Рет қаралды 43,894
Habari kubwa miongoni mwa 10 kubwa za mwanzoni mwa mwaka 2017 Tanzania ni pamoja na hii ya Wachimbaji 15 wa madini Geita walionusurika kifo baada ya kufukiwa Mgodini kwa zaidi ya saa 70 lakini wakasalimika.
Wahanga waliomba chakula na wengine wakaomba Sigara na ugoro ambapo AyoTV Geita imempata mmoja wa hao 15 aliyeomba Ugoro atueleze aliwezaje kupata ujasiri wa kuomba ugoro wakati walikua kwenye hali ya hatari.