Usisahau ku"SUBSCRIBE" KZbin channel yetu kwa videos nyinginezo #zamaraditv #mambonimengi
Пікірлер: 64
@user-mw5xs2wx8n15 күн бұрын
Nimependa sana huwa nashangaa eti kungwi unaonyesha chumba chako kwenye Midia mpk unapojisaidia mnashindwa na huyu mwanaume jmn
@ukhutfatumah115414 күн бұрын
Nimeludia kumalizia interview yangu mpendwa mie shabiki yako sana salehe kwenye hiki kipindi chako huyu kaka kweli kafundwa aswaaa uwezi ukaonyesha seem ya kulala uwezi onesha unyago uwooo
@lilianestephanie78819 күн бұрын
Yaani huyo dada alivosema “ kukumisi” nmeshangaaa😢😢😅😅 alafu hata hajawahi kumuona
@ShabanMaindeКүн бұрын
😂😂😂😂
@lilianestephanie78819 күн бұрын
Huyu naye kivulande, eti anasema umenisurprise na waliambiana tutakuja😂😂😂😂😂
@lilianestephanie78819 күн бұрын
Mmmmh Mbona kuna kichaka nyiee🙌🙌🙌🙌🙌hamuwezi kufyeka hilo chaka hapo nje?????????
@latifahkarim977412 күн бұрын
Mashaallah mzuri mwenyewe cku zote ukiwa busy na maisha yako utaambiwa unaringa unajickia
@YasminYasmin-vj5ih5 күн бұрын
Tuwache kivurande sio wote wanaojieshimu sasa hv kupo km bongo tuu ngoma drow😂😂
@mustafajumanassir680315 күн бұрын
Nlijua lazima atauliza kula anavyopenda kula
@Tariq_Tryagain7 күн бұрын
Kuna siku Saleh utapewa sumu😂😂 Mega S/O to u brother Saleh unafanya kazi kubwa kaka
@DelightfulMacawBird-tl5hf14 күн бұрын
Kwa alama hizo ulitakiwa kua shekh kivurunde
@yusufsong799313 күн бұрын
Saleh ukitaka kumuweza mweke mavyakula ata kukuzungusha atapunguza😂😂😂😂
@ashuramahali341014 күн бұрын
Saleh kulakula😂😂😂😂
@lilianestephanie78819 күн бұрын
MTANGAZAJI HUJUI KUTANGAZA KABISAA.. yaani unakera hadi interview naiona inaboaaa
@ShabanMaindeКүн бұрын
Majungu ayo
@RobsonKanana14 күн бұрын
Jamani wewe salehe unapenda kula wewe kijana ila pambanaa😂
@Rogathe-Rogathe14 күн бұрын
Mashaallah! Kaka very handsome, humble🎉
@mustafajumanassir680315 күн бұрын
Ila sulesh wee mbea bhana staki
@user-gb3sf9fy2u9 күн бұрын
Ila swalehe upendezi bwana ukivaa hereni
@keyla364111 күн бұрын
😅😅😅saleh kulakula tu
@AllyMohamed-xw6hy9 күн бұрын
Mtangazaji yuko vizuri
@user-dz5jc6pp8e14 күн бұрын
NIMEPENDA KUA UNAJIELEWA JAPO UNAFANYA UNAO WANAWAKE LKN UNAJIFICHA NDIO HESHIMA KWA KUMJARI MWANAMKE WAKO SIO KM SALEH ANAPATA MWANAMKE AKIWA MBALI YEYE NDIO NAFASI YAKE YA KUJIACHIA STAREHE AZISHI TULIA NA MKEO ALLAH ATAKUONGOZA
@lilianestephanie78819 күн бұрын
Sasa maisha gani ya hivi??? Yaani mtu anaishi mbali na mwenzie tena nchi za mbali
@lilianestephanie78819 күн бұрын
Huyu salehe sijui salehe chefuuuuuu.. yaanii ni kama anamdharau mwenzie sijui. Yaani not professional kabisaaaaa, hajatulia
@TaarabChannel8 күн бұрын
Very true, he is not professional wala hajasomea, kaanza kujaribu tu, kuangalia wengine, kuiba ideas na kubuni..wala hajafanya lolote la journalism
@jamilaathumani548111 күн бұрын
Wap Jamila mafishi ...wajina uyo Jamila wa maskati
Saree yeye ni msungo ndomana hajuwi maana ya msungo 😂
@user-pw2sw1sk1b10 күн бұрын
Salehe mrohooo😅😅😅iuwiiiiiiii kibokoo
@upendommbaga7070Күн бұрын
Wastara ndo kamuharibu hahahaha
@user-ll7np8td7x14 күн бұрын
Salehe m Noma MPa gengeni
@user-ji1bc5ti8r15 күн бұрын
Ila saleheeee kwakula ujambo ndugu yangu
@faudhiasalum727915 күн бұрын
😂😂😂😂Kuna chakula 😂😂😂ila Saleh 😂😂😂
@zayanazayana551811 күн бұрын
Mtangazaji huyu vipi, kama amekuja kumkejeli na kumlia vitu vyake, hadi akiondoka kamaliza kula vyote, sijui kaja na njaa Hana swali la maana Unapokwenda nyumba ya mtu uwe na adabu, sio umuache hana chakula Fata kilichokuleta
@naimanimo492513 күн бұрын
Saleh thanks for the show, ask him about his scar on the face is it a birth mark ? Why can't he remove it?
@fathiyahmuzney736712 күн бұрын
Salehe ukienda mahali uko radhi udokoe hata nyama jikon kuliko kutoka bila kula😂😂😂😂
@FahadAbubakari11 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂😅
@user-wd2bc7bf5x14 күн бұрын
huyu mwanaume kupika anajua ataoa kweli 😢
@Naahlyan15 күн бұрын
Salee anakitendea haki iki kipindi maan nicheke2😂
@ukhutfatumah115415 күн бұрын
Mashallah Pambana mdogo wangu salehe naona juhudi zako
@mapishiyetumazuri231213 күн бұрын
Basi ya zunguni raha sio kama yatazania
@aysheraden77188 күн бұрын
JAMANI KAMA MTATUELEWA TUNAOMBA HUU MZIKI MUUONDOE KWENYE MAHOJIANO MAANA TUNASIKIA FUJO TU
@wildofworld10014 күн бұрын
Hajazaliwa mwezi wa 5 kweli
@latifahkarim977412 күн бұрын
Salehe unamaliza ubuyu wa mwenzio
@diyembarak550612 күн бұрын
Bii mwanahela alikuwa wa moto
@shanimbaruku207112 күн бұрын
❤🎉
@user-wu8qe4fv4j14 күн бұрын
Mimi no shabiki wako kbsa
@ShabanMaindeКүн бұрын
Salehe
@zayanazayana551811 күн бұрын
Usimkaribishe huyu mtangazaji mroho, mtovu wa adabu, anakula kama hajawahi kuviona
@user-pw2sw1sk1b10 күн бұрын
😅😅😅😅
@MwanaidyMgonja-ek5ls14 күн бұрын
S upange chumba kimoja ujenge
@TaarabChannel8 күн бұрын
Kivurande kwa hio wanawake wa Tanzania hawajiheshimu au
@DelightfulMacawBird-tl5hf14 күн бұрын
Saleh mbeA
@lilianestephanie78819 күн бұрын
Natamani siku moja niende Tanga
@ZenaChuo5 күн бұрын
Karibu
@user-wu8qe4fv4j14 күн бұрын
Kiburande maana yake mluga yetu ya kirundi kiburandero ni mkosefu wa adabu najina mengine ni atari
@tatuaamuuinyi963314 күн бұрын
Kivurande.sio kiburande
@ruqaiamohammed34512 күн бұрын
Sasa huyu ni mtz bhn wee 😂😂😂
@user-mi4nz8cs9s15 күн бұрын
Saleee 😂mbea wewe
@lilianestephanie78819 күн бұрын
Huyu naye kivulande, eti anasema umenisurprise na waliambiana tutakuja😂😂😂😂😂