TRA watuambie wamekusanya tsh ngapi kwenye hizo pkpk? Like twende sambamba
@lupakisyoassa15793 ай бұрын
Mungu akuongoze Ubarikiwe sana.
@maryfranknamkumba91823 ай бұрын
Kwa nini hawamjibu Lissu hela za pikipiki Samia katoa kwa Waarabu. SIMPLE AND CLEAR
@rebekakulwa61593 ай бұрын
Kuwaondoa mafisi bila tume huru I tawezekanaje maandamano yaendelee
@NathanielRajab3 ай бұрын
Kweli kiongozi wetu tutalinda kurazetu
@JohnS.mwafubo3 ай бұрын
Makonda mtetezi wa haki za wanyoge.
@malkavoice25703 ай бұрын
Watanzania tumeingia mkenge kinoma kumpitisha huyu mwanamke Ikulu. Kumuondoa ni shida sana kama hatutaungana wote na ccm wenyewe wamkatae kwanza asigombee kbs
@hemedmselem48893 ай бұрын
Kwani nyie mlipata wapi hela za kukodi machopa kwenye mikutano Si ni huo huo ufisadi tu ? Hapo hakuna msafi kila mmoja ana uchafu wake We shukuru umekombolewa kutoka utumwani huko kwa mashoga ukarufishwa nyumbani Ukakombolewa toka kifungoni ukaachawa huru Ukapewa uhakika wa kua huru bila kesi kama alivyotaka kukushtaki magu Ukapewa na mafao yako bado unamtukana aliekuhurumia Mwanasiasa wa nyoko kweli
@rogersiddy3 ай бұрын
Wanaipenda CHADEMA matajili wanajitolea kutokana na madhira wanayopitia kodi za nguvu mabavu watu wanajitolea tu kuiangamiza ccm kwa namna nyingi mwenye hela gari mafuta watu wanajitolea tu
@rogersiddy3 ай бұрын
Usidanganye watu LISU hajapewa mafao yake usibebe dhambi isio na lazima wala msingi ameliongelea swala la mafao yake na malipo mengi ikiwemo matibabu ni haki yake hakuna hata malipo aliopewa LISU kama wanasema wamelipa wajitokeze waseme waonyeshe kidhibitisho
@JohnS.mwafubo3 ай бұрын
Huyo anayesema lisu kapewa mafao ni mlevi acha naye mpuuzi.
@hemedmselem48893 ай бұрын
Sio mafao tu na uhuru wa kuropoka kapewa Enzi za mjomba alikimbilia kwa mashoga huko Hakuthubutu kusema nyoko
@rebekakulwa61593 ай бұрын
Fisiyemu mtupishe tunamuelewa mbeba maono dunia ya jana siyo ya leo
@fabianmainchanyangachika50173 ай бұрын
Nina mashaka na hiso pikpk labda hata Kodi hazijalipiwa
@YassinRajabu3 ай бұрын
wakulima EFD ina wasubili na nyinyi mtoe lisiti 😂😂😂😂
@ramadhanishabani8073 ай бұрын
Tanzania inabd tufany km french walivomtoa mfalme lous
@lymondmande44223 ай бұрын
Then ukishafanya kama french hio nchi umpatie nan unamkubal atakuwa mzalendo???. Kwa nchi tulionayo ili tupate haki na maendeleo halali lazima tuwe na kuongoz kama Magufuri mwenye nia ya kwel na msimamo asieyumbishwa na upepo wa kisurisuri.
@anastazialushika3 ай бұрын
Wewe c unataka madaraka tyu wala hakuna kingne njaa hizo acha kutupoteza cc
@zawadimbwambo10913 ай бұрын
Waloko madarakani walitaka Nini ?
@jakalwambemanyalla62873 ай бұрын
Wewe usie na njaa Ongera zako Lisu amekuzidi kila kitu ktk Maisha yako Kuanzia Kiumri Kielimu Kiumaharufu Kujulikana Kieshima Kifedha Kutembea Nk adi Zambii
@JohnMwansile3 ай бұрын
Wewe hujui ulitendalo ko tunakusamehe tu lissu sio saizi yako
@richardnganya23113 ай бұрын
Hayo maoni ni ya kibaraka. Mwenye kuijua historia yake huchutama !
@rogersiddy3 ай бұрын
Umesahau sio mlitaka kumnunua huyu mmeshindwa mkaona mumuundie mpango wa kumtanguliza mbele za haki waliomuundia wametangulia wao yeye bado Mungu amemtunza ana kazi nae maalum upo uliejaa bendera ya ccm?