ACHANA na Urais Miaka 9 Utakuwa Umezeeka, Hata Mimi Niliutaka Sasa Hivi Sitaki Tena samia anatosha

  Рет қаралды 29,883

Taifa Digital

Taifa Digital

Күн бұрын

Пікірлер: 28
@mzeesuliman3158
@mzeesuliman3158 2 жыл бұрын
Nchi haiwezi mafisadi majamba wanakusifia lakini watanzania Awakutaki
@zachariamalley7076
@zachariamalley7076 2 жыл бұрын
Yeye amekuwa waziri mama ndo anazaliwa. Lkn mpaka wajukuu wamemndoa kwa nguvu bado alienda mahakamani. Mama mpaka 2030 💪💪💪🤝
@benedictmrisho5947
@benedictmrisho5947 2 жыл бұрын
Kweli Mh Rais umeikumbuka Mara kwa namna ya pekee. Weka wasimamizi wazuri ktk miradi ili azma yako itimie.
@petermponzi411
@petermponzi411 2 жыл бұрын
Mzee unashemsha . Akuna anayekuhunga mkono
@japhetdaudmaneno8440
@japhetdaudmaneno8440 2 жыл бұрын
Hapo mtu ajiongeze mwenyewe 🤔🤔🥺🙆 hayo ndiyo majibu
@mbogomgoma4886
@mbogomgoma4886 2 жыл бұрын
Mzee wangu umeongea vizuri sana boss wangu wa zamani
@ameedamilja7992
@ameedamilja7992 2 жыл бұрын
Huyu mzee alikuwa mbunge huko Bunda miaka nenda rudi ila Bunda haikuwahi kuwa Na maji safi.
@abuuramadhan8093
@abuuramadhan8093 Жыл бұрын
Tunahitaji Hospital ya rufaa ya Kanda ya kaskazin
@ukwelimchungu183
@ukwelimchungu183 2 жыл бұрын
Mzee wasira uko sawa
@ramadhanmgaya1984
@ramadhanmgaya1984 2 жыл бұрын
2025 Samia apumzike. Mitano makamu na mitano urais tosha kabisa.
@lightnesselirehema1464
@lightnesselirehema1464 2 жыл бұрын
Haitoshi!
@kaguripenina63
@kaguripenina63 2 жыл бұрын
Mzee umeongea kweli
@barackhussein312
@barackhussein312 2 жыл бұрын
Jambo la Mamaaaaa, Jambo letuuuuuuuuu
@j.c.maxima816
@j.c.maxima816 2 жыл бұрын
Alipoooo, tupoooooooooo!
@hamisfreshy6631
@hamisfreshy6631 2 жыл бұрын
Achana na urais kweli aliyoyafanya JPM we umeyafanya TZ tunauchung
@pauloanthony9876
@pauloanthony9876 2 жыл бұрын
Dah mnasifia sana
@bictonykeraryo3900
@bictonykeraryo3900 2 жыл бұрын
Wasira, wasira, wasira, hongeleni kwa kumkumbusha hilo, maana alikuwa amelisahau kidogo, kwamba sasa hivi ana miaka 65 + 9 = 74, rais yupi wa tanzania aliyestafu akiwa na miaka 74?. Kwa kuwa ni mama, atakuwa anabebwa kwenye kiti kile cha ufalme wa kijerumani!!.
@zachariamalley7076
@zachariamalley7076 2 жыл бұрын
Tarakimu siyo sahihi na nia potoshi. Mama umri wake 61 amezaliwa 1960. Yuko ndani ya 62. Katiba ya Tanzania Haina zuio la umri wa juu kuwa Rais. Wasira hajielewi tu, ana ghubu, alikuwa na umri gani mwaka 2015? Mbona alikuwa anawania kipindi hicho? Kesi na Bulaya kwa nafasi ya ubunge ilikuwa ya nini? Yule ni mjukuuu wake. Miyo mibaya huwa na akili mbaya na kutoaa kauli tata.
@mngwaliallykizangwa5888
@mngwaliallykizangwa5888 2 жыл бұрын
Hawa ndiyo hazina ya nchi,heko wasira.
@mako331
@mako331 2 жыл бұрын
Hawa ndio watu walikaa madarakani miaka nenda rudi lakini hamna kitu hata kimoja kama Taifa tunaweza kusema tutamkumbuka kwalo
@mdmachungu7424
@mdmachungu7424 2 жыл бұрын
Magufuli alisema wengine wakifika Hilo wanasahau walikotoka hivi walifuzu mtihani wa JPM wakulinda na kusimamia sijui maamuzi yako mikononi mwa wananchi
@denicemathias6879
@denicemathias6879 2 жыл бұрын
Haumjuwi chenye una sema hatuwesi kuongo swa na mwanamke
@erastofrancis4231
@erastofrancis4231 2 жыл бұрын
waziri wa enzi za mwalim
@charlessjackson4559
@charlessjackson4559 2 жыл бұрын
Wasira kasema ukweli wa mungu harisi na ndivyo mioyo ya watanzania wengi, wanavyowaza kuwa aachie mwingine
@charlesmpemba9387
@charlesmpemba9387 2 жыл бұрын
Wasira ndio watu waliorudisha maendeleo nyuma.rais kawachana live
@winniemartin7647
@winniemartin7647 2 жыл бұрын
Hey,,,!! Yamekua hayo?
@samwelemuniezi7524
@samwelemuniezi7524 2 жыл бұрын
Hawa wazee hawana lolote mama fanya Kazi bado raisi wetu tunakutegemea kwa mengi
@samwelemuniezi7524
@samwelemuniezi7524 2 жыл бұрын
Hawa kufanya lolote kwenye Uongoz wao walishibisha matumbi yao tu
大家都拉出了什么#小丑 #shorts
00:35
好人小丑
Рет қаралды 85 МЛН
Cute
00:16
Oyuncak Avı
Рет қаралды 6 МЛН
Incredible Dog Rescues Kittens from Bus - Inspiring Story #shorts
00:18
Fabiosa Best Lifehacks
Рет қаралды 39 МЛН
Running With Bigger And Bigger Feastables
00:17
MrBeast
Рет қаралды 213 МЛН
RAIS DKT. MAGUFULI AWASIMAMISHA TBA KUJENGA NYUMBA ZA MAGEREZA UKONGA
3:00
HUYU NI MHE JOHN POMBE MAGUFULI 14 Nov 2013
13:38
Ikulu Tanzania
Рет қаралды 286 М.
How to win a argument
9:28
ajaxkmr
Рет қаралды 526 М.
大家都拉出了什么#小丑 #shorts
00:35
好人小丑
Рет қаралды 85 МЛН