ONYO KUHUSU TATOO/MUHIMBILI YATOA ANGALIZO ULAJI WA HOVYO

  Рет қаралды 11,127

ZamaradiTV

ZamaradiTV

Күн бұрын

ONYO KUHUSU TATOO/MUHIMBILI YATOA ANGALIZO ULAJI WA HOVYO
Usisahau ku"SUBSCRIBE" KZbin channel yetu kwa videos nyinginezo
#zamaraditv #mambonimengi

Пікірлер: 24
@Juddy1017
@Juddy1017 7 ай бұрын
Thank you doctors, asante sana
@hanifamziray277
@hanifamziray277 7 ай бұрын
Asante kwa ushauri doct
@nantaembanusurupia5674
@nantaembanusurupia5674 7 ай бұрын
Kwa matusi yenu professor ataacha kutupa madini ni mtu mzima nadhani hajisikii vizuri kwa hizi lugha zetu😢
@TALLUBOY
@TALLUBOY 7 ай бұрын
Mzee janabi good profashinal
@epimackoscar25
@epimackoscar25 Ай бұрын
Mimi nikuombe dokta wakati unatumbia tupunguze misosi utueleweshe na namna ya kudhibiti madonda ya tumbo
@ChristerShao
@ChristerShao 7 ай бұрын
Kama upendi ushauri wa Prof.Janabi husisikilize,.
@henricamikambi6147
@henricamikambi6147 7 күн бұрын
Zamani tulidhani kula Milo mingi ndo unakuwa na afya Bora. Kumbe Milo michache ndo afya!
@WakwetuTz-g7i
@WakwetuTz-g7i 4 күн бұрын
Doctor ulaji wa miwa nao una madhara gani?.
@nantaembanusurupia5674
@nantaembanusurupia5674 7 ай бұрын
Asante dk.
@SalluJohn-gy8lc
@SalluJohn-gy8lc 6 ай бұрын
Dr naomba matibabu ya maungio ya goti, nyonga,bega,na shingo
@pepenelimited2627
@pepenelimited2627 6 ай бұрын
Unywe chai mwili useme umekula? Alafu uendelee na kazi,ipi? Magogo ya tanesco hutasukuma. 😂😂😂
@LeonardMakenya
@LeonardMakenya 6 ай бұрын
Vzr!
@rupiaraaj1674
@rupiaraaj1674 7 ай бұрын
Kwahiyo bwana Prof inawezekana akawa anakunya mara chache zaidi.
@sarahoden1344
@sarahoden1344 7 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@rosemuna5569
@rosemuna5569 7 ай бұрын
Hahhahha wew hebu Acha utan rafik angu tutanyimwa kupewa madin sasa ila umenichekesha
@godsson5954
@godsson5954 7 ай бұрын
na mashaka na afya ya akili
@HhhTt-vl9ct
@HhhTt-vl9ct 7 ай бұрын
Kwaiyo na uprofessa wako woote ukizingatia jina la kiislam na unaunga mkono tattoo ila tu vifaa viwe safi. Dah. Professa MAVI
@ahz6907
@ahz6907 7 ай бұрын
Huyo hajaajiriwa na hospitali ya kiislamu anajibu kama mwajiriwa wa serikali na sio kiongozi wa dini au mwakilishi wa waislam.😊 Masheikh wanatosha kukumbusha hayo mambo ya dhambi unayotaka...mwache janabi afanye yanayomuhusu!
@agriparose3942
@agriparose3942 7 ай бұрын
Kwani huyu kaajiriwa hospital kwa ajili taasisi ya uislam au anaongelea kitabibu
@farajambagale9373
@farajambagale9373 7 ай бұрын
Nataka kujua kwani watu wanashauri kutumia vitu vya sukari kama hujala kitu
@mataypanga5262
@mataypanga5262 3 ай бұрын
Mimi nadhani mtu akila mchanganyiko wa vyakula hakuna tatizo la afya. Tatizo letu wengi hatuna uwezo wa kuwa na vya aina tofauti na wachache wenye pesa nao wanakula sana na kuwa na vitambi.Pengine pamoja na pesa zao hawali vyakula bora😂
@xyz-v6d
@xyz-v6d Ай бұрын
Mwili hupata energy/nguvu kupitia.1.Wanga 2.Mafuta.3 protini Chaguo la kwanza la mwili kupata nguvu ni kupitia wanga kwa sababu umengenywaji wake ni rahisi kuliko mafuta au protini. Wanga zipo aina 3. Ya kwanza primary saccharides kama glucose. Ya pili ni secondary saccharides kama sukari ya mezani na ya tatu ni tertiary saccharides kama viazi au miogo au ugali. Kundi la kwanza hufionzwa moja kwa moja kuipa mwili nguvu ndii maana wengine huwekewa drip ya glucose,inakwemda moja kwa moja,haimengenywi,ya pili hutumia mda kidogo sana kumwngenywa,ili iwe glucose ambayo ndio "sukari' ya damu. Kundi la tatu inachukuwa mda sana kumengenywa ili iwe glucose. Kwa hiyo ukiwa una njaa sanaa,mwili huna nguvu basi unatumia sukari au vitu vywa sukari
@kitonekantasha1687
@kitonekantasha1687 7 ай бұрын
@PhilibetLadislaus
@PhilibetLadislaus 7 ай бұрын
Profesa ilishindwa kuhojiana na vyombo vya habari kuwa m-wazi kwa Taifa juu ya vifo kwa wakubwa fulani kama tulivyoona mahojiano na vyombo vya habari katika tukio la kifo cha waziri mkuu mstaafu wa Japan katika kampeni zake.Kwa uprofesa wako tungepata taarifa zilizo sahihi kabla na baada ya umauti.Sijui tatizo hilo na mashaka ya namna hiyo watanzania twambie kwa kujifunza
Inside Out 2: ENVY & DISGUST STOLE JOY's DRINKS!!
00:32
AnythingAlexia
Рет қаралды 16 МЛН
Running With Bigger And Bigger Lunchlys
00:18
MrBeast
Рет қаралды 126 МЛН
Don't look down on anyone#devil  #lilith  #funny  #shorts
00:12
Devil Lilith
Рет қаралды 28 МЛН
Офицер, я всё объясню
01:00
История одного вокалиста
Рет қаралды 6 МЛН
AfyaKona: Mwarobaini wa magonjwa yasiyoambukiza || Epuka kufanya haya
15:54
DKT. JANABI AFAFANUA JUU YA OPARESHENI YA VIPARA
45:31
Mjini FM
Рет қаралды 10 М.
Zamaradi Mketema aonesha video ya mjengo mpya anaoporomosha
2:44
Simulizi Na Sauti
Рет қаралды 10 М.
Inside Out 2: ENVY & DISGUST STOLE JOY's DRINKS!!
00:32
AnythingAlexia
Рет қаралды 16 МЛН