Usisahau ku"SUBSCRIBE" KZbin channel yetu kwa videos nyinginezo #zamaraditv #mambonimengi
Пікірлер: 164
@musicheals15455 ай бұрын
huweze changanya washikaji na familiaaaa... tafuta sehem nyingine ambayo washkaji a.k.a wahuni watakuwa wanakuja na kufikiaaa mixa mashisha... ila nyumbani pabaki kuwa na heshima yakeee.
@user-yc7cx8lw8h5 ай бұрын
Tafuta hela Binaaadam
@musicheals15455 ай бұрын
@@user-yc7cx8lw8h mbona nilichoandika na ulichoandika havina mahusiano mzeee🤣🤣🤣
@afrodinova5 ай бұрын
Kwani maana ya familia ni nini Mzee???
@musicheals15455 ай бұрын
@@afrodinova familia inahusisha washkaji/marafiki sio... anyway tumwache na maisha yake hata akifungua bar nyumbani poa tuu🤣🤣
@user-ck7pw4fm8c5 ай бұрын
@@musicheals1545😂😂😂
@ArnoldMarley-xz1vj5 ай бұрын
Jersey Namba 13 ni bora ulivyotumwa kwa Shoe Shine Maan Too Much Kimbelembele Kimezidii..
@rahymaaa43575 ай бұрын
Ooooh karibu Oman chino bro❤
@mrambadiana96785 ай бұрын
Hao mabisboo wote humo ndani wanakula wapi 😢 uwiii usanii kazi sio kwa nyomi hilo
@AgnesAgnes-fm8wp5 ай бұрын
Hilo jamaa lenye mtishet mwekundu linanichefua mim nafsiii yng😂😂
@chybuwagwantaz80545 ай бұрын
Una mimba?
@faridalihondo33225 ай бұрын
😂uyo mwenye 13 asee unaweza mpa banzi
@user-fy9pw2zr8l5 ай бұрын
haya ndio mambo marioo hataki😅😅😅
@TheBastarrrd5 ай бұрын
Jumba la dhambi,😂😂
@SenetaKilaka5 ай бұрын
Ongela sana
@jumanamwasa-iw2zn5 ай бұрын
Ilo Kabat👀👀
@marymanoni55365 ай бұрын
Mungu akuongoze
@kerryestomic80995 ай бұрын
Huyo mwenye tshirt ya baseball ana kimbelembele
@reginamluviji940513 күн бұрын
khaa wameitana kaya nzima sipendag sehem wanaka watu weng kama nyuki
@salekhvidal83465 ай бұрын
Hongera bro more blessings
@LinaUlaya-ze4en5 ай бұрын
Sawa bro chino jaa bress
@halimaoman87265 ай бұрын
Hakuna kitu kubaya duniani kma kuweka mafanikio yako adharani weka ila baadhi yaifadhi sio yote systems ndugu watu wanamuangalia unavyoyatema mafanikio yako sisi binadamu ndio hawa hawa mm nakupenda
@Mkombozi2555 ай бұрын
Nyie ndo wachawi wenyewe ,kila kitu kutishana tu.ukiona hivyo ujue hata buku huna.muache dogo aishi anvyotaja yeye.akionyesha Mali ni maamuzi yake.
@PhyinaElias-mu4wf5 ай бұрын
Halima upo Sahihi sema binadamu hata ukiongea Kwa vzuri kabisa unaonekana mchawi,,,Ila hayo maisha ya wasanii huta yaweza Bora tuyaache kama yalivyooo ukitoa wazo waambulia kejer na matus🤐🤐🤐
@SululuZungu-kx8ws5 ай бұрын
Nyie wapoli poli sana timberland haioxhwi na maji daa😂😂
@leecode61355 ай бұрын
Hkuna kiatu kinasafishwa kwa maji hayo ni mambo ya zamani saaana 😅
@tanzcanmediatv44735 ай бұрын
Wewe wa 79 bdio maana hujui
@user-op5gz7vj6w5 ай бұрын
guuudi man munguu akubaaariiikii San brother daa ur soo smart blood.... Utazidii itakuwa
@reginamluviji940513 күн бұрын
khaa huyu kaka ana sifa mmnh ahahha
@happynkya97705 ай бұрын
huyo wa tshrt nyeupe namba 13 ni mshamba wa kamera ee
@saidibanda83475 ай бұрын
Maisha yana badilika mzee acha kutumia ela nyingi kupga ga fanya mpango jenga home boy
@JAYCLASSICMEDIA5 ай бұрын
Usanii mzee
@onekisstv84125 ай бұрын
Sema kuna mwamba uyo mwenye base ball anaranda sana si atulie
@abdulnaseermrisho43425 ай бұрын
Huyo alovaa white anazunguka kama Nesi wa zamu 😂😂😂😂😂
@rajabdibwa64155 ай бұрын
😂😂😂
@user-hd5ey5yx1n5 ай бұрын
😂😂😂😂
@JAYCLASSICMEDIA5 ай бұрын
Daah huyo jamaa kazi anayo
@suzanalucasemanuel70065 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@user-so2yy8se7o5 ай бұрын
Nampendaga salehe Anaadabu sana yani kila sehemu anambia viatu mashallah
@mussakimaro55885 ай бұрын
Nakuona umekua superstar faster illuminate wanapawa ya kumkuza mtu hongera sana
@syntaxsaintezzer55475 ай бұрын
Acha usenge wew na kama vp na wew nenda ukakuzwe na illuminati
@mussakimaro55885 ай бұрын
@@syntaxsaintezzer5547 nyie si mnapakuliwa wenye shobo nani kakuuliza paka mweusi wewe
@user-gn7nk7mw8v5 ай бұрын
Vitmtkea puani
@donhussle9485 ай бұрын
Wape ukwelikakuzwa na illuminati juu ya kumuua mwenzake
@mussakimaro55885 ай бұрын
@@donhussle948 kuna huyo hapo sijui ndo chakula chake chino kuna watu wasanii wanapambana na hawatoki sasa huykatokea wap
@allymwilu80895 ай бұрын
Lake?
@frowinmgimba85135 ай бұрын
Mwenye no 13 anaziba kamera anaboa😂😂
@mrrajjy5 ай бұрын
Chinoo 🔥🔥🔥🔥
@mwinyiado11295 ай бұрын
Namba 13 anataka aonekane mwanafamiliaa 😂😂😂
@mrrajjy5 ай бұрын
🔥🔥🔥
@kwisa48995 ай бұрын
myumba aina privacy kabisa
@Barakatabudul5 ай бұрын
Jamaa Alovaa White" Anaushamba Anaboa sanaaa kuandama adama! watu kama hawa ni wachawii" jamaa atamani kama yy ndo Angekua Chino" dah! mshamba wa camera 😂😂😂😂😂😂
@faridalihondo33225 ай бұрын
Yan hawa ndo wachawi😂wenyew hawa kaaah 🙌
@user-sg1du9dp1i5 ай бұрын
Dah Nashkuru Taifa Zima Tumetambua Namna Muuni mwenye uzi namba 13 namna anaushamba mwingi😂😂😂
@patisondidas67205 ай бұрын
😂😂😂😂
@letisiamakonda38735 ай бұрын
😂😂😂
@user-vu9ee7yg1j5 ай бұрын
Sio ushamba bali ni mshikaj wake chino......we ndo mshamba 😢
@danielimwakilasa39525 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂
@bennamush46165 ай бұрын
Kwanni usingempangishia mamako nyumba ingine tofwaut na hapo akae na ndugu zako maana hapo mpo vijana wengi haipendezi mi naona ushaur tuu lakin
@AfricanLady8895 ай бұрын
Amesema anamjengea mama yake nyumba, so hakuna haja ya kupanga nyumba ingine
@jamesgustav1965 ай бұрын
😅
@HanceBablo-ot8sz5 ай бұрын
Mnaekelekwa na 13 gonga like
@Soundprobeats5 ай бұрын
Kashapotea🚶huyo hamna kitu
@donhussle9485 ай бұрын
Baada ya kumtoa mwenzake wa karibu sanaa kumtoa kafara ... ndo freemasonry ndo wanafanya hvyo either ,family or mtu wako wakaribu or rafiki yako wa karibu sanaa ama watu kwa live performance kisha unatajirika c pesa halali azipatazo hizo
@badifundi60895 ай бұрын
Niozesheni uyo philomeno bwana
@Wigoz_puppy5 ай бұрын
Tunaomba NGOMA na Mavoko ❤❤❤❤ sio kila SIKU unamtaja alafu humsapiti boss wako wakitambo❤❤❤❤😂
@Saumujames12345 ай бұрын
Uyo namba 13 mmempigilia 😂😂😂😂😂 kila comment watu wana mlalamikia 😂😂😂 mwane2 anapenda camera anachukua mafundisho ya ustar😅😅😅😅
@mamrashdon36325 ай бұрын
Salehe Umekosea Uyo Mwenye Nguo Nyeupe Ungemfukuza Bwana Anaboa
@ZawadMussa-sd1od5 ай бұрын
Muhudumu
@pozclever8545 ай бұрын
Uyo Jamaaa ana kaz gn anatembea tu
@rajabdibwa64155 ай бұрын
Bodyguard wa mchongo😂😂
@user-zk7sc7fg1s4 ай бұрын
Sisi uku DRC🇨🇩 sisi wenye maisha ya chini ndo tuna tembeleya ma BMW kama izo.lkn tz ni za wasanii
@simulizi26325 ай бұрын
Washkaji ndio wamejaa. Kuna privacy kweli humu duh
@mamrashdon36325 ай бұрын
Kwani Uyo Kama Bodgard Vp
@queenmilan20245 ай бұрын
Huyo kijana mwingine mbona anafata nyuma kama mkia 😅
@shabanponera28955 ай бұрын
Jamaa kazingua sana hatulii, na mnguo wake namba 13
@rajabdibwa64155 ай бұрын
Superstar lazima awe na mpambe😂😂
@MuviisTV5 ай бұрын
Mpambe
@khadijamemba7855 ай бұрын
Hivi "kama kawa" ndio salam
@hassanbakari45255 ай бұрын
MKIAMBIWA KUNA BAHATI MSIWE MNABISHA😊,,HUYO CHINO HAINGII KIVYOVYOTE,,,,KWA BADI.
@hateemmerj60205 ай бұрын
Tutakupelekea moto
@hassanbakari45255 ай бұрын
@@hateemmerj6020 😆
@Official_JohnVicker5 ай бұрын
Umetisha chinno
@saidtembele30705 ай бұрын
Namba 13 mgongoni is typing and deleting.............😂😂😂😂
@afrahnawas43845 ай бұрын
😂😂
@mancholotrasco83505 ай бұрын
Bongo bana mchiz kafua timberland yani 😂😂😂😂
@mattmax7735 ай бұрын
Hakuwa anajua angejua adingefanya Hvo ki ubinadamu tu Viatu sio kitu cha thaman kuzid binadam
@hanifamziray2775 ай бұрын
Hingera sn punguza marafiki wengne sio wazuri kbs
@user-ie6hs3ul2q5 ай бұрын
Huyu namba 13 mtafutie bwana
@ezekielmichael94315 ай бұрын
Tafuta nafasi ujenge Ili familia ikae sehem moja maana naona group kubwa ,
@nelsonmaganya53915 ай бұрын
Waka miradi ndugu yangu
@davidwalalason76305 ай бұрын
Currently viatu havioshwi, tumia foam
@ezekielmichael94315 ай бұрын
Jenga utenganishe washkaji nabfamilia
@naumikabila58805 ай бұрын
No 13 bwanaake nani😅 jmn
@EsterMpete3 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 uyu mwenye nyeupe yaan ni kama mwanajeshi wa zamani
@pascalinajames91175 ай бұрын
Huyu nwenye mtshrt mweupe mbona anafwata kila mahal jmn ameboa
@kelvinkilale5 ай бұрын
Si ndo maana kapewa kiatu apeleke kupiga dawa😂😂
@sabrinaraphael34745 ай бұрын
😂😂
@pascalinajames91175 ай бұрын
@@kelvinkilale kwakwel maana asingewaaacha peke yao interview isinge pendeza
@kipukatz5 ай бұрын
Mlinzi wa boss
@leylamohamed99395 ай бұрын
ILA CHINO ANA MAMBO YA WASHKAJI SANA SANA BADO MTOTO MDOGO HUYU AKILI ZAKE, ZIMEKAA KISHKAJI KISHKAJI TU… ANASEMA AKIHAMA ANAWAGA VITU KWA WANA, HUYU ATAKUJA FULIA VIBAYA SANA MWISHO WAKE WAJA.. KAMA ANASHINDWA KUJIJENGA KWA UPEPO ALIOPATA SASA ATAFULIA SANA VIBAYA MNO
@user-vu9ee7yg1j5 ай бұрын
Iman yake inaamin watu hawo aliwo kuwa nawo ndo wamechangia mchango mkubwa kweny harakat zake.. appreciate my king chino you doing well bro waliyo kusaidia kutafut kuni ndo hawo hawo ota nawo moto...wewe ni Really mengine mungu ndo refa...
@leylamohamed99395 ай бұрын
@@user-vu9ee7yg1j UPUUZI HAKUNA MCHANGO WOWOTE, NGOJA AFIRISIKE NDIO UTAJUA HUO MCHANGO WA WANA ULIVYO
@happy56timothy585 ай бұрын
Bora umempa kazi yakupeleka viatu kwa fundi😂😂😂😂
@Alexismadimo2 ай бұрын
Nyumba ina watu weng sana kama wahindi yani
@leylamohamed99395 ай бұрын
Halafu Namba 13 Falaaaaaa Anaboa Yeye utasema ndio Camera Man, NI NANI HUYU???😂😂😂😂😂 Jinga Kweliiii 😂😂😂😂😂 Kila eneo yupo anafuata fuata tuu… Yeye ndio nani kwa Chino😂😂😂😂
@shabanponera28955 ай бұрын
Mchizi mwenye jezi ya base ball kaleta ushamba wa kizamani sana, mbona wenzake wametulia tu
@user-pi2zh8fg7g5 ай бұрын
baba levo uyo
@user-vu9ee7yg1j5 ай бұрын
Bro uwo sio ushamba but kaonesha upendo mkubwa appreciate broo chino uyo ndo mshikaji kweli ✌️
@shabanponera28955 ай бұрын
@@user-vu9ee7yg1j Acha utoto huoni alikuwa anazuia camera, halafu unajua dhima ya hicho kipindi? Bora alivyotumwa akapeleke viatu kwa fundi huyo mjinga
@jamilaathumani54815 ай бұрын
Nimefulai sna kwakuelewana unajua wewe chino na Mario mnabond nzur Sana na mkiwa pamoja ndo mtapiga pesa Kwa pamoja kwamana mnaendana sana
@Happy-ef9kf5 ай бұрын
Pambana sasa ujenge yako cyo kila siku kupanga punguza stare heee make pesa tengeneza maisha bro,,,
@Official836405 ай бұрын
Kapanga kapangiwa na boss mpya mume wa Fety Kitasa
@rockyjr63145 ай бұрын
Ao masela tafta shm uwapeleke nyumba inakosa heshima
@tanzcanmediatv44735 ай бұрын
Aoe mara ngapi
@EmmanuelKawawa5 ай бұрын
@@tanzcanmediatv4473kamaanisha sehemu sio shemu
@user-lw7wd8nz9g5 ай бұрын
Hongera sana chino wan man
@TheBastarrrd5 ай бұрын
Ulimwosha nani miguu Chino,mbona usenge huo????
@beatricemshiu28165 ай бұрын
Khaaa hii nyumba au ghetto 🙄
@user-jj9xf7nt9k5 ай бұрын
Uyu nae anataka kuoneka maan sio kwa kufata uko kama mkia
@jamilaathumani54815 ай бұрын
Apo chino umekosea kusema utaki mama ako kufunga ni Kwasababu atakonda? Kwer? Apo umekosea piga astakafirural kama nimuislam
@OmanOman-bm1lr5 ай бұрын
Salehe nampenda anaheshima na nyumba za watu saana haingii tuu kama chooni
@mancholotrasco83505 ай бұрын
Zawadi ya damu ilishapita mambo yanafunguka
@arianjrstanslaus49915 ай бұрын
😂😂😂😂..but we not sure....speculations mzee....
@jesterfredrick94975 ай бұрын
@@arianjrstanslaus4991Alooooooh😂😂😂😂
@fredanthony7405 ай бұрын
Mpe kolabo mavoko sasa
@AgnesAgnes-fm8wp5 ай бұрын
Chinoo punguza marafiki watakuponza
@shabanponera28955 ай бұрын
Bora mwamba katumwa apeleke viatu kwa shoe shiner
@PrinceBonnyTz85 ай бұрын
Camera man umezingua
@abbassalum68245 ай бұрын
Kabla umeki ujenge unaanza kupanga majumba ya gharama shaulizako
@agreymbwilo58745 ай бұрын
Msanii huyo mkuu, acha aishi maisha yanayofanana na sanaa yake. Na kujenga anamjengea kwanza mama ake
@stanslausmathias18785 ай бұрын
Msanii ni tofauti na ww, vilevile maisha ni plan....mawazo ya kuwaza kuwai kujeng ni ya kimaskini saana watu wengi waliofanikiwa huanza na investment haijalishi kapanga maana kwa mji wa dar es salaam kimsingi huwezi jenga nyumba ya mil.3
@narrissajackson38695 ай бұрын
Kitu mtu anatafuta pesa mwenyewe na anaamua mwenyewe atumie vipi, anaweza tumia zote hata ndani ya siku moja. Tatizo tunapenda kujadili maisha ya watu wakati wao hawana habari na maisha yetu. Hatujui mipango yao na hawajui yetu
@abbassalum68245 ай бұрын
@@agreymbwilo5874 Duuuh saw ndio fikla zako ziliko ishia
@abbassalum68245 ай бұрын
@@stanslausmathias1878 Daaah blaza kwa Muonekano wako unaonekana ni mtu mmoja mwenye akilizake lakin si hivyo nilivyo tegemea Kwan kumshauli mtu kunatatz kwan nnachomwambia mim kinaubaya kwan wasanii wote lazima waishi maisha anaishi yeye au hujaona wasanii walikua wakubwa kama wakina chidi mst naisi wakowap sasaiv
@user-wu8qe4fv4j5 ай бұрын
Napenda unavyo ishi na mzazi wako
@halima_nasseb5 ай бұрын
hili li namba 13 jaman kila sehemu
@user-vu9ee7yg1j5 ай бұрын
Uwo ndo upendo wa kweli kwa chino🎉
@benahdesigner5 ай бұрын
Bola katumwa 😂
@rajabdibwa64155 ай бұрын
😂😂😂
@FatimaAli-of4gh5 ай бұрын
Saleh hivo viatu kama ni mimi ningevua kisha nikashika mkononi nikapanda navo maana ulipo mbali😂😂
@user-cq5dx1vr2p5 ай бұрын
😅😅😅kwamba ataibiwa
@FatimaAli-of4gh5 ай бұрын
@@user-cq5dx1vr2p Ehee
@handenitakuru66965 ай бұрын
Maisha ya kufeki haya mtakuja muumbuke
@user-vu9ee7yg1j5 ай бұрын
Watu wanaishi broo awafek tafuta nawew upate ili tuone kama utafek au utaishi....
@yasiniramadhani48715 ай бұрын
Bonge show
@Saumujames12345 ай бұрын
Aahh kwer ili jumba la zambi 😂😂 watu kibao😅😅
@ruu65925 ай бұрын
mbona mafanikio ya chino yanaanza kujitokeza baada ya ile ajali na kifo cha yule kijana ama nina mawazo potovu
@dr_godfrey5 ай бұрын
Kama ni kwako hongera sana ila kama umepanga da! POLE SANA usije laumu watu baadae
@naifathassan26075 ай бұрын
Anajenga kwake hapo kapanga
@narrissajackson38695 ай бұрын
Maisha ni yake aachwe aishi
@musicheals15455 ай бұрын
ushauri muhimu mwisho wa siku asije kwenye media akaomba msaada, umri unaendaaaaaaa@@narrissajackson3869
@selemanisalum76855 ай бұрын
Anamalizia nyumba 2.ziko pamoja
@amanimanase87985 ай бұрын
Usimpangie MTU maisha na matumizi ya pesa zake kwani anasaidiwa na MTU apo?
@muzafarsharif94655 ай бұрын
alimtoa mwenzake kafara chura huyu
@user-vu9ee7yg1j5 ай бұрын
Usikufur mungu Allah ndo refa wa mchezo 🖤
@BAGAMOYOMEDIATZ5 ай бұрын
kzbin.info/www/bejne/gaSWqqmcfrBje8ksi=go--XEKTOW151aga AMEN MANKOLOMATZ FT MC KIBILITI X KHAZAV ( MASNICHI )