Aman Thani anamuelezea Ibrahim Noor maovu ya mapinduzi. Kushrehekea mapinduzi ni aibu kubwa. Faida gani ya mapinduzi yamepatikana baada ya miaka yote hii?
Пікірлер: 137
@AbdallaMwagora-sm1rj4 ай бұрын
Mm ni mtanganyika lkn sifurahii mateso waliopitia wazanzibari.
@user-et9vf2ro2k4 ай бұрын
Wewe sio mtanganyika t wewe ni binaadamu mwenye kuujua utu
@Qadar-vx4gj4 жыл бұрын
Allah Akupe Qawl Thabit
@hakimtzu91576 жыл бұрын
Dah meng yamefichwa nyuma ya mapinduz,mungu atawalipa wote na uonevu wao na chuki, Hongera mzee wetu kwa kuongelea ukweli
@nduryamwadzaya39724 жыл бұрын
Mzee ovyo
@nassorali55112 жыл бұрын
@@nduryamwadzaya3972 mh
@charlesbibombe230113 күн бұрын
Duuh, tumedanganywa Sana kuhusu mapinduzi ya Zanzibar. Nipo bara natetemeka mzee anavosimulia haya
@ussikhamisussi48826 жыл бұрын
Mambo haya yanaumiza sana nafsi, wengi wetu tunazugwa na viongozi.
@ruaiyatruaiyat6916 жыл бұрын
Subhanallah
@kingosman93117 жыл бұрын
Nimekuelewa mzee.
@madinayussufhamadi26786 жыл бұрын
Wallah umesema kweli allah atakulipa kwa ukweli ulio sema
@aiyamirubba65283 жыл бұрын
Yote yatalipwa
@alialamoudi97293 ай бұрын
Wazanzibari waliuliwa kinyama ilfu ishirini walikufa wakawazika pamoja katika mashimo makuubwa wtoto wadogo NA wazee NA wanawake NA wanaume wakawapanga fuleni NA wote walipigwa raisi bila huruma wakawazika pamoja katika mashimo wakati serekali ya hapo awali ilichaguliwa ki halali
@nduryamwadzaya39724 жыл бұрын
Ni sawa. Wakati mukishika waAfrika kutoka Congo kuwatembeza maelfu ya kilomita na kumuuza kama mnyama. Sawa kabisa.
@yasiralkindi53324 жыл бұрын
Mapicha ya kuedit yameshakuathiri tyr pamoja na histry za uongo إنالله وانا اليه راجعون
@nduryamwadzaya39724 жыл бұрын
@@yasiralkindi5332 tutapigana na hamtachkuwa ardhi yoyote tena. MWEUSI SASA FOREVER. Hata kama sisi waislamu pia. Sisi sio weupe.
@misscoast31743 жыл бұрын
@@nduryamwadzaya3972 kwani huyo anaeelezea hapo ni mweupe??? Mbona me siwaelewi nyie wengine??
@user-vi3xx5ew5i10 ай бұрын
Yamewakuta ss roho zinauma tangu lini muarabu akawa mtu. ?
@FeisalDoctor-tn9vd4 ай бұрын
@@nduryamwadzaya3972We ni kafiri uislam haun rangi
@hashirsalim95703 жыл бұрын
Wanaosherehekea kazi kwenu.
@salimabdallah51768 ай бұрын
DHIKRI FIKRI SHUKRI SUBRI
@khamissalum92854 жыл бұрын
Eti waarabu niwakoloni wakoloni nitanganyika wanatutawala
@officialwawa43704 жыл бұрын
Jamaa umedanganyika daahhh Sasa Unataka kusema etii unalani mapinduzi
@yasiralkindi53324 жыл бұрын
@@officialwawa4370 ww co mzanzibar so kaa kimya mama cwa
@hajihassan54333 жыл бұрын
@@yasiralkindi5332 Mzanzibar ni nani?
@salamakhamis72455 жыл бұрын
ALLAHU AKBAR
@yasiniselemani24125 жыл бұрын
Truth do pain
@asilclub7 жыл бұрын
لا غالب الا الله
@salummzee97394 жыл бұрын
Nyny mulikuwa vibaraka warabu kwaio kujikomboa ss tumefaidika mbona mashamba yetu waliyahodhi warabu sasa leo jumejikomboa kwaio kusherekea mapinduz lazima
@misscoast31743 жыл бұрын
Ama kweli fitna, chuki na uongo una nguvu sana.. lkn naamini haidumu ipo siku itajitenga na ukweli utajulikana nani ni nani na kwanini walifanya waloyafanya... ni swala la muda tu! Allah awasamehe walotangulia na awahukumie kwa dhulma walotendewa
Na atakayeuliwa au kuteswa kwa ajili ya Allah ujira wake ataupata wala hataonewa. Msihuzunike yupo nanyi na mola atawalipa uovu Wote waliohusika na mapinduzi hayo watapinduliwa pinduliwa motoni huko. Nayachukia maana nayajua maovu na uovu wa waliohusika.
@ludacrissrangiyabank37375 жыл бұрын
Fidia namjua story zake tumepewa na wazee
@asiajuma79063 жыл бұрын
So painful
@LovelyBubbleTea-vz4olАй бұрын
Kumkubali sio kumkubari
@hashirsalim95703 жыл бұрын
Ayo yote inshallah yataonekana na yatalipwa,
@ablamaryamsalehvg5eazhst3n523 жыл бұрын
Hamna faida yoyote ya mapinduzi labda kuendelea dhulma na kuwadhalilisha raiya' na mauwaji yanaendelea km kawaida 'inshalla Allah atawahukumu madhalimu 'tunajua hakuna mwanzo usio na mwisho
@yanayojiri19004 жыл бұрын
Ongea
@user-yy6vy4xu2s3 ай бұрын
Diria aliishia wapi na vpi?
@imraniqbal007655 жыл бұрын
Wameshafika mbele ya haki wapo kwa Allah Huko hakuna mapinduzi huko Ni haki tu ,na sifikiriii ktk wapinduzi kama yupo alokufa kifo cha kibinaadamu wengi wao walidhalilika kabla ya kufa kwao Mandela alikua akikaa kidongo Chekundu siku ya mauti yake alfungiwa chumba jinsi alivyokua Akipaparika na mwisho alikutwa Chini ya mvungu wa kitanda Ulimi Pima
@wakilihaji48095 жыл бұрын
KHAMIS khamis
@allyderossi97425 жыл бұрын
KHAMIS khamis;:Ndo nani huyo MANDELA tena???? naona mapya hayo nayackia
@misscoast31743 жыл бұрын
@@allyderossi9742 mandera alikua kwenye hiyo jela ya mateso akitesa watu na kuuwa... angalia video zote kwenye channel hii ametajwa sana
@aliyabdillahi73325 жыл бұрын
Wee Ahmed Masoud si umezaliwa juzi tu.
@davidisaya36254 жыл бұрын
IPO SKU atayajibu haya mbere ya mungu kua hidini iriwakwaza nn
@LovelyBubbleTea-vz4olАй бұрын
Wewe mbara ?
@ahmedmussa82315 жыл бұрын
Mola alikuhifazi wasikuuwe ili uje utujuze yalopita mola atawalipa pepo walozulimiwa nafsi zao
Ajabu wengine kasumba na propaganda zimewaganda ndii! hata kufikiri wanashindwa! Mapinduzi matukufu sawa, je waliouwa watakwenda peponi?
@officialwawa43704 жыл бұрын
@@tecnof1232 jeee na ss kutufanya watumwa na kutuuwa na kutuzalilisha wataenda mbinguni
@fatumamisinga6211 Жыл бұрын
Aman than anaishi wapi hivi sasa?
@kaliskaguzkalis4424 Жыл бұрын
Wote leo mko mbele ya Mola Wenu
@awadhirajabu77545 жыл бұрын
apo nimekuerewa mzee kwa msemo wa kuua mtu ni zambi sana rakini utamkuta mtu anashiliki kuua uku akijiamini mbere ya wezie kwa asira kali ajui kama kila nausi itaonja umauti kuua ni zambi mwenye kuamini uwepo wa mungu asiuwe wandugu
@nassorali55112 жыл бұрын
Apo zamani tulikuwa twasema znz ni Mkka ndongo kwa elimu lkn sahiz naona znz ni Itali ndongo kwa uwovu
@andrewnyamwaro51743 жыл бұрын
Hata useme nini, usultani Mwafrika kakataa. Unayesema we Mwarabu mbona usende uko huko ukaishi raha mstarehe. Mapinduzi ulikuwa lazima kupinga dhulma. Jengeni nchi yenu kwanzia hapa...
@misscoast31743 жыл бұрын
Kwani kulikua na haja gani ya kuuwa watu wakati sultan alikimbia? Ukishafanya mapinduzi na mtawala akakimbia raia walokuepo ni wako wote sasa ubaya ni pale walipowauwa wale raia.. hugo dhambi haitawaacha milele daima
@nduryamwadzaya39724 жыл бұрын
Ni Jambo la aibu kuliko kuteka weusi kwao? Nyie weupe mulileta faida gani hapo zanze
@mjige90884 жыл бұрын
Diriye aje Hargeisa somaliland tumuathibu babu yake tumemfasiria haya yote unayosema machozi imemtoka
@mshairikinda46944 жыл бұрын
Wazanzibar mnaudhi kisha mkakera isee,hivi hamuelewi siasa zilikua zinaendaje,mkimchukua muarabu unatarajiwa uchukie kila chake
@abdullahihussein68362 ай бұрын
Huyo hapo ni mwarabu wa wapi ?
@madrasatulmujtabahschool76215 жыл бұрын
Sasa ukweli upi kila mmoja anatuzonga
@allyderossi97425 жыл бұрын
ABUBAKAR ALI HAMDANI,,wala ucseme jamaa yng.
@farhatfatma124 жыл бұрын
Unajizonga mwenyewe. Huyu mzee ni mtu maarufu zanzibar na anachosema ni ukweli mtupu kwasababu aliwekwa ndani miaka mingi. Allah amsamehe makosa yake na amuingize kwenye pepo yake ya juu kwa kutupa ukweli.
@LovelyBubbleTea-vz4olАй бұрын
Huna akili wewe mlevi
@msakuzikondo5362 жыл бұрын
Waislamu waliwafanya waislamu wenzao watumwa Zanzibar.Mtu mweusi wakati wa Sultan alikuwa kama hana thamani.Mapinduzi Tukufu Daima .
@shd12m557 жыл бұрын
Unatuliza wanao baba
@kassimmbelwa60114 жыл бұрын
we mchawi tu mtoto wa sultani watetee
@officialwawa43704 жыл бұрын
Unaona huyu kibaraka wa sultan ndugu unajuwa sultan bado ana ndoto ya kuitawala Zanzibar tena
@samirs7643 жыл бұрын
Huyo anasema kweli shekhe mashalla
@misscoast31743 жыл бұрын
Kuna watu hawatoamini mpaka yawafike
@rastafare8782 жыл бұрын
Nyinyi mnaopinga hapa wengi wenu ni watanganyika munajifanya kuwasemea vibaya waarabu halafu haohao wanakusaidieni na wAla hamukatai , hebu jaribuni kuangalia video mmoja youtube magufuli Na kiongozi mmoja kiarabu aliahidiwa atachimbiwa visiwa vingi sana , munawasema vibaya waarabu cha kushangaza haohao ndio wanakusaidieni na wAla hamukatai
@user-xv4tl8iv4l2 ай бұрын
hana lolote mnafiki huyu. tunamjua mtwana mkubwa kusema hayo na mengine na huo umri anaosema ni muongo. aje nimuoneshe kipande/kibali cha kupatachakula 1918 cha baba yangu kipo. mwafrika anapata chakula dona ratili 3,sukari ratili 1. mchele ratili 2 kwa mwezi , waarabu hakuna kitu kama chakula na kidogo afadhali uwe mngazija.
@aliyahya78855 жыл бұрын
Ni haki kimfukuza mtu uliemkaribisha kwako akataka kukuongoza kwa kila ktu hatimae had nyumba akataka iwe yake
@officialwawa43704 жыл бұрын
Uyu mpuuzi Sasa yeye alitaka tufanywe punda wa waarabu huyu simtusi lakini dahhh
@yasiralkindi53324 жыл бұрын
Ndio kaka ni haki vilevile kunajisiwa mwanaume na ni haki mtoto kumwingilia mzazi wake na ni haki kaka kumwingilia sister wake yote ni haki tu au vp. JITAMBUE WW
@misscoast31743 жыл бұрын
@@officialwawa4370 kama ungeamua kusoma historia ya kweli ingekua vyema kabla hujaamua kusema kitu
@aliyahya78855 жыл бұрын
Mm nayathamini mapinduzi kwa sababu yametutoa katika utawala wa wazungu na waarabu
@salehsuleiman12185 жыл бұрын
Ww thamini2 isichokijua maana yake Na nn lengo lake lkn kumbuka hao warabau ndio walioifanya Leo kuenea kwa uislam Zanzibar Na kuleta maadili ya kiarabu yan mavazi ya kiheshima pia ujue mapinduzi ndio yalio waua masheikh wakubwa ambao ndio masharifu yan wasomi Na mengi2 yaliofanyika ila ww bado mdogo hauwez kujua ndio maana ukipewa maneno ovyo unakubali2 pass nakujua nn faida yake. Sema astaghafillah kwa kuyatukuza kuliko kutukuza dini yako.
@khalifanassor53494 жыл бұрын
Thamini dunia ya kupita tu wamepita kama moshi
@farhatfatma124 жыл бұрын
@@salehsuleiman1218 Si kweli kua waarabu ndio waliouleta Uislaam Zanzibar.
@wizzoboy25534 жыл бұрын
Cali Mahad# Unataka kunambia uislam umeletwa na Mreno pamoja na Muingereza??
@officialwawa43704 жыл бұрын
Aaaaaa mapinduzi daima sisi ni waafrika tunajitawala wenyewe muarabu ndoo nani kaja na ushenzi wake tumemtupa uko pumbavu kabisa yaanii ilifika muafrika mwenyew etii kuingia stone town kwa kibali dahh inauma sana wazee wetu!! na lilikuwa sii lakujuwa maana walikuja Kama mbuzi kumbe ndani simba wakatutawala kuona watu weusi tumepambwa na miti ya kijani na matunda yakutosha na wanyama aadim duniani lakini hawa washenzi wametunyanyasa na kutuzalilisha na kutuuza Kama vitunguu maji sokoni wewe leo unaunga mkono waarabu aaahhh!! shida sana ila najuwa nyinyi ndio vibaraka mulio bakia na sultan mbaka Sasa anasema Zanzibar yake na atarudi nakutuma mwambie haiwezekani
@jumakapilima56745 жыл бұрын
Anaonekana anauelewa mdogo sana!!!!
@tecnof12324 жыл бұрын
Yeye au wewe? Huna unachoelewa mwenzamgu bora unyamaze tu kama mimi, Mzee kayaona tena unataka nini? Na anasema mwenye shaka aende yupo tayari yeye, tena uelewa gani unaoutaka?
@misscoast31743 жыл бұрын
Juma kapilima una matatizo makubwa
@jumakapilima56743 жыл бұрын
@@misscoast3174 mbona haekezi maovu ya sultan?
@jumakapilima56743 жыл бұрын
@@tecnof1232 kwahiyo maovu ya sultan hajayaona?
@jumakapilima56743 жыл бұрын
Ni kweli mlisoma bure, anasahau kuwa idadi ya watu wa wakati huo tofauti na ya wakati huu, na hata matibabu ni hivyo, lakini pia anapaswa kutambua kuwa hata maradhi kipindi hiki yameongezeka tofauti kidogo na nyuma,, na mbaya zaidi anataka kutujengea picha kuwa sultani hakuwa na maovu kitu ambacho si kweli,,,,,,,,,,,,ndio maana naendelea kueleza kuwa bado ana tatizo la uelewa
@abdulabass58084 жыл бұрын
Hili zee linaongea nini kama ulikua kibaraka wa waarabu siutwambie ? Na wewe kama huoni matunda ya mapinduzi tuonyeshe hayo mabaki ya ukoloni uliofaidika nayo? Huna points kujipendekeza kwiiingi
@mohammedhamad93924 жыл бұрын
Oya uyo mzee ni mzee wetu hakuusu kausha bc
@abdulabass58084 жыл бұрын
@@mohammedhamad9392Nazi
@gangmore90914 жыл бұрын
@@abdulabass5808 mpuuzi sana angefanyiwa family yko ungeona mabati y ukoloni uyo mzee amefanyiwa unyama ww unaongea pumba
@officialwawa43704 жыл бұрын
Ndio jamaa mapinduzi daima na akijatena tunapinduwa
@officialwawa43704 жыл бұрын
@@gangmore9091 heeeeeeed!!! kwaiyo kuuliwa ngozi nyeupe zambi ila mtu mweusi kuuliwa kwenye sehemu yake nchi yake mbele ya ukoo wake mtu mweusi sio zambi sshhtuka broo usiwe mshamba kiaasi ichooo mapinduzi daima tunajitawala ss watu weusi wenyewe
@ahmedmasoud39065 жыл бұрын
Mzee umeongea pumba tupu. Ni kwamba wajitoa akili juu ya faida za mapinduzi?? Kuhusu wewe kusoma bure unajua population ilikuaje na sasa ikoje?? Ninachokiona ni ukibaraka wako kwa waarabu.
@aliyabdillahi73325 жыл бұрын
Awadh wee umezaliwa juzi uyo Babaako haelewi kitu
@husseinfarid28835 жыл бұрын
wacha ujinga ww
@mkude5 жыл бұрын
ahmed masoud kwanini unawachukia waarabu ndugu yangu je waarabu huko znz walikuwa wanafanya mauwaji,wakifanya kitu gani kibaya sanaa,na hata kama ubaya Wa kawaida yapo wao ni binadaamu hawajakamilika je utawala Wa sasa wanafanya mema tu hakuna ubaya
@mkude5 жыл бұрын
ahmed masoud jua kwamba mtume ynaemfuata muarabu,makhalifa wakubwa wanne walikuwa waarabu,kitabu cha quraan lugha ya kiarabu kaburini utaongea kiarabu siku ya hesabu Kwa ALLAH lugha itakuwa ya kiarabu.
@2pacshakur9125 жыл бұрын
Kusoma bure heheheh 50 hakuna cha maana
@biramsakh92125 жыл бұрын
Wanasherehekea mauaji ya kuuliwa waislam zanzibar damu yawaislm ndio ayo mapinduzi daima.
@nduryamwadzaya39724 жыл бұрын
Endelea kuota. Mukiuwa waafrika ni Sawa lakini waAfrika wakilipiza walia na dini! Hahahah
@nassorali55112 жыл бұрын
@@nduryamwadzaya3972 mh
@davidisaya36254 жыл бұрын
IPO SKU atayajibu haya mbere ya mungu kua hidini iriwakwaza nn
@awadhirajabu77545 жыл бұрын
mapinduzi oye wakoroni walikua na wafuasi wengi wazawa sasa kila mtu angemkubari mkoroni nchi ingekua kama somalia iyo mapinduzi oyee