Subhanallah maskini baba wa watu mungu akusaidie nyie watoto mtizameni baba yenu imani hamna wallahi
@yukundapeter82002 жыл бұрын
Hongera sana baba! Majitu hayataki kutafuta vyao
@heyumi23402 жыл бұрын
safi sana sana
@shemelaruhinda61132 жыл бұрын
Safi mzee
@ziadamashallah4472 жыл бұрын
Safi maamuzi mazuli pole sana
@GMD8202 жыл бұрын
Wangoja wazazi wafe
@ishipalemypasco25672 жыл бұрын
Umeona eeh.unalikuta limtu zima mindevu kama osama ila kutoka hom halitaki
@leilahhassanomary71892 жыл бұрын
Jaman kuzaa sio kupata ! so sad 😢
@hamsikrasheedi17962 жыл бұрын
Alhamdulillah 😢daah pole sana mzee hakika kuzaa siyo kupata kama leo hii mtu unataka kumuuwa baba yako kwaajili ya mali alizo zitafuta yeye mwenyewe kweli dunia imekwisha 😢😢
@happylynguya34642 жыл бұрын
Hakika kuzaa sio kupata, kwa hili lililotokea.
@veronicajoseph26752 жыл бұрын
Eti jamn imagine ivi mtu ajenge nyumba yake kwa pesa zake wewe mugombanie kwer ivi watu wakoje
@NgaizaKimbeNgaizakimbe6 ай бұрын
Laana Hii...
@olivajoseph16972 жыл бұрын
Congratulations baba 🤣🤣🤣🤣🤣🤣 nanyie watoto mmekuwa mijitu mizima mtoke hapo ndani
@kuschprince32162 жыл бұрын
Mzee alichukua hatua/uamzi mkali mno! Hata hivyo,nyumba ni yake. Hiyo iwe fundisho kwa watoto makatili/fedhuli wanao subiri kurithi kwa nguvu mali za wazazi wao.Nahofia watamuandama,walaaniwe wote na wasipate afueni mpaka ahera,washenzi hawa!!
@زيتونتنزانيا2 жыл бұрын
Asilimia 90 ndivyowalivyo. Halafu itakuwa watoto wakiume ndio wakorofi sana
@maisarah68192 жыл бұрын
@@زيتونتنزانيا mtihan kwel
@veronicajoseph26752 жыл бұрын
Kabisaaaa yaniii
@aishambise65292 жыл бұрын
Kwel baba pole pia mm yamenikuta hayo fukuza kabisa wakajipage na vyao umewakuza bas inatosha watajuta Sana 🇰🇪🇰🇪 mzazi ni nguzo kuu lakini hawajui nyoo
@maisarah68192 жыл бұрын
@@aishambise6529 hawajui kwamba tupo tuliokosa Cha kurisi isipokua majina ya ukoo.
@mariamgodfrey532 жыл бұрын
Safi sana babu amemwaga mboga umemwaga ugali tafuteni vyenu acheni kukaa kusubiri vya urithi tafuta mtu uza viwanja vyako kapambane mbele watakuua hao watoto.
@kekiplus1andonly2 жыл бұрын
Safi sana ,baba umeweza..ila ungeziuza zote halafu ukahama mkoa/nchi ukaenda zako mbali kula bata na bebez🤣🤣🤣🤣
@misswilson71352 жыл бұрын
Jaman😂😂😂😂
@franklukazula2 жыл бұрын
From MALAWI 🇲🇼 home Burundi 🇧🇮 yani mwenyew nawez fany hivy
@maisarah68192 жыл бұрын
Mtoto akiwa na miaka 5,7 n mwanao,akifikisha miaka 20 sio mwanao tena nimwenzio...nmejifunza kitu babaangu apa🙆
@joycenicodemus.22322 жыл бұрын
Hata mm nimejifunza Jambo kubwa Sana kwahuyu mzee mtoto akifikisha miaka 20 anakua mwenzio😭😭so,sad
@aminamavura68342 жыл бұрын
Nimependa hiyo big ap kwa babuu
@valeriaally65842 жыл бұрын
Mai sarah 🤣🤣🤣🤣🤣🤣 kwa keel
@NgaizaKimbeNgaizakimbe6 ай бұрын
Sawa Mzee Nimekubali
@malugukushaha67642 жыл бұрын
Ama kweli tuko siku za kiama hizi😪. Pole sana mzee wetu.
@macharosandra94672 жыл бұрын
Vijana tufanyeni kazi, tutafute vya kwetu
@itNeza2 жыл бұрын
Mzee Heshima Yako Kabisa. ❤️
@michaelsamson96632 жыл бұрын
Saiz uko kwa mtoto wakike iyo mitoto yakiume inakulisha kinyes kwa mtu mwenye akili utajifunza kitu watot wakike wana loh nzul
@j.c.maxima8162 жыл бұрын
Ni kweli...
@zuwenaalamin89852 жыл бұрын
Baba kwanza pole.ila kwenye kula mavi umetupiga. Na kitu kizito kichwani🤣🤣🤣🤣🤣.na ghafla amekuwa mwandishi🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 nimecheka lkn pole baba angu
@succesjabari46182 жыл бұрын
Da nimekupenda bure wewe baba!......much respect 🙏 👏
@sethstiven33932 жыл бұрын
Makubwa hii Dunia imeisha,,, upendo wa wengi utapoa ndo tushafka ivo
@peterbaton17292 жыл бұрын
Safi Sana Mzee Jitu lishakuwa Baba Zima bhado linategemea Wazee Safi Sana Mzee
@abdoulyousoufsaloom86012 жыл бұрын
Vijana wengi wa Arusha roho Zao zipo kwenye urithi kutafuta hawajui wamekalia bange n'a kiswahili kisicho n'a kichwa Wala miguu ndo maana kumkuta kijana WA Arusha mikoa mingine anatafuta maisha labda apelekwe na mtu sio kujitoa ye mwenyewe ni waoga sana wa maisha Ila wababe wa mambo ya kijinga
@camillahamis10692 жыл бұрын
Wengi saaaaana nimeona pia
@laynerngole21192 жыл бұрын
😭😭😥😥😥jamani watoto khaaa,unamfanyiaje mzazi mmmh 🙌,bora umebomoa tu,watafute zao
@Mpakauseme2 жыл бұрын
Sasa wewe unajenga kwasababu gani ? na je siku ukifa hiyo nyumba uliyoijenga ataishi nani ? . Sasa kwanini ubomoe nyumba uliyoijenga kwa nguvu zako kwasababu ya mtu mmoja tu
@heyumi23402 жыл бұрын
@@Mpakauseme hujaelewa alichoongea mzee
@rukaiyamohamed17642 жыл бұрын
@@Mpakauseme sasa si wangoje mpaka pale khatma yake itakapofika ndio wachukue nyumba kwann watake kumuua mtu kwa mali zake mwenyewe 🥺🥺🥺
@maisarah68192 жыл бұрын
@@Mpakauseme Bora kubomoa utata uishe.make kati ya watoto 6 ametokea 1 ndio kiherehere ataka kumuua babake Kwaajili ya nyumba aliyoijenga mwenywe na nguvu zake,jaribu uvae kiatu chake kama kitakutosha au kitakuminya mguu.
@welcometoeat1652 жыл бұрын
Afu lile Toto lilikua lnahojiwa lkadai halijui knachoendelea kumbe wao ndo wauwaji wapuuz kabisa! Safi mzee kwa uamuz wakatafute vyao
@isabelanjesa81172 жыл бұрын
Anaegombania Mali za wazazi ana akili finyu sana
@RayaRashid-dc2hn5 ай бұрын
Hongera baba
@hadijahassan64672 жыл бұрын
Mzee anaongea Kwa uchungu,jmn huyo kaka badala ya kutafuta vya kwake unakaa unawaza vya baba
@geofray01322 жыл бұрын
Nawapenda sana mabinti zng 4, ....kwel Mungu anakupa unachostahili,
@maisarah68192 жыл бұрын
Umeonaeee,watto wa kike ndio mpango mzima🤣🤣
@zabiyafahmikhamis48732 жыл бұрын
Mmh Mungu akikosesha watoto basi shukuru sana mana hujui ana kunusuru na nini ,, haya sasa ona balaa hili
@marthapeter82462 жыл бұрын
Kabisa
@zainayolamu64862 жыл бұрын
Safi sana mzeeeee nimekupenda bule
@vibetz99912 жыл бұрын
Safi mzee
@mohamedmuhajiribakari2 жыл бұрын
Fukuza kabisa shenzi
@seinabelimi22962 жыл бұрын
safi mzee baba vzr sana wakatafute yao pumbavuuuu kbsa tna shenzi kbsaa sio watoto hao bali barazulii hao kenge wahid majan ya chai taka taka
@martinlema41924 ай бұрын
Masawe namwomba Mungu akubariki!
@selemanshechonge54562 жыл бұрын
Safi babu vijana tuchape kazi
@balkissMuhammad-sk1ic2 ай бұрын
Subhanallah 😢
@trifoniambilo24002 жыл бұрын
Pole sana Babu ,,kuzaa sio kupata uwiiii jaman
@winnesakara69572 жыл бұрын
Duuuuu mungu wangu
@zainabzain34342 жыл бұрын
Uwiii nalia mie wallah Sina baba tangia miaka 9 hii leo watu wana baba wanawakataa Dunia kweli sio mbaya binaadam ndio wabaya
@oliviaseth46522 жыл бұрын
Jamani jamani jamani, pole mzee, kuza sikupata, watoto hawa jamani
@merinajuma69486 күн бұрын
mmmmh dunia hii jmn kwel urithi mwenyew Yuko hai taften nanyie vyenu
@magrethpoulpoul85852 жыл бұрын
Mzazi Huawi mtoto ila mtoto anauwa mzazi. Kuzaa so kupata 😥kizazi kibaya sana hiki
@dynamicpreschoolschool4342 жыл бұрын
Mzee uza Kila kitu..kama uliponunua mwenyewe...watoto wanunue zao
@petercostakisoka2 жыл бұрын
daah kumbe yanatamaa mbaya sana vunja kabisa baba wakawe makapurwa
@bizzleadam98952 жыл бұрын
2tafte PESA ......2ACHE KUWAOMBEA VIFO Wazaz Wetuu.....
@yasalaam5902 жыл бұрын
Subhanallah
@mahmoudhamisi6732 жыл бұрын
Sukupingi mzee iddi big up Sana atafute kama ulitafuta wewe
@dayanafelly14882 жыл бұрын
🤣🤣🤣 Heshima yako mzee wangu
@heyumi23402 жыл бұрын
mzee ana akili sana pongezi kwake
@hussenhemed10502 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣
@زيتونتنزانيا2 жыл бұрын
Wazeee kama hawa ndio tunawahitaji wawanyoooshw watoto kqmq hao
@shadaboy76762 жыл бұрын
Inauma
@neemaruben54272 жыл бұрын
😭😭😭😭jamaniiiiiiiii atariiiii mbona hiviiiiiii nyie watoto kwa nn
@nicholausmanyanda97042 жыл бұрын
Vijana wenzangu fanyeni kazi
@leilahasani31182 жыл бұрын
Kweli Mzee kaksi tunaboa nyumba then tawatafuta mteje
@NADUAonlineTV2 жыл бұрын
Hapo mtoto wa kike kasaidia mzee kuonekana
@ramadhanimkude57442 жыл бұрын
Allah alishatuonya, hakika Mali zenu wake zenu na watoto wenu ni mtihani kwenu.
@madpusher20362 жыл бұрын
Kula mavi tena 😂😂😂😂 mzee huvuti bangi kwel na upo mkoan arusha..ila utan tu heshima yako mzee wang na pole sana..kizaz kibaya hiki..wakajenge za kwao mbwa hao
@nsimbepaul37192 жыл бұрын
Miladauyo unagoweka hicho kibox chekundu MTU Unadhani umeiangalia kumbe bado
@mussakimaro55882 жыл бұрын
Huyu mzee hanywi bia kweli nikamchomee na nyama kwa mworombo watoto wa siku hizi ukimuona mvivu tu analala hovyo ujue anapanga plani ya kukuua ni kuwafukuza tu mzee heshima yako
@marychris82242 жыл бұрын
Yani mzee anastahili pongezi💪
@yasalaam5902 жыл бұрын
Subhanallah jamani kuzaa kumbe baadhi sio kupata?lahawla walaquwwata illa billah
@zaitunisinamenye17992 жыл бұрын
Umefanya vizuri mzee
@godfreysamson30692 жыл бұрын
Safi San mzee 👏🤝 utadumu fukuza jitu linachonga ndevu Kwa baba yakoo pumbavuu zao kafien uko hata mm nitafata nyayozako Mzee wanguu
@marthapeter82462 жыл бұрын
Kabisa hii ndiyo dawa yao
@abdulrahimomar85542 жыл бұрын
subhana Allah
@christinamolell9432 жыл бұрын
Mungu nijalie watoto wa kike wengi
@azizaabeid20552 жыл бұрын
Daa inahuzunisha jamani kweli unamfungia ndani Mzee wako afe kwa ajili ya Mali nyie watoto kwa kweli. Hamna huruma kabisa Mzee ni sawa kabisa ulivyobomoa uza nyengine kula nyengine pelekeka sadaka misikitini hawa watoto wanamna hii hata ukifa sidhani km hata duwaa watakusomea wakatili mno mama Samia msaidie huyu baba ulinzi hawa watoto wasije tuma watu wakamuua bure
@GideonLenard23 күн бұрын
Hao watoto wasenge kumamayo zenu tafuteni vyenu acheni kutegemea uridhi wasenge nyie vunja kabisa mzee
@kulwarahmu50312 жыл бұрын
Safi Sana babu nimecheka 😁Bora ulivyoivunja iyo nyumba wakome
@emariusrush32852 жыл бұрын
kumbe hii story inachekesha ???
@floramarinyo35172 жыл бұрын
Uza baba Julie pesa wakatafte uko madam mpenzi wako alishafariki hahaha
@eliannko6 ай бұрын
Mzee usikubali kufa watakufa wao wakuache
@BIGBOSS-hl3bu2 жыл бұрын
Mzee pole ,kikubwa ni kuwa Mali ulivyo ipata ndivyo itakavyo ondoka na ndivyo itakavyo kutesa lakini pia inaonyesha Mzee anaroho mbaya
@janekichonge49572 жыл бұрын
Du we Abdullah unamtesa hivyo Baba yako na nyumba kajenga yeye subiri yatakugeukia kama umezaa
@joycekalago5327 ай бұрын
Nimekaa ndani wiki nimekaa wiki nzima nakula maviiiiiiii😂😂😂inachekesha na kuhuzunisha kwa pamojaa,usiposhiba huwezi kupata choo yeye hajala wiki alipata wapi hajakubwa?😂
@sabihaibrahim1432 жыл бұрын
Hahahahahaaaaa nimechekaa kafanya vizuri
@omanoman20447 ай бұрын
Yarabii watt tunaendea wap mzazi wako duuh pepo kuion ni ngum alivo najin nzur abdallah mjinga san
@joycemkeka37695 ай бұрын
Ombeni msamaha jamani kabla mzee anafika mwisho litawakuta jambo
@ibraahmfw11472 жыл бұрын
A lesson , mtegemea cha Ndugu
@bongorecaps35582 жыл бұрын
Mi nisingevunja nyumba ningewaweka ndani kwa kujaribu kuniua nitafute mteja taratiiibu kabisa nikiuza nyumba yangu naingiza hela zote bank nakula maisha🤣🤣🤣 na nnaandika nikifa hizo pesa zijenge hata msikiti na kidogo apate mwanangu anaenizingatia hao wengine wakitoka hawana chao
@ilovejesus6662 жыл бұрын
Mzee anavituko 🤣🤣🤣😂😂 ety anavuta sauti kama anasoma habari 😂😂😂😂😂😂
@kherymaganga41072 жыл бұрын
Watoto wanapambania baba yao asidhulumiwe na wala si kwamba wanataka kurithi nyumba hv mzee km huyo afungiwe ndan wiki nzima?ni jambo ambalo ni la uongo
@shamumaabdala63412 жыл бұрын
Ndio maana tunasemaga mtoto wa kike dili
@jebellwallace35092 жыл бұрын
Mzee uza ule chako bana
@magiehermess99492 жыл бұрын
Ujinga tuu,angeuza apate pesa ndio akaishi kwingine. Kuvunja ni hasara
@mwanzashinyanga80602 жыл бұрын
uza kabisa mzee watoto wanashindwa kujitaftia vyao wanasubiri wazazi wafe
@ashooraashoora11802 жыл бұрын
Subhaanallah liadhim
@marrysamweli8332 жыл бұрын
Babu kawakomesha hiyo ndio daqa yao mijitu yenye tamaa,tuma greda tu
@isunga19643 ай бұрын
Hapo kwenye maviiiiiiiii hongera sana babu uamuzi mzuri na uza kiwanja kabisa kula pesa zako
@elispiuselias13392 жыл бұрын
huyu mzee katoa funzo kubwa Sana! nadhani kijana wake hana hamu 😂
@dalali_professionalwa_dodo83302 жыл бұрын
Jamani abdalla ni kobisi wa pili..mzee iddi cheza na hati tu...
@qwqw16652 жыл бұрын
Tena uza ulehelazako baba uko sahihi sana kwasababu ulitafuta kwajasho lako
@niyomugabojohn83292 жыл бұрын
Mzee umefanya vizuli saana
@cheiknamouna20582 жыл бұрын
Abdalah tafuta pesa usitafute laana kwa mzazi utakuja ujutie haya maisha broo haya mie napita nshasema omba msamaha angali hai🙏🏽 🙋♀️🚶♀️
@NgaizaKimbeNgaizakimbe6 ай бұрын
KBS🚶🚶
@omaryonga17762 жыл бұрын
Wengi tunatamani baba zetu waendelee kuishi tupate busara zao na pia baba zetu waliotangulia mbele ya haki warudi .... lakini wengine ndio wanataka kuwauwa jamani....
@ubuntubantu24042 жыл бұрын
Eee Mungu tusamehe waja wako
@aminatijuba82522 жыл бұрын
Wtto wasahii n wabaya kuna wtto wa ustadh flan watamuua babayao hawaskii wanavuta bangi pombe mpka hyo ustadh kla mara sukar presha ..wtto wasahii hawana adabu unawalea vzr lkn wanaiga tabia za mitandao
@samsonsamson98112 жыл бұрын
agekuwa mtoto wangu nigeagiza watu wamumalize kuliko kumbomoa heri nitoe uhai wa mtoto mmoja ambae ni tishio kwenye maisha angu nikabakiwa na wale wenye mapenzi ya dhati na Mimi baba ako, kma mtoto anaamua kufanya hvo kunafaida ip sasa ya kuzaa
@celinyin14942 жыл бұрын
Alafu ufungwe?ya nini?
@GibsonNtamamilo5 ай бұрын
Wanatakiwa kuomba msamaha kabla hajaondoka hapa Duniani na maumivu hayo moyoni mwake.
@MigomgoMigali-ky1jl3 ай бұрын
Huyu abdalah hana akili badala amlee baba yake adi pale mungu atakapo mpenda zaidi ndo arithi jamani hii dunia ina watu wajinga sana😢
@abelpaul52352 жыл бұрын
Nakula maviiiii
@breymbasa34512 жыл бұрын
Mzee awekewe ulinzi watamdhuru washenzi hao
@hamzakimaro37642 жыл бұрын
DUNIA IMEISHA WATOTO WAMEKUWA WANYAMA WAOVU KULIKO HATA SIMBA!! TUNAOMBA ALLAH ATUNUSURU NA VITIMBI VYAO!! POLE SANA MZEE WETU,!INATIA HUZUNI!!
@malopemaliyamungu52432 жыл бұрын
Watoto Ni wema.. Ila ikitokea wamekuwa wanyama kimbia.. kajifiche. Na watoto wanaofanya hayo inawezekana Ni wale waliopendwa saana na mzazi.
@petermboje58392 жыл бұрын
Mzee yupo sawa mafala hao watafute zao
@onescaniaonescania82272 жыл бұрын
Massawe kamuokoaa mzee wa kirangiii😂😂😂
@husseinnkuna42602 жыл бұрын
Daah huyo Abdallah ni mvivu sana si atafute yake jamani
@chunaamahamud10892 жыл бұрын
Why kila siku Arusha me nishaanza kuwaogopa sasa!
@aishaabrahaman99572 жыл бұрын
Uzaa ukatunie na mtoto wako na mume wake hadi rahaaa hawabaki na kitu