No video

ONDOA UCHUNGU NDANI YA MOYO - JOEL NANAUKA

  Рет қаралды 92,391

Joel Nanauka

Joel Nanauka

Күн бұрын

🔥🔥🔥 Unataka KUJIFUNZA Zaidi? Nenda hapa: joelnanauka.se... 🔥🔥🔥

Пікірлер: 305
@jacklinedickson3104
@jacklinedickson3104 3 жыл бұрын
Wallah endelea tyu kutufarji kaka joeli mana nyoyo znatuvuja dam Allah atupe wepes tusjepata hata strock nnauchunguuu😭😭😭😭😭😭😭
@asyaasya3766
@asyaasya3766 3 жыл бұрын
Yatapita dear hata mi pia niliwai kupitia uchungu ila kwasasa alhamdulillah nilishasahau na nipo OK, hilo Kaka Joel ameongea ni kweli jisemeye tu kimoyomoyo ujiambie siwezi kuwa mtumwa wa huu uchungu taratibu utaskia unapata amani ndani ya moyo
@mwanakhamiskhamis3115
@mwanakhamiskhamis3115 3 жыл бұрын
Yaani tuko hatarini
@abelntobi382
@abelntobi382 3 жыл бұрын
kzbin.info/www/bejne/eJK3o3WBqtmkbbs
@bernarderadi4410
@bernarderadi4410 3 жыл бұрын
Jackline Yesu kristo akutie nguvu
@vickie.gpeter1639
@vickie.gpeter1639 Жыл бұрын
Pole dear
@mariammaligwa8887
@mariammaligwa8887 3 жыл бұрын
Uchungu umeharibu maisha yangu nikajikuta nafanya Mambo bila kufikiria ikaua kila ndoto ndani yangu, Asante kwa SoMo zuri kaka
@rayyansaleh3430
@rayyansaleh3430 2 жыл бұрын
daah
@hellenmwakyembe8095
@hellenmwakyembe8095 Жыл бұрын
Napataje namba ili niwe najifunz zaid
@saudamfaume8070
@saudamfaume8070 Жыл бұрын
Asant kakaa kW ushaur wak nitaendelea kukufatilia man niliumizw San na presha ju
@umojadaycare8441
@umojadaycare8441 Жыл бұрын
Pole
@omarykitua3843
@omarykitua3843 Жыл бұрын
😢😢😢😢uchungu unanitesa
@NadyaJuma
@NadyaJuma 18 күн бұрын
Umenigusa na Mimi maisha yangu ni yauchungu tu
@rehemashayo1613
@rehemashayo1613 11 ай бұрын
Jamani mm namaumivu mpk leo nilidhulumiwa kila kitu baba angu alichoniachia lkn maneno yako yananifariji nakuombea maisha marefu
@YunusMgunga
@YunusMgunga Ай бұрын
Asante sana Joel mungu azidi kukupa afya njema ya roho na mwili.
@AlesiMzumbwe
@AlesiMzumbwe 20 күн бұрын
Mafundisho mazuri sana
@sharifakhamis1145
@sharifakhamis1145 3 жыл бұрын
kila nnaposkiliza clips zako ukweli najifunza mengi sana nafarijika sana kila unachokiongea kinanigusa ktk maisha yangu nakushkuru kwa mafunzo na faraja unazotupatia
@joelnanauka
@joelnanauka 3 жыл бұрын
Ameen Ameen Mungu Ni mwema sana
@aminaabdull7479
@aminaabdull7479 3 жыл бұрын
@@joelnanauka Kaka naomba namba yako tafadhali
@hawaamkubwa2020
@hawaamkubwa2020 3 жыл бұрын
Uchungu wangu mumewangu anatembea rafiki yangu nimeumia cna
@abelntobi382
@abelntobi382 3 жыл бұрын
kzbin.info/www/bejne/eJK3o3WBqtmkbbs
@leonardsilago4221
@leonardsilago4221 3 жыл бұрын
Najivunia xana kuwa na mtanzania kama ww hakika utakikomboa hiki kizazi na vizazi vijavyo. MUNGU akubariki xana na akupe maisha marefu hapa duniani, Amen.
@rachelmwasomola945
@rachelmwasomola945 Жыл бұрын
Nimewahi kumpoteza ndugu yangu wa karibu kuzaliwa akitoka yeye nafuata Mimi kuzaliwa(kaka yangu), mwaka 2018 binafsi nilikuwa nampenda Sanaa lakini siku napokea taarifa ya kifo chake mpaka Leo hii uchungu nilionao unanitesa Siwezi kata kuenjoy maisha kwasababu nahamisha maumivu niliyonayo Kila sehemu iwe kwa marafiki,ndugu wengine😢😢 kupitia fundisho hili nimechilia na nimekubali naanza upya Leo Mungu wa Mbinguni anisaidie
@joelnanauka
@joelnanauka Жыл бұрын
Ameen, kila la kheri naamini Mungu atakuvusha.
@JedidaNdutuu-ys3lx
@JedidaNdutuu-ys3lx 5 ай бұрын
Fundisho lako zuri Sana Mimi hio roho y uchungu imesumbua sana nilifikili n roho y rejection lkn umenisaidia nitawasamehe wote
@joyceamos7956
@joyceamos7956 2 жыл бұрын
Asante kaka joeli mm ni muathirika wa kuhifadhi uchungu na inanipelekea kutoishi vizuri na watu hata wengine wanahihukumu kua nawachukia lakini hapana ni moyo wangu umebeba mambo manzito nalia na mungu aniondolee hii hali inanichosha
@mwanakhamiskhamis3115
@mwanakhamiskhamis3115 3 жыл бұрын
Nimezeeka sanaa kabla ya wakati wangu kwa uchungu nilionao ambao unasababishwa na watu wakaribu ninaoishi nao. Sina furaha ya maisha. Wananidhulumu furaha yangu
@joycehaule4520
@joycehaule4520 Жыл бұрын
Pole sana jipange anza kuleta furaha moyoni mwako samehe
@martinmaami5853
@martinmaami5853 3 жыл бұрын
Ahsante kwa somo zuri,,Naomba kujua ni namna gan naweza kumsamehe mtu ambae anakukosea au kukuumiza mara kwa mara na hakuna uwezekano wa kumuweka mbali na yeye?
@auntiemylee3157
@auntiemylee3157 3 жыл бұрын
Forgive but never forget the lesson u learned
@MarryMichael-lb8hq
@MarryMichael-lb8hq Жыл бұрын
Uchungu ndio kitu kinanitesa ila kuanzia leo nasamehe nakuachilia kwa moyo wangu huu uliopondeka naruhusu amani na furaha katika maisha yangu na muomba mungu anisaidie na kuniumbia moyo mpya nisahau yote yanayonitesa 🙏
@hirdajacson8827
@hirdajacson8827 11 ай бұрын
Naamua ctakuwa na utumwa wa uchungu ndani ya moyo wangu hata iwaje citakuwa mtumwa mungu nishindie
@user-hf9fh6nk6h
@user-hf9fh6nk6h 2 ай бұрын
kaka Joel umenitoa mbali sana nimesema leo nirudi kutoa shukran zangu za dhati hii video ilinipata nikiwa na maumivu makali sana lakin kupitia hapa nilipona kanisa ubarikiwe sana kaka mungu akupe uzima na afya bora uzidi kutufunza chukua mau yako 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@mwanaidimsemo6321
@mwanaidimsemo6321 3 жыл бұрын
😓😓😓hii imeniingia Sana😓😓 nitajitahd niachie tu,, mungu nitetee na uniongoze kwenye hili🙏
@hamidaa3886
@hamidaa3886 3 жыл бұрын
Ma Shaa Allah very good nitajifunza Asante saaaaana
@abelntobi382
@abelntobi382 3 жыл бұрын
kzbin.info/www/bejne/eJK3o3WBqtmkbbs
@mohammedrashid2906
@mohammedrashid2906 8 ай бұрын
Tupo pamoja
@fatmamwiru7574
@fatmamwiru7574 3 жыл бұрын
Natangaza msamaha kuanzia leo,Ndani ya siku hii ya Takatifu ya Ijumaa...NIMESAMEHE wote sina kinyongo na mtu...
@abelntobi382
@abelntobi382 3 жыл бұрын
kzbin.info/www/bejne/eJK3o3WBqtmkbbs
@rahmashemukombo7097
@rahmashemukombo7097 10 ай бұрын
Uchungu umenifanya nipoteze uelekeo wa maisha yangu nashukuru kwa somo zuri
@user-fe5yg4hv4d
@user-fe5yg4hv4d 8 ай бұрын
Asante sn kiongoz kiukweli napitia machungu makubwa baada ya watu wangu Wakaribu kutokunisapoti ktika mahusiano yangu pia wao ikawa ndio sababu yakuvunja mahusiano, dah yani sijui ata vp naweza kusaha maumivu hy
@user-ji9xm1ln5g
@user-ji9xm1ln5g 11 ай бұрын
Uko vizr sana jamaa ujumbe huu umeungza moyo wangu mpenz wangu anateseka sana kwa ttzo hlo
@mwl.michaelsainethmlowe2641
@mwl.michaelsainethmlowe2641 3 жыл бұрын
Uchungu unaharibu sana familia nyingi na unafanya watu kuishi kama watu wanaoishi pembezoni mwa mto Amazon Mwishwe ukiwa na uchungu unajisikia kufakufa tu kwa sababu unajikuta huna thamani Thanks bro
@juaupekeewako
@juaupekeewako Жыл бұрын
Sio rahisi Sana Joel,,,inahitaji kujitoa sadaka kamili,,pia itatupasa tujue our identities in spirit,,hapo ndipo uponyaji utapaikana vinginevo itakua Kama motivational tu kwasababu mazingira na maisha tuishiyo wengi yanasababisha uchungu uzidi kua mwingi zaidi,,,Asante Joel
@andreamichael2897
@andreamichael2897 Жыл бұрын
@ruthmsaki7107
@ruthmsaki7107 Жыл бұрын
Nimeachilia uchungu wew mmama utoke kwenye ufahamu wangu nimesamehee
@Happinesabella3654
@Happinesabella3654 11 ай бұрын
MUNGU akutie nguvu hili SoMo lilikuwa kwa ajili yangu Mimi uchungu umenizeesha umenikondesha lakin neno lako limenipa mwanzo mpya mungu akupe maisha marefu na ufanikiwe zaidi
@JumanneShingsha-ks4vb
@JumanneShingsha-ks4vb Жыл бұрын
Mungu akubark Dada cjaelewa kukoga ndo kufanya nin sahaman kwa hlo
@user-ko1dh8zf7p
@user-ko1dh8zf7p 11 ай бұрын
Mimi nilikuwa narafiki yangu nilimpenda sana kumbe alikuwa wa kunpastress kazi yake nikunichunguza nakunisema vibaya na familia yake na kuniaibisha kila mahali😢😢.Sahi nimeshikwa nahasira na uchungu ndani yangu nimechukia kila mtu hapa nukiona mtu naonanikama nawakamoto ama machozi yanitiririke😢😢.hii Sasa nikiwa muda wa wiki mbili😢😢
@imaniathanass1156
@imaniathanass1156 Жыл бұрын
God are blesse you guy
@gtubgxuxj6906
@gtubgxuxj6906 3 жыл бұрын
Nasema kwel hal hiyo mi niko nayo tangu mwaka 2010mpaka sasa nimeshindwa kusamehe nakusahawu lakin umenifunza wacha nilifanyiye kazi nachukulu sana kwa somo
@logasiabaltazary9424
@logasiabaltazary9424 Жыл бұрын
Kaka jeol I wish one day nikuone live tuongeee maana naona ,naelekea ukingoni mwangu , walau nikikaaa nikaongea yaliyo moyoni mwangu nitahisi faraja.
@leilajoshua8251
@leilajoshua8251 Жыл бұрын
Nashukuru nitasamehe ili nipone sasa,ucchungu umeharibu Hadi malengo yangu😭😭😭😭
@user-rp1jr3jt5q
@user-rp1jr3jt5q 11 ай бұрын
Mimi niliwahi kupata uchungu uliosababishwa na mwalimu. Asante sana ubarikiwe!
@mylovejosecharles4362
@mylovejosecharles4362 10 ай бұрын
asante kaka
@doricekadushi3924
@doricekadushi3924 Жыл бұрын
Uchungu ulinifanya niwaze only solution ni kufa, maana nlifanya vyote hata kutanga msamaha kwa alienisababishia uchungu lakin bado haikusaidia Nashukuru Mungu ananipigania ipo siku nitakua sawa na nitafurahia maisha yangu tena
@isikesamike
@isikesamike 3 жыл бұрын
Wow! @joelnanauka kiroho zaidi. Asante sana ndugu.
@luciadaud9298
@luciadaud9298 Жыл бұрын
Hua ninalia ndo napata uafadhali ila umenipa funzo asanta kaka nafwatilia sana vipindi vyako
@wardaabdallah2383
@wardaabdallah2383 Жыл бұрын
Ahsante Emma wangu Kwa kunielekeza kaka huyu moyo wangu uliraruka sikuona njia,nimeumizwa mnooooo😭😭😭from now sitolia Tena,be blessed kaka joel
@Dimitry-cb5tb
@Dimitry-cb5tb Жыл бұрын
Kaka Asante kwa somo lako nilimenisaidaia mm niliachika na wanaume watatu zaidi huyu watatu aliniumiza sana maana familia ilinikataa na yeye tunapendana ikafikia wakati nikawa nateseka mpaka presha ata vidonda vya tumbo nashukuru kidogo nilivyosikiliza somo hili nimepata uponyaji
@user-pu8zk6du1o
@user-pu8zk6du1o 11 ай бұрын
Nimeamua Leo kusahau mausiano yangu yazamani Asante Sana Joel nauka
@yohanasimtenda748
@yohanasimtenda748 3 жыл бұрын
Hii ni huduma yakiroho kabisa, tunabarikiwa brother
@dattysamia3184
@dattysamia3184 Жыл бұрын
Kwakweli nakalibia kufunga wiki moja toka nianze kuangali video zangu ani nilikua na mambo mengi mengi mno yanayomisumbua lakn toka nimeaanxa kukufatilia matatizo yoote yamekwisha nakushukuru sanaaa kaka joel
@PaulMalyosi
@PaulMalyosi 11 ай бұрын
Somo hili limenigusa San, niliwahi kuishi na uchungu ndan ya Moyo wangu lakin niliona kabisa sipaswi kuendelea kuishi haya maisha maana nilikosa kujiamin kuhusu mambo mbali mbali hasa mahusiano ila tunakosea ili tujifunze 😭😭
@user-mx2tx5eg9x
@user-mx2tx5eg9x Жыл бұрын
Joel unasubiri nini kua mchungaji? Najua wewe ni "inspirational speaker, You can be both!
@frankbenandi8764
@frankbenandi8764 2 жыл бұрын
nimekuelewa joeli mi nakufatalia sanaaaa namoja yakitu kikubwa kwenye maisha yangu namuona mungu kupitia wew napata nguvu yakuinuka tena napitia wakati mugumu sanaaaa wakiisia nakibaya zaidi anae niumiza nimtu wangu wandani inauma sanaaaaaa 😭😭😭😭😭😭😭ila Imani yangu nainuka tena
@richardgregory425
@richardgregory425 2 жыл бұрын
Uko sawa brother inauma hadi unaona huna haja yakuishi
@grace-neemabuninange-bujik9117
@grace-neemabuninange-bujik9117 10 ай бұрын
Amina
@rashiasleiman4864
@rashiasleiman4864 11 ай бұрын
Nliumia sana na nimepata kama donda la moyo
@kimwanakitaka3607
@kimwanakitaka3607 Жыл бұрын
Asante kaka joel
@FauuFabian-kk2cx
@FauuFabian-kk2cx Жыл бұрын
Nashukuru kaka nimekuw mtumwa Sasa nmepata elimu❣️❣️❣️❣️
@NasmaHamisi-fs8bq
@NasmaHamisi-fs8bq Жыл бұрын
Nmechelewa kuangalia lakin nmejifunza kitu Asante mungu akubariki kak
@nyamkamawanjara29
@nyamkamawanjara29 3 жыл бұрын
🙏asante kwa ujumbe mzuri let me nisikilize
@hamdharashid2127
@hamdharashid2127 3 жыл бұрын
Mungu akujalie.
@VailethAmbokile-xb4ut
@VailethAmbokile-xb4ut Жыл бұрын
Asanteh kaka kwa somo zuri, hakika masomo yako yananibariki na kubadilisha Maisha yangu kwa kiasi kikubwa Sana, ubarikiwe sana
@badriabegu2469
@badriabegu2469 3 жыл бұрын
Natamani npate no yko Dr wallah😭😭
@user-rb8yh2xp8w
@user-rb8yh2xp8w 8 ай бұрын
Mungu akubariki brother kw fundisho nzuri
@elizabethemanuel2122
@elizabethemanuel2122 2 жыл бұрын
Halihii yauchungu anayo rafiki yangu tumeachana kwasababu anauchungu nilikua nimekosea kidogo
@reginaldipeter2272
@reginaldipeter2272 2 жыл бұрын
Kweli nilipata uchungu Sana Baada ya Rafiki yangu kueleza udhaifu wangu kwa marafiki wake wengine lazima UCHUNGU uniachie IN JESUS NAME (Yohana 14:13-14)
@amarislam1589
@amarislam1589 3 жыл бұрын
Somo zuri assnte
@user-sd7nf1eu5w
@user-sd7nf1eu5w Жыл бұрын
Uchungu uliniletea pressure na stroke,, alhadhulilah joel for this msg
@user-xk6st3zn6e
@user-xk6st3zn6e Жыл бұрын
Kwakweli nimefraishwa sana na kipindi chako kaka nateseka sana natamani nitoke kwenye hii hali
@geraldinejoyce3861
@geraldinejoyce3861 Жыл бұрын
Mungu akubariki sana bro J nataman nipate msaada vile naweza kuachilia na kusamehe kabsa
@neemashirima6121
@neemashirima6121 2 жыл бұрын
Mungu nisaidie niondokane na hili Roho la uchungu.
@mwajumahaji8283
@mwajumahaji8283 3 жыл бұрын
Asantee snaa kaka nimepona toka nimeanza kukufatilia asntee sana
@abelntobi382
@abelntobi382 3 жыл бұрын
kzbin.info/www/bejne/eJK3o3WBqtmkbbs
@kasililamecksatano7302
@kasililamecksatano7302 3 жыл бұрын
Kaka nimekuelewa sana umenipa madini kweli moyo wangu unauchungu aise! Naamini nitapona nitaachilia uponyaji
@berthelgeorge1137
@berthelgeorge1137 Жыл бұрын
Kwanzia Leo sitokua mtumwa wa uchungu wangu
@salamaoman8133
@salamaoman8133 Жыл бұрын
Asante sana kwa elimu mazuri mm nakufatilia sanaa nanapata faraja kwa maneno yako
@edsonaminga8572
@edsonaminga8572 2 жыл бұрын
Healing is my passion.
@NeemarichardMarko
@NeemarichardMarko 11 ай бұрын
Asantesana kwasomo zuri kiukweli uchungu umenitesa sana nakujiona sina thamani tena
@rachelmwasomola945
@rachelmwasomola945 Жыл бұрын
Mungu akubariki brother kwa fundisho zuri 🙏🙏
@stellakins3770
@stellakins3770 3 жыл бұрын
Najitaidi sana kuondoa uchungu moyoni ..ila Leo Mungu nisaidie
@saumumagembe2956
@saumumagembe2956 2 жыл бұрын
Daaah kuna watu mungu kawashusha kwa ajili ya watanzania.... Thanks Allah 🙏
@jenifamtima9325
@jenifamtima9325 3 жыл бұрын
Yaani! Niko nayo hivi sasa hali ya uchungu , na nishasamehe lakini linakuja kombora jipya zaidi ya mwanzo ni shidaaaa! 😢
@nasramohamedi4095
@nasramohamedi4095 2 жыл бұрын
Ndo nilikuwa nataka kuuliza hivyo hivyo unasamehe Kisha yanajirudia haya tunafanyaje???
@doricekadushi3924
@doricekadushi3924 Жыл бұрын
Mimi pia napitia hio hali
@user-qz6cg3hr4w
@user-qz6cg3hr4w 5 ай бұрын
Asante ila kila nikijitahid kuachilia lakin uchungu unakuja nifanyeje maana nateseka sana
@rahimaaaaa8699
@rahimaaaaa8699 3 жыл бұрын
Asante kwa somo zuri sana
@ramadhanalmashamza3458
@ramadhanalmashamza3458 Жыл бұрын
Asante sana kaka Mungu akubariki kwa kazi nzuri anayoifanya kwa hakika tunajifunza mambo mengi sana kutoka kwako
@salamaoman8133
@salamaoman8133 Жыл бұрын
Asante sana kwa maneni mazuri yanatia faraja sanaa
@brendagray3281
@brendagray3281 2 жыл бұрын
Nimebarikiwa sana nasubiri siku ntakaporudi kushuhudia..uchungu umetesa maisha yangu sanaa
@salamaoman8133
@salamaoman8133 Жыл бұрын
Asante kaka nimejifuza kitu kwenye somo hili nmefurahi
@joyceshiyo7257
@joyceshiyo7257 Жыл бұрын
Jamani me alieniumiza Niko nae karibu Sasa Kila nikimuona moyo inauma mpka naishiwa nguvu
@gracembwambo591
@gracembwambo591 10 ай бұрын
Mimi kwakweli halo hii ninayo ila naomba sana mungu wangu anirekebishe
@bestshine6273
@bestshine6273 2 жыл бұрын
ASANTE SANA
@ngubwene
@ngubwene 3 жыл бұрын
Asante kuponya mioyo yetu Ubarikiwe
@sarahmwangamila4441
@sarahmwangamila4441 3 жыл бұрын
Asante kwa somo ,hii hali inanitesa sana maisha mwangu!
@user-qh2ur7cy8d
@user-qh2ur7cy8d 10 ай бұрын
Nimejifuza kutengeneza kujiami leo
@emamkuyu4061
@emamkuyu4061 3 жыл бұрын
Barikiwa sana,Kama unajua yaliyo kwenye mioyo ya watu.Endelea kuponya watu,wote walionokosea ninawasamehe kuanzia sasa hata kama hawajaniomba msamaha.
@SizzoSela29-sh8nz
@SizzoSela29-sh8nz 7 ай бұрын
Mimi uchungu wangu umesababishwa na mahusiano najichukia nachukia hata kazi ninayofanya muda wote napata hasila
@SizzoSela29-sh8nz
@SizzoSela29-sh8nz 7 ай бұрын
Kaka nisaidie
@esterdaniel2860
@esterdaniel2860 3 жыл бұрын
Asante Sana Kwa soma zuri binadamu tunatakiwa kujifunza kutokana na makosa
@abelntobi382
@abelntobi382 3 жыл бұрын
kzbin.info/www/bejne/eJK3o3WBqtmkbbs
@maryjoseph439
@maryjoseph439 2 жыл бұрын
brother joel umenisaidia kwakiasi lkn natamani unisaidie zaidi mungu akubariki sana akuinue kwaviwango vingine
@namnyakimollel6866
@namnyakimollel6866 3 жыл бұрын
Umenigusa 100% Niko hivyo kaka Joel naharibikiwa sana na Mara nyingi tu nitajifunza zaidi maana nimekuwa hivyo muda tu hadi Leo yamekuwa maisha YANGU vile
@rahellongo9946
@rahellongo9946 2 жыл бұрын
Asantee kwelii kuna nguvu katika msamha
@carloslevina1610
@carloslevina1610 2 жыл бұрын
Uchungu nilionao ni wazi nimeumimina moyo wangu
@joshuamollel6993
@joshuamollel6993 3 жыл бұрын
Mung nimwema nimekua nikisononeka mda mwingine ila sasa nsomba tu nisamehe ILI nipo BG kak joel 🙏🙏
@SaruniSimanga-dq2cu
@SaruniSimanga-dq2cu 10 ай бұрын
Kweli teacher mungu akubariki sana
@winnieshayo1826
@winnieshayo1826 Жыл бұрын
Shida aliyesababisha uchungu bado naishi naye nimejaribu kila njia ya kusamh nimeomba MUNGU anipe amani nikashindwa nikamwambia kwanzia leo ctakusumbua tna kuwa na amani lkn nikarudia tena nikafunga ikashindikana aii!
@user-bl9tb5km5n
@user-bl9tb5km5n Жыл бұрын
Asante sana kaka ,nimeishi na uchungu muda mrefu Sana ,nimejitahidi kusamehe bado uchungu haukuisha,nimegundua kosa langu nikuendelea kumzungumzia aliyenikosea
@fionathadei39
@fionathadei39 3 жыл бұрын
Nimekukubali yote yapo katika maisha yangu.ata sasa nimeumizwa nakumbuka uchungu wa nyuma.
@miriamnawe1720
@miriamnawe1720 2 жыл бұрын
Asante Sana mch mungu azidi kukutumia zaidi Kila topik yako unayofundisha inagusa
@danmarieedson9790
@danmarieedson9790 2 жыл бұрын
Asante sana Joel daaa umenifungua sana akili yangu. uchungu, stress, vimekuwa shida sana katika maisha yangu na kuniletea vidonda vya tumbo vya kila siku visipo pona na kufikia hatua mbaya Sana shukran naendelea kufuatilia sana vipindi vyako🙏🙏🙏
@pugnaagrifood7282
@pugnaagrifood7282 2 жыл бұрын
Yaaan
EPUKA MAKOSA HAYA KWENYE SAFARI YA MAISHA YAKO  - JOEL NANAUKA
10:22
UNAMPENDA LAKINI YEYE HAKUPENDI - JOEL NANAUKA
9:15
Joel Nanauka
Рет қаралды 204 М.
The Joker saves Harley Quinn from drowning!#joker  #shorts
00:34
Untitled Joker
Рет қаралды 70 МЛН
Kind Waiter's Gesture to Homeless Boy #shorts
00:32
I migliori trucchetti di Fabiosa
Рет қаралды 13 МЛН
Joker can't swim!#joker #shorts
00:46
Untitled Joker
Рет қаралды 40 МЛН
Watu 5 Wanaostahili Muda Wako
7:17
Joel Nanauka
Рет қаралды 81 М.
Vitu Vinavyowakera  Wanawake - Joel Nanauka
8:50
Joel Nanauka
Рет қаралды 181 М.
MFUKO WA UKWASI (LIQUID FUND)
11:59
UTT AMIS PLC
Рет қаралды 4,5 М.
KUPONA UCHUNGU - JOEL NANAUKA
6:59
Joel Nanauka
Рет қаралды 24 М.
AKILI ITAKAYOKUFIKISHA KWENYE MAFANIKIO MAKUBWA | PART 1
14:05
Success Path Network
Рет қаралды 22 М.
Jinsi ya kujiandaa kuwa mjasiriamali kabla ya kuacha kuajiriwa.
59:26
Personal Finance Hub
Рет қаралды 24 М.
TAMBUA MAJIRA MUHIMU KWENYE MAISHA YAKO - JOEL NANAUKA
10:18
Joel Nanauka
Рет қаралды 6 М.
Maombi ya kurejesha Amani Unapo kosa Amani, ONDOA ROHO YA UCHUNGU KWA DAMU YA YESU
8:25
PASTOR GODWIN NDELWA - MAOMBI NI DAWA
Рет қаралды 4,2 М.
The Joker saves Harley Quinn from drowning!#joker  #shorts
00:34
Untitled Joker
Рет қаралды 70 МЛН