Рет қаралды 15,186
Rais mstaafu , Ali Hassan Mwinyi ameendelea kuwa mfano wa kuigwa kwa wakulima wengi hapa nchini ni baada ya mafanikio yake katika mazao mengine, sasa amepiga hatua katika shamba lake jipya la korosho lililopo huko Mkuranga mkoani Pwani.