Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
@ndorobocarworks-dx4pf2 ай бұрын
Mungu wangu dah!
@aminaomary55672 ай бұрын
Mwanangu kama unaumwa Mungu akupe afya njema kwakweli. Tunakupenda sana❤❤🎉🎉🎉❤❤❤
@ivonaevarista46542 ай бұрын
Makonda tunakupenda Sana mtumishi wa Mungu, Bwana Yesu Kristo asimame nawewe katika Hali zote
@cloudngoko.26792 ай бұрын
Kaka yetu Makonda Mungu amlinde sana. Mungu amlinde sana tunachukia sana kua na ukimya. Hatupendi ujue na taarifa yenu Paul Makonda yupo mioyoni mwetu.
@yassinerasmus74002 ай бұрын
Mungu ww ndo mwenye majibu sahihi ya Makonda ee Mungu wetu mpe Afya njema
@ZainabMilanzi2 ай бұрын
Jamani jamani jamani inauma Sana Allah ndiye anajua atakavyomsaidia shujaa wetu Amina
@EliauMtishbi-os5ky2 ай бұрын
Mungu umlinde Mh. Makonda awe mzima wa afya . Ninaachilia nguvu ya roho mtakatifu imponye .
@SarahLetion2 ай бұрын
Moyo unauma sana kusikia hivyo Mungu mlinde shujaa wetu popote alipo kumbuka kazi nzuri aliofanya kwa ajili ya watanzania , Baba hatujui yuko wapi ila wewe unajua tunamfunika kwa damu ya Yesu Kristo na kila atakapo pita Mungu mbariki maadui zake wakae mbali kwa jina la Yesu Kristo, amen.
@BonnyMwajombe-iu7hb2 ай бұрын
Mungu amesikia maombi yako
@ELIAMbise-sy5ue2 ай бұрын
Kabla yakupaparikia aliyo yafanya katika uenezi wake , angalia back ground yake. Muuwaji uyo.
@erickmsigala1382 ай бұрын
Shujaa wawa wapumbavu wasiyo jielewa, wavivu, wajinga na masikini wa fikra
@ElygloryKilango-qu1kj2 ай бұрын
Wew ndio hujielewi@@erickmsigala138
@pambanassoro2 ай бұрын
Mtu anaependa kula jasho LA watu Huwa afurahishwi na Mtu atakae jitokeza kutengeneza haki za walio na haki maana aliekuwa anatumia jasho La watu atakosa haki mungu wape maarifa watu wako ameen
@elinurukitomali60082 ай бұрын
Eeee Mungu wangu mbona sielewi jamani Mr. Makonda popote ulipo Mungu akulinde
@halimamasai22342 ай бұрын
Mungu mlinde huyu shuja wetu mpe afya njema Na maisha marefeu inshaallah 🤲🤲🤲🤲🤲
@shanimbaruku20712 ай бұрын
Aamin Aamiin YaaRabbal Alaamiin
@jaliamkubilasidi2 ай бұрын
Aaaaaaminy
@Elizabethmwanga-y5e2 ай бұрын
Jamani makonda mungu akulinde tunakupenda sana mungu wangu msadie
@MapenziMalanda2 ай бұрын
Msh Makonda yupo mikononi mwa Kristo na hakuna Hila Wala nguvu yeyote ya Giza inayo weza kumgusa.✝️💪
@hafsalucky10882 ай бұрын
Amen 🙏
@gabumkono2 ай бұрын
Acha mawazo mgando,,, ukiwa kwa kristo ndo hupatwi na mauti?
@Imaniamockgmail2 ай бұрын
Amen!🙏
@VelonikaMwamakimbula2 ай бұрын
Amen
@beatricejoseph23472 ай бұрын
Mkono wa Mungu ukawe juu ya baba Keagan, mabaya yasikupate .
@philomenaPhilipo2 ай бұрын
Mungu akulinde na maadui zako
@DrFatmaKhanPanAfrikan2 ай бұрын
❤PCMakonda Mwenye'Enzi'Mungu'Mlezi AmLinde na AmTangulie❤
@loishiyesamwel13742 ай бұрын
Mungu wangu akampe Afya njema Kijana wetu Makonda.
Umepagawa?Kwani ni Nani anastahili kufa?Acha uzwazwaa
@CHIIZATV-hl4zu2 ай бұрын
Huyu jamaa ni fala bac kufa wewe yeye abaki😂😂😂
@iddykivu0502 ай бұрын
@@reubenkissinga5802Mbona Unaingilia Mawazo ya Mtu nini Shida Au Ulishawai kulawitiwa
@emanuelmkama13252 ай бұрын
@@reubenkissinga5802bwege
@marymgimwa2 ай бұрын
Yaani mhhh muumba MAKONDA APONE KWA LOLOTE
@zainabunizota35402 ай бұрын
Mungu amlinde na ampe afya njema makonda wetu sisi ndio anayetufaa basi watuachie,
@albinombungu42942 ай бұрын
Mungu umlinde mkuu wa mkoa arusha
@SuleAmber-lw2tx2 ай бұрын
Hizi habari zinatisha sana lakini tusichoke kumuombea Kiongozi wetu Bora kbs.
@AnethMushi-c3e2 ай бұрын
Mungu siku zote ni wa haki ikiwa siku yake ya kufa haijafika hatokufa ng'o mpaka atimize kusud la Mungu aliloitiwa na Mungu
@henrykigugwe51122 ай бұрын
He is a Hero ! Will still Be A Hero!
@saidpatrick-j2b2 ай бұрын
May god protect him
@ibrahimdaudi58232 ай бұрын
mwenyezi mungu amlinde popote alipo
@honorascusmatembe29872 ай бұрын
Makonda wherever you're be protected and preserved in the name of Jesus Christ and Come back safe and strong 💪🙏
@jacquelineswila57982 ай бұрын
AMEEN
@ErnestSolomon-m7o2 ай бұрын
Mungu naomba umsaidie rafiki yangu makonda wanaopigana name mungu pigana nao usiogope mungu atakushindia
@JenipherCharles-z2j2 ай бұрын
Makonda mungu akulinde akuepushe na mabaya yote akufiche ktk mbawa zake amina
@wilybinamungu97312 ай бұрын
IPO siku uvumilivu utakwisha, hatuwezi kukaa tunaona tu Viongozi watetezi WA wanyonge wanafanyiwa MATUKIO makubwa arafu tunakaa kimya siku zote, tutakuja kuamka tu!. Niombe mwenyezi Mungu amjahaliye Afya njema
@NellyMusic-vc6iz2 ай бұрын
Global media is best to me 🎉🎉
@edfinelmas52452 ай бұрын
Maombi yangu kwako Mh. Paul Makonda🙏
@MariaMollel-m9m2 ай бұрын
Mungu yupo na mkuu wetu
@brendasamson20862 ай бұрын
Nguvu ya Mungu ni kubwa kuliko nguvu ya maadui Mungu atamlinda paul makonda na atakuwa salama sana
@mwankenjatv93302 ай бұрын
Mnaongea stori wakt mtu wanamkuta😅😅😂😂
@PiusKimaro2 ай бұрын
Nbona maana hauna pakipatia chakula.ombaomba
@hafsalucky10882 ай бұрын
Ee Mungu Nakuomba Umponye Makonda, Sitaki kulia Tena, Mungu Usiyeshindwa Nakuomba Usikie maombi yangu na wote wamaompenda Makonda🙏
@jacquelineswila57982 ай бұрын
Amina
@ConfusedFrog-lc9db2 ай бұрын
Duh Tanzania ina shida sana Mtu mwema watamfanyia hila tu😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢
@faisalnasser58952 ай бұрын
.ungu Akulinde kakayetu makonda tunakupenda sana sana
@StrongbowArrow20042 ай бұрын
Jamani 😢😢😢😢😢 Nimelia mie Mungu wangu akamfqnyie wepesi ashindi hali yoyote mbaya inayomkabili jamani 😢😢😢
@churicharles79782 ай бұрын
Mungu amulinde popote alipo bdo tunamwitaji Sana tunakuombea daima ulipo
@EVELIUSSEBASTIAN2 ай бұрын
Mungu akiwaupande wake ninani aliyejuuyake!!
@mofungoya97292 ай бұрын
Mungu akujalie afya njema
@NeemaNey-mp2fi2 ай бұрын
Duu Kama wamemuua Tena makonda kwa kweli Nchi hii sio ya Aman Tena tutakua tuu na mungu aishivyo Bora tu makonda awe salama maana hata mbingu na ardhi kutulia kimya Ila Kama wamemwondoa Tena mtetezi wa wanyonge Kama Rais wetu Duu Bora Kenya maisha ni laivi hawana unafki kwa kweli
@marcoakyoo7602 ай бұрын
Hiki kikundi cha wahuni hakilitakii mema taifa letu Inauma sana pale tunapopata mtu wa kazi wanapita nae😢😢😢
@NajmaMomo2 ай бұрын
Mungu akulinde na kukutunza Makonda kipenz cha watu
@ruthdavie11752 ай бұрын
Mungu amlinde Mh. Makonda
@Lighttemba2 ай бұрын
Roho inaniuma sana jaman shujaa wa wengi, mungu mlinde na kila Hila mbaya
@BarnabasMphuru2 ай бұрын
Mungu akulinde broo makonda
@janelyatuu11352 ай бұрын
Mungu wewe ndiye unae majibu sahihi ya makonda alipo ee mungu wetu mpe Afya njema mlinde na maaduwi wote
@firdausqutty20672 ай бұрын
Tz ukionekana shujaa tu unapotezwa, kiukweli Makonda nimpiganaji sana na nimsema kweli ila kila kilichokizuri kinatuachia maumivu...jamani Mungu mlinde huyu baba hakika nishujaa.
@naturelle10972 ай бұрын
God forbid.Angels of protection encamp around you Makonda.❤
@AlHamra-k4u2 ай бұрын
Mwenyezi Mungu amlinde Mh Makonda. Ampe afya njema huko aliko
@neemanziku54032 ай бұрын
Hivi kwann huwa hawa tuambii kiongoz wetu alipo?
@amosmchuma-t5p2 ай бұрын
Mungu simama na kiongozi huyu imani yetu ni kubwa sana kwko❤
@rodymtakimwa32052 ай бұрын
Mungu atusimamie atuonyeshe mwanga
@ElizabethPalanjo2 ай бұрын
Mungu tunajua wewe ni mwaminifu ktk maisha yet sisi hakuna tunacho weza mungu wangu ,, wala hakuna tunacho jua juu ya kaka yetu makonda,, mungu tunakuachia wewe tu kwan sisi sote ni binadam,, mungu pigana na kila anae pigana nae , tunakuamini mungu wetu
@CosmasLeza2 ай бұрын
Umh mungu amlinde huko aliko tunajua wewe ndo mwenye majibu sahihi
@ndolepeter27702 ай бұрын
Kwann jaman mbona ukiwa mpenda hak wszete wanyonge, unaambatana na wanyoge zaid unapigwa vita kwa nn jaman, tukumbuke haya ni maisja mafupi ya hapa duninian tupendane kwaajili ya maisha ya milele mbingun, tulizaliwa uchi na mwisho wa maisha yetu tutaviacha vyote hakuna tajir wala masikin mbingun,Mungu mbarik mdogo wangu makonda
@DoreenNyange2 ай бұрын
Mungu wangu wa mbinguni naomba umlinde makonda
@cloudngoko.26792 ай бұрын
My brother Makonda tunahitaji tumuone katika media mtafanya tuunganishe matukio ni mtu pekee mtetezi wa Rais wetu katika umbo la kibinadamu mwenye pua mdomo na masikio ambae moyo wake mweupe kuitumikia nchi hii🇹🇿
@AmourHaji-gh6pp2 ай бұрын
Mungu akulinde Makondaaaaaaa😢
@JISUSIDOKTA2 ай бұрын
Eee mwenyezi mungu tunakuomba umlinde sana makonda
@CatherineMbatta2 ай бұрын
Mungu amlinde na kumuepusha na mabaya yote ,amen
@kagombaEnok2 ай бұрын
Mungu amlinde
@rhodakulwa17742 ай бұрын
Mwenyezi Mungu akulinde mtumishi hila za mbovu zishindwe kwajina Yesu
Damu ya YESU inenayo mema ikanene mema na malaika wa ulinzi waendelee kukuatamia makondo mungu awe nguzo ya moto ,pona kwa jina la Yesu ,afya ikishaimarika arudi kwa neema ya mungu ni mshindi amen
@culturaltourism85942 ай бұрын
Mungu baba katika Jina La Yesu tulindie Makonda..tusikie anaendelea vizuri..Amen
@cejnimedia2 ай бұрын
Kama yasemwayo ni kweli, basii ni marufuku kuwa mtu mzuriii na mwenye kujali kwenye nchii ya Tanzania.
@HekimaMwambegele2 ай бұрын
Daaaaaaaah
@EnockNanyaro-lk1zi2 ай бұрын
Mungu mlinde shujaa wetu
@sawiabatenga35542 ай бұрын
Duh! Imenishtutua saana
@EdwinAmbakisye-li4zq2 ай бұрын
Jamani makonda mbona hatumuoni. Boss wetu
@RamlahNassoro2 ай бұрын
Makonda makonda makonda wetu jamani Allaah akujaalie uzima na afya popote ulipo makonda twakupenda jamani kiongozi wetu mahiri
@umsulaiman74682 ай бұрын
Mahasidi Mungu awashinde hawana kher maana wakipata mtu anae ongoza vizuri hawaridhiki watatafuta Kila njia ya kumdhuru lakin yarab tunakuomba hifadhi yako muhifadh na kulinda Makonda na Shari za walimwengu yarab
@mchungajimpigauzitv57032 ай бұрын
Yesu yesu simamiya Taifa hili
@Clex-f5s2 ай бұрын
Naamini utakuwa uchovu wa kazi anatakiwa awe anapumzika aisee🙏🏽
@JuliasMipawa2 ай бұрын
Dah makonda yuko wapi jamani
@jangalavolcano2 ай бұрын
Wazalendo wanne wanchi hii wanao utambua uafirika wetu,na shida zetu mungu awalinde1) mama Samia. 2) idolis mipango, 3) kasmu majaliwa,4
@umsulaiman74682 ай бұрын
Yarab Mungu wetu tunakuomba yarab mlinde shujaa wetu Makonda muhifadh kwenye hifadhi yko mlinde na maadui yarab kama anaumwa mpe shifaa muinuwe Salama ndugu yetu yarab tutakabalie dua zetu
@aishaalbalushaishabalush82912 ай бұрын
Allahuma amin yarab laalamin 🤲🤲
@maulidijselemani93922 ай бұрын
Tafadhali mwenyezi mungu tunakuomba utulindie Mh Paul Makonda wetu kwani walisha tuondolea sokoine, Augustino lyatonga Mrema, maalim seif, Edward Lowassa na kipenzi chetu Hayati John Joseph pombe Magufuli. Tuna kuomba mwenyezi mungu tulindie kiongozi wetu Makonda 🙏🙏
@amankachira2 ай бұрын
Kazi ya Mungu hua hainaga makosa
@TwalibuYahaya-o7l2 ай бұрын
Hakika inaumiza sana tz
@jalaryababilasi15622 ай бұрын
Mungu mlinde kaka ang makonda
@evasilaa90642 ай бұрын
Duh jamani jamani
@ngayoklanguna49292 ай бұрын
Huu ni mfano wa kuiga🌺
@PeterSarwatt-n8n2 ай бұрын
e mwenyezi mungu mlinde na mnusuru na baya lolote Rc makonda
@pyelesyamwakatika5402 ай бұрын
Mungu amuepushe na yote mabaya Mungu amjaalie afya njema Mungu wewe ndio dawa ya wote wenye uhitaji mlinde Makonda wetu
Kwa taarifa kama hizi Tanzania hakuna amani Mungu mlinde makonda popote alipo huyu mwamba wa🇹🇿
@janecolleter2 ай бұрын
Daaah! Mungu wa mbingun amtunze Makonda popote pale alipo amuepushe na kila baya
@AishaShabani-e6r2 ай бұрын
Mungu mlinde baba etu po makonda
@samsonhamery38092 ай бұрын
Watanzania tumwomve Sana Mwenyezi Mungu Nchi yetu isiangukie mikononi mwa wamwaga damu ya Viongozi waadilifu wa Taifa letu: Isije ikatokea Kama ilivyotokea kwa hayatii Magufuri: Ninyi Wana Arusha ebu nwulizeni mke wake au nendeni nyumbani kwake mpate ukweli
@janethjuliasi75002 ай бұрын
Hakika Mungu Wa mbinguni Akulinde Makonda Wetu popote ulipo Mungu akupatie ulinz kila kona
@JJTSUPERCLEANER2 ай бұрын
Mmeanza tena kama yale ya rais wetu JPM yaani mmezoea kila kiongoz anayeinuka against viongozi waovu huwa hacheleweshwa hii miharamia ikishaona tu kiongozi anayeitaabisha haimchelewesh! Ila Mungu yupo na Mungu amsaidie kaka yetu kipenzi mh.Paul Makonda maana ana nyayo za baba yetu jpm!