8. Kuundwa Afro Shirazi Party, Zanzibar

  Рет қаралды 20,995

MzeeBarwani

MzeeBarwani

8 жыл бұрын

Sheikh Ali Muhsin Barwani aneleza vipi Afro-Shirazi Party (ASP) imeundwa na Nyerere pamoja na wakoloni wa Kingereza. Makusudio ya kuundwa ASP ni kupinga chama cha ZNP (Hizbu).

Пікірлер: 40
@user-yy6vy4xu2s
@user-yy6vy4xu2s 4 ай бұрын
Mungu akulaze pema mzee wetu
@ussikhamisussi4882
@ussikhamisussi4882 6 жыл бұрын
Knowledge kubwa sana kwa wale walioharibiwa vichwa vyao na vitabu.
@jumasaid5215
@jumasaid5215 7 жыл бұрын
Very sad to loose this celebrity, he's brain of Zbar.
@AM-xi4sy
@AM-xi4sy 4 жыл бұрын
Nyerere alikua na chuki kubwa sana na Zanzibar
@jumaa2856
@jumaa2856 Жыл бұрын
We mzee salum uwe na heshima,u
@asrymohd6690
@asrymohd6690 4 жыл бұрын
Nimekuelewa mzee
@hajimakame1062
@hajimakame1062 4 жыл бұрын
Ndio mzee alokua hayapendi maogezi yako ni mtwana wa kibara ndoyayokua hayana uchungu ba na visiwa hivi washezi wakubwa wazungu kutoka waegreza ndo walotugawa sie watu wa visiwa vya Zanzibar na kibaraka wao nyerere na karume
@bilbenmoraes4006
@bilbenmoraes4006 5 жыл бұрын
I was born in unguja and my father worked for Ali Barwani as a tailor.
@shamsisaady4029
@shamsisaady4029 5 жыл бұрын
So which message did you intend to convey here? It seems your statement is incomplete.
@khalidkadhimuhija1708
@khalidkadhimuhija1708 3 жыл бұрын
Wow. Where are you now
@rajpatesh3631
@rajpatesh3631 8 жыл бұрын
bring more videos so zanzibar people can lean more history
@MzeeBarwani
@MzeeBarwani 8 жыл бұрын
+Raj Patesh Mpaka sasa hatuna nyengine. Tukipata tutaweka.
@MzeeBarwani
@MzeeBarwani 8 жыл бұрын
+Raj Patesh Angalia part 15 - 26 Aman Thani ankumbuka mavamizi ya Zaqnzibar.
@salummzee9739
@salummzee9739 4 жыл бұрын
Wazazi wetu mume watia mimba wakazaliwa watoto hawana baba tunajua yote Kuna Mshenzi moja anaitwa Said Saudi alikuwa na tomba bibi zetu kwa nguvu akiwa hataki ana chukuwa kwa nguvu jee mema haya mulotenda acheni utumwa km mulitawaliwa na warabu nyny Vibaraka
@hassansimbano9869
@hassansimbano9869 5 жыл бұрын
Amani thaan kwa mbali
@leblue4768
@leblue4768 2 жыл бұрын
Ivi Amani thani bado yuko hai?
@GlobalSouthObserver
@GlobalSouthObserver 3 жыл бұрын
Ufalme wa kiarabu hautorudi Zanzibar tena
@111dudi
@111dudi 2 жыл бұрын
Waarabu walikuwa ni vibaraka wa waingereza katika kuitawala Zanzibar. Wengi wao walikuwa wameoleana na waafrika. Wabantu wote ni wakuja Znz, hao wanaojiita washirazi, weusi kama wabantu. Shiraz iko Iran, mbona wao hawabaguliwi? Kasome kijana, inaonyesha hujui historia
@Kjswiftc
@Kjswiftc 8 ай бұрын
This is not arab, this is an iranian
@salummzee9739
@salummzee9739 4 жыл бұрын
Na km mshamba munadai yenu mume yapata wapi na mumekuja tu kuvamia, sio kweli ubaguz upo mwarabu haku muowa mwanamke wa kiarabu mpk leo yapo, elimu munapeana wenyewe tu,
@yussufhamad5801
@yussufhamad5801 3 жыл бұрын
Mulikua Hugo nyerere mumtiye mapanga iwe musho was fitna
@salummzee9739
@salummzee9739 4 жыл бұрын
Sasa nyinyi warabu kwani Zanzibar yenu hata museme mumepinduliwa mbona muna tuweke fitina ktk Zanzibar yetu machotara kwao
@extramoments7254
@extramoments7254 3 жыл бұрын
Wewe mwenyewe mnyamwezi wa kuja. Kaulize wazee wako watakwambia
@yanamwisho871
@yanamwisho871 3 жыл бұрын
Mbona hata wewe jina lako ni la kiarabu nakushauri ubadilishe jina
@salummzee9739
@salummzee9739 4 жыл бұрын
Sasa ww jee unatoka wapi au ndio umezaliwa nje ya ndoa mama yk ametiwa mimba ukazilowa wachani chuki hizo
@alialamoudi9729
@alialamoudi9729 2 жыл бұрын
Huyo mwanasiasa katika serekali mpumbvu hujui kitu
@muhidinali8180
@muhidinali8180 4 жыл бұрын
Kama huna la kuchangia usiitewatu washenzi hawa sisi niwazeewetu wametoamchango mkubwasana
@UNO-xt7we
@UNO-xt7we 4 жыл бұрын
Mchango wa kuuwa watu ? Wewe muislamu kweli lakini
@ladislausngoyinde4384
@ladislausngoyinde4384 6 жыл бұрын
wanshenzi wakubwa mmetunyanyasa sana
@shamsisaady4029
@shamsisaady4029 5 жыл бұрын
Ulikuwepo wakati mnanyanyaswa?
@lenniefei6710
@lenniefei6710 4 жыл бұрын
Kunyanyaswa na kipi?!
@khamissaleh921
@khamissaleh921 4 жыл бұрын
Ladislaus Ngoyinde mbona huwleweki nani kanyanyaswa kwani wewe ulinyanyaswa na nani zanzibar tuone
@masoudmasoud8138
@masoudmasoud8138 4 жыл бұрын
Msenge tu wewe nani aliekunyanyasa weeee
@ladislausngoyinde4384
@ladislausngoyinde4384 4 жыл бұрын
@@masoudmasoud8138 mnatumia kila njia kufcha ukwel lkn hamtaweza
9. Chuki Zinapaliliwa Zanzibar
9:21
MzeeBarwani
Рет қаралды 10 М.
13. Mapinduzi Zanzibar
13:04
MzeeBarwani
Рет қаралды 39 М.
MISS CIRCLE STUDENTS BULLY ME!
00:12
Andreas Eskander
Рет қаралды 16 МЛН
HOTUBA YA WAZIRI MKUU MOHAMMED SHAMTE UN
15:16
Bin Seif
Рет қаралды 21 М.
Je, Mwambao Uliuzwa?! - Makala ya Pili.
15:45
Stambuli wa Sh. Abdillahi Nassir
Рет қаралды 10 М.
Napenda Hii Sehemu ya Kauli ya Mwalimu Julius Nyerere.
1:37
DMM Visual Channel
Рет қаралды 88 М.
Selected Originals - Princess In Zanzibar (1956)
6:32
British Pathé
Рет қаралды 26 М.
12. Serikali ya Madaraka Mpaka Uhuru
11:42
MzeeBarwani
Рет қаралды 6 М.
15. Aman Thani: Yalomkuta Saleh Sadalla
16:23
Hilmi Hilal 259
Рет қаралды 1,1 М.
"BADO TUNAENDELEZA SERA YA AFRO-SHIRAZ PARTY" BALOZI SEIF ALI IDDI
2:05
#Miaka43YaCCM: Historia ya Chama cha Mapinduzi tangu kilipoanzishwa 1977
2:02
10. Uchaguzi 1957 mpaka June 1961
14:10
MzeeBarwani
Рет қаралды 7 М.