13. Mapinduzi Zanzibar

  Рет қаралды 39,752

MzeeBarwani

MzeeBarwani

Күн бұрын

Description

Пікірлер: 42
@suadbarwani4117
@suadbarwani4117 Жыл бұрын
Maskini Unguja yetu imekaliwà kwa Uwaduwi tangu hapo źamani mpaka leo, Hasbiya Llah,
@mohammedmbarouk7711
@mohammedmbarouk7711 3 жыл бұрын
Mmefukuza muarabu mtatawaliwa na watanganyika mpaka kiama
@msakuzikondo536
@msakuzikondo536 2 жыл бұрын
Afadhari mtanganyika.Alhamdulillah
@jimj8285
@jimj8285 2 жыл бұрын
@@msakuzikondo536 mkundu WEWEEE!!!!
@salumsalum7057
@salumsalum7057 Жыл бұрын
@@msakuzikondo536 kweli bora mtanganyika ndio mana nchi inadidimia chini kwa umaskini na ufukara tulipo taaliwa na muarabu kwanza kulikua hakuna ubaguzi pili zanzibar ilikua inatajika katika nchi zakitajiri duniani zanzibar ilikuemo, soma historia.
@alialamoudi9729
@alialamoudi9729 Жыл бұрын
Sio waarbu ni wazaliwa zanzibari NA mababu wao walizaliwa zanzibari ni wananchi tu sultani mama yake ni mwafrika wazanzibari walishajitenga NA oman toka zamani ikawa omani peke yake NA zanzibari peke yake sio serekali moja tena Hapo ungereza imepata zanzibari uhuru kamili hapo 63 baada ya hapo ikapangwa uvamizi kutoka tanganika kwa ungozi ya okelo NA mjeshi kutamka tanga NA karume NA nyerere NA wangereza ikatekwa nchi nzima chini ya utawala wa nyerere NA nchi ikapotea wazanzibari wenye damu ya kiyarabu hawakuja watu wabaya ni waaslamu
@user-nv7jg6xc8l
@user-nv7jg6xc8l 6 ай бұрын
Me naona uzanzibar ulikua mbele tu lakin kikubwa tatzo ilikua ni uislam sababu hta kafiri nyelele kwenye moja ya hutuba alisema uzanzibar na uislamu. Pia Kafiri William lukuvi moja ya clip aliwah kusema uislam Zanzibar ni tishio kwa hyo ni dhulma juu ya uislam
@hajimakame1062
@hajimakame1062 4 жыл бұрын
Muegereza na mmarekani wote maduwi wakubwa was visiwa hivj
@masoudmasoud8138
@masoudmasoud8138 4 жыл бұрын
Kabisa kabisa wallai
@alialamoudi9729
@alialamoudi9729 2 жыл бұрын
Ipo siku zanzibari ltakuwa dola peke yake inatambuliwa katika umoja wa mataifa NA mtafaidi mapato wenu maana watu kidogo NA mapatp nyingi itakua kama vile dubai
@mansabrawahy2701
@mansabrawahy2701 Жыл бұрын
@@alialamoudi9729 siku ya kiama
@user-sp5mq1vh5v
@user-sp5mq1vh5v 8 ай бұрын
Heee lazima tujue kwa nn wazanzibar watiwe jela ya dodoma
@benedictmrisho2361
@benedictmrisho2361 2 жыл бұрын
Hayo yote Mungu alisimamia na yakaenda vizuri Sasa tujenge taifa lenye umoja upendo na mshikamano tusibaguane. Sote ni waja wa Mwenyezi Mungu.
@AnnoyedDivingBoard-ep1wf
@AnnoyedDivingBoard-ep1wf 8 ай бұрын
Kaka unahekma Allah akuongoze Ila bado hicho unachokitaka hakijapangwa Kwa upande wa tanganyika
@binzubeirnasheed4088
@binzubeirnasheed4088 3 жыл бұрын
Yaani wazanzibar tumefanyiwa hasadi na waingereza wakishirikiana na ndugu zetu watanganyika, nawatu kutoka mataifa mengine ya Africa.. kwa kweli ina sikitisha sana ila Zanzibar itakuja kupata mamlaka yake lkn ni muda mrefu utakuwa ushapita huwenda mimi na wewe tukawa hatupo.tena duniani
@mussammsaji1110
@mussammsaji1110 4 ай бұрын
Lakn mjilaumu wenyewe maana mlichokifanya ezizile mungu mwenyewe ndio ajuae
@gamerabossb1777
@gamerabossb1777 Жыл бұрын
What happened to Muhammed Shamte Hamdi?
@khamissalum9285
@khamissalum9285 4 жыл бұрын
Ukoloni uko saivi zanzbar
@hajiameir8688
@hajiameir8688 Жыл бұрын
Mungu mkubwa huyo karume nae yuko wapi msaliti mkubwa na uchu wa madaraka
@adamdango
@adamdango 3 жыл бұрын
Mbona hajaendelea baada ya mapinduzi
@EshaHamd-ed9yv
@EshaHamd-ed9yv 8 ай бұрын
Wewe mshenzi wacha kumzuilia Marehemu katika Mambo haya je kama ni baba yako ungalifurahia mpaka leo bado unao uchungu na maiti lol umezidi
@binzubeirnasheed4088
@binzubeirnasheed4088 3 жыл бұрын
Hivi visiwa ni vya waarabu na mvumbuzi ni muarabu
@jumakapilima5674
@jumakapilima5674 3 жыл бұрын
Umerogwa!
@rastafare878
@rastafare878 2 жыл бұрын
Ni kweli lakini wasioupenda uislamu walifanya Kila mbinu mpaka Sasa hivi wanaendelea tena Kwa kutumia nguvu , Inshallah Mola mueza wa yote atainyoosha Zanzibar Na kuikomboa
@jamesmbata8542
@jamesmbata8542 2 жыл бұрын
Mpumbavu mkubwa ww
@rastafare878
@rastafare878 2 жыл бұрын
@@jamesmbata8542 hata ukituita wapumbavu ukweli utabaki kuwa ukweli tu , kutukana au kutamka maneno machafu sio kama inaondosha ukweli , la pili ya Zanzibar hayakuhusu shughulikia ya kwenu Tanganyika
@malikajohnson8897
@malikajohnson8897 2 жыл бұрын
@@jamesmbata8542 unaumia nini ni Zanzibar ni ya Wazanzibari? Wenyewe hawaoni shida ya waarabu. Siye Watanganyika ndo tunakunywa panadol kwa maumivu ya jirani. Mi naona Zanzibar iko huru kutawaliwa au kushirikiana na wamtakaye. Na najua hawatutaki Watanganyika tuwatawale. Sijui kwanini tunawalazimisha. 🙄. Tuwaache huru ubaki ujirani mwema.
@godisgreat1845
@godisgreat1845 4 жыл бұрын
Hakuna yeyote katika hizbu a lijua kuwa kuna mapinduzi Leo
@salummzee9739
@salummzee9739 4 жыл бұрын
Leo kweli nimeamini seifu sheriff ana tumiwa warabu ili alete mapenduz zanzibr dhidi wana Afroshiraz ss watu weusi mapinduz daimaa mbele
@salummzee9739
@salummzee9739 3 жыл бұрын
Ina kuwaje aseme karume ni mtwana ww na mm na ww ndio watwana kwaio tosha warabu wabaya wana ubaguz na watu weus istoshe km wana tupendi anagaliya tunapo kwenda uarabu kutafuta maisha watu dhalilisha kufiria dada zetu na wanaume kuwasi ume yote yanatendwa huko jee mwarabu sio mtu mwema mtu walitaka kumuwa hao
@jumaalhamid5242
@jumaalhamid5242 3 жыл бұрын
Ungelikuw muunguj kweli ungejua ukweli kaa n ujing wako karume kaf kw kuchukuw make w mtu c kw sababu y siasa hakun ubarak
@jumakapilima5674
@jumakapilima5674 3 жыл бұрын
Ulikuwa hujui?
@user-mq6lu2po3y
@user-mq6lu2po3y 2 жыл бұрын
Acha ujinga you hujijui uendako Wala utendalo munatiwa sumu na kuamini tuh pole
@user-mq6lu2po3y
@user-mq6lu2po3y 2 жыл бұрын
Sasa tuone wao waliokua siyo waarbu ambao makafiri waendelee kukutawala ikisha kamjibu mungu Ivo ivo mtume saw alikua muarabu up uislam umefikaje Zanzibar bila ya waarbu Basi saivi ndo tunatawaliwa na so muwatakao na muendelezo wa makanisa unaendelea uyo sefu sharifu si kashakufa Tena hemu muacheni tafuteni mwengine
10. Uchaguzi 1957 mpaka June 1961
14:10
MzeeBarwani
Рет қаралды 7 М.
❌Разве такое возможно? #story
01:00
Кэри Найс
Рет қаралды 6 МЛН
PEDRO PEDRO INSIDEOUT
00:10
MOOMOO STUDIO [무무 스튜디오]
Рет қаралды 25 МЛН
20. Amani Thani: Kutoka gerezani 1967
13:31
Hilmi Hilal 259
Рет қаралды 1,9 М.
BABA WA TAIFA ALIILILIA TANZANIA KABLA YAKUKATA ROHO.
21:57
Wasafi Media
Рет қаралды 1,8 МЛН
17 Yalomkuta Saleh Sadalla
16:08
MzeeBarwani
Рет қаралды 33 М.
KILICHOTOKEA SIKU YA KUUWAWA RAIS ABEID KARUME/RISASI ZILIPIGWA BALAA
13:30
SHUJAA BILA GWANDA: Mtangazaji Mohammed Suleiman 'Tall' wa Zanzibar
43:15
Gumzo la Ghassani
Рет қаралды 12 М.
10  Jela 1969
10:05
MzeeBarwani
Рет қаралды 14 М.
KUMBUKUMBU ZA MZEE AMAN THANI AKIELEZEA ALICHOKIONA NA YALIOMFIKA
2:33:49
22 Maovu ya Mapinduzi
12:26
MzeeBarwani
Рет қаралды 47 М.