Usisahau ku"SUBSCRIBE" KZbin channel yetu kwa videos nyinginezo #zamaraditv #mambonimengi
Пікірлер: 43
@aairraahseif564829 күн бұрын
🙌🙌🙌Jamaa ana moyo wa utofauti sana humble,ni mstaarabu kupitiliza, hekima busara na ushujaa, muonekano wa kipekee kama moyo wake ulivyo!Nandi anacho cha kumjibu huyu jamaa ana deni kubwa! Ni aibu kwa Nandi kumsahau jamaa kwa harakati alizozifanya kumpambania afike pahala!kisha Nandi Anasahau fadhila za rafiki huyu mwema na muhimu kuliko hao watu alio nao hivi sasa!Jamaa hakustahili sahau ya Nandi'kuna cha kujifunza,hope Nandi aione hii
@kampotkanangila964729 күн бұрын
Nihatari yani nilivyo kuwa na mupenda ya nashangaa ilo kweli limenifanya nimushangae kweli mwanadamu ana moo wahajabu tena kwahaa ma neno ina bidi ajitambuwe ju aa nimahisha yana gehuka
@aairraahseif564828 күн бұрын
@@kampotkanangila9647 mbaya zaidi yakuumiza ni Nandi kumpotezea jamaa, ktk muda ule jamaa anahitaji kujipata alimtafuta Nandi,Nandi kampotezea,Dah! ili Nandi amshike mkono kama jamaa alivyo mpambania nakutoboa!nae ilikuwa afanye kitu kwa jamaa nae apande!hapo tu' ndo panaumiza
@WahidaHilaly23 күн бұрын
Saaaaana ana Moyo Safi🙏
@denniskasela429 күн бұрын
Mwenyezi Mungu azidi kumfanyia wepesi uyu bwana roho yake ya ajabu sanaa🙌💥
@kampotkanangila964729 күн бұрын
Nime jifunza kitu kutoka kwahuu kaka mwana damu hatari
@beatricejoseph278429 күн бұрын
Amen
@RachelEmid-jq6eo29 күн бұрын
Duuuu nmemshangaa San nandy wallah😢 hv unawezaje msahau mtu alokushika mkono kias hcho yaan wapare hapan jmn 🙌🙌
@kampotkanangila964729 күн бұрын
Niha tari yani nime kosa chakusema nabaki na mushangaa kwagisi navyo mupendaga ameni kera kwasa babu watu wana mna hio wana ni kataga sana
@beatricejoseph278429 күн бұрын
Kwani huwajui wapare na ww 😂
@rwakitatechnology730828 күн бұрын
Mwamba anamtetea Nandy ila kwa ufupi Nandy alimkataa mchzi 😂😂
@beatricejoseph278429 күн бұрын
Kaongea kistaarabu sana nimependa
@khadijauledi329329 күн бұрын
Watu wengi watamlaumu sana NANDY ,lakini Mungu anasababu na siku zote MUNGU hutuletea watu kwenye maisha yetu kwasababu, huyu kaka alailetwa kwenye maisha ya NANDY ili ampandishe au amuahamishe mahala fulani pajuu zaidi basi.MUNGU huja kwenye maisha yetukwa namna nyingi,wakati mwingine kupitia bianadamu wenyewe kwa wenyewe.
@kampotkanangila964729 күн бұрын
Nae mwenyee mwenyezi mungu kamukumbusha alivyo mutokea akamubariki ame murudishia nini binadamu kuhomba nimwepesi kusahu mwepesi
@najmqhamisi563721 күн бұрын
Nandy usingoje mtu haliye kusaidiya hakuhombe kitu toha shukurani mungu hazidi kukuhogezeya baraka nandy dada yangu heshimu sana silazima pesa hapa mawasiliyano yasimu nimuimu sana aki nandy
@catherine451429 күн бұрын
Hii story imenigusa imenielimisha imenipa nguvu ya kupambania ndoto yangu
@kampotkanangila964729 күн бұрын
We acha tu mimi njo zahidi na najilahumu hukunyuma nili kuwa nalia na mwanadamu ila nimetambuwa katika aa mahisha niku pambana wee kama wee nihatari
@sabrinaali975021 күн бұрын
Mmesikia ya upande mmoja bado kwa nandi msichukue maneno ya upande mmoja mukahukumu
@ukhutfatumah115426 күн бұрын
M/mungu azid kukupa afya njema kijana wangu
@ayshamsangi834829 күн бұрын
Duh alikuja kumtaka awe demu wake😢, Nandi alipatwa na nn😢😢
@siapius469222 күн бұрын
uyu mkaka anajaribu kumtetea dada ila inaonekana dada ameshamsahahu kaka siku nyingi sana ila bro anajaribu kukanusha. ila hao ndio wapare
@Elegantlady-tz29 күн бұрын
Ungeenda kwa mange ww upewe mihela😂
@braitonurio29 күн бұрын
❤
@jabbervisuals23 күн бұрын
Umekula?
@alnasmwalingo467029 күн бұрын
Siku hazigandi Iko siku atamsaidia ni wakati tu🙏
@beatricejoseph278429 күн бұрын
Natafuta mkaka wa hivi tujenge maisha 😂😂😂
@florabuzoya394829 күн бұрын
Dah be blessed aisee
@kampotkanangila964729 күн бұрын
Ata barikiwa iko siku atamuhitaji tena dunia ni muduwara
@kampotkanangila964729 күн бұрын
Moo
@user-rd5iw6uf6l27 күн бұрын
Tenda wema nenda zako usingoj shukuran
@AbuAbu-fh9zy29 күн бұрын
Pambana mwana
@kampotkanangila964729 күн бұрын
Njohivo amuna namna mungu iko pamoja nae
@witnessmlay741528 күн бұрын
Ila Nandy😏
@user-ly6xz5zf7n29 күн бұрын
Uyu ni ex sio Rafiki,kusema uongo tu kusema ukweli aaaahhh
@georgemulandi920229 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂
@lenakassian-pr3dy29 күн бұрын
Aaaaaaaah 😂😂😂
@kampotkanangila964729 күн бұрын
labda alikuwa ana muhitaji kipindi hicho nae alikuwa ana mufikiria mwengine nihatari mana nashindwa kuhelewa
@beatricejoseph278429 күн бұрын
Loooh!!! Waja 🙌
@user-ly6xz5zf7n29 күн бұрын
@@beatricejoseph2784 ni ex bwana umesha ambiwa zaidi ya rafiki,mimi n yeye,yeye n mm imekaaje hiyo.bila D3 huwez ku elewa
@nicemtey429128 күн бұрын
He’s too humble 🥹….Nandy una deni kubwa kwa huyu kaka