ONYO KUHUSU TATOO/MUHIMBILI YATOA ANGALIZO ULAJI WA HOVYO Usisahau ku"SUBSCRIBE" KZbin channel yetu kwa videos nyinginezo #zamaraditv #mambonimengi
Пікірлер: 24
@Juddy10177 ай бұрын
Thank you doctors, asante sana
@hanifamziray2777 ай бұрын
Asante kwa ushauri doct
@nantaembanusurupia56747 ай бұрын
Kwa matusi yenu professor ataacha kutupa madini ni mtu mzima nadhani hajisikii vizuri kwa hizi lugha zetu😢
@TALLUBOY7 ай бұрын
Mzee janabi good profashinal
@epimackoscar25Ай бұрын
Mimi nikuombe dokta wakati unatumbia tupunguze misosi utueleweshe na namna ya kudhibiti madonda ya tumbo
@ChristerShao7 ай бұрын
Kama upendi ushauri wa Prof.Janabi husisikilize,.
@henricamikambi61477 күн бұрын
Zamani tulidhani kula Milo mingi ndo unakuwa na afya Bora. Kumbe Milo michache ndo afya!
@WakwetuTz-g7i4 күн бұрын
Doctor ulaji wa miwa nao una madhara gani?.
@nantaembanusurupia56747 ай бұрын
Asante dk.
@SalluJohn-gy8lc6 ай бұрын
Dr naomba matibabu ya maungio ya goti, nyonga,bega,na shingo
@pepenelimited26276 ай бұрын
Unywe chai mwili useme umekula? Alafu uendelee na kazi,ipi? Magogo ya tanesco hutasukuma. 😂😂😂
@LeonardMakenya6 ай бұрын
Vzr!
@rupiaraaj16747 ай бұрын
Kwahiyo bwana Prof inawezekana akawa anakunya mara chache zaidi.
@sarahoden13447 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@rosemuna55697 ай бұрын
Hahhahha wew hebu Acha utan rafik angu tutanyimwa kupewa madin sasa ila umenichekesha
@godsson59547 ай бұрын
na mashaka na afya ya akili
@HhhTt-vl9ct7 ай бұрын
Kwaiyo na uprofessa wako woote ukizingatia jina la kiislam na unaunga mkono tattoo ila tu vifaa viwe safi. Dah. Professa MAVI
@ahz69077 ай бұрын
Huyo hajaajiriwa na hospitali ya kiislamu anajibu kama mwajiriwa wa serikali na sio kiongozi wa dini au mwakilishi wa waislam.😊 Masheikh wanatosha kukumbusha hayo mambo ya dhambi unayotaka...mwache janabi afanye yanayomuhusu!
@agriparose39427 ай бұрын
Kwani huyu kaajiriwa hospital kwa ajili taasisi ya uislam au anaongelea kitabibu
@farajambagale93737 ай бұрын
Nataka kujua kwani watu wanashauri kutumia vitu vya sukari kama hujala kitu
@mataypanga52623 ай бұрын
Mimi nadhani mtu akila mchanganyiko wa vyakula hakuna tatizo la afya. Tatizo letu wengi hatuna uwezo wa kuwa na vya aina tofauti na wachache wenye pesa nao wanakula sana na kuwa na vitambi.Pengine pamoja na pesa zao hawali vyakula bora😂
@xyz-v6dАй бұрын
Mwili hupata energy/nguvu kupitia.1.Wanga 2.Mafuta.3 protini Chaguo la kwanza la mwili kupata nguvu ni kupitia wanga kwa sababu umengenywaji wake ni rahisi kuliko mafuta au protini. Wanga zipo aina 3. Ya kwanza primary saccharides kama glucose. Ya pili ni secondary saccharides kama sukari ya mezani na ya tatu ni tertiary saccharides kama viazi au miogo au ugali. Kundi la kwanza hufionzwa moja kwa moja kuipa mwili nguvu ndii maana wengine huwekewa drip ya glucose,inakwemda moja kwa moja,haimengenywi,ya pili hutumia mda kidogo sana kumwngenywa,ili iwe glucose ambayo ndio "sukari' ya damu. Kundi la tatu inachukuwa mda sana kumengenywa ili iwe glucose. Kwa hiyo ukiwa una njaa sanaa,mwili huna nguvu basi unatumia sukari au vitu vywa sukari
@kitonekantasha16877 ай бұрын
❤
@PhilibetLadislaus7 ай бұрын
Profesa ilishindwa kuhojiana na vyombo vya habari kuwa m-wazi kwa Taifa juu ya vifo kwa wakubwa fulani kama tulivyoona mahojiano na vyombo vya habari katika tukio la kifo cha waziri mkuu mstaafu wa Japan katika kampeni zake.Kwa uprofesa wako tungepata taarifa zilizo sahihi kabla na baada ya umauti.Sijui tatizo hilo na mashaka ya namna hiyo watanzania twambie kwa kujifunza