Ubarikiwe sana kaka Joel hata mimi kuna majira nilipita peke yangu lakini hayo mazingira yalinifundisha sana kujenga uwezo wa kujisimamia mpaka leo sjawahi kurudi nyuma
@flemingrwela1933 ай бұрын
Asante Sana nimejifunza kitu kikubwa Sana
@calvinsway53093 ай бұрын
Nimepata kitu hapa.
@SimonyMsigwa3 ай бұрын
Nashukulu kukujua umenibadili maisha yangu kwa kiasi kikubwa sana mungu akupe maisha malefu
@ShadrackMabera2 ай бұрын
Ubarikiwe kaka Joel
@salimmuhamed77312 ай бұрын
Ubarikiwe mwalimu nimekusoma umenipa mwanga
@Madmomy62662 ай бұрын
Nimejifunza kujitegemae mm mwenyewe na kuacha kutegemea watu.
@Alex-wq4pg3 ай бұрын
Nashukuru Sana kwa mafunzo...lakini kunawakati mtu nakosa kabisa sio ati nikupenda ni kukosa nafasi kabisa kunawakati na kataa tamaa kabisa
@OmallyMbwana3 ай бұрын
Mungu akubariki sana kaka hakika msimamiz wa maisha yetu ni sisi wenyewe.
@NeemaMrema-vq7kb3 ай бұрын
Mwenye Mungu akubariki sana Mr.Joel kwakwel nimejifunza kitu kikubwa kupitia story yako naami ntaafanikiwa kuishinda hofu ndani yang🙏
@tfashy_hub91562 ай бұрын
Kaka joel Naomba uongeze sauti kwa video. Sauti ipo chini sana. ❤
@MariamObote2 ай бұрын
Amina joel 🎉🎉🎉🎉🎉
@rosemarysulle92882 ай бұрын
Kaka nimekuwa nikikufatilia sana,umenisaidia sana,hta sasa nimesimama na Mungu,wanadamu niwanafki tu yaan
@PhinerGreyson2 ай бұрын
Asante sana kwa sababu wakat wote nikikusikiliza nahisigi kabsa wazungumza na mm unanijenga sana na nazidi kujifunza asante mollah akubariki na akuweke sana
@maryoswald45782 ай бұрын
Ahsante sana.. nimejifunza kitu muhimu sana
@vanessasalema60872 ай бұрын
Amen. Be blessed
@officialbachako2 ай бұрын
Ni kweri kabisa ni kitu chenye hata mimi kimenitokia kipindi najifunza pikipiki alikuwa nani fundisho brother nikiwa nae hata ikizima ananielekeza lkn siku nilipo endesha pekee Ang ndo siku niliyo jua kuendesha vzl maana niligundua niko pekee Ang na niko mbali inabidi nirudi nyumbani asante
@وليدالشمري-ح7ب2 ай бұрын
Be blessed bro🎉
@imanimwashiuya2233 ай бұрын
asante sana kaka joer na mungu akupemaisha marefu
@DorethMselem2 ай бұрын
Asantee sana imenisaidia
@monicakauky89143 ай бұрын
Nimejifunza kutokutegemea Sana watu,mambo mengine natakiwa niyafanye mwenyewe.
@humphureyurasa84243 ай бұрын
Joel ur the great person on the earth, may God help u to stay strong forever.
@DanielSamwel-j5k3 ай бұрын
Asante sana bro joeli na mimi napitia wakati huu sasaivi Asante kwa kunifa maarifa Mungu akubariki
@josephtesha8723 ай бұрын
Kaka nashkuru asanteee nimejifunzaa🙏
@happinessosango83783 ай бұрын
Umeongea ukweli kabisa .Asante kwa kunifungua nimepata kitu.
@DerickEgibert3 ай бұрын
Najiuliza kwanini nilicheleawa kukujua your the best 🙏
@brackskinyozi32803 ай бұрын
Some zuri Sana coach Joel nimejifunza uko Sahihi barikiwa sana
@BiregeyaSabune3 ай бұрын
asante sana Joel mimi ni mufwasi wako wakilasiku na natamani sana venye naeza pata vitabu vyako
@joelnanauka3 ай бұрын
Nashukuru sana, karibu sana 0762 31 21 71
@MeshakiKisalu-dt8vo3 ай бұрын
Mimi naomba ushauli nashindwa kujiamini nifanyeje
@EdwinaJeremia-do1bs3 ай бұрын
Ubarikiwe sana🙏🙏
@veronicamwautenga73943 ай бұрын
Asante sana
@simplismrosso50843 ай бұрын
Asanteh sana kaka Joel nmejifunza kitu
@denisdawson62313 ай бұрын
Uko sahihi Joel
@WINNERBOYKE3 ай бұрын
Mwalimu ❤❤
@eliasludamila46003 ай бұрын
Nakubal Mwamba,,upo vzr sana 🙏
@NickGamba-ft8tl3 ай бұрын
ASANTE MENTOR ARTHUR NANAUKA JOEL 🙏🙏🙏
@eleneosindano56333 ай бұрын
Asante sana kakaa nimejifunza kitu hapaa
@beatricemwita43803 ай бұрын
Kutokutegemea watu,nilimaliza shule nikiwa Sina ramani ili nimepambana na ninamshukuru Mungu kwa hapa nilipofika japo safari Bado ni ndefu sana See me at the Top
@anipherwella3 ай бұрын
Nimejifunza kitu kikubwa sasa😊😊nashukuru kwa hili naamin mbaka kufika hapa kwa sababu niliowategemea wanisaidie wakaniacha 😊hii ndio iliyonivusha Sitalaum kwa yeyote atakae Acha kunisupport 🙏maisha yangu yapo mikononi mwangu
@rosemarysulle92882 ай бұрын
Kiukweli haya maisha simama na.Mungu,wanadamu ni hatari bora.mnyama
@mahambagislain96183 ай бұрын
Asante Kaka 🎉🎉🎉🇨🇩
@goldiegranted55012 ай бұрын
Funzo *** ona kama hamna mtu WA kukusaidia,hakika utaweka JUHUDI kwenye jambo husika ***Usiwachukie watu ambao wameshindwa kukusaidia ,wakati Wanao uwezo wa kufanya hivyo ___msaada NI hiari ✊
@estherkeba243 ай бұрын
🙏
@ezekielanthony2963 ай бұрын
Exactly 🧭
@eleneosindano56333 ай бұрын
Asante sana kakaa nimejifunza kitu hapaa
@adrianosimalimoto64853 ай бұрын
Asantee Sanaa kaka
@veronicamwautenga73943 ай бұрын
Asante sana
@lodrickolaph66403 ай бұрын
True story about me, nimejifunza kitu
@GraceSteven-qq5hn3 ай бұрын
Asant
@AmericoSimao-gq8cn3 ай бұрын
Napokea
@AbdulkadirHaji-dd4uu3 ай бұрын
Nimejifunza lakini sijaridhika na nilichojifunza. HIVI IKAWAJE BAADA YA KUJUA KUENDESHA BAISKELI? KWA RAFIKI ZAKO WALIOKUWA WANAKUCHEKA?