No video

Kilimo cha mapapai katika shamba la Kikwete (MAKALA YA SHAMBANI)

  Рет қаралды 121,496

Azam TV

Azam TV

Күн бұрын

Kutana na rais mstaafu, Jakaya Kikwete akiwa shambani mwake akitufundisha namna ya kuwa wakulima bora.

Пікірлер: 48
@aminaomary5567
@aminaomary5567 4 ай бұрын
Ongera sana Mh.👍👍
@user-qq2hl2co2h
@user-qq2hl2co2h Ай бұрын
Nice
@ramadhanmahongole9293
@ramadhanmahongole9293 Жыл бұрын
huyu mzee nampenda sana. natamani kama arudie kuiongoza nchi yetu ya Tanzania nimemic utawala wake bora usio na ubaguzi wa vyama. watu walikuwa huru biashara zilfanyika maendeeo ya watu yalikua kwa kasi napia aliruhusu demokrasia ifanye kazi yake ile sera yake ya maisha bora kwa kila mtanzania tuliiona na hahika maisha tuliyafurahia
@mgosimkome9242
@mgosimkome9242 6 ай бұрын
Uko kama mm Rais Kikwete nampenda Sana enzi zake pesa ilikuwepo ukifanya biashara kidogo tu hela, ajira zilikuwepo. Mungu ampe maisha marefu Jakaya Kikwete.
@mgosimkome9242
@mgosimkome9242 6 ай бұрын
Enzi za Jakaya hakukuwa na visheria vingi vingi Mara ajira umri mwisho miaka kadhaa Kama inavyoonekana saivi mtu anaamka tu anatunga sheria yake ajira umri mwisho miaka 29 , wakati kwa mujibu wa sheria mwisho miaka 45 watu wanagawa makundi wengine wasipate ajira. Mh Rais mama Samia naomba uliangilie hili swala la umri iwe pale pale mwisho wa kuajiriwa miaka 45 , juzi Nimefurahi kuona Bunge limefuta kigezo cha jkt kwenye ajira maana nalo lilikuwa linanyima watu fursa, Tunaomba tena Bunge lifute hiki kigezo cha umri Mbona zamani watu waliajiriwa wakiwa wakubwa na walifanya kazi kwa weledi, tusinyimane fursa kila mtu ana haki ya kupata ajira kwenye nchi hii ni yetu sote, kutungiana visheria vingi haileti tija.
@wambaamwambaje1272
@wambaamwambaje1272 6 жыл бұрын
Masha Allah nice one
@user-qq2hl2co2h
@user-qq2hl2co2h Ай бұрын
Nataka kujifunza ma kuhusu kilimo cha papai
@Bin_dhiyab
@Bin_dhiyab 5 жыл бұрын
Inaitwa AWINO FARM.
@yusufally6853
@yusufally6853 4 жыл бұрын
Mashallah wallah
@tanzaniampyakaulimbiu3553
@tanzaniampyakaulimbiu3553 Жыл бұрын
Tunaomba mchango wa kugharamia harusi ya MBUNGE (David Ernest Silinde (MTANZANIA)) na Mcheza soka (Misa Rodríguez (Mhispania)) ITAKAYOFANYIKA MBINGUNI MBEYA
@TheAlman
@TheAlman 5 жыл бұрын
Miss you
@zulekhabaksh686
@zulekhabaksh686 4 жыл бұрын
Hongera rais msataaf Jk pambana mzee tutakufata
@tanzaniampyakaulimbiu3553
@tanzaniampyakaulimbiu3553 Жыл бұрын
Tunaomba mchango wa kugharamia harusi ya MBUNGE (David Ernest Silinde (MTANZANIA)) na Mcheza soka (Misa Rodríguez (Mhispania)) ITAKAYOFANYIKA MBINGUNI MBEYA
@samuelpeterkaaya1211
@samuelpeterkaaya1211 2 жыл бұрын
My president
@TEACHER.CLEOPHAS
@TEACHER.CLEOPHAS 2 жыл бұрын
Chapendeza kilimo.
@dorothyannan131
@dorothyannan131 6 жыл бұрын
Aksante, nimeshawishika
@ibrahimrashid7559
@ibrahimrashid7559 6 жыл бұрын
Tutumieninamba
@neykokusimwa7335
@neykokusimwa7335 6 жыл бұрын
habari jamani hawa wataalam wanapatikana wapi nawahitaji sana
@florianmwaibabile5308
@florianmwaibabile5308 6 жыл бұрын
Natamani kulima project kama hii jamani watalaamu wako wapi?
@avax5717
@avax5717 6 жыл бұрын
wanakera manake hata hawatoi contacts wanasema tu kututia tamaa wenzao
@queencharles4823
@queencharles4823 5 жыл бұрын
I want to learn kilimo from begining. Yani kuanzia chekechea! Help me na!
@abuunasfar6016
@abuunasfar6016 5 жыл бұрын
Find me jmn nkusaidie and be soecific
@abuunasfar6016
@abuunasfar6016 5 жыл бұрын
I am an agricultural engineer.
@kaishazabengesi2971
@kaishazabengesi2971 5 жыл бұрын
Mheshimiwa unatupa matumaini ya ustaafu.
@magnusnyamba6737
@magnusnyamba6737 5 жыл бұрын
HAKIKA NIMEMPENDA KIKWETE KWA KILIMO HIKI NINAFUATA NYAYO ZAKE NAANZA KIDOGOKIDOGO
@saadsalum3253
@saadsalum3253 6 жыл бұрын
Kutoka kwenye kiti kikubwa mpk kuwa bwana shamba mhhhhh simchezoo bei gan mapapai
@caristapaul2161
@caristapaul2161 5 жыл бұрын
nataka eneo la pwani kwa ajili ya kilimo nitalipataje
@caristapaul2161
@caristapaul2161 5 жыл бұрын
no yangu ya simu 0754476485
@johnsonjoseph509
@johnsonjoseph509 4 жыл бұрын
Kutoka kiti kikubwa hadi Bwana Shamba? Hahaha, unamjua mmiliki wa Oilcom, Halotel je?
@VenaEliki
@VenaEliki 11 күн бұрын
Soko wap maana papai zinaoza mpka bc
@James00Bong007
@James00Bong007 5 жыл бұрын
He is rocking some crazy jacket yo
@tanzaniampyakaulimbiu3553
@tanzaniampyakaulimbiu3553 Жыл бұрын
Tunaomba mchango wa kugharamia harusi ya MBUNGE (David Ernest Silinde (MTANZANIA)) na Mcheza soka (Misa Rodríguez (Mhispania)) ITAKAYOFANYIKA MBINGUNI MBEYA
@alexmakunga4484
@alexmakunga4484 4 жыл бұрын
Namba zao
@zainamuki7109
@zainamuki7109 6 жыл бұрын
anuani y hiyo kampuni nmb ya simu
@material_liv4674
@material_liv4674 5 жыл бұрын
It's GMO
@avax5717
@avax5717 6 жыл бұрын
Mbona hamtupi maelezo vizuri juu ya wafundishaji?
@gonsalvamswaga6471
@gonsalvamswaga6471 6 жыл бұрын
nakukubali sana raisi wangu, naendelea kujifunza kupitia wewe
@queencharles4823
@queencharles4823 5 жыл бұрын
Hapo ata sielewi. Nahisi kichina.
@azaelkitange8427
@azaelkitange8427 6 жыл бұрын
hiyo kumpuni inayotoa mafunzo ya kilimo cha papai inaitwaje . . ., ni WINO farm au WHINO farm, msaada tafadhali
@bonifasiemanueli2708
@bonifasiemanueli2708 6 жыл бұрын
Azael Kitange
@mcraekahura7047
@mcraekahura7047 Жыл бұрын
Owino farm
@eliakimsando2919
@eliakimsando2919 4 жыл бұрын
Tunaomba mawasiliano ya wataalamu hawa
@sirkivike5457
@sirkivike5457 3 жыл бұрын
Mh
@goodlucktarimo2716
@goodlucktarimo2716 5 жыл бұрын
Hakika mheshimiwa Kikwete unaakili nyingi sana,napenda sana stahili zako
@shedrackbenjamin7917
@shedrackbenjamin7917 5 жыл бұрын
Saf
@semanasitv8303
@semanasitv8303 5 жыл бұрын
kati ya mtunda nisiyo penda kula
@africadolimited6642
@africadolimited6642 5 жыл бұрын
Kama unahitaji mbegu za papai za kisasa za mda mfupi 0752972727
@odenaabel6881
@odenaabel6881 4 жыл бұрын
0752972727 Hallo!
Мы сделали гигантские сухарики!  #большаяеда
00:44
Bony Just Wants To Take A Shower #animation
00:10
GREEN MAX
Рет қаралды 7 МЛН
黑天使遇到什么了?#short #angel #clown
00:34
Super Beauty team
Рет қаралды 48 МЛН
ALIBEBA ZEGE/SASA ANAINGIZA MKWANJA NA KILIMO CHA MAPAPAI
13:55
Mwananchi Digital
Рет қаралды 23 М.
ANGALIA HII KABLA YA KUANZA KUWEKEZA KWENYE KILIMO CHA MITI
30:10
Edmund Munyagi
Рет қаралды 14 М.
Kilimo cha papai Kajiado
3:30
Citizen TV Kenya
Рет қаралды 6 М.
KILIMO CHA UMWAGILIAJI
28:05
Kilimo Biashara
Рет қаралды 34 М.
ON AIR: Mshahara wa kwanza wa Waziri January Makamba mwaka 94
26:39
#SHAMBANI: KILIMO CHA PAPAI
28:23
TBConline
Рет қаралды 14 М.
KILIMO CHA MITI "MIKARATUSI"
26:52
Kilimo Biashara
Рет қаралды 20 М.
Мы сделали гигантские сухарики!  #большаяеда
00:44