake. Sema astaghafillah kwa kuyatukuza kuliko kutukuza dini yako.
@khalifanassor5349
@khalifanassor5349 4 жыл бұрын
Thamini dunia ya kupita tu wamepita kama moshi
@farhatfatma12
@farhatfatma12 4 жыл бұрын
@@salehsuleiman1218 Si kweli kua waarabu ndio waliouleta Uislaam Zanzibar.
@wizzoboy2553
@wizzoboy2553 4 жыл бұрын
Cali Mahad# Unataka kunambia uislam umeletwa na Mreno pamoja na Muingereza??
@officialwawa4370
@officialwawa4370 4 жыл бұрын
Aaaaaa mapinduzi daima sisi ni waafrika tunajitawala wenyewe muarabu ndoo nani kaja na ushenzi wake tumemtupa uko pumbavu kabisa yaanii ilifika muafrika mwenyew etii kuingia stone town kwa kibali dahh inauma sana wazee wetu!! na lilikuwa sii lakujuwa maana walikuja Kama mbuzi kumbe ndani simba wakatutawala kuona watu weusi tumepambwa na miti ya kijani na matunda yakutosha na wanyama aadim duniani lakini hawa washenzi wametunyanyasa na kutuzalilisha na kutuuza Kama vitunguu maji sokoni wewe leo unaunga mkono waarabu aaahhh!! shida sana ila najuwa nyinyi ndio vibaraka mulio bakia na sultan mbaka Sasa anasema Zanzibar yake na atarudi nakutuma mwambie haiwezekani
@jumakapilima5674
@jumakapilima5674 5 жыл бұрын
Anaonekana anauelewa mdogo sana!!!!
@tecnof1232
@tecnof1232 4 жыл бұрын
Yeye au wewe? Huna unachoelewa mwenzamgu bora unyamaze tu kama mimi, Mzee kayaona tena unataka nini? Na anasema mwenye shaka aende yupo tayari yeye, tena uelewa gani unaoutaka?
@misscoast3174
@misscoast3174 3 жыл бұрын
Juma kapilima una matatizo makubwa
@jumakapilima5674
@jumakapilima5674 3 жыл бұрын
@@misscoast3174 mbona haekezi maovu ya sultan?
@jumakapilima5674
@jumakapilima5674 3 жыл бұрын
@@tecnof1232 kwahiyo maovu ya sultan hajayaona?
@jumakapilima5674
@jumakapilima5674 3 жыл бұрын
Ni kweli mlisoma bure, anasahau kuwa idadi ya watu wa wakati huo tofauti na ya wakati huu, na hata matibabu ni hivyo, lakini pia anapaswa kutambua kuwa hata maradhi kipindi hiki yameongezeka tofauti kidogo na nyuma,, na mbaya zaidi anataka kutujengea picha kuwa sultani hakuwa na maovu kitu ambacho si kweli,,,,,,,,,,,,ndio maana naendelea kueleza kuwa bado ana tatizo la uelewa
@abdulabass5808
@abdulabass5808 4 жыл бұрын
Hili zee linaongea nini kama ulikua kibaraka wa waarabu siutwambie ? Na wewe kama huoni matunda ya mapinduzi tuonyeshe hayo mabaki ya ukoloni uliofaidika nayo? Huna points kujipendekeza kwiiingi
@mohammedhamad9392
@mohammedhamad9392 4 жыл бұрын
Oya uyo mzee ni mzee wetu hakuusu kausha bc
@abdulabass5808
@abdulabass5808 4 жыл бұрын
@@mohammedhamad9392Nazi
@gangmore9091
@gangmore9091 4 жыл бұрын
@@abdulabass5808 mpuuzi sana angefanyiwa family yko ungeona mabati y ukoloni uyo mzee amefanyiwa unyama ww unaongea pumba
@officialwawa4370
@officialwawa4370 4 жыл бұрын
Ndio jamaa mapinduzi daima na akijatena tunapinduwa
@officialwawa4370
@officialwawa4370 4 жыл бұрын
@@gangmore9091 heeeeeeed!!! kwaiyo kuuliwa ngozi nyeupe zambi ila mtu mweusi kuuliwa kwenye sehemu yake nchi yake mbele ya ukoo wake mtu mweusi sio zambi sshhtuka broo usiwe mshamba kiaasi ichooo mapinduzi daima tunajitawala ss watu weusi wenyewe
@ahmedmasoud3906
@ahmedmasoud3906 5 жыл бұрын
Mzee umeongea pumba tupu. Ni kwamba wajitoa akili juu ya faida za mapinduzi?? Kuhusu wewe kusoma bure unajua population ilikuaje na sasa ikoje?? Ninachokiona ni ukibaraka wako kwa waarabu.
@aliyabdillahi7332
@aliyabdillahi7332 5 жыл бұрын
Awadh wee umezaliwa juzi uyo Babaako haelewi kitu
@husseinfarid2883
@husseinfarid2883 5 жыл бұрын
wacha ujinga ww
@mkude
@mkude 5 жыл бұрын
ahmed masoud kwanini unawachukia waarabu ndugu yangu je waarabu huko znz walikuwa wanafanya mauwaji,wakifanya kitu gani kibaya sanaa,na hata kama ubaya Wa kawaida yapo wao ni binadaamu hawajakamilika je utawala Wa sasa wanafanya mema tu hakuna ubaya
@mkude
@mkude 5 жыл бұрын
ahmed masoud jua kwamba mtume ynaemfuata muarabu,makhalifa wakubwa wanne walikuwa waarabu,kitabu cha quraan lugha ya kiarabu kaburini utaongea kiarabu siku ya hesabu Kwa ALLAH lugha itakuwa ya kiarabu.
@2pacshakur912
@2pacshakur912 5 жыл бұрын
Kusoma bure heheheh 50 hakuna cha maana
@biramsakh9212
@biramsakh9212 5 жыл бұрын
Wanasherehekea mauaji ya kuuliwa waislam zanzibar damu yawaislm ndio ayo mapinduzi daima.
@nduryamwadzaya3972
@nduryamwadzaya3972 4 жыл бұрын
Endelea kuota. Mukiuwa waafrika ni Sawa lakini waAfrika wakilipiza walia na dini! Hahahah
@nassorali5511
@nassorali5511 2 жыл бұрын
@@nduryamwadzaya3972 mh
@davidisaya3625
@davidisaya3625 4 жыл бұрын
IPO SKU atayajibu haya mbere ya mungu kua hidini iriwakwaza nn
@awadhirajabu7754
@awadhirajabu7754 5 жыл бұрын
mapinduzi oye wakoroni walikua na wafuasi wengi wazawa sasa kila mtu angemkubari mkoroni nchi ingekua kama somalia iyo mapinduzi oyee
@officialwawa4370
@officialwawa4370 4 жыл бұрын
Oyeeeee big up bro
@rastafare878
@rastafare878 2 жыл бұрын
Nyinyi ni watumwa wa Tanganyika
23 Rashid Abdalla Mamba
3:28
MzeeBarwani
Рет қаралды 15 М.
17 Yalomkuta Saleh Sadalla
16:08
MzeeBarwani
Рет қаралды 33 М.
Мы никогда не были так напуганы!
00:15
Аришнев
Рет қаралды 5 МЛН
FOOLED THE GUARD🤢
00:54
INO
Рет қаралды 64 МЛН
Please be kind🙏
00:34
ISSEI / いっせい
Рет қаралды 194 МЛН
16. Amani Thani: Kisa cha Hanga
24:11
Hilmi Hilal 259
Рет қаралды 4,4 М.
WAKRISTO WANAMIPANGO IMARA || Ust. Ilunga
34:46
Hudatz Tv
Рет қаралды 44 М.
24 Ahmed Diria 1
11:41
MzeeBarwani
Рет қаралды 23 М.
Mwanamke Mcharuko Ndio Maangamizi ya Dunia | Mwl Dimoso
49:05
ZVP ONLINE TV
Рет қаралды 33 М.
12  Twala Kanielezea Jela
12:10
MzeeBarwani
Рет қаралды 21 М.
17. Amani Thani: Aliyoyafanya Ahmed Hassan Diria Pemba
21:40
Hilmi Hilal 259
Рет қаралды 4,3 М.
Мы никогда не были так напуганы!
00:15
Аришнев
Рет қаралды 5 МЛН