Mungu yaangaliemateso yamtumishiwako mbarikiwa katika na ijulikane mungu wetuupo MUNGU nakusihi udhihilishe ukuu wako haleluya
@servantmosesmunuve26873 ай бұрын
Nampenda mbarikiwa sana
@DeusRobart3 ай бұрын
Mungu yupamoja nanyi
@hildandumbalo58273 ай бұрын
Mungu yuko nawe Mtumishi wa Mungu mbarikiwa wewe ni mshindi
@barakahhawu23243 ай бұрын
😢😢😢😢😢 Mungu tunaomba huruma na mapenzi yako juuu ya watu wako
@IsakaHosea-g9g3 ай бұрын
Mungu yupo,ataonekana kama ameshindwa ila itajulikana.pole sana baba na wengine wote.
@ugalidona-cs2yn3 ай бұрын
❤ Amina ❤. TUNAUTARAJIA USHINDI WA MUNGU WA MILELE WENYE MALIPO YA MILELE. NAAAM , ❤AMINA AMINA ❤.
@Maryc2G3 ай бұрын
Mungu akutangulie na akupiganie kwa kila jambo.
@Magufuli.3 ай бұрын
Hata iweje💪
@SuzyMuhando-yf8do3 ай бұрын
Mungu akusimamiye babaangu mbarikiwa na mama na wote
@omanqqwe40613 ай бұрын
Mungu akusaidie sana baba
@PastorsTz3 ай бұрын
YESU ULIYETUITA BADO IMANI YETU KWAKO KUBWA
@SinarahaNtaraha3 ай бұрын
Roho ya paka hiyo
@AdamJulius-z5i3 ай бұрын
Hata kama mtamfunga Tena ila mjue Bado hamjashinda maana Hakm wa mwisho anakuja kumulipa kila mtu kama jinsi alivyotenda
@prchMichael3 ай бұрын
Mungu akutie nguvu kina Yohana walikatwa vichwa kwa sababu ya kweli pambana MUNGU yuko nawe I appreciate msimamo wako
@FESTOJAPHET-cw3fl3 ай бұрын
Mungu atusaidie tupate haki lakin naona kazi yako imeanza kuzaaaa matunda kwa wingi na itafika hatua hiii inchi itakuwa kimbilio la wengi nawengi watatamani wasitoke kwenye hiiii inchi mungu ameamua kukuinua kwakishindo kikubwa mbalikwa tuko pamoja
@thelonewolf44293 ай бұрын
Mungu akusimamie Mchungaji MM
@EsterSwilah-jv6ns3 ай бұрын
Bado tunakuamini Sana mungu kwa Hali yoyote twakuamini Sana twaungoja wokovu wako 😭😭🙏
@ugalidona-cs2yn3 ай бұрын
Naaam Wokovu ni kwa Bwana MUNGU Wa Majeshi. Amina.
@cathelinematondo39923 ай бұрын
MUNGU umebaki ni wewe tu tunakuhitaji MUNGU msemaji wa mwisho ni wewe bwana 😭😭😭😭😭😭😭
@PastorsTz3 ай бұрын
KIVYOVYOTE VILE DAMU INAVUJA KWA KILA ANAYETUTESA NA KUTUTAAABISHA NA WAKATI SIMWINGI KILA MMMOJA ATAVUNA ANACHOKIPANDA
@ugalidona-cs2yn3 ай бұрын
Hakika.
@YeremiaGidion3 ай бұрын
Kama Mungu aishivyo mbingu zikiwa zinashuhudia razima Mungu aingilie kati katika jina la yesu kristo wa nazareti
@hellenngwilla5503 ай бұрын
Tunaomba haki kwa Mchungaji huyu itendeke sio uonevu Mungu akusaidie sana sana
@cathelinematondo39923 ай бұрын
MUNGU tunakuamini wewe tu 😭😭😭😭😭
@RamadhaniRamadhani-yd4hq3 ай бұрын
Mpaka Leo nashindwa kuelewa mtumishi huyu kwanini dunia inamtesa?
@davidikakombole88333 ай бұрын
Eeeeee Mungu utupendae bado tunakungoja Sasa ,Fanya kitu Yesuuuuuuuuu
@JUSTNEMITOMINGI3 ай бұрын
Mm si wa kanisa lako ila napenda unavyo kemea huyo si mtu wa mungu shusho
@josephfrancis99433 ай бұрын
Mchingaji na ww umeacha kuhubiri neno la mungu unahubiri watu na kuwazalilisha theni unatafuta huruma ya wananch huku ukitarajia ushind wa mungu kweli