Usisahau ku"SUBSCRIBE" KZbin channel yetu kwa videos nyinginezo #zamaraditv #mambonimengi
Пікірлер: 176
@kerryestomic80995 ай бұрын
Saleh is the best presenter anamfanya❤msanii😂Kuwa comfortable he is friendly na anauliza maswali yenye mantiki big up to him
@kibibimlaula25265 ай бұрын
Ukweli usemwe jamni jamaa anapenda familia yke na ukubwa kauvaa vilivyo 😊 Allah ampe umri atimize malengo yake
@FatimaAli-of4gh5 ай бұрын
Aamin
@rahimaaaaa56825 ай бұрын
Amiin
@aminatanzanya74755 ай бұрын
Hanishind mm ninavyopenda Familia yangu
@hamidawamba5 ай бұрын
@@aminatanzanya7475kwani league😂😂😂
@SekelaJakson-ls7dd2 ай бұрын
Sanaaa hongera kwake
@bernaberna41595 ай бұрын
Kayumba anaishi simpo sana alafu maisha Safi na bado kijana mdogo akili mingi❤❤❤Mungu azidi kukubarik na family yako
@ashminaabdulla89462 ай бұрын
Ameen
@mohamedlegacy2555 ай бұрын
Ila kayumba kajitahidi jamani, kwake pazuri sana❤
@user-kp6lz7zs1w5 ай бұрын
Kayumba Wewe Unaakili cn kuwajengea wazazi wako nyumba yn Umefanya akili cn mungu Akubariki cn mashahallah safi cn ❤❤❤❤❤😂😂😂😂
@Zaburi-5 ай бұрын
Mungu/MUNGU sio mungu
@hebybiba64425 ай бұрын
Aisee jamaa hajioneshi kumbe anaishi maisha mazuri sana Mashallah
@Tyughcdrbdt5 ай бұрын
Sanaaa na amejengaa
@JamilaSaid-we7rk5 ай бұрын
Huyu kaka anapenda mno lebo ya king music na kam unavyojua lebo ile hawana kujionesha ndioman kapata funzo ❤❤❤❤
@aminatanzanya74755 ай бұрын
@@JamilaSaid-we7rkkumbe huy yupo king music
@komasavatz5 ай бұрын
Yuko humble sana ukipitia KZbin kwangu nilipost akiwa katupitia kitaaa kusalimia akiwa na mdogo wake na gari yake BMW so yuko poa sana aiseeee
@user-vr6xq2lr2g5 ай бұрын
Mungu akuzidishiye uho moyo waipendo kwa familia yako brother kayumba
@user-fd5zs1tu8g5 ай бұрын
Angekua makabila mashauz mengiiih kama zuena😂 lakin kijana Hana mambo meng anaga kufake nimependa Sana iih ❤
@mwanaidimunga90995 ай бұрын
Cjawaiacha kukupenda kayumba tangu bss haujawainiangusha Allah aendelee kukubless
@gradnessshitindi36945 ай бұрын
My favorite singer❤
@user-kp6lz7zs1w5 ай бұрын
Pazuri cn kwa kayumba mashahallah nyumba zuri cn❤❤❤❤❤ Umejitaid cn kayumba ❤❤❤❤❤😂😂😂😂
@wardawilla56185 ай бұрын
Sema saleh 😂😂😂😂 utoto mwingi sana 😊 napenda alivyo hamble
@manumeni50575 ай бұрын
Huyu jamaa nlikua nikimfuatilia xana ,na kumbuka mamake anampenda xana na anaimbaga vizuri ,mwenye hekma na busara
@fazilimudekerezajacques36284 ай бұрын
I'm such a fan of big brother Kanyumba, I have my heart with him, you were inspired by this beautiful song for me, really big thank you, this beautiful song gives me another power to live, at home my great hits the only one you know sung, come in Congo
@annayambayamba86145 ай бұрын
Upewe mauwa yako mama unaistaiili ❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉
@albefapapapy8334 ай бұрын
Natamani sana ku pewa moyo na mzazi wangu one day 🇨🇩 🇨🇩 🇨🇩 kama iviiiiiih!!
@SekelaJakson-ls7dd2 ай бұрын
Kayumba mtoto mzur kalelewa kaleleka
@user-vn3it8jh1j5 ай бұрын
Mungu aendelee kukupa hitaji la moyo wako.
@jescamaro62265 ай бұрын
Safi snaa kayumba Mwenyeenzi Mungu akuzidishie katka utafutaji wako
@YusuphDotto-kr2mb5 ай бұрын
Kayumba ni🔥🔥
@saudagama43595 ай бұрын
nakupenda mama kayumba❤
@gabrielamrutu62774 ай бұрын
Kusema ukweli kayumba anakili sana ,msanii anaishi maisha yake simple lkn mazuri❤,good singer
@abdillahrashidnassor79735 ай бұрын
Saleh noma sana hiki kipindi amekiweza sana 🔥🔥🔥
@rehemafeysali44445 ай бұрын
Yaan huchoki kumfatilia
@abdillahrashidnassor79735 ай бұрын
@@rehemafeysali4444 kabisa 🔥🔥🔥
@salehcllassic23255 ай бұрын
Ahsante sanaaaa
@husnahabityhabity95175 ай бұрын
Host adi kitandani😁😁
@gradnessshitindi36945 ай бұрын
Kanenepa sana mama Kayumba❤
@SalimhchialaAtilio-qj5cs4 ай бұрын
Mtangazaji balaa na mpendaga sana🎉❤
@Snuky545 ай бұрын
Masha Allah upo vzur lakni hilo giza mtakula na mende😅
@annayambayamba86145 ай бұрын
Mbona kama usiku pole Saleh kwa safar ❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉
@aishamussa25634 ай бұрын
Prince
@mamachris68115 ай бұрын
Anapenda English colours 👍
@user-xo4xq6rr3f5 ай бұрын
Uyu alitamani sana kuinua familia yake Masha Allan
@rahimaaaaa56825 ай бұрын
Mashaallah Mama kayu😊😊😊😊
@zainabumartin95205 ай бұрын
Mashaallah kayumba upo vzuri
@ukhutfatumah11545 ай бұрын
Ratifa mdogo wangu fanya Mazoez please mwili mkubwa sana kama kaka yako ama miaka 27 wewe utakuwa na miaka mingapi fanya mazez baby
@Jonathanabedinego5 ай бұрын
Kayumba kajipata kumbe. Dhaaa
@user-kp6lz7zs1w5 ай бұрын
Mashahallah kayumba mungu akuongoze cn ktk kz zako safi cn kwa kuipenda familia yk mungu Akubariki cn kayumba
@Zaburi-5 ай бұрын
Mungu/MUNGU sio mungu
@listonmashon99874 ай бұрын
Jaman nampenda sana kayumba mwenye namba zake tafadhal
@TinaJohn-po5yv5 ай бұрын
Hongera mno kayumba kwako pazuri mno
@user-zw9fk5ol6h5 ай бұрын
Nampenda sanaaa salehe
@patisondidas67205 ай бұрын
Nakubal mwamba kayumba
@rosezacharia55555 ай бұрын
Hongera broo kwa hatua hio
@NishaJuma-zy5co5 ай бұрын
My favorite
@SalimhchialaAtilio-qj5cs4 ай бұрын
Hongera sana kayumba nyumba nzuri sana ❤❤
@rukiaiddyyahaya95065 ай бұрын
Mtangazaji mungu anakuona😂😂😂
@user-vq5cr5be8w5 ай бұрын
Jama nakupenda sana nikirudi nitakutafuta msaniiwangu❤❤❤
@fatmamrihani68285 ай бұрын
Kayumbaaaa❤❤❤❤
@khamoshmikidadi6185 ай бұрын
Mashallah mtt w madam rita uyo 😂
@madinajamada91805 ай бұрын
Mashallah ❤
@mwanaidikingazi42225 ай бұрын
Mashallah 😍😍
@reginamluviji94052 күн бұрын
EEH PAZURI JAMN KHAAAA
@Starbrunodg5 ай бұрын
Kanifunzakitu❤
@rahymaaa43575 ай бұрын
MashaAllah 🔥💯💥❤🎉
@ElizabethDeusi-sx8di5 ай бұрын
Kayumba ❤❤❤
@SalamaNauthar5 ай бұрын
Hongera Kayumba
@user-os8rh9xz4m5 ай бұрын
ILA MZIKI UNALIPA HIZI MB ZETU ZINAFANYA WASANII WAWE NA MAISHA MAZULI
@user-ii1ro2vf9x5 ай бұрын
Uende na kwa diamond jaman
@baimarrajahbuayan62375 ай бұрын
Salehe anapenda mambo matamu😂😂😂😂😂😂❤❤❤kayumbaaaa🎉🎉
@mrishojuma94715 ай бұрын
Safi Sana mdogo wangu
@HaniyaKisingo4 ай бұрын
Nampenda sana kayumba❤❤❤❤
@AsumpterNjojo-rj3kg4 ай бұрын
Nampenda sana kayumba
@FatmaIbrah-sg2qh3 ай бұрын
Mashallah hongera
@user-bt1vl8nu5n5 ай бұрын
Kayumba my brother
@JennyJma5 ай бұрын
Kipindi nakipenda fanyeni muende na kwa madebe lidai😀
@joyce557275 ай бұрын
Ata mimi namuomba aende kwa madebe
@Enjoylifewithammy25 ай бұрын
😂😂😂
@user-nl9ig7mq9x5 ай бұрын
Kwa madebe itanoga n dotto magari
@zahramillanzi95344 ай бұрын
😂😂😂😂
@lightnessseifu59834 ай бұрын
Hata mimi nataman waende kwa madebe
@AshaAdinani-wk1nw5 ай бұрын
Good job
@user-lp2oz5ug9j5 ай бұрын
Kanadeka jaman 🥰
@shakirahussein82914 ай бұрын
V nice my dia
@ZainabAbdullah-bc6pu5 ай бұрын
Nimependa maisha unayo ishi kayumba
@user-ye5ik6mb3n5 ай бұрын
Salehe unapenda Kula wew
@user-oe5eg9ji4h5 ай бұрын
Mama nimama
@jackilinuniqueleonard50615 ай бұрын
Camera zetu hazina ukwariti kbisa
@aminatanzanya74755 ай бұрын
Kayumba uko vizur sana kaka ❤️❤️
@keynasseib99995 ай бұрын
Salehe nenda kwa dulla makabila😅😅😅
@salehcllassic23255 ай бұрын
Soon
@joyce557275 ай бұрын
@@salehcllassic2325nenda kwa madebe lidai
@pascalinajames91175 ай бұрын
@@salehcllassic2325nilikua nasubr sana upload jmn nilimiss hiki kpind😊
@Cyper2555 ай бұрын
@@salehcllassic2325😂
@hidayamusa83475 ай бұрын
Mw/Mungu azidi kukubariki
@mankinemansulikine-22205 ай бұрын
Salehe unapenda sana kula😅😅
@annabanene65675 ай бұрын
Yani swalehe akisikia msosi akili Ina hama😂😂😂
@user-mz6lq3gr9l5 ай бұрын
Mmh huyo mtoto atakua dume jike
@mwanaidimunga90995 ай бұрын
Kanichekesha livyopanda kitandani Saleh jaman ananifanya nipende showbizz
@MutoniAnge-pt4eg5 ай бұрын
❤
@maligeltabatholomeo81285 ай бұрын
❤❤
@nicaiwilson65795 ай бұрын
🎉
@PendoMajura-vy7mb5 ай бұрын
Safi sana
@citymwacheo44974 ай бұрын
Cjaona mtangazaji wa aina hii
@user-it6zi7zw8y5 ай бұрын
ivyo vyoo sio vya kuonyesha Katika mitandao da
@fatmahmed56475 ай бұрын
❤❤❤💟
@leaherasto9295 ай бұрын
Pazuri
@swaibahhassan50565 ай бұрын
Chumba hakina mambo mengi had rahaa
@pharleserasto31145 ай бұрын
Kayumba big up San napend maish kam hyo
@akiraaudreille60435 ай бұрын
nime ipenda
@AgnesAgnes-fm8wp5 ай бұрын
Tunaomba uendee kwadebe lidai na doto, bila kumsahau dulla makabila
@baimarrajahbuayan62375 ай бұрын
😅😅😅😅
@zahramillanzi95344 ай бұрын
Aanze kwa madebe kwanza 😂
@zuhuzuli.51505 ай бұрын
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@celenamduda34175 ай бұрын
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🎂🌹
@michaelaloyce20724 ай бұрын
Sinemaaa
@letisiamakonda38735 ай бұрын
Ugali😂
@user-hn1wf6ox5p3 ай бұрын
Saf kaka
@user-cq5dx1vr2p5 ай бұрын
Salahe anpand mpk vtandan😊😂😂😂
@user-fy9pw2zr8l5 ай бұрын
kwa dulla makabilA
@FarajiChande-wv5hd5 ай бұрын
Hakuna binadamu mwenye kupenda mafanikio yakweli kutoka moyoni mwake kama mama yako mzazi,,, ilaaaaaaaaa zingatia nachokwambia ikitokea ameingia katka dunia yawatu wabaya wa usiku basi anakuwa mtu wa kwanza asopenda maendeleo yako na adui yako namba moja duniani nyoka anasubilia tena black mamba yule 👹👹👹
@user-jj7fi8tz4t5 ай бұрын
salehe anapenda misosi😅😅😅😅
@ibrahimkilete71325 ай бұрын
WANGINDO OYEEEE 😂
@rayahamisi1185 ай бұрын
Ww utaona visivyo ona mpaka chumban
@SalamaNauthar5 ай бұрын
Kayumba mshawishi Mama aingie katika dini yetu ya haki
@aksa12254 ай бұрын
Huna haya 😏😏et dini ya haki
@SalamaNauthar3 ай бұрын
@@aksa1225 inakuuma nini fala wewe'
@chextzggambayo2822Ай бұрын
Ww ni mkundu
@SalamaNauthar28 күн бұрын
@@chextzggambayo2822 we mkundu huna? ' tena unanuka hahari kaoge ndo uje uguse Coment yangu fala wewe