RAS MKOA wa ARUSHA AJIBU ALIPO RC MAKONDA - AFYA YAKE kwa MARA ya KWANZA KUPITIA GLOBAL TV....

  Рет қаралды 160,040

Global TV  Online

Global TV Online

Күн бұрын

Пікірлер: 423
@globaltv_online
@globaltv_online 2 ай бұрын
Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
@ndorobocarworks-dx4pf
@ndorobocarworks-dx4pf 2 ай бұрын
Mungu wangu dah!
@aminaomary5567
@aminaomary5567 2 ай бұрын
Mwanangu kama unaumwa Mungu akupe afya njema kwakweli. Tunakupenda sana❤❤🎉🎉🎉❤❤❤
@ivonaevarista4654
@ivonaevarista4654 2 ай бұрын
Makonda tunakupenda Sana mtumishi wa Mungu, Bwana Yesu Kristo asimame nawewe katika Hali zote
@cloudngoko.2679
@cloudngoko.2679 2 ай бұрын
Kaka yetu Makonda Mungu amlinde sana. Mungu amlinde sana tunachukia sana kua na ukimya. Hatupendi ujue na taarifa yenu Paul Makonda yupo mioyoni mwetu.
@yassinerasmus7400
@yassinerasmus7400 2 ай бұрын
Mungu ww ndo mwenye majibu sahihi ya Makonda ee Mungu wetu mpe Afya njema
@ZainabMilanzi
@ZainabMilanzi 2 ай бұрын
Jamani jamani jamani inauma Sana Allah ndiye anajua atakavyomsaidia shujaa wetu Amina
@EliauMtishbi-os5ky
@EliauMtishbi-os5ky 2 ай бұрын
Mungu umlinde Mh. Makonda awe mzima wa afya . Ninaachilia nguvu ya roho mtakatifu imponye .
@SarahLetion
@SarahLetion 2 ай бұрын
Moyo unauma sana kusikia hivyo Mungu mlinde shujaa wetu popote alipo kumbuka kazi nzuri aliofanya kwa ajili ya watanzania , Baba hatujui yuko wapi ila wewe unajua tunamfunika kwa damu ya Yesu Kristo na kila atakapo pita Mungu mbariki maadui zake wakae mbali kwa jina la Yesu Kristo, amen.
@BonnyMwajombe-iu7hb
@BonnyMwajombe-iu7hb 2 ай бұрын
Mungu amesikia maombi yako
@ELIAMbise-sy5ue
@ELIAMbise-sy5ue 2 ай бұрын
Kabla yakupaparikia aliyo yafanya katika uenezi wake , angalia back ground yake. Muuwaji uyo.
@erickmsigala138
@erickmsigala138 2 ай бұрын
Shujaa wawa wapumbavu wasiyo jielewa, wavivu, wajinga na masikini wa fikra
@ElygloryKilango-qu1kj
@ElygloryKilango-qu1kj 2 ай бұрын
Wew ndio hujielewi​@@erickmsigala138
@pambanassoro
@pambanassoro 2 ай бұрын
Mtu anaependa kula jasho LA watu Huwa afurahishwi na Mtu atakae jitokeza kutengeneza haki za walio na haki maana aliekuwa anatumia jasho La watu atakosa haki mungu wape maarifa watu wako ameen
@elinurukitomali6008
@elinurukitomali6008 2 ай бұрын
Eeee Mungu wangu mbona sielewi jamani Mr. Makonda popote ulipo Mungu akulinde
@halimamasai2234
@halimamasai2234 2 ай бұрын
Mungu mlinde huyu shuja wetu mpe afya njema Na maisha marefeu inshaallah 🤲🤲🤲🤲🤲
@shanimbaruku2071
@shanimbaruku2071 2 ай бұрын
Aamin Aamiin YaaRabbal Alaamiin
@jaliamkubilasidi
@jaliamkubilasidi 2 ай бұрын
Aaaaaaminy
@Elizabethmwanga-y5e
@Elizabethmwanga-y5e 2 ай бұрын
Jamani makonda mungu akulinde tunakupenda sana mungu wangu msadie
@MapenziMalanda
@MapenziMalanda 2 ай бұрын
Msh Makonda yupo mikononi mwa Kristo na hakuna Hila Wala nguvu yeyote ya Giza inayo weza kumgusa.✝️💪
@hafsalucky1088
@hafsalucky1088 2 ай бұрын
Amen 🙏
@gabumkono
@gabumkono 2 ай бұрын
Acha mawazo mgando,,, ukiwa kwa kristo ndo hupatwi na mauti?
@Imaniamockgmail
@Imaniamockgmail 2 ай бұрын
Amen!🙏
@VelonikaMwamakimbula
@VelonikaMwamakimbula 2 ай бұрын
Amen
@beatricejoseph2347
@beatricejoseph2347 2 ай бұрын
Mkono wa Mungu ukawe juu ya baba Keagan, mabaya yasikupate .
@philomenaPhilipo
@philomenaPhilipo 2 ай бұрын
Mungu akulinde na maadui zako
@DrFatmaKhanPanAfrikan
@DrFatmaKhanPanAfrikan 2 ай бұрын
❤PCMakonda Mwenye'Enzi'Mungu'Mlezi AmLinde na AmTangulie❤
@loishiyesamwel1374
@loishiyesamwel1374 2 ай бұрын
Mungu wangu akampe Afya njema Kijana wetu Makonda.
@djumaally5536
@djumaally5536 2 ай бұрын
Ewe mungu amlinde mkuu makonda (we need you)
@NeemaNjera-ho6ln
@NeemaNjera-ho6ln 2 ай бұрын
Ngoja.makonda.asionekane Mtatueleza.vizuri..au Mtaka.tuandamane
@DamianNdoka-e7f
@DamianNdoka-e7f 2 ай бұрын
Pole RC wetu mungu akuambirije 'mwanakaya tupo pamoja kwa sala uppate nafuu wabeja from TAWESO MToWAmBUAR
@VeronicaMungure
@VeronicaMungure 2 ай бұрын
Mungu akuponye Bado tunakuhitaji sana
@odilomwakamela4889
@odilomwakamela4889 2 ай бұрын
Dah Mungu amfanyie wepesi makonda ni aina ya kiongoz ambaye taifa linamhitaji sana sanaa
@JosureNassary
@JosureNassary 2 ай бұрын
Mungu akulinde baba yetu tunakupenda sana mungu akutangulie popote ulipo mabaya yakae mbali na wew kipenz Cha R Chuga inshallah wa Ina Lillah 😢
@EmmanueliZani-ur9bi
@EmmanueliZani-ur9bi 2 ай бұрын
Jamani, tuambieni ukweli, Makonda yupo wapi? Msije mkatuambia amekufa, hatutawaelewa. Tunataka kumuona Makonda akiwa mzima. Asante.
@reubenkissinga5802
@reubenkissinga5802 2 ай бұрын
Umepagawa?Kwani ni Nani anastahili kufa?Acha uzwazwaa
@CHIIZATV-hl4zu
@CHIIZATV-hl4zu 2 ай бұрын
Huyu jamaa ni fala bac kufa wewe yeye abaki😂😂😂
@iddykivu050
@iddykivu050 2 ай бұрын
​@@reubenkissinga5802Mbona Unaingilia Mawazo ya Mtu nini Shida Au Ulishawai kulawitiwa
@emanuelmkama1325
@emanuelmkama1325 2 ай бұрын
​@@reubenkissinga5802bwege
@marymgimwa
@marymgimwa 2 ай бұрын
Yaani mhhh muumba MAKONDA APONE KWA LOLOTE
@zainabunizota3540
@zainabunizota3540 2 ай бұрын
Mungu amlinde na ampe afya njema makonda wetu sisi ndio anayetufaa basi watuachie,
@albinombungu4294
@albinombungu4294 2 ай бұрын
Mungu umlinde mkuu wa mkoa arusha
@SuleAmber-lw2tx
@SuleAmber-lw2tx 2 ай бұрын
Hizi habari zinatisha sana lakini tusichoke kumuombea Kiongozi wetu Bora kbs.
@AnethMushi-c3e
@AnethMushi-c3e 2 ай бұрын
Mungu siku zote ni wa haki ikiwa siku yake ya kufa haijafika hatokufa ng'o mpaka atimize kusud la Mungu aliloitiwa na Mungu
@henrykigugwe5112
@henrykigugwe5112 2 ай бұрын
He is a Hero ! Will still Be A Hero!
@saidpatrick-j2b
@saidpatrick-j2b 2 ай бұрын
May god protect him
@ibrahimdaudi5823
@ibrahimdaudi5823 2 ай бұрын
mwenyezi mungu amlinde popote alipo
@honorascusmatembe2987
@honorascusmatembe2987 2 ай бұрын
Makonda wherever you're be protected and preserved in the name of Jesus Christ and Come back safe and strong 💪🙏
@jacquelineswila5798
@jacquelineswila5798 2 ай бұрын
AMEEN
@ErnestSolomon-m7o
@ErnestSolomon-m7o 2 ай бұрын
Mungu naomba umsaidie rafiki yangu makonda wanaopigana name mungu pigana nao usiogope mungu atakushindia
@JenipherCharles-z2j
@JenipherCharles-z2j 2 ай бұрын
Makonda mungu akulinde akuepushe na mabaya yote akufiche ktk mbawa zake amina
@wilybinamungu9731
@wilybinamungu9731 2 ай бұрын
IPO siku uvumilivu utakwisha, hatuwezi kukaa tunaona tu Viongozi watetezi WA wanyonge wanafanyiwa MATUKIO makubwa arafu tunakaa kimya siku zote, tutakuja kuamka tu!. Niombe mwenyezi Mungu amjahaliye Afya njema
@NellyMusic-vc6iz
@NellyMusic-vc6iz 2 ай бұрын
Global media is best to me 🎉🎉
@edfinelmas5245
@edfinelmas5245 2 ай бұрын
Maombi yangu kwako Mh. Paul Makonda🙏
@MariaMollel-m9m
@MariaMollel-m9m 2 ай бұрын
Mungu yupo na mkuu wetu
@brendasamson2086
@brendasamson2086 2 ай бұрын
Nguvu ya Mungu ni kubwa kuliko nguvu ya maadui Mungu atamlinda paul makonda na atakuwa salama sana
@mwankenjatv9330
@mwankenjatv9330 2 ай бұрын
Mnaongea stori wakt mtu wanamkuta😅😅😂😂
@PiusKimaro
@PiusKimaro 2 ай бұрын
Nbona maana hauna pakipatia chakula.ombaomba
@hafsalucky1088
@hafsalucky1088 2 ай бұрын
Ee Mungu Nakuomba Umponye Makonda, Sitaki kulia Tena, Mungu Usiyeshindwa Nakuomba Usikie maombi yangu na wote wamaompenda Makonda🙏
@jacquelineswila5798
@jacquelineswila5798 2 ай бұрын
Amina
@ConfusedFrog-lc9db
@ConfusedFrog-lc9db 2 ай бұрын
Duh Tanzania ina shida sana Mtu mwema watamfanyia hila tu😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢
@faisalnasser5895
@faisalnasser5895 2 ай бұрын
.ungu Akulinde kakayetu makonda tunakupenda sana sana
@StrongbowArrow2004
@StrongbowArrow2004 2 ай бұрын
Jamani 😢😢😢😢😢 Nimelia mie Mungu wangu akamfqnyie wepesi ashindi hali yoyote mbaya inayomkabili jamani 😢😢😢
@churicharles7978
@churicharles7978 2 ай бұрын
Mungu amulinde popote alipo bdo tunamwitaji Sana tunakuombea daima ulipo
@EVELIUSSEBASTIAN
@EVELIUSSEBASTIAN 2 ай бұрын
Mungu akiwaupande wake ninani aliyejuuyake!!
@mofungoya9729
@mofungoya9729 2 ай бұрын
Mungu akujalie afya njema
@NeemaNey-mp2fi
@NeemaNey-mp2fi 2 ай бұрын
Duu Kama wamemuua Tena makonda kwa kweli Nchi hii sio ya Aman Tena tutakua tuu na mungu aishivyo Bora tu makonda awe salama maana hata mbingu na ardhi kutulia kimya Ila Kama wamemwondoa Tena mtetezi wa wanyonge Kama Rais wetu Duu Bora Kenya maisha ni laivi hawana unafki kwa kweli
@marcoakyoo760
@marcoakyoo760 2 ай бұрын
Hiki kikundi cha wahuni hakilitakii mema taifa letu Inauma sana pale tunapopata mtu wa kazi wanapita nae😢😢😢
@NajmaMomo
@NajmaMomo 2 ай бұрын
Mungu akulinde na kukutunza Makonda kipenz cha watu
@ruthdavie1175
@ruthdavie1175 2 ай бұрын
Mungu amlinde Mh. Makonda
@Lighttemba
@Lighttemba 2 ай бұрын
Roho inaniuma sana jaman shujaa wa wengi, mungu mlinde na kila Hila mbaya
@BarnabasMphuru
@BarnabasMphuru 2 ай бұрын
Mungu akulinde broo makonda
@janelyatuu1135
@janelyatuu1135 2 ай бұрын
Mungu wewe ndiye unae majibu sahihi ya makonda alipo ee mungu wetu mpe Afya njema mlinde na maaduwi wote
@firdausqutty2067
@firdausqutty2067 2 ай бұрын
Tz ukionekana shujaa tu unapotezwa, kiukweli Makonda nimpiganaji sana na nimsema kweli ila kila kilichokizuri kinatuachia maumivu...jamani Mungu mlinde huyu baba hakika nishujaa.
@naturelle1097
@naturelle1097 2 ай бұрын
God forbid.Angels of protection encamp around you Makonda.❤
@AlHamra-k4u
@AlHamra-k4u 2 ай бұрын
Mwenyezi Mungu amlinde Mh Makonda. Ampe afya njema huko aliko
@neemanziku5403
@neemanziku5403 2 ай бұрын
Hivi kwann huwa hawa tuambii kiongoz wetu alipo?
@amosmchuma-t5p
@amosmchuma-t5p 2 ай бұрын
Mungu simama na kiongozi huyu imani yetu ni kubwa sana kwko❤
@rodymtakimwa3205
@rodymtakimwa3205 2 ай бұрын
Mungu atusimamie atuonyeshe mwanga
@ElizabethPalanjo
@ElizabethPalanjo 2 ай бұрын
Mungu tunajua wewe ni mwaminifu ktk maisha yet sisi hakuna tunacho weza mungu wangu ,, wala hakuna tunacho jua juu ya kaka yetu makonda,, mungu tunakuachia wewe tu kwan sisi sote ni binadam,, mungu pigana na kila anae pigana nae , tunakuamini mungu wetu
@CosmasLeza
@CosmasLeza 2 ай бұрын
Umh mungu amlinde huko aliko tunajua wewe ndo mwenye majibu sahihi
@ndolepeter2770
@ndolepeter2770 2 ай бұрын
Kwann jaman mbona ukiwa mpenda hak wszete wanyonge, unaambatana na wanyoge zaid unapigwa vita kwa nn jaman, tukumbuke haya ni maisja mafupi ya hapa duninian tupendane kwaajili ya maisha ya milele mbingun, tulizaliwa uchi na mwisho wa maisha yetu tutaviacha vyote hakuna tajir wala masikin mbingun,Mungu mbarik mdogo wangu makonda
@DoreenNyange
@DoreenNyange 2 ай бұрын
Mungu wangu wa mbinguni naomba umlinde makonda
@cloudngoko.2679
@cloudngoko.2679 2 ай бұрын
My brother Makonda tunahitaji tumuone katika media mtafanya tuunganishe matukio ni mtu pekee mtetezi wa Rais wetu katika umbo la kibinadamu mwenye pua mdomo na masikio ambae moyo wake mweupe kuitumikia nchi hii🇹🇿
@AmourHaji-gh6pp
@AmourHaji-gh6pp 2 ай бұрын
Mungu akulinde Makondaaaaaaa😢
@JISUSIDOKTA
@JISUSIDOKTA 2 ай бұрын
Eee mwenyezi mungu tunakuomba umlinde sana makonda
@CatherineMbatta
@CatherineMbatta 2 ай бұрын
Mungu amlinde na kumuepusha na mabaya yote ,amen
@kagombaEnok
@kagombaEnok 2 ай бұрын
Mungu amlinde
@rhodakulwa1774
@rhodakulwa1774 2 ай бұрын
Mwenyezi Mungu akulinde mtumishi hila za mbovu zishindwe kwajina Yesu
@AswilaSeif
@AswilaSeif 2 ай бұрын
Makondo hatujuu yupo wapi makonda mungu mnusuru yupo wapi😢😢,hili ningiza lakutofaham??????2
@amedeustesha5947
@amedeustesha5947 2 ай бұрын
Mbona taarifa za kuhuzunisha Kwa shujaa wetu
@elizabethmakaranga218
@elizabethmakaranga218 2 ай бұрын
Damu ya YESU inenayo mema ikanene mema na malaika wa ulinzi waendelee kukuatamia makondo mungu awe nguzo ya moto ,pona kwa jina la Yesu ,afya ikishaimarika arudi kwa neema ya mungu ni mshindi amen
@culturaltourism8594
@culturaltourism8594 2 ай бұрын
Mungu baba katika Jina La Yesu tulindie Makonda..tusikie anaendelea vizuri..Amen
@cejnimedia
@cejnimedia 2 ай бұрын
Kama yasemwayo ni kweli, basii ni marufuku kuwa mtu mzuriii na mwenye kujali kwenye nchii ya Tanzania.
@HekimaMwambegele
@HekimaMwambegele 2 ай бұрын
Daaaaaaaah
@EnockNanyaro-lk1zi
@EnockNanyaro-lk1zi 2 ай бұрын
Mungu mlinde shujaa wetu
@sawiabatenga3554
@sawiabatenga3554 2 ай бұрын
Duh! Imenishtutua saana
@EdwinAmbakisye-li4zq
@EdwinAmbakisye-li4zq 2 ай бұрын
Jamani makonda mbona hatumuoni. Boss wetu
@RamlahNassoro
@RamlahNassoro 2 ай бұрын
Makonda makonda makonda wetu jamani Allaah akujaalie uzima na afya popote ulipo makonda twakupenda jamani kiongozi wetu mahiri
@umsulaiman7468
@umsulaiman7468 2 ай бұрын
Mahasidi Mungu awashinde hawana kher maana wakipata mtu anae ongoza vizuri hawaridhiki watatafuta Kila njia ya kumdhuru lakin yarab tunakuomba hifadhi yako muhifadh na kulinda Makonda na Shari za walimwengu yarab
@mchungajimpigauzitv5703
@mchungajimpigauzitv5703 2 ай бұрын
Yesu yesu simamiya Taifa hili
@Clex-f5s
@Clex-f5s 2 ай бұрын
Naamini utakuwa uchovu wa kazi anatakiwa awe anapumzika aisee🙏🏽
@JuliasMipawa
@JuliasMipawa 2 ай бұрын
Dah makonda yuko wapi jamani
@jangalavolcano
@jangalavolcano 2 ай бұрын
Wazalendo wanne wanchi hii wanao utambua uafirika wetu,na shida zetu mungu awalinde1) mama Samia. 2) idolis mipango, 3) kasmu majaliwa,4
@umsulaiman7468
@umsulaiman7468 2 ай бұрын
Yarab Mungu wetu tunakuomba yarab mlinde shujaa wetu Makonda muhifadh kwenye hifadhi yko mlinde na maadui yarab kama anaumwa mpe shifaa muinuwe Salama ndugu yetu yarab tutakabalie dua zetu
@aishaalbalushaishabalush8291
@aishaalbalushaishabalush8291 2 ай бұрын
Allahuma amin yarab laalamin 🤲🤲
@maulidijselemani9392
@maulidijselemani9392 2 ай бұрын
Tafadhali mwenyezi mungu tunakuomba utulindie Mh Paul Makonda wetu kwani walisha tuondolea sokoine, Augustino lyatonga Mrema, maalim seif, Edward Lowassa na kipenzi chetu Hayati John Joseph pombe Magufuli. Tuna kuomba mwenyezi mungu tulindie kiongozi wetu Makonda 🙏🙏
@amankachira
@amankachira 2 ай бұрын
Kazi ya Mungu hua hainaga makosa
@TwalibuYahaya-o7l
@TwalibuYahaya-o7l 2 ай бұрын
Hakika inaumiza sana tz
@jalaryababilasi1562
@jalaryababilasi1562 2 ай бұрын
Mungu mlinde kaka ang makonda
@evasilaa9064
@evasilaa9064 2 ай бұрын
Duh jamani jamani
@ngayoklanguna4929
@ngayoklanguna4929 2 ай бұрын
Huu ni mfano wa kuiga🌺
@PeterSarwatt-n8n
@PeterSarwatt-n8n 2 ай бұрын
e mwenyezi mungu mlinde na mnusuru na baya lolote Rc makonda
@pyelesyamwakatika540
@pyelesyamwakatika540 2 ай бұрын
Mungu amuepushe na yote mabaya Mungu amjaalie afya njema Mungu wewe ndio dawa ya wote wenye uhitaji mlinde Makonda wetu
@RICHMINDEDSKILLS
@RICHMINDEDSKILLS 2 ай бұрын
Mungu mlinde mlinde mlinde mlinde mlinde mlinde mlinde mlinde amen 🙏
@zefamange7281
@zefamange7281 2 ай бұрын
WAMEANZA KAMA KWA MAGUFULI 😢😢
@KashinjeShija-rk9fv
@KashinjeShija-rk9fv 2 ай бұрын
Kwa taarifa kama hizi Tanzania hakuna amani Mungu mlinde makonda popote alipo huyu mwamba wa🇹🇿
@janecolleter
@janecolleter 2 ай бұрын
Daaah! Mungu wa mbingun amtunze Makonda popote pale alipo amuepushe na kila baya
@AishaShabani-e6r
@AishaShabani-e6r 2 ай бұрын
Mungu mlinde baba etu po makonda
@samsonhamery3809
@samsonhamery3809 2 ай бұрын
Watanzania tumwomve Sana Mwenyezi Mungu Nchi yetu isiangukie mikononi mwa wamwaga damu ya Viongozi waadilifu wa Taifa letu: Isije ikatokea Kama ilivyotokea kwa hayatii Magufuri: Ninyi Wana Arusha ebu nwulizeni mke wake au nendeni nyumbani kwake mpate ukweli
@janethjuliasi7500
@janethjuliasi7500 2 ай бұрын
Hakika Mungu Wa mbinguni Akulinde Makonda Wetu popote ulipo Mungu akupatie ulinz kila kona
@JJTSUPERCLEANER
@JJTSUPERCLEANER 2 ай бұрын
Mmeanza tena kama yale ya rais wetu JPM yaani mmezoea kila kiongoz anayeinuka against viongozi waovu huwa hacheleweshwa hii miharamia ikishaona tu kiongozi anayeitaabisha haimchelewesh! Ila Mungu yupo na Mungu amsaidie kaka yetu kipenzi mh.Paul Makonda maana ana nyayo za baba yetu jpm!
Бенчик, пора купаться! 🛁 #бенчик #арти #симбочка
00:34
Симбочка Пимпочка
Рет қаралды 3,1 МЛН
didn't manage to catch the ball #tiktok
00:19
Анастасия Тарасова
Рет қаралды 32 МЛН
إخفاء الطعام سرًا تحت الطاولة للتناول لاحقًا 😏🍽️
00:28
حرف إبداعية للمنزل في 5 دقائق
Рет қаралды 80 МЛН
Good teacher wows kids with practical examples #shorts
00:32
I migliori trucchetti di Fabiosa
Рет қаралды 12 МЛН
When Royal Guards Fight Back!
8:08
Fighting Spirit
Рет қаралды 7 МЛН
Бенчик, пора купаться! 🛁 #бенчик #арти #симбочка
00:34
Симбочка Пимпочка
Рет қаралды 3,1 МЛН