CHEKECHE| Washirika wa Ukraine wanaisaidia vilivyo nchi hiyo kivita?

  Рет қаралды 17,616

Azam TV

Azam TV

Жыл бұрын

Mataifa hayo 50 yamefanya mkutano huo nchini Ujerumani mara baada ya Ukraine kuomba msaada wa silaha za kivita ( vifaru vya kisasa ) kutoka katika mataifa hayo. Je Ukraine atapewa silaha hizo? ungana na Mwanahabari wetu kujua mengi zaidi.

Пікірлер: 56
@braystuskibassa3842
@braystuskibassa3842 Жыл бұрын
Jambo lingine Urusi hawezi choka leo wala kesho media za Magharibi zinadanganya sana kwasababu nao wapo vitani stori zao hazibalance kabisa
@fortuneakankizya5336
@fortuneakankizya5336 Жыл бұрын
Mrusi alishajipanga baba afu jua kua . Biden amebaki na mwaka mmoja next year ni election trump achukuapo madaraka. Hatotaka vita na urusi.
@chidiomari.65
@chidiomari.65 Жыл бұрын
Natizama 👁️👁️ kutokea Helsinki Finland 🇫🇮🇫🇮,Rahbi we ni mchambuzi professional Hongera sana.hichi ndio kipindi changu pendwa sana Much love mr Nyamwihura tunawafuatilia sanaa maana Russia hatuko mbali nao kabisa🤝
@saidymwajeka8612
@saidymwajeka8612 Жыл бұрын
Chambueni ukweli pande zote kwann NATO watu wao wanaandamana Kama wao wananguvu hizo kuweni seriously
@chamcham312
@chamcham312 Жыл бұрын
Huyu sio mchambuzi, ni msimuliaji anachambua upande mmoja
@wakilimuhamed9766
@wakilimuhamed9766 Жыл бұрын
Next time azam please mtuletee mtu timam na neutral mchambuzi gan uchwar na ukwel unajulikana na ijulikane kua ata urusi anajua ilo na amejipanga kwa ajili ya iro, kiufupi AZAM siku izi ni kama western Media ambazo zinatudanganya waziwazi but thanks God technology imekua so tuna source nyingine za kupata ukweli na simshangai RABI coz nishawai msikia BBC so ni walewale izo propaganda za magharib pelekea familia yako
@peterkabogo6468
@peterkabogo6468 Жыл бұрын
Upo sahihi kwanza Putin hatishwi
@salehkhamis9994
@salehkhamis9994 Жыл бұрын
Huyu Ibrahim rahbi namkubali Sana anachambua kitu hadi kinaeleweka hongera kaka
@UUWF
@UUWF Жыл бұрын
Wewe urusi hajachoshwa na vita Anachoshwa vipi wakati usalama wake bado haupo sawa
@albertbissaga1425
@albertbissaga1425 Жыл бұрын
Hongera kwa uchambuzi wako mzuri, uko vizuri.
@betinaernest2766
@betinaernest2766 Жыл бұрын
Kwahy nchi zote zinapambana na nchi moja,,, ha ha ha
@nsubiraphael8514
@nsubiraphael8514 Жыл бұрын
Hao washenzi tu wanato urusi hashindwi vita wavilete tu abraham, leopard leta tutaviteka na kuwaua navyo sisi warusi hatushindwi vita nato wamekosea sana wasitunie mwavuli wa ukraine waingie wao wenyewe,mrusi hachoki vita msidanganyane urusi silaha anatengeneza mwenyewwe,usi underrate Russia power
@mapikomkindu565
@mapikomkindu565 Жыл бұрын
Kweli kbsa njjaa itatuandama huu mwaka
@jacksonmartin8485
@jacksonmartin8485 Жыл бұрын
Acha mawazo yako eleza uhalisia bro
@alimkumbukwa8363
@alimkumbukwa8363 Жыл бұрын
Kwa kwel uyu jamaa uchmbz wke w mchong kwan urus wao hawan watasmn vta kwnz akmbke urus ndio nch y kwanz kwend mwezn ivo kw vyvyte n watu weny akil kubwa hawa yy anchklia poapoa tu Mchmbz ajanshwsh
@betinaernest2766
@betinaernest2766 Жыл бұрын
Sasa Vita miaka ishirini zerensky awe bado hajafa ,,, wew mchambuzi hovyo kabisa,, zerensky akifa Vita inaisha
@barakashaban9698
@barakashaban9698 Жыл бұрын
Uyu mchambuzi mjinga tu anawatetea ma bwana zake wa magharib
@ismailntungwanayo3945
@ismailntungwanayo3945 Жыл бұрын
Wewe nimwongo
@braystuskibassa3842
@braystuskibassa3842 Жыл бұрын
Kiufupi hawaisaidii Ukraine bali wanaipoteza Ukraine na Ulaya kiuchumi na kila kitu
@fortuneakankizya5336
@fortuneakankizya5336 Жыл бұрын
Ni kweli
@manarakassimmanara3132
@manarakassimmanara3132 Жыл бұрын
wewe acha uongo urusi anasiraha ntoka wewe ujazaliwa tulia tuone
@mshindiwayote0002
@mshindiwayote0002 Жыл бұрын
Wachambuzi wanaolipwa na magharibi hawa lazma waulaghai ulimwengu.
@user-dn2ic3jg5s
@user-dn2ic3jg5s 4 ай бұрын
Profesa. Ali. Magama. Anasema. Urusi. SI. Rahisi. Kushindwa. Mna. Jidaganya
@samwelsammy1121
@samwelsammy1121 Жыл бұрын
Kuwa pigia magoti maanake nn
@abbasgumbo177
@abbasgumbo177 Жыл бұрын
Yaani sijamuelewa vizuri huyu mchambuzi inamaana mpaka urusi anaingia kwa vita hii alikurupuka kiasi Mwamba achoshwe kwa Dora millions hamsini? Hivi kunaukweli hapo? Yaani mapema hivi muda wa mwaka?
@peterkabogo6468
@peterkabogo6468 Жыл бұрын
Putin Hana mpango wakuchoka na ataendelea kuwa super siku zote
@betinaernest2766
@betinaernest2766 Жыл бұрын
Ila huyu mchambuzi muongo anaenda mbele pia anaenda nyuma
@betinaernest2766
@betinaernest2766 Жыл бұрын
Mchambuzi wa hovyo kabisa sijawahi kuona ameegemea upande mmoja wa nchi za maguaribi...hovyo kabisa siku nyingine muwe mnatuletea wachambuzi ambao hawaegemei upande mmoja
@khalfanmlala5093
@khalfanmlala5093 Жыл бұрын
Azam tunawaheshi sana huyu siyo mchambuzi kabisa
@josephathmedia9237
@josephathmedia9237 Жыл бұрын
Marekani siku sinyingi Anasalenda Na Urusi Anawashirika tuu sema washirika wake hawajitangazi kuwa wamepeleka kama wao
@asambakanyalusambya249
@asambakanyalusambya249 Жыл бұрын
Niatari kweli
@nsubiraphael8514
@nsubiraphael8514 Жыл бұрын
Na urusi naye anawashirika wake we unaongea nini, mrusi hawezi kushindwa vita silaha anatengeneza mwenyewwe,wewe nawe uko nato
@abdalahngozi5455
@abdalahngozi5455 Жыл бұрын
Sasa azam mbn mnamleta mtu wa ulaya kutuchabulia ishu nyeti namna iyo, na kwa jinsi anavoongea unaeza sema babu na bibi zake wako Ukraine. Ebu mlete mtu anaezijua siasa za kimataifa sio msikilza taarifa za BBC na CNN
@asingizibwejacobkalokola7351
@asingizibwejacobkalokola7351 Жыл бұрын
Naomba kujua tathmini senu sinafanyika kwa muda gani ndani ya Mwezi? Maana nataka kutazamia ktk tv sio mb.
@donizzo9570
@donizzo9570 Жыл бұрын
Marekani alifurumushwa Afghanistan na Urussi.. Baada ya Wagner kwenda kuwasaidia wale tareban
@muichorekishagani1751
@muichorekishagani1751 Жыл бұрын
kwakwel mchambuzi ana maoni ya kufikirika kabisa tofauti na wachambuzi wengine ambao hawako balance katika issue either anataegemea marekani au anaegemea urusi
@OmariJuma-su6fz
@OmariJuma-su6fz 27 күн бұрын
Wewe Swahumu ina kusumbua nenda ufuturu
@OmariJuma-su6fz
@OmariJuma-su6fz 27 күн бұрын
Ww mtangazaji tafuta watu Muhimi huyu alisomeshwa namarekani tutafutieni watu wamaana
@bensonnyondo3660
@bensonnyondo3660 Жыл бұрын
Wemuonga kama kunamutu muonga niwewe muchambuzi husemi ukweli mbele ya watu uno wazungumza azamu waongo kambisa tafuteni wengine umupo kimagalimbi sana wote tunaumiya sana likini munaeleza mambo juju munaacha Mambo kamili hata Africa yenyewe haita endeleya
@hidayahidaya-vd3ze
@hidayahidaya-vd3ze 17 күн бұрын
Waache wampe hayana akili bakachezee kichapo cha mwana mme mrusi gaidii zelenski hawajuwi kuodowa vita wanajuwa kuchocheya vita mrusi babalao❤😂
@GeorgeAkasha-zx2rj
@GeorgeAkasha-zx2rj 5 ай бұрын
Watu huku wanalaumu tu mchambuzi sababu wana mapenzi yao binafsi...Ila jamaa anachambua vizuri tu mkuu, pia na nyinyi toeni maoni yenu.
@josephkostans9128
@josephkostans9128 Жыл бұрын
Umechelewa sana wewe urusi ndio anaanza vita hujamuelewa baba NATO ndio wamechoka
@yohanamasebo3478
@yohanamasebo3478 Жыл бұрын
Uchambuzi uchwara unaegemea nato
@papaabileo685
@papaabileo685 Жыл бұрын
Mbona huyu mchabuzi ni muongo sana
@sayshabani6350
@sayshabani6350 Жыл бұрын
Hahahhahaa hata wakipeleka Malaika wa shetani watapigika2 Hahaahahha Russia wakiendelea kumtia hasira atawafuata uko uko kwao Kwani mapeleka misada mingapi mpka leo sijui himas sijui nini zote mpka leo ni majivu Uraaaaaaaaaaaaaaaaaaa
@suleim505
@suleim505 Жыл бұрын
HUYU MCHAMBUZI NINA SHAKANAE SANA...
@nelsonnaga3775
@nelsonnaga3775 Жыл бұрын
Rabhi ni mchambuzi bora wa masula ya kitaifa asiye elemea upande wowote
@zuberihamisi460
@zuberihamisi460 Жыл бұрын
Munachambuwa nchi zingine mbona hamchambui siasa za nchi ya Tanzania?
@jumamambo7026
@jumamambo7026 Жыл бұрын
Nikwambiekitu wee mchambuzi kitu ambacho hikijui muda wakuitwa baba waduniaa umekwishaa
@gabrielmtapila229
@gabrielmtapila229 Жыл бұрын
Urus kachoka tyr
@josephkostans9128
@josephkostans9128 Жыл бұрын
Hakuna mchambuzi hapo upuuzi mtu hilo ni brain washed hata mimi hanifikii kwa uchambuzi na nyie Azam TV vip mmelewa ama huyo jama mchambuzi kweli ama mlevi fulani tu wamtaani inaonekana kazaliwa juzi bado hajauwa historia ya Russia vizuli hizo hesabu zake za kitoto Putin alishamaliza huko.
Heartwarming: Stranger Saves Puppy from Hot Car #shorts
00:22
Fabiosa Best Lifehacks
Рет қаралды 20 МЛН
Каха и суп
00:39
К-Media
Рет қаралды 2,8 МЛН
I Can't Believe We Did This...
00:38
Stokes Twins
Рет қаралды 88 МЛН
МАМА И STANDOFF 2 😳 !FAKE GUN! #shorts
00:34
INNA SERG
Рет қаралды 4,8 МЛН
MCHAMBUZI THABIT: NYUMA YA PAZIA VITA YA RUSSIA NA UKRAINE/TUTAUMIA SANA
37:37
Gangana Info Channel
Рет қаралды 20 М.
Valverde's Shooting Power
0:39
Foot Passion
Рет қаралды 5 МЛН
Paige VanZant absorbs and delivers strong slaps in Power Slap debut 👋
0:33
ОНА СЛОМАЛА ВОРОТА🥅😱
0:57
ВЯТЫЧ МЕДИА
Рет қаралды 740 М.