Usisahau ku"SUBSCRIBE" KZbin channel yetu kwa videos nyinginezo #zamaraditv #mambonimengi
Пікірлер: 477
@hanifahkhamiss84856 ай бұрын
Watu wanamuona chidi hayupo sawa....but yupo sawa na namkubali sana❤❤❤😊😊😊
@MrsKhalid-6836 ай бұрын
Kwakua sawa hayupo sawa😅maskini chidi jaman sio chidi wazamani
@edgerkanyele39105 ай бұрын
Jamaa ana talent basi tu maisha ya makundi ni mabaya sana Ila mungu atamrudisha alipokuwa mwanzo...namkubali sana huyu jamaa
@kennysportnews6 ай бұрын
Chidi ana akili sana. napenda sana interview zake👍👍
@estermahenge-ks3dr6 ай бұрын
ila chidi kamuelimisha vizuri sana uyo dd na ana busara sana Mungu amsaidie alipo kwama amfungue🙏
@user-xy6yf4kz2i6 ай бұрын
Chidy mkubwa sema apati respect yake🎉🎉
@casablancastudioarusha7756 ай бұрын
Dakika ya 23:20 Chidi amezungumza ukweli kabisa "Mtu mshirikina huwa hapendi ukaribu na mtu muomba Mungu huwa wanakuwa wabinafsi sana 💪💪
@NassorTwahiru-kf8fo6 ай бұрын
Dah maisha kweli hayana rafsiri kamili,chid ambaye nilimuona akihojiwa na salama kwenye mkasi,chid alikuwa ameshine kinoma leo hii ndio huyu ninayemuona hivi ama kweli maisha ni fumbo km kilivyo kifo,usijione umemaliza wala usimcheke anayepitia kipind kigum,allah amfanyie wepes chid
@ramsojimmykelly33796 ай бұрын
Kwenye mkasi pale ndio tayari alishaanza kujiingiza kwenye madawa kama unakumbuka hata salama alimuuliza swali kuwa kuna tetesi ya yeye kuwa anatumia madawa ila chidi mwenyewe alikanusha
@MTOTOWAvitoto6 ай бұрын
Mguu mmoja wa chidbenz hauko sawa but mungu kamwezesha kiasi flani yuko sawa kwa afya ya mguu amina!!!.
@rashidkatundu96746 ай бұрын
Dah walah bila nguv ya serikal tutampoteza jamaa unga n atar aisee😢 kidonda cha teja n kipengel kupona
@sophiakimaro51746 ай бұрын
Kusema kweli sikuwahi kupenda hip hop ila chid alinifanya nikapenda huu mziki.wauza madawa walaaniwe kwa Jina la Yesu.very painful.
@jacobryank7456Ай бұрын
True
@Timoclement6 ай бұрын
Unajua chidi Yuko happy maana amekubali Hali yake na anaongea ukweli I wish Iko cku ataheshimika Tena
@bittersweet16835 ай бұрын
Heshima ya chid is forever
@jacklinengowi4230Ай бұрын
Nakupenda kinoma chidi ❤
@user-pe1qv1sn5p6 ай бұрын
imani nikitu muhimu sana haijalishi umlevi ama umtumia madawa ama vp lakini imani unaweza mshinda shehe ama mchungaji mashallah kaka chid mungu akulinde katika hizo njia ambazo sio nzuri masha Allah wewe unamungu
@firdaussheikh48176 ай бұрын
Chidi benz love you❤❤❤❤❤❤ Mungu atakuenua tu 😢😢😢😢😢😢😢😢😢 Pole brother, thank God always. Dunia ni majaribio🇬🇧🇰🇪
@Maryc2G6 ай бұрын
Nyumba nzuri chid benzi 👍🏽
@westcijosh6 ай бұрын
Yakwakwe kwani?
@user-pp3ej1po5g6 ай бұрын
Saleh unahoji vizur sana mashallah ubarikiwe sana❤
@ramadhanmasiku41056 ай бұрын
Siyo vzr kuingia ndani kwa watu na viatu😊
@saidizuberiissa72866 ай бұрын
Dah! nataman chidi angekuwa mzima kama zaman na angekuwa ana shusha mangoma akiwa kwenyehali yake ya kawaida
@saidizuberiissa72866 ай бұрын
Sema chidy kaongea sana point hum
@Mshuta6 ай бұрын
Kama mmeona huyu kinyozi wa pili ni mshamba nipeni like zangu
@kirajlovely81156 ай бұрын
Mshamba sana😂😂😂😂
@idrissaabubakari8596 ай бұрын
Sio mshamba msenge tu😂
@michaelaloyce20726 ай бұрын
@@kirajlovely8115 unaumia nn sasa
@michaelaloyce20726 ай бұрын
@@idrissaabubakari859acha matusi
@badifundi60896 ай бұрын
Uyu kinyozi wa pili ni kama ndo anaona camera leo kashazoea vioo vyake vya saloon apo😂😂😂
@MTOTOWAvitoto6 ай бұрын
Pindi interview inaanza niliona kama chid anazingua hivi sema sio kesi imekuja kua fresh tuuu
@user-zv4ip3zu8p6 ай бұрын
Interview za chid ni nzuri kuskiza zaidi ya nyimbo za diamond
@ElizabethMushi-ff9bw6 ай бұрын
Unakera sana ww sasa unalinganisha nini hapo kwa chidi na Diamond wacha izo jieshimu kama unapenda chidi bac penda yeye tuu na sio kukosoa mwingine sasa hapo diamond kaingililia hapo nini
@gilmangeorge3666 ай бұрын
Unataka uolewe na diamond au sahau ndugu😅@@ElizabethMushi-ff9bw
@mejakimaro27736 ай бұрын
Kinyozi mshamba....Ila Chidy amekuwa na subra kinoma huyo demu kazingua ila Jamaa kanywa maji hasira zikashuka😂😂
@praisesteven77746 ай бұрын
hlo lidada na msura huo mbayaaaaa na mchogooo wake mdomo mrefuuuuu
@baimarrajahbuayan62376 ай бұрын
😅😅😅😅
@queenmilan20246 ай бұрын
Dada mzuri na watoto
@angelinaomare30556 ай бұрын
Chidi’s is a nice and Humble person ❤️ Mbona kama mguu wa Kushoto kafura c poa jamani.
@user-mg9fg6vc9w6 ай бұрын
Chini kweli Mchanaji yani ameanza kujieleza kwa kuchana kabla ya kuhojiwa😂😂😂😂
@DEEJAYBUFFKE5 ай бұрын
CHIDI IS A CRITICAL THINKER SMALL MINDS WILL NEVER UNDERSTAND HIM
@Maryc2G5 ай бұрын
Umesema ukweli mtupu
@bittersweet16835 ай бұрын
I'm from Rwanda but I started following tanzanian hip hop juu ya chid Benz he is phenomenon hakuna msani wa hop kuzidi chuma balani Africa I swear
@qimlaw67236 ай бұрын
Pole kwachangamoto ya mguu Kaka.
@rayaabdul-gm3hc6 ай бұрын
Duuu .madawa sio mazuri daah huyu kaka napenda nyimbo zake .mungu atakupa unafuu .utarudi kwenye gemu
@paulmwandoe39596 ай бұрын
Leo mara yangu ya kwanza kumuona mie husikia Chidy Benz tu kwa musiki
@dickluckyvictor65715 ай бұрын
Kinyozi kihere hereeeeee
@MohammedMohammed-uo5sk6 ай бұрын
Çhidi una sweat sana bro,toa vitu vikali bro
@djhajiztz6 ай бұрын
😂😂
@giztony20096 ай бұрын
Wonders will never end! Hii cyo kawaida huyu kinyozi wa pili ni mshamba halafu anaonekana ametoka kijijini
@BintRasheed19996 ай бұрын
Nyimbo za chid zltuburudsha sana enz za utoto wetu
@gwijitv6 ай бұрын
Huyo kinyozi alishindwa kusema tu WE ZOMBI HAUJUI? 😂😂😂
@salumchuma77626 ай бұрын
Dah! kwanini CAMERA MAN hajamtuliza mapepe huyo kinyozi wa pili mshamba mshamba..!Selehe Anakitu kiukweli yupo COOL SANA..... HE IS LIKE THE NEXT MILLARD AYO
@mcharomshana21676 ай бұрын
Maisha haya. We need to learn from these guys. Chidi alishika pesa sana na umaharufu alikua nao sana chidi. Mungu kumshika sana Imani kuzishika sana. Pia marafiki, makundi, ndugu, spendings zetu na muda ni muhimu kuwa navyo makini.
@WakiliHaule5 ай бұрын
Mbongo bwana kafika nyumbani kwangu kakuta geti limefungwa kalifungua kaingia ndani cha ajabu kaliacha wazi kashindwa kulifunga tena..kiukweli watanzania bado sana.
@KluivertVictor-xi1hzАй бұрын
Kunakamera Man hawajaingia
@ashurajuma48376 ай бұрын
Huyo demu msenge sanaaa
@hamadiselemani86655 ай бұрын
Uyo Jamaa Ana Akiri Sana, Ila Watu Wanamchukulia Pouwa Tu
@Maryc2G5 ай бұрын
Kweli kabisa
@muzafarsharif94656 ай бұрын
huyu ni kwake,, alijenga miaka hiyo sema sahii kidogo ameyumba❤❤
@kwisa48996 ай бұрын
Mama yake chid alikua mfanya kazi wa TRA Babayake Lama sikosei alikua mwasibu shirika la nyumba kwahiyo tafakari
@edwardrigha67824 ай бұрын
@@kwisa4899 😀
@thadei1276 ай бұрын
Uyo kinyozi mshamba sana
@abrahammustafa6162Ай бұрын
legendary 🥳, one of my favorite
@edwardfaraji11336 ай бұрын
Mungu amlinde mwanangu Chid...
@mohdkhalifa88286 ай бұрын
Kwel kabisa mshkaj upo frsh sana unahoji mtu anakua free na anafunguka mwenyewe tu
@user-sq4ui6ff7y6 ай бұрын
SALEH UNA UVUMULIVU SANA HUYU KINYOZI WA PILI MI NIMEBAKI HOI MNOO WEE NDIO ULIKUA UNA MUONA ILA KUMZUIA HAMNA WALA KUCHEKA HAMNA 😊
@jeremiahcharles60276 ай бұрын
Madawa sio mazuriii
@YousraNjokiMGHAZA-rq7wz6 ай бұрын
I gotta respect for you.❤❤❤❤❤.mob love chidi.❤
@PeterBaton2 ай бұрын
Najuwa Ungemuliza Chid kuusu hichokitambaa harichofunga Mguuni Mtangazaji Ungepigwa Maana hanambonge Wa Mdonda🤣👍
@HussenJumanne-zv5px6 ай бұрын
Kinyozii msenge tuu uyo wa pili
@DanielAmos-eg7bh4 ай бұрын
Aaah xan
@hanifahkhamiss84856 ай бұрын
😂😂😂ayo mapete uyo kinyozi wa pili na anavyojiringisha kwenye camera sasa km hizo camera zipo kwa ajili yke😂😂
@PacohMedia6 ай бұрын
Moja Kati ya Rapper ambaye hana wa kuziba pengo lake haswa (Voice yake) Namkubali sana.
@OllerDesononline63336 ай бұрын
Halafu huyu jamaa alimuimba jamaa ammalizie kumnyoa chidy ili auze sura. Boyaxana xana huyu Yani amepania mnooooo. MSHAMBAXANAAAAAAAAAA
@veronicachuwa35956 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@ummuadam24236 ай бұрын
Swaleh ndio umeondolewa hvo kwa chidi hta hukuingia ndani 😂ila kwa jirani umeingia 😊
@veronicah13576 ай бұрын
Kwani kinyozi wa pili kaleft nn 😅😅mbna mbwembwe ivo
@ruu65926 ай бұрын
😂😂😂😂
@godfreyelkarim25866 ай бұрын
Msanii anaweza kufanya uduwanzi na ukimuuliza kwann...hizo point unakazopewa utakubali tu...😂
@user-ze6lx9ng6s6 ай бұрын
Chid nakuelewa sana, big up
@user-sq4ui6ff7y6 ай бұрын
Saleh ameanza kuwa na mazoea MABAYA wakati hua ana nidhamu etii ndanii na VIATU daah wee jamaaa halaf kwa watu
@brownkira13326 ай бұрын
Demu Mashamba sana mbayaa
@Richiewakitaa6 ай бұрын
Chid benzi mwanangu sana sema nimtu mmoja peace kinoma pia credt ziende kwa mwandishi wa habari kaendanae sawa
@abuibra6 ай бұрын
Chidy hayuko sawa,lakini kijana mwema ana roho nzuri
@user-xp8jr9tj7qАй бұрын
Yoko fresh bro
@namsamson34436 ай бұрын
Huyu ni muongo eti nyumba ni chafu...yaani maisha yamempelekesha
@pendombinga35846 ай бұрын
Huyo. Dada jeuri yk angekutana na interview ya ney wa mitego amletee usenge angeona
@margarethsaramaki39666 ай бұрын
Huyu Chid anahitaji msaada wa kutolewa kwenye kilevi cha hovyo Maneno yake ni ya kujikinga nk ila Mungu amsaidie kwa kila jambo
@Fred-Ma5 ай бұрын
Mfano maneno gani?
@glorianikiza39406 ай бұрын
Hapo naweye siyo kwako😂😂😂ila interview zako kali wanaomkubali chidi gonga meza😂
@dyangwe6 ай бұрын
King Kong.
@MarkHezron-oy6br6 ай бұрын
Itakuwa kwa bibi yako
@salumchuma77626 ай бұрын
STAY STRONG RASHID!!!!...
@ruu65926 ай бұрын
Amemanisha pesa za muziki nyingi ni za shetani ukimkataa anazichukua ela zake... uweeeeh...kwani the second kinyozi ana tatizo gani😂
@alphadreammedia6 ай бұрын
LEO jamaa kakuchosha maana anazunguka tu😊😊😊😅
@Wizy_store6 ай бұрын
Kinyozi😂 analinda brand
@ramxonforex7726 ай бұрын
hahahahah nilikuwa nasubili namm nione huyo kinyozi wa pili atafanya nin jamaa kaanza kujiandaa kule ndani hahaha kweli mshamba wa camera
@dadychaps75276 ай бұрын
😂😂😂Dah... Chidy kiboko🙌😂🇰🇪🙏
@ManuelwinfridaАй бұрын
Uyo kinyozi wapili😅😅😂
@shabanimgaya56214 ай бұрын
Kama unamkubali mwamba like apa tujuane😊
@timmztimam39904 ай бұрын
44:33 😂😂😂😂 🔥🔥🔥🔥 CHIDI NI MWISHO WA MATATIZO 🔥🔥🔥
@robertmwita43276 ай бұрын
Mguu wa chid 😢😢,unahitaji msaada jamani
@esterdoriye83776 ай бұрын
Chidi mjanja mjanja sana anapoteza mda asiulizwe maswali mengi 😅😅😅😅
@fabianclato31015 ай бұрын
Dish bado Alison sawa
@user-wq5oh8uk1t5 ай бұрын
Naomba kazi ya usoja priss 😊
@MrsKhalid-6836 ай бұрын
Yani maisha hatari kakutwa na nini sijui chidi😢
@Laizer3Ай бұрын
Wasanii wa zamani wa marekani ndo wanapesa huku bongo wasanii wa zamani wameishiwa.
@davidsalikoki6319Ай бұрын
Dar es salaam stand up🔥
@ukhutfatumah11546 ай бұрын
Benziiiiii chid auna baya enjoy bhana na maisha yako
@Lashymreal966 ай бұрын
Huyu kinyozi wa pili anajikuta juma jux au dotto magari😅😅
@cobrachristian36855 ай бұрын
Chid inaonekana anapenda watu sana kikubwa saidi ni mtoto wa mama anampenda sana mama yake ila ana akali kubwa sana kuliko tunavyo dhani
@miso-bg2xl6 ай бұрын
Dada ake chd yule nimpenda
@saliieking72796 ай бұрын
Chid anajua kuishi na watu vizuri
@johnngoyo55896 ай бұрын
Uyo shoga anazingua kinoma yana sijui ni mshamba wawap
@user-gw4jc9so5p5 ай бұрын
Kinyozi wa pili mshamba sana khaa 🙌😅
@mirnababy50126 ай бұрын
Dem mshamba saana
@user-xy6yf4kz2i6 ай бұрын
Kinyozi wapili mmemujua 😂😂 ni dj misondo
@afterx31726 ай бұрын
Kinyozi mwenye mask anaonekana mshamba na katoka kijijini na mlimbukeni sana
@godlistenbaltazar43236 ай бұрын
Uyo Dem ako na visirani Kila mahali😂
@esterpaul31466 ай бұрын
Kaka mtangazaj leo umepatikana
@rahimaaaaa56826 ай бұрын
😂😂😂😂
@bwittozmjomba70196 ай бұрын
Kiukweli chidi Hana sehem maalumu ya kuishi anajificha ficha Awa wasanii waongo sana
@chingaboy11496 ай бұрын
Mbona kasema yeye hana makazi or hujamsikia😂😂😂
@margrethamsechu70886 ай бұрын
Nilitaka kuangalia mpaka mwisho lakini kinyozi kanikera nimeacha 😂😂😂
@GoldenchipsChips6 ай бұрын
Sialikua anaweka pozi kuna mtu alikua anampiga picha😆😆😆kila mtu anaushamba wake mvumilie tu
@ezron_official6 ай бұрын
😂😂😂😂pole
@MTOTOWAvitoto6 ай бұрын
Lakini kwann chid anapenda sana jina la diamond why mbona anaeza akaachana nae tuu na mambo mengine yakaendelea tuu
@skilindaissa54416 ай бұрын
Sio chid tu hata mmakonde
@ezron_official6 ай бұрын
Hakwepeki huyo
@AnnoyedDessert-xs5xo6 ай бұрын
Chidi, TID, gigy money ni kazi kuwahoji
@digitalworld55775 ай бұрын
Gonga like kama umemsikia Chid akisema akuu! Huku anabetua kibega😂
@saidizuberiissa72866 ай бұрын
Sema hicho kidada kilichoingia hapo saloon hakijitambui
@stanslausjoseph1465 ай бұрын
Mm sipendi kuchagia hv v2...but nina wasiwasi kama chidi anaishi hapa.....na kama.anaishi hapa kuna kibanda uani. Sio vibaya pia as long as anaishi poa na majirani ila thats my gut feeling...ndio.maana anawatawala jamaa wa camera wasije wakamwahi!!