ANAPOISHI CHIDY BENZ/ MAJIRANI WANAMKUBALI/ ANAISHI MWENYEWE/UTACHEKA VITUKO VYAKE.

  Рет қаралды 126,492

ZamaradiTV

ZamaradiTV

Күн бұрын

Usisahau ku"SUBSCRIBE" KZbin channel yetu kwa videos nyinginezo
#zamaraditv #mambonimengi

Пікірлер: 477
@hanifahkhamiss8485
@hanifahkhamiss8485 6 ай бұрын
Watu wanamuona chidi hayupo sawa....but yupo sawa na namkubali sana❤❤❤😊😊😊
@MrsKhalid-683
@MrsKhalid-683 6 ай бұрын
Kwakua sawa hayupo sawa😅maskini chidi jaman sio chidi wazamani
@edgerkanyele3910
@edgerkanyele3910 5 ай бұрын
Jamaa ana talent basi tu maisha ya makundi ni mabaya sana Ila mungu atamrudisha alipokuwa mwanzo...namkubali sana huyu jamaa
@kennysportnews
@kennysportnews 6 ай бұрын
Chidi ana akili sana. napenda sana interview zake👍👍
@estermahenge-ks3dr
@estermahenge-ks3dr 6 ай бұрын
ila chidi kamuelimisha vizuri sana uyo dd na ana busara sana Mungu amsaidie alipo kwama amfungue🙏
@user-xy6yf4kz2i
@user-xy6yf4kz2i 6 ай бұрын
Chidy mkubwa sema apati respect yake🎉🎉
@casablancastudioarusha775
@casablancastudioarusha775 6 ай бұрын
Dakika ya 23:20 Chidi amezungumza ukweli kabisa "Mtu mshirikina huwa hapendi ukaribu na mtu muomba Mungu huwa wanakuwa wabinafsi sana 💪💪
@NassorTwahiru-kf8fo
@NassorTwahiru-kf8fo 6 ай бұрын
Dah maisha kweli hayana rafsiri kamili,chid ambaye nilimuona akihojiwa na salama kwenye mkasi,chid alikuwa ameshine kinoma leo hii ndio huyu ninayemuona hivi ama kweli maisha ni fumbo km kilivyo kifo,usijione umemaliza wala usimcheke anayepitia kipind kigum,allah amfanyie wepes chid
@ramsojimmykelly3379
@ramsojimmykelly3379 6 ай бұрын
Kwenye mkasi pale ndio tayari alishaanza kujiingiza kwenye madawa kama unakumbuka hata salama alimuuliza swali kuwa kuna tetesi ya yeye kuwa anatumia madawa ila chidi mwenyewe alikanusha
@MTOTOWAvitoto
@MTOTOWAvitoto 6 ай бұрын
Mguu mmoja wa chidbenz hauko sawa but mungu kamwezesha kiasi flani yuko sawa kwa afya ya mguu amina!!!.
@rashidkatundu9674
@rashidkatundu9674 6 ай бұрын
Dah walah bila nguv ya serikal tutampoteza jamaa unga n atar aisee😢 kidonda cha teja n kipengel kupona
@sophiakimaro5174
@sophiakimaro5174 6 ай бұрын
Kusema kweli sikuwahi kupenda hip hop ila chid alinifanya nikapenda huu mziki.wauza madawa walaaniwe kwa Jina la Yesu.very painful.
@jacobryank7456
@jacobryank7456 Ай бұрын
True
@Timoclement
@Timoclement 6 ай бұрын
Unajua chidi Yuko happy maana amekubali Hali yake na anaongea ukweli I wish Iko cku ataheshimika Tena
@bittersweet1683
@bittersweet1683 5 ай бұрын
Heshima ya chid is forever
@jacklinengowi4230
@jacklinengowi4230 Ай бұрын
Nakupenda kinoma chidi ❤
@user-pe1qv1sn5p
@user-pe1qv1sn5p 6 ай бұрын
imani nikitu muhimu sana haijalishi umlevi ama umtumia madawa ama vp lakini imani unaweza mshinda shehe ama mchungaji mashallah kaka chid mungu akulinde katika hizo njia ambazo sio nzuri masha Allah wewe unamungu
@firdaussheikh4817
@firdaussheikh4817 6 ай бұрын
Chidi benz love you❤❤❤❤❤❤ Mungu atakuenua tu 😢😢😢😢😢😢😢😢😢 Pole brother, thank God always. Dunia ni majaribio🇬🇧🇰🇪
@Maryc2G
@Maryc2G 6 ай бұрын
Nyumba nzuri chid benzi 👍🏽
@westcijosh
@westcijosh 6 ай бұрын
Yakwakwe kwani?
@user-pp3ej1po5g
@user-pp3ej1po5g 6 ай бұрын
Saleh unahoji vizur sana mashallah ubarikiwe sana❤
@ramadhanmasiku4105
@ramadhanmasiku4105 6 ай бұрын
Siyo vzr kuingia ndani kwa watu na viatu😊
@saidizuberiissa7286
@saidizuberiissa7286 6 ай бұрын
Dah! nataman chidi angekuwa mzima kama zaman na angekuwa ana shusha mangoma akiwa kwenyehali yake ya kawaida
@saidizuberiissa7286
@saidizuberiissa7286 6 ай бұрын
Sema chidy kaongea sana point hum
@Mshuta
@Mshuta 6 ай бұрын
Kama mmeona huyu kinyozi wa pili ni mshamba nipeni like zangu
@kirajlovely8115
@kirajlovely8115 6 ай бұрын
Mshamba sana😂😂😂😂
@idrissaabubakari859
@idrissaabubakari859 6 ай бұрын
Sio mshamba msenge tu😂
@michaelaloyce2072
@michaelaloyce2072 6 ай бұрын
​@@kirajlovely8115 unaumia nn sasa
@michaelaloyce2072
@michaelaloyce2072 6 ай бұрын
​@@idrissaabubakari859acha matusi
@badifundi6089
@badifundi6089 6 ай бұрын
Uyu kinyozi wa pili ni kama ndo anaona camera leo kashazoea vioo vyake vya saloon apo😂😂😂
@MTOTOWAvitoto
@MTOTOWAvitoto 6 ай бұрын
Pindi interview inaanza niliona kama chid anazingua hivi sema sio kesi imekuja kua fresh tuuu
@user-zv4ip3zu8p
@user-zv4ip3zu8p 6 ай бұрын
Interview za chid ni nzuri kuskiza zaidi ya nyimbo za diamond
@ElizabethMushi-ff9bw
@ElizabethMushi-ff9bw 6 ай бұрын
Unakera sana ww sasa unalinganisha nini hapo kwa chidi na Diamond wacha izo jieshimu kama unapenda chidi bac penda yeye tuu na sio kukosoa mwingine sasa hapo diamond kaingililia hapo nini
@gilmangeorge366
@gilmangeorge366 6 ай бұрын
Unataka uolewe na diamond au sahau ndugu😅​@@ElizabethMushi-ff9bw
@mejakimaro2773
@mejakimaro2773 6 ай бұрын
Kinyozi mshamba....Ila Chidy amekuwa na subra kinoma huyo demu kazingua ila Jamaa kanywa maji hasira zikashuka😂😂
@praisesteven7774
@praisesteven7774 6 ай бұрын
hlo lidada na msura huo mbayaaaaa na mchogooo wake mdomo mrefuuuuu
@baimarrajahbuayan6237
@baimarrajahbuayan6237 6 ай бұрын
😅😅😅😅
@queenmilan2024
@queenmilan2024 6 ай бұрын
Dada mzuri na watoto
@angelinaomare3055
@angelinaomare3055 6 ай бұрын
Chidi’s is a nice and Humble person ❤️ Mbona kama mguu wa Kushoto kafura c poa jamani.
@user-mg9fg6vc9w
@user-mg9fg6vc9w 6 ай бұрын
Chini kweli Mchanaji yani ameanza kujieleza kwa kuchana kabla ya kuhojiwa😂😂😂😂
@DEEJAYBUFFKE
@DEEJAYBUFFKE 5 ай бұрын
CHIDI IS A CRITICAL THINKER SMALL MINDS WILL NEVER UNDERSTAND HIM
@Maryc2G
@Maryc2G 5 ай бұрын
Umesema ukweli mtupu
@bittersweet1683
@bittersweet1683 5 ай бұрын
I'm from Rwanda but I started following tanzanian hip hop juu ya chid Benz he is phenomenon hakuna msani wa hop kuzidi chuma balani Africa I swear
@qimlaw6723
@qimlaw6723 6 ай бұрын
Pole kwachangamoto ya mguu Kaka.
@rayaabdul-gm3hc
@rayaabdul-gm3hc 6 ай бұрын
Duuu .madawa sio mazuri daah huyu kaka napenda nyimbo zake .mungu atakupa unafuu .utarudi kwenye gemu
@paulmwandoe3959
@paulmwandoe3959 6 ай бұрын
Leo mara yangu ya kwanza kumuona mie husikia Chidy Benz tu kwa musiki
@dickluckyvictor6571
@dickluckyvictor6571 5 ай бұрын
Kinyozi kihere hereeeeee
@MohammedMohammed-uo5sk
@MohammedMohammed-uo5sk 6 ай бұрын
Çhidi una sweat sana bro,toa vitu vikali bro
@djhajiztz
@djhajiztz 6 ай бұрын
😂😂
@giztony2009
@giztony2009 6 ай бұрын
Wonders will never end! Hii cyo kawaida huyu kinyozi wa pili ni mshamba halafu anaonekana ametoka kijijini
@BintRasheed1999
@BintRasheed1999 6 ай бұрын
Nyimbo za chid zltuburudsha sana enz za utoto wetu
@gwijitv
@gwijitv 6 ай бұрын
Huyo kinyozi alishindwa kusema tu WE ZOMBI HAUJUI? 😂😂😂
@salumchuma7762
@salumchuma7762 6 ай бұрын
Dah! kwanini CAMERA MAN hajamtuliza mapepe huyo kinyozi wa pili mshamba mshamba..!Selehe Anakitu kiukweli yupo COOL SANA..... HE IS LIKE THE NEXT MILLARD AYO
@mcharomshana2167
@mcharomshana2167 6 ай бұрын
Maisha haya. We need to learn from these guys. Chidi alishika pesa sana na umaharufu alikua nao sana chidi. Mungu kumshika sana Imani kuzishika sana. Pia marafiki, makundi, ndugu, spendings zetu na muda ni muhimu kuwa navyo makini.
@WakiliHaule
@WakiliHaule 5 ай бұрын
Mbongo bwana kafika nyumbani kwangu kakuta geti limefungwa kalifungua kaingia ndani cha ajabu kaliacha wazi kashindwa kulifunga tena..kiukweli watanzania bado sana.
@KluivertVictor-xi1hz
@KluivertVictor-xi1hz Ай бұрын
Kunakamera Man hawajaingia
@ashurajuma4837
@ashurajuma4837 6 ай бұрын
Huyo demu msenge sanaaa
@hamadiselemani8665
@hamadiselemani8665 5 ай бұрын
Uyo Jamaa Ana Akiri Sana, Ila Watu Wanamchukulia Pouwa Tu
@Maryc2G
@Maryc2G 5 ай бұрын
Kweli kabisa
@muzafarsharif9465
@muzafarsharif9465 6 ай бұрын
huyu ni kwake,, alijenga miaka hiyo sema sahii kidogo ameyumba❤❤
@kwisa4899
@kwisa4899 6 ай бұрын
Mama yake chid alikua mfanya kazi wa TRA Babayake Lama sikosei alikua mwasibu shirika la nyumba kwahiyo tafakari
@edwardrigha6782
@edwardrigha6782 4 ай бұрын
@@kwisa4899 😀
@thadei127
@thadei127 6 ай бұрын
Uyo kinyozi mshamba sana
@abrahammustafa6162
@abrahammustafa6162 Ай бұрын
legendary 🥳, one of my favorite
@edwardfaraji1133
@edwardfaraji1133 6 ай бұрын
Mungu amlinde mwanangu Chid...
@mohdkhalifa8828
@mohdkhalifa8828 6 ай бұрын
Kwel kabisa mshkaj upo frsh sana unahoji mtu anakua free na anafunguka mwenyewe tu
@user-sq4ui6ff7y
@user-sq4ui6ff7y 6 ай бұрын
SALEH UNA UVUMULIVU SANA HUYU KINYOZI WA PILI MI NIMEBAKI HOI MNOO WEE NDIO ULIKUA UNA MUONA ILA KUMZUIA HAMNA WALA KUCHEKA HAMNA 😊
@jeremiahcharles6027
@jeremiahcharles6027 6 ай бұрын
Madawa sio mazuriii
@YousraNjokiMGHAZA-rq7wz
@YousraNjokiMGHAZA-rq7wz 6 ай бұрын
I gotta respect for you.❤❤❤❤❤.mob love chidi.❤
@PeterBaton
@PeterBaton 2 ай бұрын
Najuwa Ungemuliza Chid kuusu hichokitambaa harichofunga Mguuni Mtangazaji Ungepigwa Maana hanambonge Wa Mdonda🤣👍
@HussenJumanne-zv5px
@HussenJumanne-zv5px 6 ай бұрын
Kinyozii msenge tuu uyo wa pili
@DanielAmos-eg7bh
@DanielAmos-eg7bh 4 ай бұрын
Aaah xan
@hanifahkhamiss8485
@hanifahkhamiss8485 6 ай бұрын
😂😂😂ayo mapete uyo kinyozi wa pili na anavyojiringisha kwenye camera sasa km hizo camera zipo kwa ajili yke😂😂
@PacohMedia
@PacohMedia 6 ай бұрын
Moja Kati ya Rapper ambaye hana wa kuziba pengo lake haswa (Voice yake) Namkubali sana.
@OllerDesononline6333
@OllerDesononline6333 6 ай бұрын
Halafu huyu jamaa alimuimba jamaa ammalizie kumnyoa chidy ili auze sura. Boyaxana xana huyu Yani amepania mnooooo. MSHAMBAXANAAAAAAAAAA
@veronicachuwa3595
@veronicachuwa3595 6 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@ummuadam2423
@ummuadam2423 6 ай бұрын
Swaleh ndio umeondolewa hvo kwa chidi hta hukuingia ndani 😂ila kwa jirani umeingia 😊
@veronicah1357
@veronicah1357 6 ай бұрын
Kwani kinyozi wa pili kaleft nn 😅😅mbna mbwembwe ivo
@ruu6592
@ruu6592 6 ай бұрын
😂😂😂😂
@godfreyelkarim2586
@godfreyelkarim2586 6 ай бұрын
Msanii anaweza kufanya uduwanzi na ukimuuliza kwann...hizo point unakazopewa utakubali tu...😂
@user-ze6lx9ng6s
@user-ze6lx9ng6s 6 ай бұрын
Chid nakuelewa sana, big up
@user-sq4ui6ff7y
@user-sq4ui6ff7y 6 ай бұрын
Saleh ameanza kuwa na mazoea MABAYA wakati hua ana nidhamu etii ndanii na VIATU daah wee jamaaa halaf kwa watu
@brownkira1332
@brownkira1332 6 ай бұрын
Demu Mashamba sana mbayaa
@Richiewakitaa
@Richiewakitaa 6 ай бұрын
Chid benzi mwanangu sana sema nimtu mmoja peace kinoma pia credt ziende kwa mwandishi wa habari kaendanae sawa
@abuibra
@abuibra 6 ай бұрын
Chidy hayuko sawa,lakini kijana mwema ana roho nzuri
@user-xp8jr9tj7q
@user-xp8jr9tj7q Ай бұрын
Yoko fresh bro
@namsamson3443
@namsamson3443 6 ай бұрын
Huyu ni muongo eti nyumba ni chafu...yaani maisha yamempelekesha
@pendombinga3584
@pendombinga3584 6 ай бұрын
Huyo. Dada jeuri yk angekutana na interview ya ney wa mitego amletee usenge angeona
@margarethsaramaki3966
@margarethsaramaki3966 6 ай бұрын
Huyu Chid anahitaji msaada wa kutolewa kwenye kilevi cha hovyo Maneno yake ni ya kujikinga nk ila Mungu amsaidie kwa kila jambo
@Fred-Ma
@Fred-Ma 5 ай бұрын
Mfano maneno gani?
@glorianikiza3940
@glorianikiza3940 6 ай бұрын
Hapo naweye siyo kwako😂😂😂ila interview zako kali wanaomkubali chidi gonga meza😂
@dyangwe
@dyangwe 6 ай бұрын
King Kong.
@MarkHezron-oy6br
@MarkHezron-oy6br 6 ай бұрын
Itakuwa kwa bibi yako
@salumchuma7762
@salumchuma7762 6 ай бұрын
STAY STRONG RASHID!!!!...
@ruu6592
@ruu6592 6 ай бұрын
Amemanisha pesa za muziki nyingi ni za shetani ukimkataa anazichukua ela zake... uweeeeh...kwani the second kinyozi ana tatizo gani😂
@alphadreammedia
@alphadreammedia 6 ай бұрын
LEO jamaa kakuchosha maana anazunguka tu😊😊😊😅
@Wizy_store
@Wizy_store 6 ай бұрын
Kinyozi😂 analinda brand
@ramxonforex772
@ramxonforex772 6 ай бұрын
hahahahah nilikuwa nasubili namm nione huyo kinyozi wa pili atafanya nin jamaa kaanza kujiandaa kule ndani hahaha kweli mshamba wa camera
@dadychaps7527
@dadychaps7527 6 ай бұрын
😂😂😂Dah... Chidy kiboko🙌😂🇰🇪🙏
@Manuelwinfrida
@Manuelwinfrida Ай бұрын
Uyo kinyozi wapili😅😅😂
@shabanimgaya5621
@shabanimgaya5621 4 ай бұрын
Kama unamkubali mwamba like apa tujuane😊
@timmztimam3990
@timmztimam3990 4 ай бұрын
44:33 😂😂😂😂 🔥🔥🔥🔥 CHIDI NI MWISHO WA MATATIZO 🔥🔥🔥
@robertmwita4327
@robertmwita4327 6 ай бұрын
Mguu wa chid 😢😢,unahitaji msaada jamani
@esterdoriye8377
@esterdoriye8377 6 ай бұрын
Chidi mjanja mjanja sana anapoteza mda asiulizwe maswali mengi 😅😅😅😅
@fabianclato3101
@fabianclato3101 5 ай бұрын
Dish bado Alison sawa
@user-wq5oh8uk1t
@user-wq5oh8uk1t 5 ай бұрын
Naomba kazi ya usoja priss 😊
@MrsKhalid-683
@MrsKhalid-683 6 ай бұрын
Yani maisha hatari kakutwa na nini sijui chidi😢
@Laizer3
@Laizer3 Ай бұрын
Wasanii wa zamani wa marekani ndo wanapesa huku bongo wasanii wa zamani wameishiwa.
@davidsalikoki6319
@davidsalikoki6319 Ай бұрын
Dar es salaam stand up🔥
@ukhutfatumah1154
@ukhutfatumah1154 6 ай бұрын
Benziiiiii chid auna baya enjoy bhana na maisha yako
@Lashymreal96
@Lashymreal96 6 ай бұрын
Huyu kinyozi wa pili anajikuta juma jux au dotto magari😅😅
@cobrachristian3685
@cobrachristian3685 5 ай бұрын
Chid inaonekana anapenda watu sana kikubwa saidi ni mtoto wa mama anampenda sana mama yake ila ana akali kubwa sana kuliko tunavyo dhani
@miso-bg2xl
@miso-bg2xl 6 ай бұрын
Dada ake chd yule nimpenda
@saliieking7279
@saliieking7279 6 ай бұрын
Chid anajua kuishi na watu vizuri
@johnngoyo5589
@johnngoyo5589 6 ай бұрын
Uyo shoga anazingua kinoma yana sijui ni mshamba wawap
@user-gw4jc9so5p
@user-gw4jc9so5p 5 ай бұрын
Kinyozi wa pili mshamba sana khaa 🙌😅
@mirnababy5012
@mirnababy5012 6 ай бұрын
Dem mshamba saana
@user-xy6yf4kz2i
@user-xy6yf4kz2i 6 ай бұрын
Kinyozi wapili mmemujua 😂😂 ni dj misondo
@afterx3172
@afterx3172 6 ай бұрын
Kinyozi mwenye mask anaonekana mshamba na katoka kijijini na mlimbukeni sana
@godlistenbaltazar4323
@godlistenbaltazar4323 6 ай бұрын
Uyo Dem ako na visirani Kila mahali😂
@esterpaul3146
@esterpaul3146 6 ай бұрын
Kaka mtangazaj leo umepatikana
@rahimaaaaa5682
@rahimaaaaa5682 6 ай бұрын
😂😂😂😂
@bwittozmjomba7019
@bwittozmjomba7019 6 ай бұрын
Kiukweli chidi Hana sehem maalumu ya kuishi anajificha ficha Awa wasanii waongo sana
@chingaboy1149
@chingaboy1149 6 ай бұрын
Mbona kasema yeye hana makazi or hujamsikia😂😂😂
@margrethamsechu7088
@margrethamsechu7088 6 ай бұрын
Nilitaka kuangalia mpaka mwisho lakini kinyozi kanikera nimeacha 😂😂😂
@GoldenchipsChips
@GoldenchipsChips 6 ай бұрын
Sialikua anaweka pozi kuna mtu alikua anampiga picha😆😆😆kila mtu anaushamba wake mvumilie tu
@ezron_official
@ezron_official 6 ай бұрын
😂😂😂😂pole
@MTOTOWAvitoto
@MTOTOWAvitoto 6 ай бұрын
Lakini kwann chid anapenda sana jina la diamond why mbona anaeza akaachana nae tuu na mambo mengine yakaendelea tuu
@skilindaissa5441
@skilindaissa5441 6 ай бұрын
Sio chid tu hata mmakonde
@ezron_official
@ezron_official 6 ай бұрын
Hakwepeki huyo
@AnnoyedDessert-xs5xo
@AnnoyedDessert-xs5xo 6 ай бұрын
Chidi, TID, gigy money ni kazi kuwahoji
@digitalworld5577
@digitalworld5577 5 ай бұрын
Gonga like kama umemsikia Chid akisema akuu! Huku anabetua kibega😂
@saidizuberiissa7286
@saidizuberiissa7286 6 ай бұрын
Sema hicho kidada kilichoingia hapo saloon hakijitambui
@stanslausjoseph146
@stanslausjoseph146 5 ай бұрын
Mm sipendi kuchagia hv v2...but nina wasiwasi kama chidi anaishi hapa.....na kama.anaishi hapa kuna kibanda uani. Sio vibaya pia as long as anaishi poa na majirani ila thats my gut feeling...ndio.maana anawatawala jamaa wa camera wasije wakamwahi!!
Fake watermelon by Secret Vlog
00:16
Secret Vlog
Рет қаралды 7 МЛН
What will he say ? 😱 #smarthome #cleaning #homecleaning #gadgets
01:00
Mboto awatoa machozi waalikwa
8:06
Azam TV
Рет қаралды 183 М.
GETO ANALOISHI HAMIS WA BSS UTALIPENDA/AFUNGUKA KUACHWA NA MZUNGU
30:13
SNURA NA MUMEWE USO KWA USO NA SHEIKH KISHK AL-HIKMA FOUDATION
18:56
Kishki Online TV
Рет қаралды 66 М.
Fake watermelon by Secret Vlog
00:16
Secret Vlog
Рет қаралды 7 МЛН