Рет қаралды 17,616
Mataifa hayo 50 yamefanya mkutano huo nchini Ujerumani mara baada ya Ukraine kuomba msaada wa silaha za kivita ( vifaru vya kisasa ) kutoka katika mataifa hayo. Je Ukraine atapewa silaha hizo? ungana na Mwanahabari wetu kujua mengi zaidi.