Nchi haiwezi mafisadi majamba wanakusifia lakini watanzania Awakutaki
@zachariamalley70762 жыл бұрын
Yeye amekuwa waziri mama ndo anazaliwa. Lkn mpaka wajukuu wamemndoa kwa nguvu bado alienda mahakamani. Mama mpaka 2030 💪💪💪🤝
@benedictmrisho59472 жыл бұрын
Kweli Mh Rais umeikumbuka Mara kwa namna ya pekee. Weka wasimamizi wazuri ktk miradi ili azma yako itimie.
@petermponzi4112 жыл бұрын
Mzee unashemsha . Akuna anayekuhunga mkono
@japhetdaudmaneno84402 жыл бұрын
Hapo mtu ajiongeze mwenyewe 🤔🤔🥺🙆 hayo ndiyo majibu
@mbogomgoma48862 жыл бұрын
Mzee wangu umeongea vizuri sana boss wangu wa zamani
@ameedamilja79922 жыл бұрын
Huyu mzee alikuwa mbunge huko Bunda miaka nenda rudi ila Bunda haikuwahi kuwa Na maji safi.
@abuuramadhan8093 Жыл бұрын
Tunahitaji Hospital ya rufaa ya Kanda ya kaskazin
@ukwelimchungu1832 жыл бұрын
Mzee wasira uko sawa
@ramadhanmgaya19842 жыл бұрын
2025 Samia apumzike. Mitano makamu na mitano urais tosha kabisa.
@lightnesselirehema14642 жыл бұрын
Haitoshi!
@kaguripenina632 жыл бұрын
Mzee umeongea kweli
@barackhussein3122 жыл бұрын
Jambo la Mamaaaaa, Jambo letuuuuuuuuu
@j.c.maxima8162 жыл бұрын
Alipoooo, tupoooooooooo!
@hamisfreshy66312 жыл бұрын
Achana na urais kweli aliyoyafanya JPM we umeyafanya TZ tunauchung
@pauloanthony98762 жыл бұрын
Dah mnasifia sana
@bictonykeraryo39002 жыл бұрын
Wasira, wasira, wasira, hongeleni kwa kumkumbusha hilo, maana alikuwa amelisahau kidogo, kwamba sasa hivi ana miaka 65 + 9 = 74, rais yupi wa tanzania aliyestafu akiwa na miaka 74?. Kwa kuwa ni mama, atakuwa anabebwa kwenye kiti kile cha ufalme wa kijerumani!!.
@zachariamalley70762 жыл бұрын
Tarakimu siyo sahihi na nia potoshi. Mama umri wake 61 amezaliwa 1960. Yuko ndani ya 62. Katiba ya Tanzania Haina zuio la umri wa juu kuwa Rais. Wasira hajielewi tu, ana ghubu, alikuwa na umri gani mwaka 2015? Mbona alikuwa anawania kipindi hicho? Kesi na Bulaya kwa nafasi ya ubunge ilikuwa ya nini? Yule ni mjukuuu wake. Miyo mibaya huwa na akili mbaya na kutoaa kauli tata.
@mngwaliallykizangwa58882 жыл бұрын
Hawa ndiyo hazina ya nchi,heko wasira.
@mako3312 жыл бұрын
Hawa ndio watu walikaa madarakani miaka nenda rudi lakini hamna kitu hata kimoja kama Taifa tunaweza kusema tutamkumbuka kwalo
@mdmachungu74242 жыл бұрын
Magufuli alisema wengine wakifika Hilo wanasahau walikotoka hivi walifuzu mtihani wa JPM wakulinda na kusimamia sijui maamuzi yako mikononi mwa wananchi
@denicemathias68792 жыл бұрын
Haumjuwi chenye una sema hatuwesi kuongo swa na mwanamke
@erastofrancis42312 жыл бұрын
waziri wa enzi za mwalim
@charlessjackson45592 жыл бұрын
Wasira kasema ukweli wa mungu harisi na ndivyo mioyo ya watanzania wengi, wanavyowaza kuwa aachie mwingine
@charlesmpemba93872 жыл бұрын
Wasira ndio watu waliorudisha maendeleo nyuma.rais kawachana live
@winniemartin76472 жыл бұрын
Hey,,,!! Yamekua hayo?
@samwelemuniezi75242 жыл бұрын
Hawa wazee hawana lolote mama fanya Kazi bado raisi wetu tunakutegemea kwa mengi
@samwelemuniezi75242 жыл бұрын
Hawa kufanya lolote kwenye Uongoz wao walishibisha matumbi yao tu