Askofu Kakobe Amwaga Machozi Utawala Uliopita Atoa Ombi mbele ya Samia Akimuombea katika huu utawala

  Рет қаралды 53,457

Taifa Digital

Taifa Digital

Күн бұрын

Пікірлер: 245
@isaacmgaya2067
@isaacmgaya2067 3 жыл бұрын
I never heard such an anointed prayer in this and for this nation Tanzania. God bless you Bishop Zacharias Kakobe. You are a true man of God.
@jayzeem14
@jayzeem14 3 жыл бұрын
Amen! Maombi mazuri mno! Asante Askofu Kakobe umetubariki mno!
@mimimoop2617
@mimimoop2617 3 жыл бұрын
Amen askofu kakobe kwa kunikumbuka mpendwa wetu Jonh pombe magufuli Allah amsamege makosa yake
@robinahumphrey9725
@robinahumphrey9725 2 жыл бұрын
God bless you Daddy Bishop Zachary kakobe .
@elishamwaipaja248
@elishamwaipaja248 3 жыл бұрын
Huyu ni mtumishi wa Mungu kweli kweli!!!!!!!!!!! Mungu akubaliki sana baba
@mariaalenge2106
@mariaalenge2106 3 жыл бұрын
mtumishi wa Mungu aliacha anawaambia musimuache Mungu mukimuacha Mungu mutakwisha tafazali wandugu zangu watanzania musimuache Mungu
@selemsigala4771
@selemsigala4771 3 жыл бұрын
Asante sana na baba kakobe kwa kuwambia kua barakoa sio kinga bari kinga ni Mungu pekee na asante kwakumuombea na kumwambia amtambue Mungu tunakwenda na Mungu hakuna chanjo wara barakoa Mungu atatenda.
@j.c.maxima816
@j.c.maxima816 3 жыл бұрын
Nadhani hamkumwelewa vizuri Bishop! Anachosema ni kwamba, PAMOJA NA KINGA ZOTE, NA NJIA ZOTE ZA KISAYANSI TUTAKAZOTUMIA, tusisahau kurudi kwa Mungu wetu Muumba... kwa maana "Mwenyezi-Mungu asipoijenga nyumba, waijengao wanajisumbua bure... Mwenyezi-Mungu asipoulinda mji, waulindao wanakesha bure"...
@mussalugembemussalugembema3650
@mussalugembemussalugembema3650 3 жыл бұрын
Mwenyezi mungu tunamuomba atusaidie kipindi hiki cha mpito
@jescarwegoshola7231
@jescarwegoshola7231 3 жыл бұрын
Amen tumeshinda na zaidi ya kushinda kwake Yesu aliye tupenda IMEKWISHAAAAAA💪💪💪
@venelandakundi63
@venelandakundi63 3 жыл бұрын
Asante kwa maombi Mungu yupo nasi daima milele usihofu wapendwa tujinyenyekeze tu kumlingana Mungu hakika tutashinda asante Mungu
@praygodmtui1407
@praygodmtui1407 3 жыл бұрын
God bless you bishop zakaria kakobe you and bishop shoo. For your truth you have your really man of God .
@reubenismail3672
@reubenismail3672 3 жыл бұрын
Mama tunampenda Sana!na Leo katimiza siku 100.mungu ampe hekima na maisha marefu
@rahmarahma920
@rahmarahma920 3 жыл бұрын
Sasa mnamuamini Mungu au barakoa wee mzee unayumba
@geraldrevocatus6420
@geraldrevocatus6420 3 жыл бұрын
We mbona unamwamini Mungu na ukitoka kwa unafunga milango na kufuli, si uache wazi Mungu atakulinda.
@nicolasnkembo1606
@nicolasnkembo1606 3 жыл бұрын
Utusikilize Ee Bwana Mungu wetu
@mathiaslyaheha6942
@mathiaslyaheha6942 3 жыл бұрын
Mungu Baba utuhurumie sisi na dunia nzima
@tulibakomwafula9079
@tulibakomwafula9079 3 жыл бұрын
Mungu Yeye ni Yule Yule Jana Leo na hata Milele. Aliiokoa Nchi yetu Tanzania Mwaka jana Ulimwengu uko kwenye giza la kutojua chochote. Lakini Mungu Jehovah Rapha aliisimamia Tanzania Akajitukuza Mwenyewe, na sasa kama Aishivyo ndivyo Tanzania itaokolewa na mkono wa adui korona🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾
@mssakihama6415
@mssakihama6415 3 жыл бұрын
Hv? Wengine wameelewa kweli kuwa jpm aliendesha Kama kuhani? Mm nimekuelewa.
@shalomizrael667
@shalomizrael667 3 жыл бұрын
Amen amen amen mtumishi wa BWANA WA MAJESHI
@edwardnamakonde7310
@edwardnamakonde7310 3 жыл бұрын
AMEN! MUNGU yuko tayari kututetea.
@sabasjacob9038
@sabasjacob9038 3 жыл бұрын
TANZANIA CORONA AMNA AIPO kabisa ilo licorona nilipepo na limeshindwa kwa JINA LA BWANA YESU KRISTO AMEN.liende kuzimun.
@j.c.maxima816
@j.c.maxima816 3 жыл бұрын
Imani za kishirikina hizi... Unayaona mapepo ww kila kona?!!! 🙄🙄
@dorcasseruhere6875
@dorcasseruhere6875 3 жыл бұрын
Asante mtumishi wa Mungu Kakobe Mungu akubariki Tanzania imepona Amen "Corona itayeyuka
@philemonpaulo1790
@philemonpaulo1790 3 жыл бұрын
Ameeeèeèèen
@shalomizrael667
@shalomizrael667 3 жыл бұрын
Mungu utuhurumie watanzania
@diamondgeyser7987
@diamondgeyser7987 3 жыл бұрын
Tunakuombea Raisi wetu Mwenyezi Mungu Akusaidie, Yale tusiyoyaelewa Mungu atusaidie.
@j.c.maxima816
@j.c.maxima816 3 жыл бұрын
Kwa maana fadhili zake ni za milele...
@hamisiselemani9777
@hamisiselemani9777 3 жыл бұрын
Hap namkumbk tu magufuli
@kalumbugideon4159
@kalumbugideon4159 3 жыл бұрын
Naamini Sana kwa jina la YESU KRISTO... AMEN AMEN AMEN
@dianajohn8520
@dianajohn8520 3 жыл бұрын
Tunakataa corona kwa jin la Yesu
@mamylnkuzi8482
@mamylnkuzi8482 3 жыл бұрын
MUNGU ILINDE TANZANIA
@charlesnassary6689
@charlesnassary6689 3 жыл бұрын
Amen Amen
@josephtemu2633
@josephtemu2633 3 жыл бұрын
Viongozi wa dini tuongozeni kwa haki
@lasttrumpetmission1262
@lasttrumpetmission1262 3 жыл бұрын
Asante Bishop
@hitulilorajabu7934
@hitulilorajabu7934 3 жыл бұрын
Raisi ajifunze kumtumainia mungu asitutie hofu watz
@iddyjuma4279
@iddyjuma4279 3 жыл бұрын
Mungu yu nasi mungu ni mwema na ndio tegemeo letu
@j.c.maxima816
@j.c.maxima816 3 жыл бұрын
Kama Corona ipo, mtuthibitishie kwa takwimu... Vinginevyo Watz watadhani ni uvumi tu...
@salimsaid7200
@salimsaid7200 3 жыл бұрын
CORONA IPO DUNIA NZIMA LINALIELEWA HILO LAKINI CHANJO AKILINI MWAKO SIO LAZIMA.
@mussajabili6836
@mussajabili6836 3 жыл бұрын
Ndoivo mikopo waliochukua mashart yake inabid mtiwe ofu na muwekwe lock down so Io ni biashara kwaio tutaona meng tutakua kama keny
@irenejohn2025
@irenejohn2025 3 жыл бұрын
AMEN AMEN AMEN 👏🏽👏🏽👏🏽👏🏽
@nyamangaking6608
@nyamangaking6608 3 жыл бұрын
Eti Yesu yuko ndani yako,Yesu unamvalisha baraka tea.kazi ipo
@j.c.maxima816
@j.c.maxima816 3 жыл бұрын
Kuchukua tahadhari sio kutokumwamini Mungu... Tusimfanye Mungu wetu kama hirizi! Mungu anawataka watu wake wajibike kwa kalama waliopewa na mamlaka waliyokabidhiwa... Huwezi kusema utupe mkate wa kila siku halafu usiende kulima! Utakufa kwa njaa! Na Mungu atakuhukumu kwa kujiua!
@romanusmwombeki5650
@romanusmwombeki5650 3 жыл бұрын
Hahahahaha!Lack of knowledge will perish you!Kwamba ukivaa barakoa unakuwa umemvalisha YESU!!!
@revocatusrevocatus1130
@revocatusrevocatus1130 3 жыл бұрын
Mungu ni msingi wa kila kitu
@emmanuelmogela5871
@emmanuelmogela5871 3 жыл бұрын
Wewe ni Mungu wa wote wenye mwili hakuna neno gumu usiloliweza, simama na tz
@upendomasika8060
@upendomasika8060 3 жыл бұрын
Yesu tukumbuke watanzania usituache
@tulibakomwafula9079
@tulibakomwafula9079 3 жыл бұрын
Ameeeeeeeeee🙌🏿🙌🏿
@furahinimbise7969
@furahinimbise7969 3 жыл бұрын
Aaaamen sikuwai kufikiria kakobe kua ni mtumishi wa Mungu hivi
@balewakwamustafa5398
@balewakwamustafa5398 3 жыл бұрын
Akili zake Now zimerudi
@priscachenya7049
@priscachenya7049 3 жыл бұрын
Amen Mungu usipo ulienda mji waulindao wafanya kaz bure
@emanuelijulius7275
@emanuelijulius7275 3 жыл бұрын
Na mungu aturinda.
@katendemmayara372
@katendemmayara372 3 жыл бұрын
YESU KRISTO ATARUDI TENA.
@joelmanda1064
@joelmanda1064 3 жыл бұрын
Amina mtumish
@tumainsawe6960
@tumainsawe6960 3 жыл бұрын
Hasa mimi ninamajonzi makubwa sana
@bibianajangandu1727
@bibianajangandu1727 3 жыл бұрын
Ameen umenena vema
@noahkusenha8385
@noahkusenha8385 3 жыл бұрын
Kakobe ariambiwa siyo mtz ndomaana anajinadi REO samia akiondoka atamsema tena semeni sana ju ya jpm ukweli ukopale magufuri baba LA maraisi wote was tz sitamsahau magu
@j.c.maxima816
@j.c.maxima816 3 жыл бұрын
Sijaelewa mimi comment yako... Mtumishi wa Mungu huyu kafanya kosa lipi? Kuliombea Taifa letu ni kosa? Si alisema Magu aliongoza Nchi kama Kuhani? Mbona mnamlaumu, jamaani ? Au mlitaka asimuombee Rais Samia na viongozi walioko madarakani leo? Jitafakarini ndugu, na Mungu awasamehe... God bless you Bishop!
@epifaniamilinga2848
@epifaniamilinga2848 3 жыл бұрын
Umemuelewa kakobe?_amesema magufuli alikuwa kuhani
@epifaniamilinga2848
@epifaniamilinga2848 3 жыл бұрын
@@j.c.maxima816 hajamwelewa.kakobbe ameomba vizuri
@barackleonardo7743
@barackleonardo7743 3 жыл бұрын
We jamaa kwanza kajifunze kuandika vizuri halafu ukajifunze kusikiliza vizuri…. Umeongea makapi ya mashudu
@balewakwamustafa5398
@balewakwamustafa5398 3 жыл бұрын
Ujinga unakusumbua
@edwardnamakonde7310
@edwardnamakonde7310 3 жыл бұрын
Amen.
@luganomwakyusa7697
@luganomwakyusa7697 3 жыл бұрын
Mama samia anashirikiana na mashetani
@teclahamidutv.2498
@teclahamidutv.2498 3 жыл бұрын
Ameen, imekua
@soberkaleya5148
@soberkaleya5148 3 жыл бұрын
1 Mambo ya Nyakati 16 11 Mtakeni Bwana na nguvu zake; Utafuteni uso wake siku zote. *TUMWENDEE MWENYEZI MUNGU MWENYE NGUVU; TUMWENDEE MWENYEZI MUNGU DAIMA!!!* AMEEEN!
@jescarwegoshola7231
@jescarwegoshola7231 3 жыл бұрын
Zaburi 91 kweli zaburi 91 🙏🙏😭😭
@mjumbewaaganoduniani
@mjumbewaaganoduniani Жыл бұрын
Yule Mjumbe wa agano duniani uliyemfukuza, ndio suluhisho la mabaya yote duniani, John Isaya Igumi. Kutoka singida, kumbuka ulipoangukia,UKATUBU.
@samsonhaule3647
@samsonhaule3647 3 жыл бұрын
Siku 100 Za Mama SAMIA, wagonjwa 100 wa Corona.
@mamahaiwawa9490
@mamahaiwawa9490 3 жыл бұрын
Upumbavu mtup huyu mama sijawahi kumuelewa
@j.c.maxima816
@j.c.maxima816 3 жыл бұрын
Hata kama humtaki, ndio Rais wako... Ni sawa na kumkataa Mama yako mzazi, na utaonekana hauna akili... Ee Mungu usiyesinzia, mpe nguvu, hekima na ujasiri, Rais wetu Mama Samia... Kazi iendelee...
@katendemmayara372
@katendemmayara372 3 жыл бұрын
Nyakati za mwisho!.
@curthbertsimbao4636
@curthbertsimbao4636 3 жыл бұрын
Corona hamna, Mungu amsaidie tu mama aone si corona. Tumsikie JPM alichosema ni kumtanguliza Mungu tu
@j.c.maxima816
@j.c.maxima816 3 жыл бұрын
Hamna takwimu... Hamna uthibitisho wa Corona...???
@nathanmateow9455
@nathanmateow9455 3 жыл бұрын
Toka lini ugonjwa ukafichwa, afichae mardhi anatafuta kifo,hamjifunzi tu.
@nathanmateow9455
@nathanmateow9455 3 жыл бұрын
Mama amejifunza kitu,ndo maana kaamua hivyo.
@samwelipima3795
@samwelipima3795 3 жыл бұрын
Kweli watanzania walikuwa wameshamuelewa jpm namaono yake nchi ilikua inakwenda ktk mustard minyofu RIP jpm tutakukumbuka kizazi na kizazi
@chaomadedo
@chaomadedo 3 жыл бұрын
Nae alikuwa na makosa yake kama mwanadam yoyote..
@maidamwaipopo9603
@maidamwaipopo9603 3 жыл бұрын
Magufuli njoo baba
@enockoward2656
@enockoward2656 3 жыл бұрын
Hiki k2 ndo mama alitakiwa aamini kabla ya ku Kimbilia chanjoo
@kiri5807
@kiri5807 3 жыл бұрын
kitu gani ?
@janethandrew8988
@janethandrew8988 2 жыл бұрын
Yohn14
@samwelipima3795
@samwelipima3795 3 жыл бұрын
Mama Samia kashatuuza kwa mabeberu
@amaniabdi9755
@amaniabdi9755 3 жыл бұрын
Acha ujinga,mnakalilishwa tu,kawauza kwa nani?kama huna cha kukomet kaa kimya
@josephmakutano7067
@josephmakutano7067 3 жыл бұрын
Samwer hospitality zote unazoona hizi wewenimujuzi wakutengeneza dawa dawa zaukimwi ss wafrica siwabunifu ilauliaminishwa namagu!!!
@paulinamassay5122
@paulinamassay5122 3 жыл бұрын
Huku mtaani tunaishi kama hakujawahi kutokea Corana, maana tumeumbiwa magojwa sisi kama binadamu kwa hiyo anayeweza kutuepusha ni Mungu pekee no body else.
@zacharianicodemas184
@zacharianicodemas184 3 жыл бұрын
Acha ujinga ww eti uliumbiwa magonjwa Tahira
@godfreykashuli3859
@godfreykashuli3859 3 жыл бұрын
Kakobe ni mnafiki, mwanzo kabla ya kutishwa uliisimamia kweli, kwa sasa ni mchumia tumbo tu.
@hekimanwaka328
@hekimanwaka328 2 жыл бұрын
Tubu dhambi yako hiyo ya kumtukana mtumishi wa Mungu
@jeremiahmwandumbya2131
@jeremiahmwandumbya2131 3 жыл бұрын
Amen
@paulandrew7301
@paulandrew7301 3 жыл бұрын
Watanzania tunaamini katika Mungu huko anakotaka Kutupeleka Rais Samia siko kabisa zaidi sana ni kuwajengea hofu watanzania. Mimi ninamshauri atembee katika nyayo za Magufuli aenende kwa imani kwani bila imani haiwezekani kumpendeza Mungu
@j.c.maxima816
@j.c.maxima816 3 жыл бұрын
Kwa hivyo, unafikiri Samia sio Mcha Mungu ? Ndugu zangu, maneno yetu yawe machache mbele za Mungu...
@paulandrew7301
@paulandrew7301 3 жыл бұрын
Nadhani hatujaelewana, Mimi nimezungumza imani wewe unazungumzia habari za kumcha Mungu hebu kasome vizuri kitabu kitakatifu utaelewa tofauti kati ya kumcha Mungu na imani
@chaomadedo
@chaomadedo 3 жыл бұрын
Usiniambie tena mama atembee kwenye nyayo za Magufuli na sio za Mungu... mmmh aisee iko kazi
@paulandrew7301
@paulandrew7301 3 жыл бұрын
Daughter of zaion unamwelewaje Paulo mtume aliposema nifuateni Mimi kama mimi ninavyomfuata Kristo, kama unapinga Mimi kumshauri Rais Samia kufuata mema(kuenenda kwa imani) aliyoyafanya JPM kwa sababu yeye sio Mungu Nina wasiwasi juu ya imani yako juu ya Neno alilolizungumza Paulo mtume kwani naye hakua Mungu
@gracemima5234
@gracemima5234 3 жыл бұрын
Africa tuna shida ya udanganyifu Kia kona mpaka makanisani
@tanunewstz
@tanunewstz 3 жыл бұрын
AMEN
@solomonmbuna7229
@solomonmbuna7229 3 жыл бұрын
Endelea kutuombea mchugaji wetu uwe kuhani wetu Kama Magufuli aliyemtanguliza MUNGU .
@samwellwiza1098
@samwellwiza1098 3 жыл бұрын
Maombi elekezi kwa viongozi wetu...tuzingatie haya maombi coz ndiyo wokovu wetu na njia yetu ya ushindi....TZ TUMEJITOFAUTISHWA NA MATAIFA MENGINE NA MUNGU AMETUTOFAUTISHA...TULIANZA NA MUNGU TUTAMALIZA NA MUNGU....
@manoahongerasanahatamienil1511
@manoahongerasanahatamienil1511 3 жыл бұрын
Huyo samia hajatanguliza naomi kama Jpm kipaumbele chake BARAKOA za wazungu zituletee korona apate pesa za wazungu
@aristidestibaijukasebastia5225
@aristidestibaijukasebastia5225 3 жыл бұрын
Condom na Irv nnazitaka lakini barakoa za wazungu hamzitaki tutafakari
@barackleonardo7743
@barackleonardo7743 3 жыл бұрын
Kwanini chanjo za polio, pepo punda, surua mnawachoma watoto wenu kila mwaka na magufuli hakuzifuta ?
@chaomadedo
@chaomadedo 3 жыл бұрын
@@barackleonardo7743 kweli
@maikoandrew58
@maikoandrew58 3 жыл бұрын
Mnauzunika Kwasababu mlinsahau Mungu kwa kuzarau watu na kumuona kama jpm ni Mungu hatokufa, leo hii jpm amekufa mmegubikwa na huzuni utazani MUNGU amekufa, mnatakiwa mkuwe na kuacha utoto
@blandinalukole5535
@blandinalukole5535 3 жыл бұрын
Tunakushukuru askofu kakobe
@vagasonmwani5122
@vagasonmwani5122 3 жыл бұрын
Hakuna kolona ni siasa na biashara ya colona
@neemajulius1256
@neemajulius1256 3 жыл бұрын
Hata korona ikiwepo sisi tumtangulize Mungu mbele tusiingizs hofu ,hofu ndio mlango wa korona
@j.c.maxima816
@j.c.maxima816 3 жыл бұрын
Hiyo ni kweli, tumuombe Mungu kwa kiasi kikubwa, aendelee kutuepusha na kutupa hifadhi yake, kutokana na janga la Covid, kwa kuwa yeye ndiye mweza wa yote... Lakini pia, ni lazima MAJUKUMU YA KIBINADAMU YATIMIZWE... Hapo ndio Mungu anafanya kazi... Ni Mungu pamoja nasi!
@simbabbq4427
@simbabbq4427 3 жыл бұрын
Hakuna muongo yote kuziba makosayaoya kumkamata mboe nakuzuiya mikutano ya chadema sababu hzo zinajulikana
@hamismabula5813
@hamismabula5813 3 жыл бұрын
Rais sisitiza Watz wamtangulize MUNGU! Mbona mwanzo mlikuwa mnatutangazia hadi kufunga!? Leo vp!?
@azizawadh5973
@azizawadh5973 3 жыл бұрын
Kufunga mpaka utangaziwe
@hamismabula5813
@hamismabula5813 3 жыл бұрын
@@azizawadh5973 Kibinafsi ni ww km ww cyo mpaka uambiwe! Naongelea Kitaifa, ww una mamlaka ya kulitangazia Taifa zima kufunga!?
@nyabahailani3169
@nyabahailani3169 3 жыл бұрын
Kakobe ndio mtumishi pekee Tanzania wa kweli wengine ni mashetani tu
@miriammworia1297
@miriammworia1297 3 жыл бұрын
Shetani mwenyewe.
@happinesszabron6811
@happinesszabron6811 3 жыл бұрын
Mpendwa kama unasali basi acha maana hakuna unachokisali huna roho was Mungu ndani yako ndo maana unaongea usiyoyajua
@christophernkokoyela4651
@christophernkokoyela4651 3 жыл бұрын
Mmhh
@nestoryjohn9425
@nestoryjohn9425 3 жыл бұрын
Acha mihemko
@samsonfulgence5553
@samsonfulgence5553 3 жыл бұрын
Mungu akusamehe Letty kwa maana hujui ulisemalo.
@ndimimaskati3641
@ndimimaskati3641 3 жыл бұрын
UHAMIAJI UMESAHAU YALIYOKUPATA WAKATI WA JPM.
@nyamangaking6608
@nyamangaking6608 3 жыл бұрын
Wewe kakobe unamwambia mtu Yesu alifufua lazaro huku waumini wako wameiba balakoa kweli imani tunatofautiana,toeni balakoa
@jacobmakono6983
@jacobmakono6983 3 жыл бұрын
..acha ubishi Wa kipuuuzi..dua inaombwa tega sikio lako!
@matatalomu8650
@matatalomu8650 3 жыл бұрын
Your Grace Bishop Mama Devil Shatani is lying and I do not think you follow what JPJM said is having an impact in Tanzania
@salimsaid7200
@salimsaid7200 3 жыл бұрын
USISEME MAMA NI SHETANI ANASEMA UWONGO BASI DUNIA NZIMA WANASEMA UWONGO???? INAMTUKUZA SANA MAGU BASI KAMA HUJUWI MAGU NDIE SHETANI KALA PESA ZA KUWAKINGA WA TZ KWA KORONA KISHA AKATANGAZA CORONA HAMNA DOLA MILONI 27 KAZIPELEKA WAPI?????
@salimsaid7200
@salimsaid7200 3 жыл бұрын
KWANI MAGU MUNGU ATA AFUWATWE.
@j.c.maxima816
@j.c.maxima816 3 жыл бұрын
Hata Mama akikosea, hapaswi kuitwa Shetani na yale majina yote mengine ambayo hayasemeki... Watz tumeharibika, na tumejichafua sisi wenyewe... Tunaomba utusamehe Mama, hatujui tulitendalo...
@chaomadedo
@chaomadedo 3 жыл бұрын
@@j.c.maxima816 kweli umesema. Watanzania ni kuteta kila leo. Ndomaana itafika wakati Mungu wetu Atauondoa Mkono Wake kwetu. Tanzania tulikuwaga na staha na adabu lakini nyakati hizi, mmh mpaka nchi zingine zinatushangaa
@bishopmosesmagadula7572
@bishopmosesmagadula7572 3 жыл бұрын
Kakobe zamani uliweza KUJISIMAMIA SANA LAKINI ULIPOFIKA KWA JPM ULILEGEA HUKUYAONA MAOVU..WALA HUKUKEMEA WATU WANAO TEKWA .NA KUPOTEZWA AU MAITI ZA KOKOBICH ZILIZO OKOTWA PIA SASA JILEKEBISHE NA URUDIE MWELEKEO WAKO WA KWANZA...
@marialadslaus7387
@marialadslaus7387 3 жыл бұрын
Ameen baba kakobe
@mussamalugu1793
@mussamalugu1793 3 жыл бұрын
Uwongo mtupu mnataka mkopo wa corona
@jacobmakono6983
@jacobmakono6983 3 жыл бұрын
..hahahahaaaa!umeona eee!
@salimsaid7200
@salimsaid7200 3 жыл бұрын
@@jacobmakono6983 HELA ZA CORONA MILIONI 27 US DOLERS KALA MAGU NA WENYEWE WANAZIULIZA KAZIFANYIA NINI???? MSIKAE MKADANGANYANA.
@zenaabdallah3797
@zenaabdallah3797 3 жыл бұрын
WAJANJA HAWA JPM NDIO ALIKUWA MWANAUME
@mussamalugu1793
@mussamalugu1793 3 жыл бұрын
Watanzania wa siku hizi sio kama wale wa kitambo tumestuka kanyaboya pesa za IMF
@jacobmakono6983
@jacobmakono6983 3 жыл бұрын
@@mussamalugu1793 ..utasikia tu..Tanzania yapokea Msaada kupambana na covidiii
@mustafahmansoorchapu560
@mustafahmansoorchapu560 3 жыл бұрын
Hakuna
@eatlawe
@eatlawe 3 жыл бұрын
Askofu Kakobe amekaa kwenye line baada ya kuonja joto la jiwe. Saa hizi ni pambio kwa kwenda mbele!
@melkizedekiwiliam5533
@melkizedekiwiliam5533 3 жыл бұрын
Jaman! Mbona hamtangaz idad ya walio na malaria? Au magonjwa mengine kwan hayatesi? Mbona Idadi ya wagonjwa hamtangaz? Yaan Mnatutangazia corona au covid 19 tu. OK! Hofu huja baada ya tangazo. Lolote ukiogopa latakupata.
@j.c.maxima816
@j.c.maxima816 3 жыл бұрын
Nakuelewa brother... Lakini, kwa mtazamo wangu, ukweli humweka mtu huru... Mungu ibariki Tz...
@jaymore6785
@jaymore6785 3 жыл бұрын
Msha pewa fungu lenu la Mkopo wa wazungu wa Corona
@jacobmakono6983
@jacobmakono6983 3 жыл бұрын
..acha udaku!hahajaahaha!
@salimsaid7200
@salimsaid7200 3 жыл бұрын
JAY MOOR KAZILA MAGU ZAMANI WENYEWE WANAZITAKA MILONI 27 US DOLERS
@sagandamalechampullo659
@sagandamalechampullo659 3 жыл бұрын
UHIRU WA WATU SASA UMERUDI, AWAMU ILIYOPITA WATUMISHI WOTE WALIAMBIWA HAKUNA KUSEMA KUNA CORONA TZ, NA WAKATII
@saimonmanyerezi7169
@saimonmanyerezi7169 3 жыл бұрын
Watasemaje kwani wao wanauthibitisho?,waliambiwa na mkuu hakuna corona,na sasa mkuu ametangaza kuwa kuna corona je unataka viongozi wa dini wakanushe?
@stephensandiko6049
@stephensandiko6049 3 жыл бұрын
Umeomba mkopo bado safari za Kenya na Uganda bado Kuna kamati ya Corona bado mkopo mmechukua unategemea watangaze nn
@j.c.maxima816
@j.c.maxima816 3 жыл бұрын
Sisi tunataka uthibitisho tu, sio kusema tu Wimbi la 5 au Wimbi la 100...
@Worldunite
@Worldunite 3 жыл бұрын
Ndio ilikuwa salama yetu
@katendemmayara372
@katendemmayara372 3 жыл бұрын
Huyo ni kakobe! au mwingine?.
@bennymochiwa4800
@bennymochiwa4800 3 жыл бұрын
huyu ni mpigaji km wapigaji wengne tu
@irenejohn2025
@irenejohn2025 3 жыл бұрын
Sio Kakobe tu ni MTUMISHI WA MUNGU
@irenejohn2025
@irenejohn2025 3 жыл бұрын
@@bennymochiwa4800 MUNGU KAMUAMINISHA NDIYO MAANA KAMPA KIBALI MBELE ZA WATU,WATUMISHI WAKO WENGI LAKINI KWANNI YEYE?HYO NDO UJUE KUNA KUSUDI ZAIDI NDANI YAKE
@jovincostantinedotto8654
@jovincostantinedotto8654 2 жыл бұрын
@@bennymochiwa4800 hujui unsema nn
@matatalomu8650
@matatalomu8650 3 жыл бұрын
Baba wacha hi Shantani Kwa Jina Mama Samia.
@chaomadedo
@chaomadedo 3 жыл бұрын
Mmh hapana jmni. Huyu ni President wetu. Tuwe na nidham kama watanzania
@maryerick5487
@maryerick5487 3 жыл бұрын
Jpm rudi tunateseka kwa kukuwaza ulikuwa mkomboz wetu
@josephmakutano7067
@josephmakutano7067 3 жыл бұрын
Kakobe nagwajima walioungajuhudi wakijuwa kabisa utawala haukuwa wahaki wamagu ilakwasabbu yahofu tu wakaangukia huko!!!!! Sasamkosalama!!!!!
@zaidyabdalah3691
@zaidyabdalah3691 3 жыл бұрын
Huyo Kakobe enzi za Magu alitishwa mpaka akaporwa Passport na mwishowe akawa mpiga debe wa Magu, siyo huyo tu wapo Maaskofu kibaaaaaoooo wakiojipendekeza kwa kumuogopa Magu, je vipi tena leo? Tz. bhana, hahahaaaaa!!!! Agayaaaaaaaa
@pitargamba9208
@pitargamba9208 3 жыл бұрын
Wewe ZAIDY ni ziro kabisa. Mc KAKOBE aligunduwa kuwa alikengeuka ndiyo maana akajirudi siyo kujipendekeza.
@salimsaid7200
@salimsaid7200 3 жыл бұрын
@@pitargamba9208 MAGU ALIKUWA DICTETA TANANZANIA NZIMA ILI MUOGOPA KASORO TUNDU LISU NA NDIO MAANA KAMTUMIA WASIJULIKANA WAMUUWE WENGINE WANA MLAUMU SPIKA NDUGAI WAKATI WANAJUWA KWAMBA UKIMPNGA MAGU BASI UMEKWISHA.
@pitargamba9208
@pitargamba9208 3 жыл бұрын
@@salimsaid7200 kama MAGU alikuwa dikitete je utakubali kuwa watu wenye majina kama yako wengi ni magaidi?
@saluwatimalyeta5587
@saluwatimalyeta5587 3 жыл бұрын
@@pitargamba9208 umeongea pointi huyu ni gaidi hawezi kumpenda hayat kwa sababu aliwanyosha
@fredrickfilbert3922
@fredrickfilbert3922 3 жыл бұрын
ingekua JPM alikua adui yake, basi asingeweza kuomba hivi. Tumia akili
@anitasita7153
@anitasita7153 3 жыл бұрын
UONGO
@micamathew2595
@micamathew2595 3 жыл бұрын
Uko wap huo uongo?
@nkololokwetu1438
@nkololokwetu1438 3 жыл бұрын
Mngu Aku Samehe
@daisykilatu7903
@daisykilatu7903 3 жыл бұрын
Mungu akuhurumie
@ashahamisi5770
@ashahamisi5770 3 жыл бұрын
Ugonjwa haufichiki mwachen mh raisi aseme ukweri kwake uwongo mwiko. Na hapendagi sifa za kijinga huku watu wanakufa.
@sylverjosiasy8536
@sylverjosiasy8536 3 жыл бұрын
Nani kwenu kafa kwa korona??
@tanzanian8847
@tanzanian8847 3 жыл бұрын
No sense, and empty brain
@josephzitto4870
@josephzitto4870 3 жыл бұрын
Subir vije vifo vya kubambikiziwa ili uendelee kumuamin c ndy mnachotaka!
@j.c.maxima816
@j.c.maxima816 3 жыл бұрын
Tunahitaji takwimu ili tujue Corona ipo au ni uongo mtupu...
@salimsaid7200
@salimsaid7200 3 жыл бұрын
@@sylverjosiasy8536 MAGU KAFA KWA CORONA
@nicolasnkembo1606
@nicolasnkembo1606 3 жыл бұрын
Utusikilize ee Bwana Mungu wetu
@hamisiselemani9777
@hamisiselemani9777 3 жыл бұрын
Hap namkumbk tu magufuli
@j.c.maxima816
@j.c.maxima816 3 жыл бұрын
Minister Dr Gwajima mwenyewe anasemaje? Mbona hakutoa tamko lolote? 🤔🤔🤔
@emmanuelsimon545
@emmanuelsimon545 3 жыл бұрын
@@j.c.maxima816 amebanwa na mamlaka hata akisema jua ni mamlaka
@PeterNMzee
@PeterNMzee 3 жыл бұрын
Amen
@micamathew2595
@micamathew2595 3 жыл бұрын
Amen.
Running With Bigger And Bigger Lunchlys
00:18
MrBeast
Рет қаралды 136 МЛН
Когда отец одевает ребёнка @JaySharon
00:16
История одного вокалиста
Рет қаралды 13 МЛН
Officer Rabbit is so bad. He made Luffy deaf. #funny #supersiblings #comedy
00:18
Funny superhero siblings
Рет қаралды 18 МЛН
Tundu Lissu Aliamsha Dude Sakata la Mikataba ya Madini, Bunge Lachafuka
6:46
ASKOFU KAKOBE: Nyerere siyo Mungu asiyekuwa na makosa
9:00
Wess Right
Рет қаралды 158 М.
KAKOBE: Mtu anayeitaka Tanganyika ana Mungu ndani yake
5:11
Wess Right
Рет қаралды 65 М.
Maombi kama kuchoma uvumba - Bishop Zachary Kakobe
55:30
Nyumbani Habari Media
Рет қаралды 1,1 М.
Common Law vs. Civil Law - Prof. Holger Spamann (Harvard)
17:44
Center for Law & Economics ETH Zurich
Рет қаралды 12 М.
Running With Bigger And Bigger Lunchlys
00:18
MrBeast
Рет қаралды 136 МЛН