Maendeleo ya Kilimo cha Zao la Korosho Wilaya ya Manyoni Mkoani Singida na mikakati ya Serikali kupitia Taasisis zake za Utafiti wa kilimo TARI NALIENDELE NA BODI YA KOROSHO TANZANIA
Пікірлер: 6
@ednakudoja759911 ай бұрын
Shamba langu liko Ikwiriri
@LaurenceSanga-ft7ou Жыл бұрын
Mm nipo dodoma nina eka kumi za kolosho naitaji elimu zaidi
@user-re3jc4ms5h11 ай бұрын
Dhahabu ya kijani
@LokengSwaiАй бұрын
Nahitaji Miche ya mkorosho kutoka kwenu nikaipande wilaya ya Hai K'njaro nitahitajika nipitie hatua Gani au mnanishaurije?
@ednakudoja759911 ай бұрын
Nahitaji elimu juju ya ukulima wa korosho. Nimepanda korosho, imeanza kutoa math day. Ningependa kujua kama inahitaji kukata matawi yake na wakati wa kuwekea mbolea na wakati gani kuwekea mbolea.