Nimekubali kuwa bila yy nitaishi na tayar nimeanza ukulasa mpya wa maisha yangu ila kaka sijajua kwa nn tukikutana nnpoteza mudi nashidwa kuwa jasili
@idayanuru24994 жыл бұрын
Umeona ee
@joycelaizer46004 жыл бұрын
inauma jmn.. Kujipa moyo na kukubaliana na Hali.. Sikomi na siachi kupenda...
@edsonlaurencemwagamasasi90745 жыл бұрын
With emphasis.... "I can live without her" thanks so much my dearest brother Joel..... I have passed from this brother... but ultimately it ended with a lot of pains.... I thank God now all pains have gone away... and I am living my new life without her.... before that I thought my life would be more harder without her... but it was a matter of time....
@judithnyonyi7035 жыл бұрын
So sory brother Edy
@edsonlaurencemwagamasasi90745 жыл бұрын
JUDITH NYONYI ... thanks so much my dearest...be blessed there
@bizimanabizimana21312 жыл бұрын
kaka
@nematz9270 Жыл бұрын
Nashukuru sana kaka Joel, ila mimi ninachangamoto kwenye mahusiano, naomba japo ushauri maana nipo njiapanda, naomba kama naweza kupata mawasiliano yako
@thegirl14055 жыл бұрын
Ni kweli brother mimi nilisema sitomuamini mwanaume yeyote kwani wote wanafanana lakini now nimetoa hiyo kitu kichwani nimekua vizuri now siwazii wala sifikilii kilichonikuta so na angalia mbele niendako ya nyuma yatakua tuu kama kumbukumbu thanks brother🙏🙏
@thegirl14055 жыл бұрын
Hivyo mahusiano yanahitaji kua makini sana bila kukurupuka kikubwa kumuomba m mungu kwa sana yeye ndio muamuaji wa kukupa chaguo sahihi
@hassanbinally71274 жыл бұрын
Dah pole sana mi niliacha kuwaamini wanawake wote duniani kumbe nilikua nakosea sana
@mohamedsuleiman72152 жыл бұрын
njoo kwangu.
@yusufuheri65243 жыл бұрын
Asante sana Mr
@petrosamwel25282 жыл бұрын
Thank you brother
@clovicemusobozi3891Ай бұрын
Asante sana 🙏🏻🙏🏻🙏🏻
@manenolugendo63965 жыл бұрын
Ukweli kabisa napia usivunje ma penzi kisa umepata mpenzi mpya kabla hujamfaham... napia usivunje mahusiano kabla hujamkosoa huyo mpenzi wako Tabia zinazo kukera. Napia usianze mahusiano mapya ili umkomoe mpenzi wako wazamani utajikuta umeingia kwenye shida zaidi.. Pamoja Bro.
@joelnanauka5 жыл бұрын
Maneno Lugendo kabisa Maneno,ni kweli unayosema???
@ibzanruheta5 жыл бұрын
Fact
@kelvingitau68143 жыл бұрын
@@joelnanauka hae bro... Naomba nipigie na hii naba, 0719483205, naitwa Kelvin kutoka Nairobi kenya.,, nakuomba ndugu yngu.
@agathakayanda34273 жыл бұрын
💓💓
@manenolugendo63963 жыл бұрын
@@agathakayanda3427 🙄
@mariammasatu47855 жыл бұрын
Asante sna bro Joel kwa somo zuri nimekuelewa sna ubarikiwe
@saidimkombe98425 жыл бұрын
Asante
@victoriamerura9382 Жыл бұрын
Thanks so much 🙏🙏🙏 kwa SoMo lako zuri . Na nimejifunza mengi kutoka kwako , lakini katika point ya kutokukubali hiyo Ni kweli kabisa na ningumu pia
@dancangichabasaka33692 жыл бұрын
Asante sana
@anisiamedard37755 жыл бұрын
Daah! Asante kaka ndio neno langu ilo nimepata kitu cha kujifunza
@gresiaalexander5463 жыл бұрын
Nice class🙏🙏🙏
@fredjaffu89034 жыл бұрын
Dah nimekubali sana hii, nilipitia na nimefika kwenye acceptance
@mwanamkasihabibu99155 жыл бұрын
Shukran Kaka kwa somo zur
@aboubakaribakari9885 жыл бұрын
Thanks broo me nipo katka hatua ya 3 najaribu kumuweka sawa ila naingia kwenye hatua ya 4 nikiona haelekei daaah haya mambo hayana ubingwa.
Nilipitia kipindi cha mahusiono kuvunjika tena bila ya kunambia tena akahama nchi ila nashkur nimevuka salama
@fatmaazizi47922 жыл бұрын
Nimejifunza
@jacobmathias68115 жыл бұрын
uvizur sana tunajifunza
@ivanisack52524 жыл бұрын
Nice Mr Joel upo vzr sn
@judithmzava41612 жыл бұрын
Thanks nimeshapitia zote now nipo kwenye acceptance
@assamwakasanga35705 жыл бұрын
amen
@wakudatamjanja5 жыл бұрын
NakubaLiii Kaka tupo pamoja
@ReginaNassoro-sj9gz7 ай бұрын
Nimepita asee!
@lightnesselia7655 жыл бұрын
umenifanya nitoke sehem moja na kwenda sehem nyingine... thanks my brother
@issaamir78943 жыл бұрын
Nshafik.hafua y 5 ss Alhamdulilah
@user-py2lt5yu7t7 ай бұрын
Umenigusa sana mastar
@haulebh50075 жыл бұрын
Najuaje kama nimesha fika hatua hiyo ya acceptance
@tatuaamuuinyi9633 Жыл бұрын
Nakuelewa kinomanoma
@joseefaidabutu64675 жыл бұрын
Uko sahihi kaka
@togolanisaidi7045 жыл бұрын
Somo zuri, Naomba pia uweke njia ama solution ambazo mtu atachukua baada ya mahusiano kuvunjika maana Kaka Joel wapo waliowengi hawajui wafanyeje baada ya mahusiano kuvunjika,
@joelnanauka4 жыл бұрын
togolani saidi sawa,tafuta video yangu inayosema Usiogope kuanza upya
@sihabarajabu55095 жыл бұрын
Yaani hizo atua zote zinanihusu mm kaka jamani nimeachwa na baba mtt wangu juni 25 lakn kwa video zako najihisi mm ni mt tena asante kwa elemu yako
@kulumagala8665 жыл бұрын
asnnte kwa elim yako
@annamwakalobo45753 жыл бұрын
Thanks,mwenzi tatu still na jaribu kutaka kusahau na shindwa kinachoniumiza nikiwanza miaka sita yote nilikuwa na danganywa na fake promises . But mungu mwema ipo siku nitasahau complete
@imanimwakinga49342 жыл бұрын
Havisahauliki my dear, na usijaribu kulazimisha... Yapokee yabebe ishi nayo taratibu utapona, ikubali hiyo hali
@christiannkurunziza6862 жыл бұрын
Kweli kabisa
@melkisedekkabambo21205 жыл бұрын
Yeah
@samuelnyirobemakongo.30375 жыл бұрын
Mimi hapa wala siamini but nimeshafika hatua ya mwisho ya kukubali na nianze life yangu upya
@judithnjunwa66685 жыл бұрын
Santeeee Joel
@mageandrew55505 жыл бұрын
Tangu na x wangu yapata miez 11 sasa mwanzo ilikuwa ngumu lakn now naweza sana na nimeamin bila yeye naweza tena zaidi
@latifaanuary4911 Жыл бұрын
Hajawai kurud kukutafuta?
@exzaverymichale76735 жыл бұрын
Hii darasa linanihusu kwa 100%
@sifasango23692 жыл бұрын
Yes nilisha nimeyapitia hayo tena sio mbali sana ni Leo hii
@omarizuberi71353 жыл бұрын
Naomba unisaidie nimsahau aliyeniumiza
@janenelson54624 жыл бұрын
Masomo mazuri endelea kuktuelimisha kaka Joel
@roseetrony14822 жыл бұрын
Yaaan nakosa cha kuandika
@eliasdani45422 жыл бұрын
Yaa
@tarikideu83805 жыл бұрын
brother mimi nipo kwenye kipengele cha dépression ,,naumia xanah
@colmanmallya10325 жыл бұрын
Tari Kideu pole
@tarikideu83805 жыл бұрын
Colman Mallya thank
@asiahmariam39424 жыл бұрын
@@tarikideu8380 pole ndugu sali sn
@rabiarajab61164 жыл бұрын
Tunafanana
@paulinastephano2362 жыл бұрын
Somo zur Sana.. Naendelea kurud kwenye hali yangu nimefikia Hatua ya 4 ila siezi jinyonga kabisa japo chamoto nipo nakiona... Wanaume Mungu awape sehem zenu zakuishi mbingun... MUNGU nisaidie nivuke salama 😔😔 🙏
@aminakipande56452 жыл бұрын
Haupo pekeako tupo wengi 😔
@mwigaadam11792 жыл бұрын
Bado hamjapenda mnanusanusa tu
@mohammedadam8261 Жыл бұрын
Nimecheka kama mazuri but tuko pammoja sana ,,allihamndulillah skuweza kuchukua uamuz hatarish but now walau mood ya kazi imeanza kurud
@adellajohnbokato84533 жыл бұрын
Basi Nipo ktk Hatua ya Tano....Asante Mungu akubariki Sana Kaka!! Dah..
@herimgonja72092 жыл бұрын
Hapo ishu mtu anaposhindwa kukubaliana anakumbuka gharama aliotumia, hivyo n manufaa aliotarajia hakupata , so we don't have four is very annoying, I'm very scared, when you see a person you don't want to see even his face.
@adellajohnbokato84532 жыл бұрын
@@herimgonja7209 hakuna budi it's better to let Go kabisa.
@vincentmuli42835 жыл бұрын
mie ndo nko katika kpind hicho cha mpito nmetokea kuachana na mke yapata tar 29-01-2019
@dottowilsoni47032 жыл бұрын
Pore kaka angu tunao texeka na Ayo Mambo no wengi
@christelle96903 жыл бұрын
🙏🙏🙏
@priscapili49382 жыл бұрын
Ni kweli kaka napitia magumu lkn naona bado kazi ninayo
@komboomar82755 жыл бұрын
Mm ni mwanafunzi ya kwanza kuingia darasani leo hii
@joelnanauka5 жыл бұрын
Kombo Omar umetisha,hongera sanaaaa 👏👏👏
@ibzanruheta5 жыл бұрын
Karbu jifunze
@candycosta58232 жыл бұрын
Mm napitia sahv
@fatmaazizi47922 жыл бұрын
Kabisa
@machibyacharles52305 жыл бұрын
Ni ukweli asilimia kama zote bro,,endelea kuelimisha
@dinabana8000 Жыл бұрын
Habari samahani me Nina mtu wa karibu anasumbuliwa na Hilo tatizo tafadhari naomba msaada
@faudhiasalum72792 жыл бұрын
Hapo sasas👌🏽🤦♀️
@mwajumamwishehe34235 жыл бұрын
👏👏👏Asante kwa mafundisho kaka
@joelnanauka5 жыл бұрын
Mwajuma Mwishehe karibu mwajuma
@mwajumamwishehe34235 жыл бұрын
Joel Nanauka Asante Kama tuko pamoja
@aronemakanyaga72842 жыл бұрын
nashukur kaka mafundisho mazuri mnoo nabarikiwa sana
@frankdaniel98154 жыл бұрын
Congratulations Mr for your good lesson
@bryannassary32553 жыл бұрын
Hii ni kwel bro
@josephinechendi95274 жыл бұрын
Baada ya miaka minne ndo nikafikia hatua ya 5 hatua ya hasira ilinitesa Sana namshukuru Mungu nilivuka salama
@user-vd1kb7og4p4 ай бұрын
Msaada
@SizzoSela29-sh8nz5 ай бұрын
Niko hatuwa ya nne nasijui nifanyeje maana nateseka sana
@mpolesanga58693 жыл бұрын
Mm kaka napitia ayo
@selinamoses1268 Жыл бұрын
Mm
@hassammtaima23742 жыл бұрын
Nanauka mm ndio napitia wakati mgum sana kaondoka na familia yangu
@fridamuss922 Жыл бұрын
Mm mwanaume aliyenambia ninywe dawa za mitishamba nipate mimba tukahangaika maporini kutafuta dawa nikanywa zilikuwa chungu leo hii ananiacha na mtoto mdogo mdogo sana MUNGU anisaidie kwakweli labda kuna siku na mm nitakaa sawa namlea mtoto nyumbani pekeangu nmeharibu kila kitu sijui niseme vipi naona kila rangi ya dunia kwel wanajinyonga wote wanachoka yanaumiza haya mambo ila ALHAMDULILLAH🙏🏻🙏🏻🙏🏻
@bensonkishery45355 жыл бұрын
Dar mm yalinikutaa yakanisubua miaka miwili na kutumiaa hela ovyoo hapoo kwenyee depression nilkaah muunda mwing
@joelnanauka4 жыл бұрын
benjamin kishery Pole sana,hongera kwa kupona
@husseinmrisho13485 жыл бұрын
hakika sichoki kukufatilia kk
@gracenesto762 жыл бұрын
Jaman mm napitia changamoto hii kwasasa naombeni msaada wenu
@mohammedadam8261 Жыл бұрын
😀mungu azidi kukupa umri tele Last year nimetoka kuachwa bahn n mchumba ang bahat mbaya san hii ndo naion video hii ila mule mule kuna muda nilkuw n mtu wa hasira sana ikafika muda nikaon no siko sawa kuna kitu yan nilijarb kuanzisha mahusiano mapya but hata week skumaliza yakanishnda so now nahis niko hatua y mwisho coz nishakubali now hyo mwanamke ashaolew mwanzon mw mwaka na me now naanda mpango wa kuoa nishaanza kusset mipango upya
@johnjoseph32122 жыл бұрын
Nimekuelewa bro vyote nimepitia mm
@benjaminkimaro83483 жыл бұрын
Brother Unanifanya Nijiamnii zaidi
@pauldenyoo3035 жыл бұрын
yaaaan broo kuna rafikia angu limemkuta hilooo lakn haaaamin anasema yy bora hata amrudie alf aje kumwacha kwa njia nyingine em nisaidie sa hapo namsaidiaje
@thebroski97635 жыл бұрын
Anza na kusalimia kidogo mfano Habari? Then Leo Tunazungumzia hiki hiki then unaendelea huo ni mtazamo wangu binafsi maana video inavyoanza tu unaanza kuongea huwa nahisi tofauti sana au ndo kuenda na mda?
@omarabdallah29185 жыл бұрын
Thank you my mentor, i get you from 254 My bro Joel .
@joelnanauka5 жыл бұрын
Omar Abdallah Thanks Omar,pamoja sanaaaa
@LeahIsaya-jn9hj2 ай бұрын
Kipindi unashauri hiki sikukuelewa kbsaa,maana nilikua ktk kipindi kigumu mno..akili yg iliganda kbsaa.. niliwaza ivi huyu anatushaur hivi anajua maumivu kweli yakuumizwa ktk mahusiano/ndoa?kiukweli sikukuelewa kbsaa..sasa nimiaka 5 ndio nakuelewa kaka.namshukuru sn mungu nmepona kbsa nimeanza upya na sikumbuki tena kuumizwa kule kulikonikosesha kbs furaha..nmekua nikikufuatilia sn kupitia mafundisho yako nmejifunza mengi mno yaliyonisaidia..jp kiukweli nimekua muoga sn kuanza mahusiano mapya mpk leo.
@janenelson54624 жыл бұрын
Umenigusa sana hapo kwenye aina za marafiki wanaoua ndoto zangu
@frankmashaur3867 Жыл бұрын
kwel bro mm naumia mka sas hata sielewi kabsa
@fredrickdanielndegea24903 жыл бұрын
Hakika yote no sawa
@anethlema83183 жыл бұрын
Yani nikwli kabisa we kaka wew mimi nishapita hizo zote Now niko kwenye acceptance yani had nilikonda
@issaamir78943 жыл бұрын
Nimeamz n mahusian mengn now niko vizur sili tena upuz na nimemuapia Alla sitoka nimtafte
@benfrancis82885 жыл бұрын
Bro kazi nzuti sana unayoifanya naomba unisaidie katika hili
@benfrancis82885 жыл бұрын
Ninarafiki yangu ambae urafiki wetu ulianza mwaka jana maongezi yetu yalikuwa yanahusu maisha kuelekeza namna ya kuishi kwenye mahucano huyu kqka alikuwa anapenda sana kuniita dada kila anaponipgia au tukiwa tunachati....mwaka Jana mwishoni ile hali ya kuniita dada akaacha mm nikimuta kaka haitiki na tukiwa tunachat nikimuita tu kaka ananiaga ananiambia atanitafta badae badae aliniambia nipange Siku tuonane anamazungumzo na mm ambayo hataki tuongee kwa simu na kabla hajaniambia kuonana alianza kuniita majina ya kimahucano kila akipiga cm utackia anaitaa baby wang,my n.k na siku moja akaniambia katokea kunielewa kutokana na mazungumzo yetu nyuma...... Mpaka sasa sijaonana nae lakn Jana alinipgia akasema kavumilia kashindwa inabidi aseme tu kwa cm sababu sijaenda kuonana nae na md unaenda nikamwambia Sena akaniambia anahitaji anivishe Pete ya uchumba na mwaka huu afunge ndoa na mm mpaka sasa cjamjibu kitu chochote.....napata shida bro kutoa majibu sababu kutokana na maumivu nilopata huko nyuma naomba unisaidie bro kwa kunishauli nn nifanye maana dah
@vincentmuli42835 жыл бұрын
ila kwa sasa nimeamua kukubali kwamba niko peke yangu
@kassimgeorge30363 жыл бұрын
Unachokiongea ni kweli kwangu toka nimeachana na mpenzi wangu mpaka sasa siamini lakin imeshatokea nifanye nini ingalikuwa bado ninampenda sana ila yeye ana tena muda mimi naomba msaada
@jamaljaphar15775 жыл бұрын
Kweli bro mm nipo kwenye changamoto hii ya Mahusiano saiv ni week tatu zimepita nimetengana na mpenz wng sema nimejifunza vitu vingi toka kwako ingawa Bado na mahumiv rohon