Naacha kuvaa surual kuanzia Leo,kumbe ni dhambi,Mungu nisaidie ,nazichoma zote leo
@NeemaMango-k7jАй бұрын
Acha kabisa me ndo lilikuwa vazi langu ila tangu nilivyofundishwa kuwa ni vazi ambalo halimpi MUNGU utukufu nilichoma zote na kamwe siwezi kuvaa,na hata mapambo yote nimeacha
@mauldmgema90432 ай бұрын
Bro. Paschal Mungu akutumie kwa ajili ya wokovu wa watu wake. Nabarikiwa sana na kazi zako
@Visionofeagle96892 ай бұрын
Hii ni sauti yamtu aliaye nyikani , kila pando lisilo pandwa na Bwana motoniiiiiiiii Aminaaaaa ✊✊✊
@AnjelaTemu2 ай бұрын
Amina mtumishi Asante Kwa mafundisho Yako juu ya mavazi
@mtotojoshuaeliya2 ай бұрын
Ninapenda sana vile unavyokemea uovu bila uoga.Mungu wa mbinguni akubariki sana.
@nancykirigo58742 ай бұрын
Hiyo diyo kazi ya mwijilisti.
@pastorjanekanini62042 ай бұрын
Nakuuga mko mtumishi wa mungu kemea dhambi kabisa
@Akinyisafi2 ай бұрын
Sasa naona unaitwa pastor na hata haujui jina mungu ni miungu soma Zaburi 81:9 inasemaje kuhusu hilo jina lenye umeandika na mandiko tu mengine kuanzia kitabu cha kutoka mbaka ufunuo wa Yohana soma utaelewa Amen
@LeahroseLeonard2 ай бұрын
Mungu akubariki sana kaka pascal kwa ujumbe mzuri: Maombi yangu MUNGU aendelee kukutunza na kuendelea kukutumia kutukumbusha wana wa MUNGU kuitangaza INJILI ya kristo katika maadili 🙏
@martinahlighare64952 ай бұрын
Walianza kwa roho, wanamaliza kwa mwili. Wahubiri wasije kua kama nyumba ya Yakobo. Wageuke wamrudie Mungu.
@ImaniTinda-h6xАй бұрын
Cassian nakupenda Bure kazi nzur tuonye maana kiu yangu kufika mbinguni lakn naitaji nizidi kufunzwa ili siku ni mwone MUNGU .nakuombea Kwa MUNGU azidi kukubaliki akulinde na akufunulie mambo yake yaliyo sirin ili uifunze Dunia ya Leo ubalikiwe
@MaryNgina-k4w2 ай бұрын
Hallelujah 🙏
@DeboraNeno-s5o2 ай бұрын
Hongera Mtumwa Ubarikiweee
@MGALILAYABillionaire2 ай бұрын
Kama ukigeuza mguu wako usihalifu sabato, usifanye anasa yako siku ya utakatifu wangu; ukiita sabato siku ya furaha, na siku takatifu ya Bwana yenye heshima; ukiitukuza, kwa kutokuzifanya njia zako mwenyewe, wala kuyatafuta yakupendezayo, wala kusema maneno yako mwenyewe. Wanatafuta kupendeza watu na kujipendeza wenyewe,wamemuasi Mungu. Utukufu wa Mungu haupo tena bali tuwaombee Bwana awarudishe kwenye zizi lake. Ubarikiwe mtumishi kwa kuendelea kuonya kizazi hiki kilichopotoka.
@eliamwamatandala2 ай бұрын
Sauti ya mtu aliye nyikani itengenezeni njia ya Bwana Dunia hii inahitaji watu kama ninyi.
@ruthmwamburi756Ай бұрын
Mungu aturehemu,pongezi kwa kazi nzuri.
@gidongailo71742 ай бұрын
Wakiitwa malaya wanakimbilia polisi badala ya kukimbilia kushitaki kwa Mungu😂
@happnesskitumbo57132 ай бұрын
Huyo Mungu wanamtaka Sasa ni hatari.
@AyubuJuma-df4pn2 ай бұрын
Hawana mda huo wanaona Mungu atachelewa kiwajibu
@FestoJemsi-lr8pw2 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@stevenkipara93102 ай бұрын
😂
@aframhenga870527 күн бұрын
Cassiani Big up nakupenda hiyo gospel
@malkiarosemuhando33102 ай бұрын
Tukikosa maonyo tutakufa vibaya Acha tukemewe huo ndo uhai wetu
@sarahmwasyoge18302 ай бұрын
Kweli huo ndo upendo wa kweli.👏👏👏
@MaryannAlivitsa2 ай бұрын
Very true tujirekebeshe tumrudie Mungu
@eliassoingei20462 ай бұрын
Nakupenda sana mama yangu, Mungu akusaidie uendelee kutunza agano lako na Mungu
@Eunice254-o7x2 ай бұрын
Ata mimi uwa nashangaa kwnn m2 anaaza vizuri badae anajipotosha kwnn lakn...kuna kifungu nilisoma kw bibilia inasema kuna wakati itafika tutamuacha mungu tufate mambo ya kidunia na ndyo hii ya sasa tunaona
@AnethSwila-tw9mv2 ай бұрын
Kujiinua na kusahau MUNGU alikomtoa mie tangu namjua Jenifer mgendi sijawahi kuona kajichafulia jina kama Hawa wengine wanaojiinua
@Eunice254-o7x2 ай бұрын
@@AnethSwila-tw9mv Jennifer mgendi yeye ametulia na anajuwa ni nn anafanya siyo kama awa viruka njia
@PeterMahona-zd3oz2 ай бұрын
Veajabu kama vijuku vyashetani
@LylianeBaumaLyly2 ай бұрын
Mutumishi wa Mungu ubarikiwe sana Mimi nina amini ss wanawake ni wengi kuzimu wanawake hatusikii hatatuubiriweje MUNGU nisaidiye nipate kushinda mambo yote ya Duniani
@Genie-h9x2 ай бұрын
Mungu azidi kufunguliya mtumishi Paschal Cassian. Tatuwa tena baba usiwe nafu wala haya.
@rebecakikoti3742 ай бұрын
Nimeipenda, ukweli mtupu. Japo inaumaa. Mungu akulinde
@LucasLaizer-if2du2 ай бұрын
Piga kelele paza sauti Yako usiache kuwaambia watu wangu maovu Yao sema baba na mungu akutumie
@alicejumaa892 ай бұрын
uko sahihi kwa hili asante kwa ushairi
@JoyceFungo-c8k2 ай бұрын
Mungu tusaidie tusikengeuke Amen 🙏🙏
@Rashid-vm1fk2 ай бұрын
Amina Mtumishi wa Bwana ubarikiwe mwenye masikio amesikia
@LillianMunyaka2 ай бұрын
Asante sana nashukuru Mimi mungu wangu
@deodatusmagagura67932 ай бұрын
Amen. Nakupenda sana na MUNGU akulinde na kukubariki
@AshaAshim-gy6jm2 ай бұрын
Nakuombea kwa mungu akubarik xana kakaang uixhi umri mrefu ukimtangaza mungu, dunia imeixha maandiko yametimia, mollah wetu atunuxur juu ya haya Amina,,
@Akinyisafi2 ай бұрын
Jifunze kuandika jina la MUNGU kwa herufi kubwa mungu ni miungu tafadhali Amen
@anjelinaAnjela-ip9oj2 ай бұрын
sema mtumishi japo wengine awkuelewi ila iposiku watakuelewa tu endelea kusema na MUNGU wa mbinguni akulinde utokapo na uingiapo kwa jina la Yesu
@HASSANBAKARI-q9c2 ай бұрын
Saluti mpiga kinanda..unapooza utamu sana❤
@StelaJohn-nj5yf2 ай бұрын
Eeee! Yesu Kristo turehemu na uzao wetu 🙏
@AyubuJuma-df4pn2 ай бұрын
Ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu, Hapo nimepata somo
@ShadrakaAthumani2 ай бұрын
Ukweli Mimi nakuelewa ev casiani,Mungu azidi kukutetea zaidi najua unavita kubwa Sana lakini Mungu atakulinda Wala hatakuacha kamwe usiogope kuusema ukweli nyakati hizi za mwisho
@Leah-mbilizi2 ай бұрын
A man of God with no fear ❤️
@mengindegeya27802 ай бұрын
Brother big up isee you difficut with other's.
@ekiliangoliga6442 ай бұрын
Wenye kukuelewa ni wachache mno, lakini endelea kupiga injili mtumishi
@furahag30982 ай бұрын
Huu ndio ujumbe wawakati kweli tusipo chunga jehanam itatuhusu wapendwa tugeuke 😢
@IbuGang2 ай бұрын
Sana binadamu wanabadilika kwà kweli shetani yupo kazini
@eliamwamatandala2 ай бұрын
MUNGU akubaliki sana tunahitaji watu kama ninyi katika kizazi hiki.
@MakaliusNgua-vb5sb2 ай бұрын
Yani sijuwi tunakwenda wapi nyimbo za sasa hazina tofauti na za kidunia
@JanethMkala2 ай бұрын
Mungu atuhurumie
@DeboraNeno-s5o2 ай бұрын
MUNGU atusaidie sana wanawake tulio wengi sisi kibuli kimetutawala sana nakujiamini pamoja na tamaa Tunaomba mtuombee Watumishi
@Ursain.IKE.jesuis93652 ай бұрын
👏👏👏👏 kabisa baba
@Ursain.IKE.jesuis93652 ай бұрын
🇨🇩🇨🇩🇨🇩 Kweli Baba 👏👏👏
@mwaupinailejeyetu2 ай бұрын
samahani mweshimiwa nakupenda sana naomba mahubili yasiwe ya kusemezana maana wengine wana imani na watu hao samahani lakini mngu awe nawe
@geraldmakalala60912 ай бұрын
Huyu ni muhubiri lazima aseme ,unataka afiche nini?
@estephanowakilwakilwakil60232 ай бұрын
Naku support saaaaaaana kwa hilo kaka!
@AMINAJOHN-tx5eb2 ай бұрын
Safi sana kaka piga kelele
@dorcasmukhanji52312 ай бұрын
Nauliza wakati bibilia inaandikwa kulikuwa na marazi au water walivaa ngozi tafadhali nijibu
@issayawakolela-r1yАй бұрын
Apana mungu atulehem atutienguvu huyovni shetani ndaniyake huyo dada
@hezekiamhapa73952 ай бұрын
Paschal uko sahihi kabisa hata Mimi nimeona hayo mavazi hayamuwakilishi Mungu kabisa
@hanagango69222 ай бұрын
Mungu aturehemu
@Isaya-Anosisye2 ай бұрын
kaka video haionyesh hapa nifanyeje
@SarahWilson-g2u2 ай бұрын
Kamanda wa Yesu💪
@AnaAna-rb8fh2 ай бұрын
Kaka paschal uimbaji wa nyimbo za injili sasaivi nibiashara za masrah Yao wenyewe, kuabudu Wala kusifu kwa Leo ni asilimia 20 tu imebaki.
@Patience.672 ай бұрын
Amen
@pauldaniel622725 күн бұрын
Mwinjilist ivoivo ata usipoe ni mda sasa Siyasikii aya mahubir wengi wanarembaremba sana tuchane tupone
@DeboraNeno-s5o2 ай бұрын
Sana Baba
@cosme-h8e2 ай бұрын
Gog bless
@Patience.672 ай бұрын
Hayo mavazi sio mazuri
@ThomasNghwani-nw6rx2 ай бұрын
mavazi yenyewe kiatu
@jeniphermyingajeniphermyin80292 ай бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣kwaajili pascal upo sahihi Waimbaji badilikeni rudini mlivokuwa mwazo JAMANI heshima kanisa iwepo.mmmh
@AliceNgandu20232 ай бұрын
Ina sikitisha kweli walinza kwa Roho wana elekiya kumaliza kwa mwili 😭😭😭😭😭😭😭
@DeboraNeno-s5o2 ай бұрын
Kweli kabisa Mtumwa
@EZRA-b1c2 ай бұрын
Acheni kuzoea maonyo kwa JINA LA YESU KRISTO.hii sio sauti ya paschal oh! Ni sauti ya mtu aliayae nyikani Tengenezeni jamani
@gosbertmuta54212 ай бұрын
Kwa anastasia mukabwa nimestuka mnooooooo😂😂😂😂hv wanapatwa nann jmn hawa watumishi wa Mungu ALAFU WAKIAMBIWA UKWELI WANAKIMBILIA POLISI KM SHUSHO WALITAKIWA WAKIMBILIE KWA ROHOMTAKATIFU
@ukweliwanenokatikahili75262 ай бұрын
Hahahaha 🤣 Wachape Baba , Nitakua nachukua nafasi ya kukuombea
@zacharianyanda54242 ай бұрын
Waibaji wa Injili wanawake Shetani anawatumia kueneza upotofu na ukahaba.Mioyo yao waimbaji wa Injili sasa inaelekea ubaya tu kila wakati.Basi wajaze kikombe cha uovu wao. Endelea kupaza sauti Ev.Pascal mwenye masikio asikie na na asiye masikio asisikie. Ndiyo maana siku za Nuhu watu wachache waliookoka.
@Magrethw-xp4ru2 ай бұрын
Aaah baba una kasheshe 😂😂😂 umetoka kwa Tony sasa kwa Anna twende mkuyuni kwa Tony utapata hiyo pesa😅
@Elizabeth-777-r3p2 ай бұрын
Huruma sana
@floraflora94902 ай бұрын
Kila mtu ataubeba mzigo wake mwenyewe, piga injili watu waokoke achia Mungu ahukumu
@Franckmulaj-Officiel2 ай бұрын
Ni mapepo muchafu inawaongoza awa 😭😭😭😭
@Rashid-vm1fk2 ай бұрын
Wengi wameingia agano na mungu wao shetani ndiyo maana wanafanya mapenzi ya baba yao shetani,paza sauti mwenye maskio atasikia.
@obedimunguachiza84342 ай бұрын
Huu ujumbe ulikuwa wake Mungu alimwambia avue hizo nguo yeye hakumsikia vizuri akazani wanamwambia Musa avue kiato. Vueni hayo mavazi mkavae mavazi yanayo sitiri miili. Sisi ni nuru ya ulimwengu.
@mutiembingi-le6kz2 ай бұрын
Ni umalaya na freemason
@Apostledanielsmith25432 ай бұрын
Hapo nikweli kabisa
@MeshackyMwashiuya-o3p2 ай бұрын
Kaka kwer huo ni umalaya tu
@lilyg21342 ай бұрын
UKIMUONA SASA HUYO BINTI YAKE ANAVOKAA UCHI MAPAJA NJE KILA SIKU ...BORA UMEMWAMBIA
@MeshackyMwashiuya-o3p2 ай бұрын
Huoo ni umalaya
@ImeldaMyinga2 ай бұрын
Mhuuuuuh hatari
@JohnOuya-w7jАй бұрын
Hakika nimekuunga mukono kukemea dhambi
@MwanahamisiHashim2 ай бұрын
Kwel
@DeboraNeno-s5o2 ай бұрын
Jamani binadamu tumehalibika
@DeboraNeno-s5o2 ай бұрын
AMEIN
@jossymwambe78892 ай бұрын
Ukweli usemwe Ongea yote mtumishi wa mungu
@Akinyisafi2 ай бұрын
mungu ni miungu ndugu yangu soma bibilia yako kutoka mwanzo mbaka ufunuo wa Yohana ama soma Zaburi 81:9
@abiihellen28222 ай бұрын
Utafika mbinguni kama umechoka
@judithlejalearnmore22362 ай бұрын
Wimbo wa zaidi ya miaka 10.ndio.munaongelea leo?Wajuaje kama watu wametubu na kubadilika usihukumu usije ukahukumiwa
@SmilingCityMap-xb9md2 ай бұрын
Sielewi hao wadada wanamwimbia nani
@Eunice254-o7x2 ай бұрын
Waaambie ukwel..pesa ndyo zimeaingia..
@LIGHTNESSISAYAMOLLEL2 ай бұрын
Mmm sio vzr kusema sema watumishi hivyo.huna hekima wewe.ungemtafuta private umksnye.wewe tafuta sadaka ni njaa Tu inakusumbua
@AnethSwila-tw9mv2 ай бұрын
Biblia inasema nikimwambia mwanadamu utakufa na wewe usimwambie na mtu huyo akafa damu yake nitaitaka mikononi mwako lakini ukimwambia mtu huyo na asipokusikia damu yake itakuwa juu yake na wewe umenawa damu yake...... biblia inasema pia paza sauti usiache wambie watu wangu mwakosa yao
@DeboraNeno-s5o2 ай бұрын
AMINA
@sarahgaula22202 ай бұрын
Mmmmh yaani
@LovenesyMhame2 ай бұрын
Yani naon kam nakuon moyon mwako ambavy unataman watu waijue kwer n waach dhamb man unahubili kwa hisia san mung akubariki n tutend mema
@mwikalicatherini60922 ай бұрын
Waaambie Tena na Tena kaka
@estherbettyfavour2 ай бұрын
Hakuna aliye mkamilifu, badala ya kuhubiri dhambi mhubiri Yesu ndio suluhisho tosha!!!
@stevenkipara93102 ай бұрын
Soma mandiko wewe
@estherbettyfavour2 ай бұрын
@@stevenkipara9310 Wewe soma kwanza, nyinyi ndio mafarisayo wa Leo.
@FestoJemsi-lr8pw2 ай бұрын
@@estherbettyfavourupo nyuma sana soma biblia kilasku uku ukimuomba MUNGU loho mtakatifu atakuongoza kujua ulimwengu unaendaje 🙏
@estherbettyfavour2 ай бұрын
@@FestoJemsi-lr8pw Je wewe umekamilika? Hivi hayo ndio mahubiri ya jumapili? Mtu asimame kuhubiri Anastasia badala ya kuhubiri Kristo. Toa kwanza boriti Kwa jicho lako kisha utoe kibanzi Kwa jicho la mwengine.
@EZRA-b1c2 ай бұрын
ONYEKENI JAMANI MUDA UKIPITA WA KUONYWA MTAKUNYWEA KIKOMBE KIKIJAA.
@mutiembingi-le6kz2 ай бұрын
Ni kahaba
@irmichaelmbabaziheritier84162 ай бұрын
Heeeee n'a shangaaa tu
@Leah-mbilizi2 ай бұрын
❤️❤️
@MeshackyMwashiuya-o3p2 ай бұрын
Huoo ni umalaya kuvaa mavazi ya mwanau wakati wewe ni mwamke😮
@abiihellen28222 ай бұрын
Wewe nawe umekosa la kuhubiri ,huna mengine wewe mchungaji mzima huja haya,ivi unapo huburi na ww hujui pia ww kuna sadaka za hao malaya pia unakusanya.hukumu muachie mungu,unamuita mtu malaya wewe ya kwako huyaoni.hubiri neno na sio kushtumu watumishi.nyinyi ndio wale hamna yakuhubiri sasa munatafuta mambo yasiyokuwa na maana, yani utoke kwako tu ukamhubiri annastacia 😂😂😂😂😂una kazi basi
@LIGHTNESSISAYAMOLLEL2 ай бұрын
Nikweli huyu ni njaa Tu inamsumbua.na ushamba,mkewe mwenyewe mshamba anavaa kishambaaa ndo maana