HII NI TIBA YA AJABU,HAWATAKI UJUE- DR. MTANGO

  Рет қаралды 49,358

MAHUBIRI TV

MAHUBIRI TV

Күн бұрын

Пікірлер: 60
@joycewafula935
@joycewafula935 8 ай бұрын
Waaaah,!!! Hilo papay limezaa matunda mengi sana, 🤔 barikiwa Dr mtumishi wa mwenyesi MUNGU 🙏
@GraceKahoko
@GraceKahoko 8 ай бұрын
Ubarikiwe kwa kutufuza namna ya kutumia papai kama dawa wacha Mungu akupe ufunuo zaidi.
@felisterpaul1815
@felisterpaul1815 7 ай бұрын
asante saana pr mungu aendelee kukutunza
@RehemaSalum-vp6rf
@RehemaSalum-vp6rf 8 ай бұрын
Mungu akupe Afya njema na umri marefu baba etu ... Asante kwa mafunzo
@Janetmoraa-t8f
@Janetmoraa-t8f 8 ай бұрын
Wow asante sana kwa dawa Mungu akupaliki
@felixmagulu6142
@felixmagulu6142 8 ай бұрын
Asante sana dokta kwa elimu unayotoa,Mungu ametupatia kila kitu lakini tunakosa tu maarifa ya kuvitumia
@nyotasuleiman3464
@nyotasuleiman3464 8 ай бұрын
Ubarikiwe sana mtumishi Kwa mafunzo mazuri
@maseaJoe8676
@maseaJoe8676 8 ай бұрын
Asante daktari
@billian1914
@billian1914 8 ай бұрын
Asante sana nimependa sana shamba lako na somo juu ya papaya.
@FridahMarete-jn8dv
@FridahMarete-jn8dv 8 ай бұрын
Pokea salamu nyingi Baba Barikiwa sana
@farajmanuar3589
@farajmanuar3589 8 ай бұрын
Somo zuri,mbarikiwe mahubiri tv.
@erickmillanzi4391
@erickmillanzi4391 8 ай бұрын
Asante mwl wàngu Mungu akubariki sana.
@LydiaNasimiyu-h1n
@LydiaNasimiyu-h1n 8 ай бұрын
Asante sana barikiwa sanaaaana
@fidelfidel-jz4iw
@fidelfidel-jz4iw 8 ай бұрын
Asante mwl kwa somo lakini hiyo Idea ya kupanda mpapai moja ni mawazo ya zamani lazima watu wapande mengi ili wasio limama wapate siutauza hilo ni somo pia ubalikiwe
@ebengapierre8826
@ebengapierre8826 8 ай бұрын
asante sn nakufata kutoka kongo 🇨🇩
@AnethiRuziga
@AnethiRuziga 17 күн бұрын
Ili utusaidiye
@hajatihajati5357
@hajatihajati5357 8 ай бұрын
Doctor Asante ila dawa ya pumu haukueleza matumizi yake ulisema kama umedanganika ni ugonjwa mwengine
@victorianchimbi8640
@victorianchimbi8640 8 ай бұрын
Naomba matumizi ya papai kwa ugonjwa wa pumu
@ambonisefesto1416
@ambonisefesto1416 8 ай бұрын
Vidonda vya tumbo nisumbufu kwangu
@lucyomido8271
@lucyomido8271 8 ай бұрын
Pressure inatibiwa vipi kutumia papai?
@AnethiRuziga
@AnethiRuziga 17 күн бұрын
Dr tunahitaji nomber yasimu
@beattymakula4998
@beattymakula4998 8 ай бұрын
Naomba namba yako dr. Mtangoo nipo US nahitaji ushauri wako tafadhali
@miriammkama9310
@miriammkama9310 8 ай бұрын
Barikiwa sana Dr samahani naomba namba
@hamisramadhan-eb3ie
@hamisramadhan-eb3ie 8 ай бұрын
Papai nidawasana
@roseeuphrase3853
@roseeuphrase3853 15 күн бұрын
Je wewe ni Dr. Mtango aliyekuwa anafanya kazi Mhimbili hospital
@Mary-vc6mo
@Mary-vc6mo 8 ай бұрын
Please naoba dawa ya kumaliza kishukali kwa mwili
@OlipaMsemwa
@OlipaMsemwa 8 ай бұрын
Naomba namba Yako unifundishe Jinsi ya kutumia hilo papai Kwa tatizo la sukari na presha
@kamulikamuli530
@kamulikamuli530 8 ай бұрын
Dr, nimekuelewa pale pa kutumia mvinyo kutibu maradhi ya moyo. Hivyo waweza kunywa mvinyo kama dawa
@mwonjirubeatrice5991
@mwonjirubeatrice5991 8 ай бұрын
Sijaelewa kwa mkojo
@queenesther.7222
@queenesther.7222 8 ай бұрын
Chunusi ni nini?
@GAM.1st
@GAM.1st 8 ай бұрын
Kristo wa neema yote, naomba kuuliza namna ya kutibu vidonda vya tumbo kwa kutumia papai
@alzawahirabdallah2299
@alzawahirabdallah2299 8 ай бұрын
Nenda hospital utakufa bure kwa kuwasikiliza hao mapasta
@MahubiriPrMmbaga
@MahubiriPrMmbaga 8 ай бұрын
@alzawahirabdallah2299 Pole sana! Anaye ongea hapo sio Pastor ni Professor ambae ni Mwalim wa madaktari
@GAM.1st
@GAM.1st 8 ай бұрын
@@alzawahirabdallah2299 hatua ya kwanza kuu katika ukuaji ni kujitambua jiulize kabla hauja comment kwenye community unahisi hapa tupo kubashiri juu ya afya zetu wakati vipimo tunavyo .. Mungu akurehemu huna amri ya kuhukumu usichokijua yakupasa ujifunze ..📌
@farhannahomary5505
@farhannahomary5505 8 ай бұрын
Nipe no zako nikueleze utanishukuru
@samsonplatson2136
@samsonplatson2136 8 ай бұрын
@@alzawahirabdallah2299 nimetumia dawa za vidonda vya tumbo hospital mwaka wa pili huu sjapona kwa hio ni bora tuwaskilize
@mamaziada134
@mamaziada134 8 ай бұрын
Dawa ya hiv ukimwi ipo??
@mtashophilipo6213
@mtashophilipo6213 8 ай бұрын
Nina changamoto ya kupata maumivu kama kuwaka moto upande wa kushoto wa tumbo... Naomba msaada tafadhali
@pazomc3393
@pazomc3393 8 ай бұрын
Sory unatatizo la vidonda vya tumbo, pamba na hilo
@rachel.amenimaumbuka2370
@rachel.amenimaumbuka2370 8 ай бұрын
Nasaidie kujua namna ya kutumia papai
@DevothaNyelo
@DevothaNyelo 8 ай бұрын
Hiyo tiba ya malaria sugu unakunywa kwa muda gani? Naomba na namba utanisaidia kwa mengi .
@annastaziamsechu1966
@annastaziamsechu1966 8 ай бұрын
Vidonda vya tumbo unatibuje hapo
@wkimunya
@wkimunya 8 ай бұрын
Mimi Nauliza dawa ya kutibu Harufu mbaya kutoka mdomoni
@angelamturi2207
@angelamturi2207 8 ай бұрын
Nenda clinic za meno, wanasafisha meno
@jesusfirstchurch4162
@jesusfirstchurch4162 8 ай бұрын
Uwe unasafisha ulimi pia kwa mswaki ikiendelea kunywa dawa ya kusafisha tumbo Kuna uchafu unaganda kwenye ukuta wa utumbo
@wkimunya
@wkimunya 8 ай бұрын
I want traditional meds as I have tried all medication . So I want that what will clean the stomach
@rabanmoses5423
@rabanmoses5423 8 ай бұрын
Barikiwa sana mtumushi wa Baba
@gracekagoma3231
@gracekagoma3231 8 ай бұрын
Cocacola ,soda inaleta dehydration ni kweli
@mchikirwambombeyagonja4311
@mchikirwambombeyagonja4311 8 ай бұрын
Hiyo malaria sugu unainywa mara ngapi
@gracekagoma3231
@gracekagoma3231 8 ай бұрын
Kimunya ndugu yangu dawa ya kuondoa harufu mbaya mdomoni ni kumuona mganga wa meno na kuondoa mabakia ya chakula kutoka kwenye meno kwa kutumia njiti maalumu kwani hata ukisugua meno kuna vipande vya chakula vinabakia katikati ya meno na kuoza hivyo kunuka😮.
@danielbarasam7725
@danielbarasam7725 8 ай бұрын
Tumia maji mengi
@jofreykilangila4118
@jofreykilangila4118 8 ай бұрын
Mbinguni ni wapi? Mzee
@rosendanshau2674
@rosendanshau2674 8 ай бұрын
Kweli unanishangaza hujui mbinguni soma kitabu cha ufunuo kuanzia 20 mpaka mwisho.
@josephlorri431
@josephlorri431 8 ай бұрын
Kuna Dr mtango alinifundisha research methodology miaka zaidi 15.. ndo huyu?? Ila wamefanana sana
@MahubiriPrMmbaga
@MahubiriPrMmbaga 8 ай бұрын
Ni yeye
@ebengapierre8826
@ebengapierre8826 8 ай бұрын
Nime kupata vizuri docta papai inatibu saratani namunagani ?
@priscillalaibon5503
@priscillalaibon5503 8 ай бұрын
Give notes and mobile number sir
JOEL NANAUKA - MUDA SAHIHI WA KUKAA KIMYA
8:09
Joel Nanauka
Рет қаралды 118 М.
MTINDO WA MAISHA - MAZOEA YAKO YANAATHIRI MAISHA YAKO | DR. HESPERANCE KILONZO
19:29
黑天使只对C罗有感觉#short #angel #clown
00:39
Super Beauty team
Рет қаралды 36 МЛН
When you have a very capricious child 😂😘👍
00:16
Like Asiya
Рет қаралды 18 МЛН
小丑教训坏蛋 #小丑 #天使 #shorts
00:49
好人小丑
Рет қаралды 54 МЛН
KUMUELEWA MWANAMKE NA KUMUELEWA MWANAMKE- PR. DAVID MMBAGA
58:37
MAHUBIRI TV
Рет қаралды 17 М.
FANYA HIVI TATIZO LAKO LINAPOJIRUDIA
44:54
Apostle Mtalemwa Bushiri
Рет қаралды 82 М.
SIRI YA MAFANIKIO YA YOSHUA FINAL
57:30
MAHUBIRI TV
Рет қаралды 13 М.
Kila Jambo Jema Huanzia  Kwenye Ubaya | Morning Philosophy | Rev. Dr. Eliona Kimaro
10:48
KANUNI HII ITAKULINDA KILA UENDAPO - PR DAVID MMBAGA
1:02:15
MAHUBIRI TV
Рет қаралды 36 М.
DHAMBI ISIYOSAMEHEKA NI IPI?(OFFICIAL VIDEO)
58:54
MAHUBIRI TV
Рет қаралды 164 М.
SIRI YA MAOMBI YA USIKU WA MANANE - Innocent Morris
1:06:15
Holy Spirit Connect
Рет қаралды 100 М.
黑天使只对C罗有感觉#short #angel #clown
00:39
Super Beauty team
Рет қаралды 36 МЛН