MCH.KATEKELA:MALANGO YA KUZIMU NA MANABII WA UONGO WANAVYOSHIRIKIANA

  Рет қаралды 158,026

PROMOVER TV

PROMOVER TV

Жыл бұрын

JE!UMEPENDA KAZI ZETU?BASI TUNAOMBA UCHANGIE SADAKA KILA MWEZI AU WAKATI WOWOTE ILI KUTUWEZESHA KUFANYA VIZURI ZAIDI.Kama uko tayari kuwa mchangiaji jiunge kwenye group letu la TEAM PROMOVER SUPPORTERS kwa kubonyeza link hii chat.whatsapp.com/CUGPFEt7SK4...
PIA UNAWEZA KUJIUNGA NA MAGROUP YETU MENGINE MAWILI AMBAYO SIYO LAZIMA KUCHANGIA BALI NI YA KUPATA SHUHUDA ZETU MPYA KILA SIKU NA KUJIFUNZA NENO LA MUNGU
1.TZ PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp.com/J5QuMiNuG1l...
2.KENYA PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp.com/FRGK8R0u2ak...
Namba za mawasiliano na kuchangia sadaka ni: +255784074462 / +255766294335 / +254113844735 jina ni Jacktan Msafiri
#ShuhudaZaPromoverTv #Ushuhuda #PromoverTV

Пікірлер: 302
@alensilence8308
@alensilence8308 5 ай бұрын
Mungu azidi kukutumia Mch.Amiel Katekela katika kazi yake. Nimebarikiwa sana na mafundisho yako. Ni Mungu tu AMINA. UBARIKIWE SANA.
@liliannyangweso8033
@liliannyangweso8033 11 ай бұрын
I just love this man of God for speaking the truth this is the third time I'm listening to him my eyes have opened alot,I pray for him and his family for more grace
@liliannyangweso8033
@liliannyangweso8033 11 ай бұрын
May God bless you for me
@favourrobert872
@favourrobert872 8 күн бұрын
​@@liliannyangweso8033😢😢😢😢😢😢😊😢😊😢
@LilianBerthesa-gc8bf
@LilianBerthesa-gc8bf 5 күн бұрын
Amen namuelewaga sana huyu mtumishi
@mauriciocristianomardes6295
@mauriciocristianomardes6295 Жыл бұрын
Barikiwa sana mtumishi wa MUNGU. From Mozambique 🇲🇿
@faithe4063
@faithe4063 9 ай бұрын
Niliwai findisha kwamba Roho wa Mungu aiangushi bali inasimamisha,sasa watu wamrudie mwenyezi Mungu waache kukimbilia miujiza hii lugha eti ni ndimi sijewai Amini Mimi Asante Mungu kwa hekima
@amigoshamisi126
@amigoshamisi126 Жыл бұрын
Mungu akulinde kwakazi unayo fanya kwaajili ya kuponye mioyo ya watu. Mungu akupe maisha marefu uzindi kuponye watu wa Mungu kwakusundi lake.
@simonliwawa864
@simonliwawa864 Жыл бұрын
Barikiwa mtumishi KATEKELA. Umenifumbua Sana katika shuhuda zako
@MarymoitaMarynaitawang-yl4dk
@MarymoitaMarynaitawang-yl4dk 9 ай бұрын
MUNGU hakubariki mtumishi wa MUNGU kwa mafundisho Niko Kenya trainsmara
@Soni-lt6oi
@Soni-lt6oi Ай бұрын
Bwana Yesu asifiwe wapendwa Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu endelea kutuambia ukweli tuendelee kujuwa ukweli
@abdusheriffsheriff8557
@abdusheriffsheriff8557 Жыл бұрын
Asante Mungu wetu kwakuokowa mtumishi wako, pia na sisi utusaindie kelikeli🙏🙏
@Josmedard
@Josmedard Жыл бұрын
Watu wangu wanaangamia Kwa kukosa maarifa " kwanzia Leo , nimepata maarifa , man of MIGHT GOD be blessed alot , preach always like never before
@carolinemkuwele7845
@carolinemkuwele7845 3 ай бұрын
MUNGU akubariki sana Mtumishi wa MUNGU alie hai. Unatufunulia yaliyofichika sirini. Uzid kulindwa kwa DAMU ya YESU KRISTO.
@chrithicksambo2287
@chrithicksambo2287 5 ай бұрын
Oooh nimebalikiwa Duniani na mbinguni ahsante MWENYEZI MUNGU kwa hii Neema 🙏🙏
@janetndonye7709
@janetndonye7709 Жыл бұрын
karibu sana kenya mafundisho kama hayo nimuimu sana kwa makanisa yakenya nimembarikiwa sana naumefungua macho yangu asante sana
@kimalimorice4125
@kimalimorice4125 3 ай бұрын
Mungu akubarik saana na kukulinda mch Amiel kwa mafundisho mazur
@kinjiwe5828
@kinjiwe5828 Жыл бұрын
chukua vyote niachie Yesu💯
@gilbertndayishimiye7808
@gilbertndayishimiye7808 Жыл бұрын
Barikiwa Mtumishi wa Mungu. Ila mafundisho haya kuna vipande vipande vinakatika katika inapungua mwendelezo wa message kamili. Alietengeneza hii vidéo aombe Mungu, shetani asiilie tukaja kukosa ujumbe mzuri.
@winfredmueni3281
@winfredmueni3281 Жыл бұрын
Mtumishi wa MUNGU barikiwa sana mimi nimebarikiwa sana nikiwa nakuru kenya na naomba MUNGU sana anifungulie jia ya kukupata i have more to you
@UsafiMichael-mc8kt
@UsafiMichael-mc8kt 11 ай бұрын
@@winfredmueni3281 come on ubarikiwe sana
@AbeliSaly
@AbeliSaly 6 ай бұрын
Amen nashukulu mchungaji,kuisaidia familia yang kututoa kwenye munyololo wa mizimu ya ukoo iliyotushikilia ,sasa imeshindwa kwa jina la Yesu ,sasa tunaamani familia yote ya wilson
@violetnasimiyu8718
@violetnasimiyu8718 Жыл бұрын
Asante Yesu Mungu awabariki wote mliousika kuiandaa semina hii katoka Jina la Yesu Kristo alie hai .Amina.
@subiramtitu6621
@subiramtitu6621 20 күн бұрын
Amina mtumishi wa mungu
@jacklinegatwiri635
@jacklinegatwiri635 7 ай бұрын
Kwa jina la Yesu Kristo Amen Amen 🙏🙏🙏
@sophiamakani6133
@sophiamakani6133 9 ай бұрын
Amen Amen Asante Muchungaji kwa mafundisho mazuri barikiwa sana pamoja nawe Promover TV.
@resaltnekesa9702
@resaltnekesa9702 Жыл бұрын
From Kenya Bungoma we are blessed. God bless you servant of God
@nominetjacob8137
@nominetjacob8137 Жыл бұрын
Mchungaji ana hubili ukweli kabisa watu tumekuwa wavivu wa kujiombea tume kuwa wavivu tunataka kuombewa tu imani hatuna kabisa Kwakweli umetufunguwa na kutegemea maombi kwa watu wengine MUNGU akubaliki sana mtumishi wa MUNGU BWANA YESU kritor aliye hai akubaliki sana
@eunicewangomwa5506
@eunicewangomwa5506 9 ай бұрын
Mbarikiwa sana na yesu sana
@sophiajonas2090
@sophiajonas2090 Ай бұрын
Ubarikiwe Sana mtumishi was Mungu
@annahalex8453
@annahalex8453 Жыл бұрын
Amen hv umeshamkutanisha na Askofu Gwajima nataman Sana hiyo siku
@Shalom2018
@Shalom2018 Жыл бұрын
Hata mimi niliwahi kulifikiria hilo
@user-lr6ef5co9t
@user-lr6ef5co9t 7 ай бұрын
Nimepokea mtumishi Mungu akubariki kwa ushuhuda wako
@StephenKitina-f5m
@StephenKitina-f5m 4 күн бұрын
Barikiwa sana
@user-xd8is8ct7j
@user-xd8is8ct7j 8 ай бұрын
Mungu akubariki mtumishi wa Mungu aliye juu ninayaelewa sana mafundisho yako
@udahkafonogo-cp1fc
@udahkafonogo-cp1fc Жыл бұрын
Hii ni kwel kweli tunaihitaji ufunuo nakuelewa kuwa Yesu Kristo ndio mwana wa Mungu
@user-mm7pi6dz9m
@user-mm7pi6dz9m 8 ай бұрын
mungu akubariki mchungaji maubiri yako yanibariki sana mungu akupe nguvu yakutangaza injili
@MarymoitaMarynaitawang-yl4dk
@MarymoitaMarynaitawang-yl4dk 9 ай бұрын
Mtumishi MUNGU hakubariki kwa mafundisho
@daviesoscar1603
@daviesoscar1603 3 ай бұрын
Mungu Jehovah ANISAIDIE nikauone Ufalme wake
@user-fg2df7pw7j
@user-fg2df7pw7j 8 ай бұрын
MUNGU awabariki watumishi wa BWANA na ashukuliwe kwa kuwatoa kuzim
@jacymueni1671
@jacymueni1671 Жыл бұрын
Amen Amen Mafundisho Yako inanibariki sana God bless you.
@valelianonyato-gx5bq
@valelianonyato-gx5bq 8 ай бұрын
Mungu akubaliki sana mtu wa Mungu huo ndio ukweli nabalikiwa sana ukweli usemwe tu kuliko kuwa sikiliza matapeli wa injili
@aidaraphael1956
@aidaraphael1956 Жыл бұрын
Ubarikiwe mnoo,DAMU ya YESU ikufunike.
@yesuanikumbukejanuary8363
@yesuanikumbukejanuary8363 11 ай бұрын
😭😭😭 uwiii MUNGU wetu tuna kuomba utusaidie tusiikose mbingu sisi pamoja na familia zeetu MUNGU WETU TUSADIE wanao kuzimu nimbaya saana yani wewe mchungaji wewe kwenda kuzimu nimpango wa MUNGU ili akurudishe kwetu ili uje uuambie ulimwengu hali ilivyo kuzimu.
@suzanmichael
@suzanmichael 2 ай бұрын
Amen mtumishi nmebarikiwa Kwa mafundisho haya🙏🙏🙏
@adriannebatakanwa6904
@adriannebatakanwa6904 Жыл бұрын
Hebu igiza kilicho sahihi ili tupambanue kunena kwa shetani na kwa Roho wa Mungu! Shetani hupenda kuiga ndivo ninavoelewa mimi so utajua kwa Neno la maarifa kuwa hii siyo!
@user-gv3si2mv3l
@user-gv3si2mv3l Жыл бұрын
Ukinenewa uliza kwa jina la yesu utajua kama ndie au sie the bble says kwa jina la yesu kila goti litapigwa mm nliwahi muona ndege kazin kwangu anantabasamia nkamwambia njoo kwangu kwa jina la yesu akakimbia mbio NA kutoka hapo
@pourquoilafrique1922
@pourquoilafrique1922 Жыл бұрын
Napenda nipate namba ya mtumishi katekela,naomba Promover Tv
@JofreyDamson-nm6ec
@JofreyDamson-nm6ec 2 ай бұрын
Amen mchungaji ubarikiwe sana
@barakaclement7754
@barakaclement7754 4 ай бұрын
barikiwa sana mtumishi Yesu akutunze
@annissdaprincess3846
@annissdaprincess3846 Жыл бұрын
Hallelujah hallelujah hallelujah jina la BWANA lipewe sifa milele na milele AMINA KUBWA hakuna kama MUNGU wambinguni mubarikiwe zaidi nazaidi watumishi wa MUNGU
@julietnelima3253
@julietnelima3253 Жыл бұрын
Mchungaji tafadhali tafuta nafasi utuambie chanjo ya Corona ina nini na baada ya kuchanjwa madhara yake pliz but tunaamini Mungu atatuosha hizo dawa tulichanjwa kutoka kwa miili yetu ktk jina la Yesu Kristo.
@Matilda-rp4uy
@Matilda-rp4uy Ай бұрын
Mungu akutie nguvu zaidi
@mathewlemegila7645
@mathewlemegila7645 7 ай бұрын
More grace and Protection of God man of God.
@JacklinePoyongo-xe7io
@JacklinePoyongo-xe7io 4 ай бұрын
MUNGU akubariki sana mtumishi nimekuelewa
@user-wq3vw6rr7t
@user-wq3vw6rr7t Жыл бұрын
Barikiwa sana mtumishi mungu azidi kukutunza .Nimebarikiwa sana natamani masomo yako yote nizidi kukua kiimani
@user-eg3lt6mp1c
@user-eg3lt6mp1c 20 күн бұрын
Na.takasana barikiwa
@jojosky337
@jojosky337 Жыл бұрын
Asante mtumishi kwa kunifungua mm nilikua mtumiaji mzuri wa hayo mafuta Asante Yesu kwa kuniokoa🙏🏾
@BathoromayoRunobera
@BathoromayoRunobera 4 ай бұрын
ubalikiwe.mtumishi.endelea.kufunguawatu
@user-up8rt6tu4i
@user-up8rt6tu4i 11 ай бұрын
Asnte mtumishi wa mungu nimejifunza mengi mnooo barikiwa sanaaa
@pericykiko6198
@pericykiko6198 Жыл бұрын
Mbarikiwe sana kwa kazi nzuri ya Mungu tunawapata vema kabisa
@PhabianLuoga-yd1hl
@PhabianLuoga-yd1hl 22 күн бұрын
Amina
@user-nu9ww9ly6q
@user-nu9ww9ly6q Жыл бұрын
Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu 🙏🙏🙏❤
@ridiajofrey8276
@ridiajofrey8276 Жыл бұрын
Asante kwa neno limenifungua mungu nisamehe na unirehem bwana yesu jaman Kama kwa manabii naenda sana
@mackfasonmoshi4629
@mackfasonmoshi4629 Жыл бұрын
Ridia samahani mpe Bwana Yesu hadhi yake kwa kutumia herufi kubwa.. Bwana Yesu. Kuhusu hawa manabii feki, Endelea kupokea Neno sahihi kwa Watumishi sahihi. Taka sana Uongozi wa Roho Mtakatifu. Jifunze sana kuhusu 1Wakorintho 12: 8-10.. Karama za Roho Mtakatifu.. zaidi zile 3 za Mafunuo ( Kupambanua roho, Neno la Maarifa na Neno la Hekima)....Kanisa la Kweli litake sana karama hizi ....ili tuwezeshwe kuzitambua hizo roho..1Yohana 4:1....Mathayo 24: 11, 24 nk... Barikiwa...
@annareginald7120
@annareginald7120 Жыл бұрын
Bwana Yesu asifiwe. Huduma nzuri lakini naomba Mch. Katekela aache kuapa na tafadhali warushaji video inakatika katika. Mambo mengine hatuyapati Mungu awabariki.
@Martinisamweli
@Martinisamweli Жыл бұрын
Munguu wafungue masikio ya rohoni roho ya kawaida itoke kwa jina la yesu atupe moyo ulio pondeka
@judithminja770
@judithminja770 Жыл бұрын
Yesu akuinue zaidi mch
@jesusfirstchurch4162
@jesusfirstchurch4162 Жыл бұрын
Mungu akubariki na kukutia nguvu🙏
@JuliasRanga-dd8zn
@JuliasRanga-dd8zn Жыл бұрын
Ubarikiwe sana mutumishi wa mungu
@BahatiKinyamagoha
@BahatiKinyamagoha 8 ай бұрын
Asante sana mtumish wa mungu amiel hakika mungu akulinde sana sana
@jimmymwashambwa7364
@jimmymwashambwa7364 2 ай бұрын
Asante kwa Bwana wetu Yesu kristo
@SwagadaMpakaa
@SwagadaMpakaa Ай бұрын
Mtumishi upo vizuri
@deomajuva2432
@deomajuva2432 Жыл бұрын
Amen nimebarikiwa sna
@lianaelgomezulu2259
@lianaelgomezulu2259 Жыл бұрын
Amen!! Ni kweli wanaondolewa utayari wa kumtafuta Mungu wa kweli
@nisetameena9276
@nisetameena9276 Жыл бұрын
MUNGU akubariki
@stellahkathure-px9cf
@stellahkathure-px9cf Жыл бұрын
Mtumishi wa mungu ningependa utembee àta pande cha meru ubiri neno la mungu uko ukomboe mwoyo ya watu uko plz
@UsafiMichael-mc8kt
@UsafiMichael-mc8kt 11 ай бұрын
Meru ipi ya Tanzania au Kenya?/
@sophiamakani6133
@sophiamakani6133 9 ай бұрын
​@@UsafiMichael-mc8ktkenya
@sarahndungu2023
@sarahndungu2023 Жыл бұрын
Barikiwa sana mtumishi wa Mungu from Riyadh Saudia
@julietnelima3253
@julietnelima3253 Жыл бұрын
Tuko wengi
@festusnyamhanga1315
@festusnyamhanga1315 Жыл бұрын
Shetani hufikiri anawachukua wafuasi wake na kuwaonyesha fahari zote pasipokujua kuwa Mungu alimuumba mtu kwa sura na mfano wake.
@adriannebatakanwa6904
@adriannebatakanwa6904 Жыл бұрын
Natamani ungepiga zaidi injili na kufundisha watu zaidi kuongozwa na Roho Mtakatifu na Roho ya kupambanua.
@user-gv3si2mv3l
@user-gv3si2mv3l Жыл бұрын
Roho yy ndio anakufunulia yesu hufunzwi jesus says huyo roho msaidiz wangu atawafunulieni mm ndani yenu
@maliammussa
@maliammussa Жыл бұрын
Nimefungukasana nakanisani kwetu mchugaji wetuana tumia mafuta huku geita butundwe ninaomba mungu atuletee watumishi wa me amee.
@rahabnkya8276
@rahabnkya8276 Жыл бұрын
Toka njkupate kwenye YUTUBE NIMEJIFUNZA MENGI, ulipokuja Sombetini PALE nolitamani MNOOO kukuona lkn shetani akanipotezea nisiwe kanisani, na wakati ule uljkuwa unachechemea mguu . POLE sana huenda ukaja ars nikabahatika.
@highzacknnko9685
@highzacknnko9685 Жыл бұрын
Jamani rahabu sombetin prayer church kwa mchungaji Romana,ulikuwa arusha duh shetani akakuzuia
@veronicahkhaikwa4929
@veronicahkhaikwa4929 Жыл бұрын
Mafundisho mazuri sana huwa na faidika sana
@annamulenda6652
@annamulenda6652 Жыл бұрын
Keep the fire burning.. God is good. Stay blessed always in the name of Jesus Christ of Nazareth... Amen Amen Amen Amen
@bettywanjala5630
@bettywanjala5630 Жыл бұрын
Amen Amen pastor
@macrinajoseph1422
@macrinajoseph1422 Жыл бұрын
Unahubiri.vizuri ila jinsi no nilivo kusikiliza.na.kukufatilia sana naomba.kanisa walilompokea katekela wamuombe kwaza mungu awathibitishie. Kama mtumishi kweli kuna mambo nayaona.kwa katekela hayako sawa
@user-gv3si2mv3l
@user-gv3si2mv3l Жыл бұрын
Ww omba uje utidhibitishie dada mana una uwezo pia dont you see satan is talking inside of you sumaku ina attract sumaku ukiona kitu kibaya ndan ya mtu n ubaya wako ulio ndani ndio unaona. Jesus says pepo hawez kutoa pepo
@UsafiMichael-mc8kt
@UsafiMichael-mc8kt 11 ай бұрын
Unaona nini? Wewe umeokoka au ni mlokole au wewe ni nani?
@highzacknnko9685
@highzacknnko9685 Жыл бұрын
Nasikiliza Leo 3.3.2023 nikiwa mkoa wa pwani wilaya ya kibaha kata ya kongowe mtaa wa bamba.Mungu wa miungu nisaidie nimalize mwendo salama
@user-nu9ww9ly6q
@user-nu9ww9ly6q 10 ай бұрын
Mungu wambinguni atusahidiye ili tuiyone mbigu atuepushe na majaribu
@marynimmo2399
@marynimmo2399 Жыл бұрын
Nashukuru mwenyezi Mungu Kwa mtumishi wake ,nimepata ufunuo na kubarikiwa.Sifa na utukufu simurudie yesu
@user-zu1os9yo1z
@user-zu1os9yo1z 8 ай бұрын
God is pless you my paster
@annareginald7120
@annareginald7120 Жыл бұрын
Bwana Yesu asifiwe. Huduma nzuri lakini naomba Mch. Katekela aache kuapa na warushaji video inakatika katika. Mungu awabariki.
@shanelmbunga1301
@shanelmbunga1301 Жыл бұрын
Acha kumfundisha mchungaji
@user-zg6ek5kk6z
@user-zg6ek5kk6z 2 ай бұрын
MUNGU BABA MWENYEZI , tuhuishe nakusihi kumbe wengi hatupo kiroho wala kimwili!
@dainesykalinga7133
@dainesykalinga7133 Жыл бұрын
Mungu uturehemu na tunaomba utufumbue akili na tunaomba utupe macho ya Rohoni tuweze kutambua na kuona sawa sawa na uweza wako Mungu wetu uliye hai.
@mtumehosana7081
@mtumehosana7081 Жыл бұрын
Watu wavideo mtusaidie kuhubiri vizuri injili , maana inakatikakatika Mambo mengne yanapita juu.
@asta.tanotdoor7
@asta.tanotdoor7 Жыл бұрын
Amen sana ninaamin nimefuta kilakitu
@florabuzoya3948
@florabuzoya3948 Жыл бұрын
Aksante kwa kutufungua ufahamu pia
@geitandelwa299
@geitandelwa299 4 ай бұрын
Mmmmh eeee namutaka BWANA MUNGU NA NGUVU ZAKE YEEE
@estherchacha7112
@estherchacha7112 Жыл бұрын
Amen amen 🙏🙏🙏
@imagepower3641
@imagepower3641 Жыл бұрын
Hatari sana
@JoyceMlelwa
@JoyceMlelwa 2 ай бұрын
Mungu nipe macho ya rohoni
@koletajeanne8824
@koletajeanne8824 Жыл бұрын
Iyo nikwali mungu hakubariki
@RoshaniLifeStyle
@RoshaniLifeStyle Жыл бұрын
Amen & Amen. GOD BLESS YOU ALL for the wonderful work.
@irinealex559
@irinealex559 Жыл бұрын
Mtumishi wa Mungu, Mungu akutetee sana kwa ukweli huu
@user-eg3lt6mp1c
@user-eg3lt6mp1c 20 күн бұрын
Nakwelewa
@alexnyigo8864
@alexnyigo8864 9 ай бұрын
Amina baba
@emmanuelmsaka4736
@emmanuelmsaka4736 Жыл бұрын
Mtumishi ongea sana dunia ipone maana manabii wamemeza neno la Mungu kwa watu
@dadaz4653
@dadaz4653 Жыл бұрын
Ameeeen
@user-tz4ue4hm9f
@user-tz4ue4hm9f 4 ай бұрын
Be blessed
@Reginajohnson19884
@Reginajohnson19884 3 ай бұрын
Hallelujah
@JuliasRanga-dd8zn
@JuliasRanga-dd8zn Жыл бұрын
Amen and Amen
@pablovicpabloski7929
@pablovicpabloski7929 4 ай бұрын
THANKS
@angeljoseph4666
@angeljoseph4666 Жыл бұрын
Amen
когда повзрослела // EVA mash
00:40
EVA mash
Рет қаралды 3,8 МЛН
Osman Kalyoncu Sonu Üzücü Saddest Videos Dream Engine 170 #shorts
00:27
LOVE LETTER - POPPY PLAYTIME CHAPTER 3 | GH'S ANIMATION
00:15
OMG😳 #tiktok #shorts #potapova_blog
00:58
Potapova_blog
Рет қаралды 4,3 МЛН
MCH.KATEKELA:UKOMBOZI WA NYOTA ILIYOIBIWA
53:22
PROMOVER TV
Рет қаралды 2,5 М.
Sililiza Kisa Cha Baba Huyu Utajifunza Kitu | USHUHUDA | Rev. Dr. Eliona Kimaro
7:18
Hatumtafuti Mungu kwasababu tunashida  " Ezra 8 : 21 - 23 ".  Rev. Abiud Misholi
1:19:10
когда повзрослела // EVA mash
00:40
EVA mash
Рет қаралды 3,8 МЛН