MZEE AMEIR BIN AMEIR BIN SUDI WA BWEJUU AIMWAGA UWANJANI HISTORIA YA ZANZIBAR!

  Рет қаралды 74,773

Zanzibar Ni Kwetu

Zanzibar Ni Kwetu

Күн бұрын

MZEE AMEIR BIN AMEIR BIN SUDI WA BWEJUU AIMWAGA UWANJANI HISTORIA YA ZANZIBAR AKIMJIBU MHE. ALI ABIED AMANI KARUME KUTOKANA NA HOTUBA YAKE KWENYE BARAZA LA UWAKILISHI MJINI ZANZIBAR. KATIKA HOTUBA YAKE HIO MHE. ALI KARUME ALISEMA KUWA WAPO WATU WANATAKA KUMREJESHA SULTANI ZANZIBAR.
(VIDEO KWA HISANI YA MACKAY98)
• ALI KARUME: WANATAKA K...

Пікірлер: 123
@ds7891
@ds7891 3 жыл бұрын
SMZ kina Sheini na Husein mmepata nini kumtesa huyo Mzee Amer wa miaka75 mpaka mkampotezea maisha yake. Mungu hakopeshwi atawalipa mtayapata machungu na nyinyi hapa duniani.
@mohamedturanardan8871
@mohamedturanardan8871 3 жыл бұрын
Amen yaarabb
@huzaimabui8233
@huzaimabui8233 3 жыл бұрын
@@mohamedturanardan8871 ammin
@ahmedalbalooshi8518
@ahmedalbalooshi8518 Жыл бұрын
Allah atawahukumu wahusika wa kifo chake
@thedon8467
@thedon8467 Жыл бұрын
AMEEN
@aminaomar9675
@aminaomar9675 3 жыл бұрын
Hatashemegi zake niwaarabu hanafadhila mlevi huyu
@AA-yr7sr
@AA-yr7sr 3 жыл бұрын
Allah akupe nuru ktk kaburi lako kwa haika dunia nimpeto tu mzee wetu ukweli wako ndio sababu ya kifo chako Innalilah Waina ilahi Rajiun SubhanaAllah SubhanaAllah
@ahmedalbalooshi8518
@ahmedalbalooshi8518 3 жыл бұрын
Allah atawalipa hao waliofanya na kutekeleza uovo wa kumpiga mpaka kupoteza maisha yake.
@MohamedAli-en9xh
@MohamedAli-en9xh 3 жыл бұрын
Ccm mmetuondolea hazina kubwa sana
@misscoast3174
@misscoast3174 3 жыл бұрын
Who's here after his death??? Innalillah wainna ilayhi rajiun... Allah amsamehe na amuingize jannatul firdaus... aamin yaa rabby 🤲
@khajumkhamis7910
@khajumkhamis7910 3 жыл бұрын
Amiiin
@masoudali9387
@masoudali9387 3 жыл бұрын
Aamiyn
@habibasule2360
@habibasule2360 3 жыл бұрын
Aamin
@rayaalhabsi1725
@rayaalhabsi1725 Ай бұрын
Mwenye Enzi Mungu akurehemu atujaalie katika as'habul yamiin. Allahumma Ameen Yaarabil Aalamiin
@zanzibaryakale9002
@zanzibaryakale9002 3 жыл бұрын
Allah amrehemu ajaalie kaburi yake iwe miongoni mwa viwanja vya pepo
@111dudi
@111dudi 3 жыл бұрын
Mungu amrehem huyu mzee, alisema kweli kabisa. znz ilivurugwa na wasiokuwa wazanzibari.
@kanaanrajab1102
@kanaanrajab1102 3 ай бұрын
Uhakika
@Visit_zanzibar
@Visit_zanzibar 3 жыл бұрын
Mungu akulaze mahali pema mzee amer bin amer
@amourhasaan7242
@amourhasaan7242 3 жыл бұрын
Hilii jamaa kubwa bichwaa tuu lkn hanaa kimojaa akijuwalo mzee Amer bin Amer Allah akulaze mahalipema
@froma3732
@froma3732 2 жыл бұрын
Hao ni vizazi vinatoka Malawi lkn hawataki kukubali
@MuzneOthman-l7i
@MuzneOthman-l7i 24 күн бұрын
HUDUMA NDIO NINI..SI UPUUZI HUO NI KAMCHUKUWE MTU NIMLETE.KWANGU HALAFU NIMHUDIE . HUJAELEZA MAANA YA UHADIMU SEMA KWELI USIFICHE. NI TUSI
@khalidibrahim4579
@khalidibrahim4579 4 ай бұрын
Wamemuwa Hesabu kesho kiyama Dunia tunapita njia
@alimuhamed1830
@alimuhamed1830 3 жыл бұрын
Hakuna propaganda hapo makavu live inshllah allah akupe kauli thabit inshllah
@arafahassan5257
@arafahassan5257 3 жыл бұрын
Dah! Hainishi ham kuisikiliza dah! Kasema kweli maskin wakaamua kumdhulum nafsi ama kweli sema kweli japokua chungu na ndoo maana hawataki kumpa nchi seif
@yanamwisho871
@yanamwisho871 3 жыл бұрын
Huyu Mzee kwa sasa ametekwa na vikosi vya smz
@MohamedAli-en9xh
@MohamedAli-en9xh 3 жыл бұрын
Ndio mana waka muuwa kwa kusema ukweli na ndio tatzo la nchi hii uksema ukweli utapotezwa kwa namna yeyote
@mukrimkhamis678
@mukrimkhamis678 3 жыл бұрын
Sio nchi hii tu Africa nzima Sema ukweli uuliwe
@Saidykj
@Saidykj 4 жыл бұрын
Mpe ukweli huyo mbaguzi asie na fadhila (Baniani mbaya kiauti chake dawa) muelimishe mzee huyo, yeye mwenyewe mkimbizi idiot.
@saidhamad7504
@saidhamad7504 4 жыл бұрын
If ccm come to power under the shadow of lies we will remove it under the shadow of truth.. Allah bless our country and make it great again
@AA-pd4pz
@AA-pd4pz 3 жыл бұрын
Dont mix siasa na dini ..unguja itakuwa ya unguja
@arafahassan5257
@arafahassan5257 3 жыл бұрын
Subhanallah innalillah wainnailayh rrajiuun
@ahmedsaidi850
@ahmedsaidi850 4 жыл бұрын
Dah me nabaki naona tu maisha haya yani tunaowaona viongozi ndo wafki wakwanza hongera mzee nimejifunza ALLAH akubarik
@klischcafe394
@klischcafe394 3 жыл бұрын
mmesha muuwa mzee wetu amir sasa uweni historia zake.
@arafahassan5257
@arafahassan5257 3 жыл бұрын
Kabisa ndugu yangu
@gangmore9091
@gangmore9091 4 жыл бұрын
Mungu akueke mze kuelewesha wanao potosha uma kua warabu ndio wameleta utumwa n kutawala zanzibar kumbe sivo
@maulidmtowi3937
@maulidmtowi3937 4 жыл бұрын
Historia safi sana na yupo makini haswa kwel kwel👍
@kamalbashir5127
@kamalbashir5127 4 жыл бұрын
Hongera babu ameir 'waelimishe
@allykoboko1952
@allykoboko1952 27 күн бұрын
Unapewa kinaga ubaga leo
@theroots2743
@theroots2743 3 жыл бұрын
Yarabi tunakuomba ni wewe tu pasipo na mwengine wa kumuomba ilaa llah hawa walio mdhulumu huyu mzee uwape malipo yao yaanzie hapa hapa duniani na huko tunapokwenda mbele ya haki
@abdulbasteali1693
@abdulbasteali1693 3 жыл бұрын
Aaamin yaa raaabb
@LovelyBubbleTea-vz4ol
@LovelyBubbleTea-vz4ol 18 күн бұрын
MALIPO YAKO PEPO BABU
@hamadrajab8042
@hamadrajab8042 Жыл бұрын
Asante bwana mkubwa, hao hawakujui ila mie nishakuJua mbwana B H. BORA UJIFICHE IVO IVO WASHENZI HAWA HAWAUPENDI UKWELI WATAKUMALUZA
@TeamKRX
@TeamKRX 4 жыл бұрын
Duuuu hiii si ya ki toto Zanzibar kumbe wako kutudanganya warabu ukitizama warabu tele wamewaowa 🤣🤣🤣
@saadaissa2524
@saadaissa2524 3 жыл бұрын
Wote hao wameoa waarabu hana kheri
@natafutamatatizo4382
@natafutamatatizo4382 3 жыл бұрын
ALI KARUME ALIPKIMBIZWA NA BABA YAKE KWA SABABU ALIMUUA MTU KWA KUMTUPA GOROFANI, YAANI ALI KARUME NI MUUAJI NA MSHENZI SANA!
@fatmamansour2369
@fatmamansour2369 3 жыл бұрын
Ndo mana hapewi kuongeza nchi huyo muuzaji hata maisara alimuua mme kisa kakataa tu
@TeamKRX
@TeamKRX 4 жыл бұрын
Inaliza kusikia majina duuuu 😭😭😭😭😭
@ABUUALLY-j7k
@ABUUALLY-j7k Жыл бұрын
Allah akulaze mahali pema peponi hakika wewe ni shujaa wa kihistoriaa ! Hata kama watu wamecomment ujinga ila ulichoongea ni cha kweli
@ahmedalbalooshi8518
@ahmedalbalooshi8518 Жыл бұрын
Ukweli unauma kwa wengine . Hassan,kusema maalim Seif ni chotara ama hapo unaonesha dhahir kuwa hujui unachokisema
@ahmedissa7882
@ahmedissa7882 4 жыл бұрын
Asante sana mzee wangu
@ABUUALLY-j7k
@ABUUALLY-j7k Жыл бұрын
Maaa shaa Allah huyuu mzee kaongea ukweli kabisa japo kuwa watu walopandikizwa chuki wanaone ni ya uwongo ! Na kama ni ya uwongo kwanni serekali wakamtesaaa ! Kwa sababu hakutukana serekali bali kaongea kwa heshimaa na kaeleza historia ya kweli !
@jumaakida5951
@jumaakida5951 2 жыл бұрын
Jamani jamani Allah! Walipe wazanzibar kila la kheri. Mmepoteza wanazuoni wengi mno.
@alihijiiddi8977
@alihijiiddi8977 3 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 MAPESA YANAMTIYA WAZIMU NA NA ULEVI DARASA ZURI LINAMTOSHA
@111dudi
@111dudi 2 жыл бұрын
Mungu amrehem na amuingize peponi. Kayapata aliyoyapata kwa kusema kwake ukweli.
@allychale2885
@allychale2885 Жыл бұрын
Uyo Ali Karume mjinga babayake kauliwa na nyerere
@mohdkhatib223
@mohdkhatib223 2 жыл бұрын
Huyu alikufa baada ya kupigwa na kuteswa na watu wasiojulikana Zanzibar . Hawa wasiojulikana na wanaowatuma wanajua kama ipo siku ya hisabu,?
@ilyaaswambi1622
@ilyaaswambi1622 2 жыл бұрын
Sawasawa mzee Ameir, chuki kwa waarabu haina maana, sote ndugu, wangapi wamekufa baada ya uhuru, nani wauaji, si sisi wenyewe, mengi mabaya yamepita bali na mema yapo, Mungu atunusuru
@omarynassor6313
@omarynassor6313 3 жыл бұрын
Hatari sana
@machintangachibwena5922
@machintangachibwena5922 3 жыл бұрын
Ally karume pombe nyingi hana lolote
@suleimanbakar3429
@suleimanbakar3429 3 жыл бұрын
Allah atalingarisha KABURI lako mzee wetu walie kudhulumu roho yako madhalim wa ccm Allah awalaani duniani na akhera
@selwanmohmmed8792
@selwanmohmmed8792 3 жыл бұрын
Wamezoea kuua wawatu bila hatia Allah anakungojeni akulipeni kwa dhulma zenu mnazozitenda
@abiboseleman1649
@abiboseleman1649 2 жыл бұрын
Kwani nyie waarabu mnawaonaje lkn
@Visit_zanzibar
@Visit_zanzibar 3 жыл бұрын
Sheikh.Abdallah saleh Al farsy na weng tumewapoteza visiwan mwetu :yalikua ni mapinduzi ya kuondoa watu wema na wasomi!
@saudmohammed3390
@saudmohammed3390 3 жыл бұрын
Mungu amlaze pema peponi Amin Yaarabi. Tumempoteza Mzee wetu mwebye hekma na ushupavu hakujali wala hakuogopa kusema ukweli. Huyu ndiye Mzanzibari halisi Mungu akupe pepo upumzike
@masoudali9387
@masoudali9387 3 жыл бұрын
Aamiyn
@theroots2743
@theroots2743 3 жыл бұрын
Ali karume ndie muhusika wa kifo cha mzee Ameir bin sudi mikono yake inanuka damu na kuuwa kwake sio mara ya kwanza
@mohammednassor3081
@mohammednassor3081 2 жыл бұрын
Allah atakulipia mzee kwa ubaya uliofanyiwa
@samsonhaule5422
@samsonhaule5422 3 жыл бұрын
Hakuna kitu kinacho kela kama kumuona MSwahili Anajipendekeza kwa Wazungu Au Waraabu Au Wachina Au Wahindi. Pumbavu sana, lazima Waswahili tujitambue.
@pascalgiyam9476
@pascalgiyam9476 3 жыл бұрын
Mpumbavu wewe tena kafiri huwezi kuelewa mambo ya historia
@khamissaleh921
@khamissaleh921 2 жыл бұрын
Wewe mjinga sana Unajuwa maana ya mswahili labda hujui , hakuna mtu anaezungumza hii kugha asie tumia lighabya kiswahili halafu akawakataa waarabu au wazungu , kumbuka ustaarabu wa afrika hasa ya mashariki ni kutokana kuja kwa wageni wa nje na kuustarabisha hata wenyewe wanaijiita waswahili lugha wameipokea huko kwa wageni basi kama wanawakataa , watumie lugha zao za kienyeji tu , ila ukweli ni kuw waarabu ndio wastarabu hata ULAYA WALITEKA SPAIN MAIKA 800 wakawafundisha ustaarabu wazungu !
@mohammedlaabry5799
@mohammedlaabry5799 3 жыл бұрын
Kwani Ali Abeid Amani karume yeye anajikomba kwa mabwana zao Tanganyika Basi
@msakuzikondo536
@msakuzikondo536 2 жыл бұрын
Mzee kalewa pombe
@salamakhamis8092
@salamakhamis8092 3 жыл бұрын
Hakuna kitu kinachonikera kama kuwa ninahamu yakusikiliza kitu nikasikia miziki kwachini
@alihijiiddi8977
@alihijiiddi8977 3 жыл бұрын
KAOTA SHEMERE TAYARI
@meekman1805
@meekman1805 2 жыл бұрын
Kumbe ee!
@abdullahmechanical60
@abdullahmechanical60 3 жыл бұрын
Daahh!! Inasikitisha sana. Allah amrehemu.
@TeamKRX
@TeamKRX 4 жыл бұрын
Hawa uko wa karume na ukoo kumbe si wanzanzibar subhanallah mi nilisikia na mama yangu kwamba ni wakuriya 😁😁😂😂😂sasa wanakata kwao
@fahadfaraj1822
@fahadfaraj1822 3 жыл бұрын
Zanzibar kiasili wengi wahamiji so wala si jambo la kumcheka mtu hata we ukiangalia utakuta unaasili yako nje ya zanzibar
@himnajuma8463
@himnajuma8463 3 жыл бұрын
Wote hawajui uyo ulowataja mtoto xn tu uyo Ila afya yake inmtia kiburi ole wake pumzi zikimbana kwa kifo .
@issasaidmbarouk8275
@issasaidmbarouk8275 3 жыл бұрын
Innaalillahi wainaailayhi rajiun
@christophermahawi4920
@christophermahawi4920 3 жыл бұрын
Umeme wa majenereta ya mkaa wa mawe yaliletwa Zanzibar 1908 hadi 1954 yakaletwa ya mafuta ambayo mwisho wake 1980 baada ya kupitisha waya wa hydropower kutoka Tanganyika. Narekebisha tu ili msipotoshwe.
@zuheraaziz9343
@zuheraaziz9343 3 жыл бұрын
Babu ndio aliesema ukweli ndio mana wakamuuwa
@MarcoPolo-ol2lz
@MarcoPolo-ol2lz 3 жыл бұрын
Mzee anavyowapamba waarabu utafikiri watu wazuri kweli. Hawa ndio walikuwa viongozi wa utumwa zanzibar na hadi leo mataifa yao ndio ya mwisho kukomesha biashara ya utumwa. Saudi arabia hadi miaka ya 1950 kulikuwa na watumwa. Libya juzi tu baada ya mapinduzi tayari walianza kufanya biashara ya utumwa. Sielewi haya mapenzi juu ya waarabu ambayo mzee huyu anayo yanatoka wapi?
@mjakamjaka5759
@mjakamjaka5759 3 жыл бұрын
Wacha kupoteza watu wewe kwa maneno yako kusema kwamba waarab ndio walioleta utumwa Unapotea sanaa
@MarcoPolo-ol2lz
@MarcoPolo-ol2lz 3 жыл бұрын
@@mjakamjaka5759 niambie kabla hawajaja nani alikuwa anafanya biashara ya utumwa? Lakini tufanye hawajaleta je ni uongo kwamba waarabu ndio walikuwa na bado wanaendelea kuwa vinara wa watumwa duniani? Kuna ugonjwa unaitwa stockholme syndrome ndio unaowasumbua. Angalia youtube slaves in saudi arabia utaona, angalia libya utaona na maeneo mengine. Haya mapenzi yenu juu ya waarabu yanatokana na udini lakini katika akili ya kawaida sioni unaanzia wapi kuwatetea waarabu kwamba ni watu wema
@mohdkhatib223
@mohdkhatib223 2 жыл бұрын
Hata kama warabu wabaya lakini nyinyi watanganyika ni wabaya zaidi, hasa nyinyi watanganyika makafiri
@mohdkhatib223
@mohdkhatib223 2 жыл бұрын
@@MarcoPolo-ol2lz ubaya wa warabu si uzuri wa mabwana zenu wazungu walikuleteeni ukafiri wa kikristo. Soma historia mabwana zenu wazungu walikuwa wakiwachukua katika nchi za ulaya na amerika kulimishwa mashamba na wasioweza waliuliwa. Pia rejea vita vya majimaji huko kwenu Tanganyika, watanganyika wangapi waliuliwa? Warabu waliokuja Zanzibar waliitwa na wazanzibar wenyewe ili kuwaondoa washenzi wa Kireno.
@AllyMassud
@AllyMassud Жыл бұрын
wy kichogo wazania wazazibar hwakuwa watwa
@OmarMohamed-zf8dp
@OmarMohamed-zf8dp 2 жыл бұрын
mm kama huyu mzee angeli kuwa hay.ningeli muuuliza huyu saa joji morini alikuwa ni nanani hapa zanzibar napia uhuru wa mwaka 63 ambao uliitwa uhuru bandia tuliupataje na uhuru wa 64 ulipatikana vp
@nassraal-riyyami8387
@nassraal-riyyami8387 3 жыл бұрын
😭😭😭
@ibrahimsheha215
@ibrahimsheha215 4 жыл бұрын
Ali mkimbizi hajuwi ki2
@hajijuma8346
@hajijuma8346 4 жыл бұрын
Msomeshe huyo dogo!
@emmydzoo8729
@emmydzoo8729 3 жыл бұрын
Weweee mzeee ,umepagawa au
@suafaahsuafaah345
@suafaahsuafaah345 3 жыл бұрын
Achana nasis wew angalia yakwako sio ya znz
@aminaomar9675
@aminaomar9675 3 жыл бұрын
Ww kafiri nenda kwenu bara kabla hatuja kukufanya vibaya
@samsonhaule5422
@samsonhaule5422 3 жыл бұрын
@@aminaomar9675 Wee Amina Una mikwara?? Unge kuwa mke wangu tungepigana kila siku.
@samsonhaule5422
@samsonhaule5422 3 жыл бұрын
Huyu Mzee Amer bin Amer, ina onyesha Waarabu walikuwa wakimshughu likia. Maana hata sauti yake Pia mtihani.
@aviwaomar439
@aviwaomar439 3 жыл бұрын
Umlaze maaalim mzee huyu kwa kweliii 🤦🤦🤦😭😭😭
@samsonhaule5422
@samsonhaule5422 3 жыл бұрын
Mswahili yeyote Anaye mfuata Mzee Amer basi Nina Mashaka naye, Kama si Mtoto Rizki !!! basi Ni Mswahili Asiye jitambua.
@saidmaulid523
@saidmaulid523 3 жыл бұрын
Babu waelimishee
@tifumunguatamlipaaliendewa4927
@tifumunguatamlipaaliendewa4927 3 жыл бұрын
Ewe mola wahukumu wabaya wazanzibari hususan Shein na mwnyi na bollzi idi we Ali karume ww huna kitu Zanzibar wenyewe warabu kima ww
@realmadrid7823
@realmadrid7823 3 жыл бұрын
Sana
@Abdulrahman-is2di
@Abdulrahman-is2di 3 жыл бұрын
Ukwel utabakia uwe ukweli tu. Na Hasidi hana sababu. Nenda salama babu Allah akuthibitishe.
13. Mapinduzi Zanzibar
13:04
MzeeBarwani
Рет қаралды 40 М.
UHURU MAANA YAKE NI NINII? SHEIKH ABEID AMANI KARUME
5:51
Bin Seif
Рет қаралды 81 М.
А ВЫ ЛЮБИТЕ ШКОЛУ?? #shorts
00:20
Паша Осадчий
Рет қаралды 9 МЛН
Bike Vs Tricycle Fast Challenge
00:43
Russo
Рет қаралды 104 МЛН
iPhone or Chocolate??
00:16
Hungry FAM
Рет қаралды 44 МЛН
JE! ULIDANGANYWA HISTORIA YA ZANZIBAR- MANGAPWANI?
19:50
KTV TZ ONLINE
Рет қаралды 74 М.
Kisa Kizito cha Mzee aliyemnyooshea Bakora Mwalimu Nyerere
17:48
8. Kuundwa Afro Shirazi Party, Zanzibar
14:24
MzeeBarwani
Рет қаралды 21 М.
Researcher Presentation: Dr. Eleni Friligkou | Office Hours 9.22.23
43:35
All of Us Researcher Workbench
Рет қаралды 1,3 М.
Maisha ya Lawi Nangwanda Sijaona (1928 - 2005)
47:34
Mohamed Said
Рет қаралды 8 М.
SHEIKH ALI BIN MUHSIN AL BARWANI NA SIASA ZA ZANZIBAR
2:26:36
Bin Seif
Рет қаралды 78 М.