AFYA: SABABU 10 ZITAKAZOFANYA FIGO ZAKO KUFA-JANABI

  Рет қаралды 134,901

Mchumi Digital

Mchumi Digital

Күн бұрын

Пікірлер: 166
@karimambosanga4290
@karimambosanga4290 Ай бұрын
Hongera doctor nashauri zile TV pale hospitali hasa muhimbili sehemu ya kusubiri huduma,ziwe zinaonyesha vipindi hivi mara kwa mara kuelimisha jamii
@joshuakimambo2765
@joshuakimambo2765 16 күн бұрын
Nashauri LATRA Waelekeze wenye mabasi watuwekee hizi podcast tuwapo safarini.
@JacksonJoseph-v7w
@JacksonJoseph-v7w 6 күн бұрын
Sahihi kabisa 🤝
@makkamadinnah9586
@makkamadinnah9586 5 күн бұрын
Umenena vema sana
@UpendoEliya-i7l
@UpendoEliya-i7l 27 күн бұрын
VISABABISHI VYA UGONJWA WA FIGO: 1. High Blood Pressure 2. Kusukari - Kutokunywa maji ya kutosha, - Chumvi nyingi 3. Dawa za kupunguza maumivu 4. Pombe nyingi 5. Maziezi yaliyopitiluza, 6. Dawa za kulevya, 7. Vyakula vyenye sukari, 8. Sigara 9. Kutopata usingizi wa kutosha 10. Ulaji nyama nyekundu kwa wingi.
@hadijaismail3619
@hadijaismail3619 25 күн бұрын
Excellent✔️💯
@vanessadhenge4319
@vanessadhenge4319 6 күн бұрын
Very important information Doc
@OscerShop
@OscerShop 7 ай бұрын
Mh. Rais uyu Prof. Janab anatakiwa ikikupendeza awe Waziri wa Afya atatusaidia Sana kwakua anauwezo mkubwa.
@josephmasanja8584
@josephmasanja8584 7 ай бұрын
Una hakika gani kuwa elimu hiyo inatoka kwake? Maana yawezekana anatafsiri toka mitandaoni tuu???
@josephmasanja8584
@josephmasanja8584 7 ай бұрын
Una hakika gani kuwa elimu hiyo inatoka kwake? Maana yawezekana anatafsiri toka mitandaoni tuu??? Na uwaziri sio maelezo tuu, ni utendaji kazi hasa, sio blaablaa za kina Riziwani!!!
@upendoeliya9329
@upendoeliya9329 7 ай бұрын
​@@josephmasanja8584😂😂😂
@rayisadesigns2646
@rayisadesigns2646 7 ай бұрын
​@@josephmasanja8584 chuki itakuuwa wewe. Huyo sio dokta wako Ndodi wa tiba za asili anayegoogle au mpiga ramli na manyanga wa pale kijijini kwenu, huyo ni profesa wa afya ya mwanadamu. Ni daktari bingwa na ameshahudumu kama daktari binafsi wa raisi. Kwa sasa ndiye anayesimamia uangalizi wa afya za watanzania wote kama mkurugenzi mtendaji wa hospitali ya taifa ya Muhimbili. afya za watanzania zipo chini yake... uprofesa wake sio wa kupachikwa, kakaa darasani akasoma, bwege wewe!!
@awatifalghanim1106
@awatifalghanim1106 7 ай бұрын
⁠@@josephmasanja8584Madaktari wote Duniani kama yeye ndio wanasema hayo hayo hata Madaktari wa China, India na Wazungu kwa jumla na hata wa Africa 😂😂😂 lakini nyiye wa Bongo lazima muwaponde Viongozi wenu wote. Sababu ya upungufu wa Elimu. Mambo ya ajabu kweli.
@osmundmtavangu
@osmundmtavangu 8 ай бұрын
Kazi nzuri Prof ,acha kuwasikiliza akina Msukuma wasiojua hata kuchora picha ya moyo.
@margarethsaumu5602
@margarethsaumu5602 20 күн бұрын
Asante sana Dr Janabi kwa kutuelimisha. Binafsi nitazingatia ushauri wako, kwani kinga ni bora kuliko tiba.
@zamilmohammed2297
@zamilmohammed2297 4 күн бұрын
Asante doctor
@najatakajumulo9292
@najatakajumulo9292 10 күн бұрын
Asante sana Dk. Mi huwa nakuelewa sana, Mungu akubariki.
@eleonorashirima1604
@eleonorashirima1604 11 күн бұрын
Asante dr mungu akupe maisha mareeeeeef
@HanifaOman-oo4pl
@HanifaOman-oo4pl 7 ай бұрын
Subuhanallah. Mtihani haya maladhi
@Anithasinga
@Anithasinga 7 ай бұрын
Nimeanza kunywa maji kwa wingi. Thanks doctor
@awatifalghanim1106
@awatifalghanim1106 7 ай бұрын
👍 Maji ni muhimu kwenye kila kitu kilichokuwa hai.
@lusajomwaipopo5042
@lusajomwaipopo5042 Ай бұрын
Lakini ukizidisha kuliko mahitaji ya mwili wako italeta shida pia
@annaniasamuelmgawe1698
@annaniasamuelmgawe1698 Ай бұрын
Elimu unayoitoa Dr. Janabi ni ya muhimu kwa umma kwa sababu itapunguza cases za haya magonjwa. Mungu akulinde akupe maisha marefu professor wetu.
@paulbahinda8867
@paulbahinda8867 22 күн бұрын
Dd😊😊&
@Mapenzi2635
@Mapenzi2635 7 ай бұрын
Asante sana, Prof. Janabi.
@KoleYasini
@KoleYasini 7 ай бұрын
Kweli kabisa akiwa waziri atapoteza ufanisi wake.
@hosseinmaina2444
@hosseinmaina2444 7 ай бұрын
Prof Mungu akusaidie uishi miaka mingi unatuelimisha sana
@mariamagdalena-bulegi4630
@mariamagdalena-bulegi4630 Ай бұрын
Asante sana Dr.M/Mungu akupe maisha marefu,endelea kuelimisha watu kwa karama uliyojaliwa na Mungu.
@AminaMkumba-u3z
@AminaMkumba-u3z 26 күн бұрын
Asante Upendo Kwa kumsaidia Dr kupanga maneno haliyopanga❤❤
@ramseyngwejela499
@ramseyngwejela499 7 ай бұрын
Magonjwa mengi kwa binadamu karibu asilimia 80 hutokana na mfumo wa vyakula. Kwa maana hii 1. Kula vyakula au vitu ambavyo havifai ktk mwili. 2. Kula vitu ambavyo si vyakula au vinywaji halisi. m.f. soda na juice bandia. 3. Tabia mbaya ya kula chakula wakati hauna njaa, yaani kula kwa kufuata saa. Kula chakula wakati mwili hauhitaji kula. Huu mfumo wa tabia hii ndio vyanzo vya magonjwa mengi ktk mwili wa mwanadamu.
@julianadaudi8541
@julianadaudi8541 7 ай бұрын
Asante kwa Somo zuri
@salumissa3200
@salumissa3200 7 ай бұрын
allah bless you prof. Janabi
@gulistanepanjetani2736
@gulistanepanjetani2736 29 күн бұрын
Thank you. Dr. We appreciate your lectures❤
@CarolineLyimo
@CarolineLyimo 23 күн бұрын
Nafurahia sana kwa wewe Mungu akulinde Dr
@yohanambilinyi5856
@yohanambilinyi5856 28 күн бұрын
Ubarikiwe doctor. Tunakuombea utendaji mwema na uliotukuka.
@JudyUrio-zy7ri
@JudyUrio-zy7ri 7 ай бұрын
Asante professor
@ChristinaDaud-g5t
@ChristinaDaud-g5t 22 күн бұрын
Congrats md
@AminaMkumba-u3z
@AminaMkumba-u3z 26 күн бұрын
Asante sana Dr Janab❤❤🪴🙏🙏👆🏂
@remidusmwanandenje-yy5gs
@remidusmwanandenje-yy5gs 23 күн бұрын
🤚🙏🙏 doctor kazi nzuli🇹🇿💚 mhexhimiwa Rais wangu mama ninaombi kwako kama mxaada naomba mxaada wako mama unipige kampani niezeke 2 pagala langu na mungu atakubaliki🙇🤚🙏🙏
@zara.smithwick
@zara.smithwick 17 күн бұрын
Very well expounded. I'd love to be a his student in medical field
@BaigonMacha
@BaigonMacha 26 күн бұрын
Mungu akulinde professor
@ChristerKoku
@ChristerKoku 7 ай бұрын
Wslevi wanted pombe na vilivi vyote ni wabishi mno.Tumsikilize sana Pr.Nyanabi.elimu anayoitoa tukiifuata ni uponyaji
@pettermollel2531
@pettermollel2531 Ай бұрын
Crear lesson doctor.., thanks 🙏
@fredyjhosephkapesula7267
@fredyjhosephkapesula7267 Ай бұрын
Nashkuru sana Dr,janabi
@FestoTall
@FestoTall 24 күн бұрын
Niliteseka sana na huu ugonjwa nimekunywa dawa hizi nyingi hazikunisaidia gharama nyingi. Ila nashukuru nilipata tiba sahihi nimepona 🙏
@veronicakhalid
@veronicakhalid 23 күн бұрын
MUNGU mwema.
@FestoTall
@FestoTall 23 күн бұрын
Amn
@stahairathabibu3522
@stahairathabibu3522 23 күн бұрын
​@@FestoTall tiba ipi hiyo
@Wami-Sababisho
@Wami-Sababisho 21 күн бұрын
Tuambiane hiyo tiba mkuu
@FestoTall
@FestoTall 21 күн бұрын
@stahairathabibu3522 mm nlitumia dawa za asl kutoka kwa doctor wa tiba mbadalla
@HamisMghuna-fj3vz
@HamisMghuna-fj3vz 7 ай бұрын
Mashaaalah,janabi
@BashirubakariSalala-b1g
@BashirubakariSalala-b1g Ай бұрын
Doctor 💊💊 upo vizuri sana
@veronicaroden3004
@veronicaroden3004 15 күн бұрын
Asante
@patrinraura1397
@patrinraura1397 Ай бұрын
Dr Janabi Heri na Christmass na Mwaka mpya. Tunashukuru sana kwa hii Elimu kwa Umma ni nadra kuipata na unaokoa watu wengi Tunaomba uendelee kutoa Elimu "Kuzuia ni Bora kuliko tiba MUNGU akubariki"❤
@bahatimwakalukwa5445
@bahatimwakalukwa5445 Ай бұрын
Asante sana
@husseinyusuph5333
@husseinyusuph5333 7 күн бұрын
Good huyu mzee unaweza muelewa vizuri kwa vitendo maana hata mwili wake unaonyesha anayafanyia kazi asemayo ila niliwahi kutana na mtu anauza dawa za kutoa kitambi lakini yeye anafurushi la tumbo nikasema hakuna dawa hapa😂😂
@hawahamza1085
@hawahamza1085 2 күн бұрын
😂😂😂😂😂❤
@MonicaBenitomwalongo
@MonicaBenitomwalongo 7 ай бұрын
Mungu akulaliki
@agnesspaul1866
@agnesspaul1866 Ай бұрын
❤❤❤Muñgu akubariki nakula Sana udongo nifanyaje ili niache
@justicebridge
@justicebridge Ай бұрын
Thanks Dr.
@salumntulo1589
@salumntulo1589 25 күн бұрын
Mungu akutunze sanda baba muddy
@JoyceHaule-o8c
@JoyceHaule-o8c Ай бұрын
Ahsante sana
@gracekagoma3231
@gracekagoma3231 7 ай бұрын
ALIPWE MSHAHARA MZURI 🎉❤
@SuleymanSaid-ch1yh
@SuleymanSaid-ch1yh 7 ай бұрын
Nakuba
@medisonburianraismakufurip7591
@medisonburianraismakufurip7591 Ай бұрын
mungu akujarie
@aminaomary5567
@aminaomary5567 7 ай бұрын
Kazi nzuri Dr. Kwa elimu❤❤❤🎉🎉
@MaryFrancis-h1d
@MaryFrancis-h1d 16 күн бұрын
Dr umsema kuwa unatakiwa kunywa maji lita 3 naje. Mbona unakojoa marakwa mara je. Cyo mbaya?
@lovenessnguma8725
@lovenessnguma8725 15 күн бұрын
Unapo kunywa maji mengi kwanza hauruhusu magonjwa kama UTI kuwepo naunapo kunywa maji ni tofauti na pombe pia figo ndio linalochuja taka mwili uwomkojo, maji ni muhimu sana itasaidia figo yako kuwa salama zaidi
@AlfredIbrahim-h9f
@AlfredIbrahim-h9f 22 күн бұрын
Huyu doctor namuelewa sanaaa
@ModestussMashalloh
@ModestussMashalloh 10 күн бұрын
Apo kweny pombe kali hz konyagi mbna zitatuwa dodoma kila duka kuna mpimo duu namim sasa 😊
@lucasmsemwa1909
@lucasmsemwa1909 24 күн бұрын
Tafadhali janabi usijihusishe na siasa watu wasiolitakia mema taifa hili watakupoteza.....tunakuhitaji sana doctor
@hosseinmaina2444
@hosseinmaina2444 26 күн бұрын
Profesa Janabi Mwenyezimungu akupe Afya njema na maisha marefu kwani elimu inayotoa haijawahi kutolewa na Dr.yeyote
@gracekagoma3231
@gracekagoma3231 7 ай бұрын
@clvestartanzania2024
@clvestartanzania2024 24 күн бұрын
Apo kwenye mazoezi nimekuelewa Dr.janabi tuko pa1 mzee wangu
@YohanaJohn-g7v
@YohanaJohn-g7v 22 күн бұрын
Mwamba huyu ndie waziri wa afya mbona mmemuacha uyu mwamba janabi
@CHRISTOPHERDENIS-p6s
@CHRISTOPHERDENIS-p6s 13 күн бұрын
Mazoezi kidogo tu..kajasho kakitoka kidogo,inatosha
@mgongolwajoseph6901
@mgongolwajoseph6901 10 күн бұрын
Tokanilivo kuona unakula nyama arusha sikyamini mm tena
@shamsahaji6202
@shamsahaji6202 7 ай бұрын
Dokta sema unywaji wa pombe haufai kabisa waambie kweli iwe kidog owe nyingi .anaetaka achukue asietaka aendelee kunywa tu atakuona mbele huko alichokitafuta..
@nasirmohamed1589
@nasirmohamed1589 7 ай бұрын
Hahaha kweli kabisa mkojo wa ibilisi haufai uwe mdogo uwe mwingi
@annaniasamuelmgawe1698
@annaniasamuelmgawe1698 Ай бұрын
Ni kweli kabisa pombe haifai, naona professor kaogopa kuharibu biashara za watu.
@AllySarumbo
@AllySarumbo 25 күн бұрын
We usinywe pombe kafanye mazoezi sana ukipate
@anithasemwano8276
@anithasemwano8276 23 күн бұрын
Mimi situmii pombe lakini Prof. haya mambo hayafundishi kidini anafundisha kisayansi ,anajua umuhimu wa pomne ikitumiwa vyema
@estakapufi7582
@estakapufi7582 7 ай бұрын
Ilitakiwa achaguliwe ndio awe waziri wa afya atatusaidia sana.
@nathanmalangalila9791
@nathanmalangalila9791 7 ай бұрын
Uwaziri ni nafasi ya kiutwala,yy anafaa kuwa kwenye uwanja wa mapambano kama hivi anavyofanya.
@masakamgalla9273
@masakamgalla9273 26 күн бұрын
Kule atasukumwa na siasa
@fainesKigahe
@fainesKigahe 25 күн бұрын
Kwakweli pia tukumbuke mambo ya siasa ni hobi ya mtu
@ChristerKoku
@ChristerKoku 7 ай бұрын
Msukuma anafikiri kila kitu ni siasa.pia .Tuliotayari kusikiliza tufuate maelekezo
@Bonifacemagus
@Bonifacemagus 20 күн бұрын
Yaaan kilasababu inayotajwa, najikuta 😅
@ramadhanimtetu3656
@ramadhanimtetu3656 18 күн бұрын
HAPO KWENYE MAJI NDIO KIPENGELE MIMI LITA MOJA KUNYWA NI SHIDA
@KiagoBakari
@KiagoBakari 7 ай бұрын
Prof wakupe tu wizara ya afya iliudhibiti vizuri eneolote la afya
@kheriakida3309
@kheriakida3309 7 ай бұрын
Hapa ndipo wabongo tunapokosea, hawa ma professor, hawatakiwi kuwa wanasiasa wabaki kuwa wataalamu na washauri, bahati mbaya sana hatuwatumii kwa sababu tunadhani watakwamisha deal zetu, ukimpeleka kwenye siasa huyu utamchukia hawezi sema kitaalamu tena, wako ma professor wengi wameangamia baada kupewa uwaziri
@awatifalghanim1106
@awatifalghanim1106 7 ай бұрын
@@kheriakida3309Lakini kuna wana wa Siasa ni Wachochezi wa BAYA.
@DaudFataki
@DaudFataki Ай бұрын
Unaijua hii nnchi wewe akiamua raisi kuvunja balaza anakuwa waziri wamifugo au tamadun
@RoseShauri
@RoseShauri 7 ай бұрын
Nimekuelewa msomo Mungu akubariki sana bila nyie tuta kwama
@awatifalghanim1106
@awatifalghanim1106 7 ай бұрын
Asante kwa kumsupport Doctor wenu. Dr. Anakutakiyeni afya nzuri.
@spsammy2731
@spsammy2731 9 күн бұрын
Na sisi tunaokunywa maji mengi afu kila mda tunakimbia kukojoa kla mda tunafanyadehydration
@farajanmwambasi4164
@farajanmwambasi4164 Ай бұрын
Hapo namba 4 changamoto😅
@hadijaismail3619
@hadijaismail3619 25 күн бұрын
Hamna hata changamoto ni kuamua tuu ndugu kinga ni bora kuliko tiba dialysis x 1ni shs 150,000 kwa wk ufanye x 3, shs 450,000 kwa maisha gani tuliyonayo?
@chrismassawe2939
@chrismassawe2939 Ай бұрын
Nyama ndo tunakula mpaka mbichi na maisha yanaendelea
@Abuu-gs1yi
@Abuu-gs1yi Ай бұрын
Endelea
@justinemathias9871
@justinemathias9871 25 күн бұрын
Iyu muongo tunywe pombe ndugu zangu
@khamiskhamis2131
@khamiskhamis2131 23 күн бұрын
Kunywa kwa faida yako yeye ameshauri tyu hajakataza
@AsiaAa-w5m
@AsiaAa-w5m Ай бұрын
Tunatakiwa ile kipande cha nyama kwa week maramoja
@lovenessnguma8725
@lovenessnguma8725 15 күн бұрын
Naisiwe nyamachoma
@TharcissCiza
@TharcissCiza 26 күн бұрын
Mimi nashauri tupime TB watanzania wote,sielewe hayo mengine...
@kibasamohamedi8029
@kibasamohamedi8029 7 ай бұрын
Dah somo zuri, ili niweze kuepukana na matatizo! Hapo kwenye maji mimi inaweza pita hata wiki sijanywa maji
@josephmasanja8584
@josephmasanja8584 7 ай бұрын
Kunywa pombe sio dhambi, dhambi ni matendo yako baada ya kunywa pombe, sio wote wana matendo mabaya baada ya kunywa pombe
@josephmasanja8584
@josephmasanja8584 7 ай бұрын
Kunywa pombe sio dhambi, dhambi ni matendo yako baada ya kunywa pombe, sio wote wana matendo mabaya baada ya kunywa pombe
@josephmasanja8584
@josephmasanja8584 7 ай бұрын
Kunywa pombe sio dhambi, dhambi ni matendo yako baada ya kunywa pombe, sio wote wana matendo mabaya baada ya kunywa pombe
@HanifaOman-oo4pl
@HanifaOman-oo4pl 7 ай бұрын
Zambi. Kunywa pombe​@@josephmasanja8584
@BonnyMwajombe-iu7hb
@BonnyMwajombe-iu7hb 4 ай бұрын
Hunwick maji wee inaonyesha ni hammada chapombe
@nzegeatv6355
@nzegeatv6355 23 күн бұрын
Apo penye nyama janab utuache
@lovenessnguma8725
@lovenessnguma8725 15 күн бұрын
Usipo tumia chakula kama dawa utakuja kutumia dawa kama chakula ni vyema kuchukua hatua mapema.
@VeronicaMalongo
@VeronicaMalongo 7 ай бұрын
I wish to understand if alcohol consumption is inherently likely to lead to kidney failure or if it's the resultant dehydration that leads to kidney disease? If the latter is the case, can we consume alcohol safely by consuming water too?
@DavidMutiba-hr3vo
@DavidMutiba-hr3vo 7 ай бұрын
Why not leave alcohol altogether, it's not food but a drug.If it risks your kidinies then it is poisonous and worth avoiding .
@IdrisaTuppa
@IdrisaTuppa Ай бұрын
Na Wale Wanaokunywa Cret Zima La Bia Itakuwaje Sasa😱
@NYANGHWALETV
@NYANGHWALETV 7 ай бұрын
YAANI ANAFAA SANA, WATU WANAFANIKIWA SANA KUPITIA VIDEO HIZI KAMA MAONI YA WATU WENGINE ANATAKIWA APEWE KIPINDI MAALUM KILA WIKI KWENYE CHANNEL ZOTE TZ KWA MUDA TOFAUTI ITASAIDIA SANA...
@josephmatinde5051
@josephmatinde5051 28 күн бұрын
Mbna hizi sifa zote jamaa angu anazo
@hadijaismail3619
@hadijaismail3619 25 күн бұрын
Mwana kulitafuta mwana kulipata subiri mwisho wa picha utaona
@ACLESSJABRINE
@ACLESSJABRINE Ай бұрын
Ulaji wa nyama kupitiliza ni kilo ngapi kwa siku
@abuumuhammad7133
@abuumuhammad7133 Ай бұрын
Ndio Mjue.Rais wetu anaakii nyingi na ana shaurika na washauri wake amempa nafasi yakuwa mshauti wake wa Afya Nchini na pia anampeleka kugombania nafasi ya Ukurugenzi wa.WHO Africa
@benedictokaniki2115
@benedictokaniki2115 13 күн бұрын
Profesa hakika unautendea haki usomi wako acha wanaopuuza haya waje muhimbili watoboe mifuko yao ya fedha
@ngilini_og
@ngilini_og 16 күн бұрын
kzbin.info/www/bejne/ZovOmWpqZtitoacsi=u4UpXZqnDMdoDL-D
@TelesforMwacha
@TelesforMwacha 25 күн бұрын
Hivi utumbo ni nyama nyekundu au nyeupe?
@stanleymissiontv2303
@stanleymissiontv2303 25 күн бұрын
Duuuuh ata kitimoto nyeupe mzee
@robbyman6213
@robbyman6213 Ай бұрын
Ulaji wa nyama tuwaachie basi WAHADZABE.
@hadijaismail3619
@hadijaismail3619 25 күн бұрын
😅😅😅 kweli,
@MussaMmaeda
@MussaMmaeda Ай бұрын
Cc tunafaidika nae,,wewe kama humuelew achana nae ,nendeni kwa madokta wenu uchwara
@deusswai3310
@deusswai3310 7 ай бұрын
Kwa ma saa 24 mtu anatakiwa alale ma saa ma ngapi
@BonnyMwajombe-iu7hb
@BonnyMwajombe-iu7hb 4 ай бұрын
Masaa 8
@lovenessnguma8725
@lovenessnguma8725 15 күн бұрын
Yasiyo pungua masaa nane
@OthnoShezume
@OthnoShezume 7 ай бұрын
Kusafisha figa ni kias ndugu
@azizlife8674
@azizlife8674 Ай бұрын
900k per week kaka Kwa mwezi ni mil 3.6
@hadijaismail3619
@hadijaismail3619 25 күн бұрын
​@azizlife867😔😔😔 kinga ni bora kuliko tiba hakuna kinachoshindikana hata km mtu ni mlevi mbwa akiamua kuacha inawezekana
@emmanuelmwambiaji8515
@emmanuelmwambiaji8515 26 күн бұрын
Mfano mtu anakunywa maji kiasi lakini anakojoa mkojo mweupe tu, Na anafanya mazoezi kiasi na kutoka jasho lenye chumvi chumvi kwa mbali au wakati mwingine jasho halina ile hali ya chumvi chumvi hapo kuna shida yoyote.?.? Kwako Professor....
@lovenessnguma8725
@lovenessnguma8725 15 күн бұрын
Ongera kama kweli kwakua umejiepusha na magonjwa yasiyo yakuambukiza
@emmanuelmwambiaji8515
@emmanuelmwambiaji8515 13 күн бұрын
Amina sana Tuzidi Kijiepusha na mazingira hatarishi ambayo yatatuweka kwenye hatari ya haya magonjwa​@@lovenessnguma8725
@EstermsuyaMsuya
@EstermsuyaMsuya Ай бұрын
@NYANGHWALETV
@NYANGHWALETV 7 ай бұрын
YAANI ANAFAA SANA, WATU WANAFANIKIWA SANA KUPITIA VIDEO HIZI KAMA MAONI YA WATU WENGINE ANATAKIWA APEWE KIPINDI MAALUM KILA WIKI KWENYE CHANNEL ZOTE TZ KWA MUDA TOFAUTI ITASAIDIA SANA...
When you have a very capricious child 😂😘👍
00:16
Like Asiya
Рет қаралды 18 МЛН
Леон киллер и Оля Полякова 😹
00:42
Канал Смеха
Рет қаралды 4,7 МЛН
小丑教训坏蛋 #小丑 #天使 #shorts
00:49
好人小丑
Рет қаралды 54 МЛН
DKT. JANABI KAPIGA TENA, WAPENDA SODA WAFIKIWA, AWAONYA !!
4:15
Wasafi Media
Рет қаралды 18 М.
HII NI TIBA YA AJABU,HAWATAKI UJUE- DR. MTANGO
19:51
MAHUBIRI TV
Рет қаралды 48 М.
When you have a very capricious child 😂😘👍
00:16
Like Asiya
Рет қаралды 18 МЛН