BABA AVUNJA NYUMBA ZAKE 2 ILI WATOTO WAKE WASIISHI, ADAI WALITAKA KUMUUA "WALINIFUNGIA NDANI"

  Рет қаралды 146,284

Millard Ayo

Millard Ayo

Күн бұрын

Пікірлер: 564
@fatmasalim8293
@fatmasalim8293 2 жыл бұрын
Subhanallah maskini baba wa watu mungu akusaidie nyie watoto mtizameni baba yenu imani hamna wallahi
@yukundapeter8200
@yukundapeter8200 2 жыл бұрын
Hongera sana baba! Majitu hayataki kutafuta vyao
@heyumi2340
@heyumi2340 2 жыл бұрын
safi sana sana
@shemelaruhinda6113
@shemelaruhinda6113 2 жыл бұрын
Safi mzee
@ziadamashallah447
@ziadamashallah447 2 жыл бұрын
Safi maamuzi mazuli pole sana
@GMD820
@GMD820 2 жыл бұрын
Wangoja wazazi wafe
@ishipalemypasco2567
@ishipalemypasco2567 2 жыл бұрын
Umeona eeh.unalikuta limtu zima mindevu kama osama ila kutoka hom halitaki
@leilahhassanomary7189
@leilahhassanomary7189 2 жыл бұрын
Jaman kuzaa sio kupata ! so sad 😢
@hamsikrasheedi1796
@hamsikrasheedi1796 2 жыл бұрын
Alhamdulillah 😢daah pole sana mzee hakika kuzaa siyo kupata kama leo hii mtu unataka kumuuwa baba yako kwaajili ya mali alizo zitafuta yeye mwenyewe kweli dunia imekwisha 😢😢
@happylynguya3464
@happylynguya3464 2 жыл бұрын
Hakika kuzaa sio kupata, kwa hili lililotokea.
@veronicajoseph2675
@veronicajoseph2675 2 жыл бұрын
Eti jamn imagine ivi mtu ajenge nyumba yake kwa pesa zake wewe mugombanie kwer ivi watu wakoje
@NgaizaKimbeNgaizakimbe
@NgaizaKimbeNgaizakimbe 6 ай бұрын
Laana Hii...
@olivajoseph1697
@olivajoseph1697 2 жыл бұрын
Congratulations baba 🤣🤣🤣🤣🤣🤣 nanyie watoto mmekuwa mijitu mizima mtoke hapo ndani
@kuschprince3216
@kuschprince3216 2 жыл бұрын
Mzee alichukua hatua/uamzi mkali mno! Hata hivyo,nyumba ni yake. Hiyo iwe fundisho kwa watoto makatili/fedhuli wanao subiri kurithi kwa nguvu mali za wazazi wao.Nahofia watamuandama,walaaniwe wote na wasipate afueni mpaka ahera,washenzi hawa!!
@زيتونتنزانيا
@زيتونتنزانيا 2 жыл бұрын
Asilimia 90 ndivyowalivyo. Halafu itakuwa watoto wakiume ndio wakorofi sana
@maisarah6819
@maisarah6819 2 жыл бұрын
@@زيتونتنزانيا mtihan kwel
@veronicajoseph2675
@veronicajoseph2675 2 жыл бұрын
Kabisaaaa yaniii
@aishambise6529
@aishambise6529 2 жыл бұрын
Kwel baba pole pia mm yamenikuta hayo fukuza kabisa wakajipage na vyao umewakuza bas inatosha watajuta Sana 🇰🇪🇰🇪 mzazi ni nguzo kuu lakini hawajui nyoo
@maisarah6819
@maisarah6819 2 жыл бұрын
@@aishambise6529 hawajui kwamba tupo tuliokosa Cha kurisi isipokua majina ya ukoo.
@mariamgodfrey53
@mariamgodfrey53 2 жыл бұрын
Safi sana babu amemwaga mboga umemwaga ugali tafuteni vyenu acheni kukaa kusubiri vya urithi tafuta mtu uza viwanja vyako kapambane mbele watakuua hao watoto.
@kekiplus1andonly
@kekiplus1andonly 2 жыл бұрын
Safi sana ,baba umeweza..ila ungeziuza zote halafu ukahama mkoa/nchi ukaenda zako mbali kula bata na bebez🤣🤣🤣🤣
@misswilson7135
@misswilson7135 2 жыл бұрын
Jaman😂😂😂😂
@franklukazula
@franklukazula 2 жыл бұрын
From MALAWI 🇲🇼 home Burundi 🇧🇮 yani mwenyew nawez fany hivy
@maisarah6819
@maisarah6819 2 жыл бұрын
Mtoto akiwa na miaka 5,7 n mwanao,akifikisha miaka 20 sio mwanao tena nimwenzio...nmejifunza kitu babaangu apa🙆
@joycenicodemus.2232
@joycenicodemus.2232 2 жыл бұрын
Hata mm nimejifunza Jambo kubwa Sana kwahuyu mzee mtoto akifikisha miaka 20 anakua mwenzio😭😭so,sad
@aminamavura6834
@aminamavura6834 2 жыл бұрын
Nimependa hiyo big ap kwa babuu
@valeriaally6584
@valeriaally6584 2 жыл бұрын
Mai sarah 🤣🤣🤣🤣🤣🤣 kwa keel
@NgaizaKimbeNgaizakimbe
@NgaizaKimbeNgaizakimbe 6 ай бұрын
Sawa Mzee Nimekubali
@malugukushaha6764
@malugukushaha6764 2 жыл бұрын
Ama kweli tuko siku za kiama hizi😪. Pole sana mzee wetu.
@macharosandra9467
@macharosandra9467 2 жыл бұрын
Vijana tufanyeni kazi, tutafute vya kwetu
@itNeza
@itNeza 2 жыл бұрын
Mzee Heshima Yako Kabisa. ❤️
@michaelsamson9663
@michaelsamson9663 2 жыл бұрын
Saiz uko kwa mtoto wakike iyo mitoto yakiume inakulisha kinyes kwa mtu mwenye akili utajifunza kitu watot wakike wana loh nzul
@j.c.maxima816
@j.c.maxima816 2 жыл бұрын
Ni kweli...
@zuwenaalamin8985
@zuwenaalamin8985 2 жыл бұрын
Baba kwanza pole.ila kwenye kula mavi umetupiga. Na kitu kizito kichwani🤣🤣🤣🤣🤣.na ghafla amekuwa mwandishi🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 nimecheka lkn pole baba angu
@succesjabari4618
@succesjabari4618 2 жыл бұрын
Da nimekupenda bure wewe baba!......much respect 🙏 👏
@sethstiven3393
@sethstiven3393 2 жыл бұрын
Makubwa hii Dunia imeisha,,, upendo wa wengi utapoa ndo tushafka ivo
@peterbaton1729
@peterbaton1729 2 жыл бұрын
Safi Sana Mzee Jitu lishakuwa Baba Zima bhado linategemea Wazee Safi Sana Mzee
@abdoulyousoufsaloom8601
@abdoulyousoufsaloom8601 2 жыл бұрын
Vijana wengi wa Arusha roho Zao zipo kwenye urithi kutafuta hawajui wamekalia bange n'a kiswahili kisicho n'a kichwa Wala miguu ndo maana kumkuta kijana WA Arusha mikoa mingine anatafuta maisha labda apelekwe na mtu sio kujitoa ye mwenyewe ni waoga sana wa maisha Ila wababe wa mambo ya kijinga
@camillahamis1069
@camillahamis1069 2 жыл бұрын
Wengi saaaaana nimeona pia
@laynerngole2119
@laynerngole2119 2 жыл бұрын
😭😭😥😥😥jamani watoto khaaa,unamfanyiaje mzazi mmmh 🙌,bora umebomoa tu,watafute zao
@Mpakauseme
@Mpakauseme 2 жыл бұрын
Sasa wewe unajenga kwasababu gani ? na je siku ukifa hiyo nyumba uliyoijenga ataishi nani ? . Sasa kwanini ubomoe nyumba uliyoijenga kwa nguvu zako kwasababu ya mtu mmoja tu
@heyumi2340
@heyumi2340 2 жыл бұрын
@@Mpakauseme hujaelewa alichoongea mzee
@rukaiyamohamed1764
@rukaiyamohamed1764 2 жыл бұрын
@@Mpakauseme sasa si wangoje mpaka pale khatma yake itakapofika ndio wachukue nyumba kwann watake kumuua mtu kwa mali zake mwenyewe 🥺🥺🥺
@maisarah6819
@maisarah6819 2 жыл бұрын
@@Mpakauseme Bora kubomoa utata uishe.make kati ya watoto 6 ametokea 1 ndio kiherehere ataka kumuua babake Kwaajili ya nyumba aliyoijenga mwenywe na nguvu zake,jaribu uvae kiatu chake kama kitakutosha au kitakuminya mguu.
@welcometoeat165
@welcometoeat165 2 жыл бұрын
Afu lile Toto lilikua lnahojiwa lkadai halijui knachoendelea kumbe wao ndo wauwaji wapuuz kabisa! Safi mzee kwa uamuz wakatafute vyao
@isabelanjesa8117
@isabelanjesa8117 2 жыл бұрын
Anaegombania Mali za wazazi ana akili finyu sana
@RayaRashid-dc2hn
@RayaRashid-dc2hn 5 ай бұрын
Hongera baba
@hadijahassan6467
@hadijahassan6467 2 жыл бұрын
Mzee anaongea Kwa uchungu,jmn huyo kaka badala ya kutafuta vya kwake unakaa unawaza vya baba
@geofray0132
@geofray0132 2 жыл бұрын
Nawapenda sana mabinti zng 4, ....kwel Mungu anakupa unachostahili,
@maisarah6819
@maisarah6819 2 жыл бұрын
Umeonaeee,watto wa kike ndio mpango mzima🤣🤣
@zabiyafahmikhamis4873
@zabiyafahmikhamis4873 2 жыл бұрын
Mmh Mungu akikosesha watoto basi shukuru sana mana hujui ana kunusuru na nini ,, haya sasa ona balaa hili
@marthapeter8246
@marthapeter8246 2 жыл бұрын
Kabisa
@zainayolamu6486
@zainayolamu6486 2 жыл бұрын
Safi sana mzeeeee nimekupenda bule
@vibetz9991
@vibetz9991 2 жыл бұрын
Safi mzee
@mohamedmuhajiribakari
@mohamedmuhajiribakari 2 жыл бұрын
Fukuza kabisa shenzi
@seinabelimi2296
@seinabelimi2296 2 жыл бұрын
safi mzee baba vzr sana wakatafute yao pumbavuuuu kbsa tna shenzi kbsaa sio watoto hao bali barazulii hao kenge wahid majan ya chai taka taka
@martinlema4192
@martinlema4192 4 ай бұрын
Masawe namwomba Mungu akubariki!
@selemanshechonge5456
@selemanshechonge5456 2 жыл бұрын
Safi babu vijana tuchape kazi
@balkissMuhammad-sk1ic
@balkissMuhammad-sk1ic 2 ай бұрын
Subhanallah 😢
@trifoniambilo2400
@trifoniambilo2400 2 жыл бұрын
Pole sana Babu ,,kuzaa sio kupata uwiiii jaman
@winnesakara6957
@winnesakara6957 2 жыл бұрын
Duuuuu mungu wangu
@zainabzain3434
@zainabzain3434 2 жыл бұрын
Uwiii nalia mie wallah Sina baba tangia miaka 9 hii leo watu wana baba wanawakataa Dunia kweli sio mbaya binaadam ndio wabaya
@oliviaseth4652
@oliviaseth4652 2 жыл бұрын
Jamani jamani jamani, pole mzee, kuza sikupata, watoto hawa jamani
@merinajuma6948
@merinajuma6948 6 күн бұрын
mmmmh dunia hii jmn kwel urithi mwenyew Yuko hai taften nanyie vyenu
@magrethpoulpoul8585
@magrethpoulpoul8585 2 жыл бұрын
Mzazi Huawi mtoto ila mtoto anauwa mzazi. Kuzaa so kupata 😥kizazi kibaya sana hiki
@dynamicpreschoolschool434
@dynamicpreschoolschool434 2 жыл бұрын
Mzee uza Kila kitu..kama uliponunua mwenyewe...watoto wanunue zao
@petercostakisoka
@petercostakisoka 2 жыл бұрын
daah kumbe yanatamaa mbaya sana vunja kabisa baba wakawe makapurwa
@bizzleadam9895
@bizzleadam9895 2 жыл бұрын
2tafte PESA ......2ACHE KUWAOMBEA VIFO Wazaz Wetuu.....
@yasalaam590
@yasalaam590 2 жыл бұрын
Subhanallah
@mahmoudhamisi673
@mahmoudhamisi673 2 жыл бұрын
Sukupingi mzee iddi big up Sana atafute kama ulitafuta wewe
@dayanafelly1488
@dayanafelly1488 2 жыл бұрын
🤣🤣🤣 Heshima yako mzee wangu
@heyumi2340
@heyumi2340 2 жыл бұрын
mzee ana akili sana pongezi kwake
@hussenhemed1050
@hussenhemed1050 2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣
@زيتونتنزانيا
@زيتونتنزانيا 2 жыл бұрын
Wazeee kama hawa ndio tunawahitaji wawanyoooshw watoto kqmq hao
@shadaboy7676
@shadaboy7676 2 жыл бұрын
Inauma
@neemaruben5427
@neemaruben5427 2 жыл бұрын
😭😭😭😭jamaniiiiiiiii atariiiii mbona hiviiiiiii nyie watoto kwa nn
@nicholausmanyanda9704
@nicholausmanyanda9704 2 жыл бұрын
Vijana wenzangu fanyeni kazi
@leilahasani3118
@leilahasani3118 2 жыл бұрын
Kweli Mzee kaksi tunaboa nyumba then tawatafuta mteje
@NADUAonlineTV
@NADUAonlineTV 2 жыл бұрын
Hapo mtoto wa kike kasaidia mzee kuonekana
@ramadhanimkude5744
@ramadhanimkude5744 2 жыл бұрын
Allah alishatuonya, hakika Mali zenu wake zenu na watoto wenu ni mtihani kwenu.
@madpusher2036
@madpusher2036 2 жыл бұрын
Kula mavi tena 😂😂😂😂 mzee huvuti bangi kwel na upo mkoan arusha..ila utan tu heshima yako mzee wang na pole sana..kizaz kibaya hiki..wakajenge za kwao mbwa hao
@nsimbepaul3719
@nsimbepaul3719 2 жыл бұрын
Miladauyo unagoweka hicho kibox chekundu MTU Unadhani umeiangalia kumbe bado
@mussakimaro5588
@mussakimaro5588 2 жыл бұрын
Huyu mzee hanywi bia kweli nikamchomee na nyama kwa mworombo watoto wa siku hizi ukimuona mvivu tu analala hovyo ujue anapanga plani ya kukuua ni kuwafukuza tu mzee heshima yako
@marychris8224
@marychris8224 2 жыл бұрын
Yani mzee anastahili pongezi💪
@yasalaam590
@yasalaam590 2 жыл бұрын
Subhanallah jamani kuzaa kumbe baadhi sio kupata?lahawla walaquwwata illa billah
@zaitunisinamenye1799
@zaitunisinamenye1799 2 жыл бұрын
Umefanya vizuri mzee
@godfreysamson3069
@godfreysamson3069 2 жыл бұрын
Safi San mzee 👏🤝 utadumu fukuza jitu linachonga ndevu Kwa baba yakoo pumbavuu zao kafien uko hata mm nitafata nyayozako Mzee wanguu
@marthapeter8246
@marthapeter8246 2 жыл бұрын
Kabisa hii ndiyo dawa yao
@abdulrahimomar8554
@abdulrahimomar8554 2 жыл бұрын
subhana Allah
@christinamolell943
@christinamolell943 2 жыл бұрын
Mungu nijalie watoto wa kike wengi
@azizaabeid2055
@azizaabeid2055 2 жыл бұрын
Daa inahuzunisha jamani kweli unamfungia ndani Mzee wako afe kwa ajili ya Mali nyie watoto kwa kweli. Hamna huruma kabisa Mzee ni sawa kabisa ulivyobomoa uza nyengine kula nyengine pelekeka sadaka misikitini hawa watoto wanamna hii hata ukifa sidhani km hata duwaa watakusomea wakatili mno mama Samia msaidie huyu baba ulinzi hawa watoto wasije tuma watu wakamuua bure
@GideonLenard
@GideonLenard 23 күн бұрын
Hao watoto wasenge kumamayo zenu tafuteni vyenu acheni kutegemea uridhi wasenge nyie vunja kabisa mzee
@kulwarahmu5031
@kulwarahmu5031 2 жыл бұрын
Safi Sana babu nimecheka 😁Bora ulivyoivunja iyo nyumba wakome
@emariusrush3285
@emariusrush3285 2 жыл бұрын
kumbe hii story inachekesha ???
@floramarinyo3517
@floramarinyo3517 2 жыл бұрын
Uza baba Julie pesa wakatafte uko madam mpenzi wako alishafariki hahaha
@eliannko
@eliannko 6 ай бұрын
Mzee usikubali kufa watakufa wao wakuache
@BIGBOSS-hl3bu
@BIGBOSS-hl3bu 2 жыл бұрын
Mzee pole ,kikubwa ni kuwa Mali ulivyo ipata ndivyo itakavyo ondoka na ndivyo itakavyo kutesa lakini pia inaonyesha Mzee anaroho mbaya
@janekichonge4957
@janekichonge4957 2 жыл бұрын
Du we Abdullah unamtesa hivyo Baba yako na nyumba kajenga yeye subiri yatakugeukia kama umezaa
@joycekalago532
@joycekalago532 7 ай бұрын
Nimekaa ndani wiki nimekaa wiki nzima nakula maviiiiiiii😂😂😂inachekesha na kuhuzunisha kwa pamojaa,usiposhiba huwezi kupata choo yeye hajala wiki alipata wapi hajakubwa?😂
@sabihaibrahim143
@sabihaibrahim143 2 жыл бұрын
Hahahahahaaaaa nimechekaa kafanya vizuri
@omanoman2044
@omanoman2044 7 ай бұрын
Yarabii watt tunaendea wap mzazi wako duuh pepo kuion ni ngum alivo najin nzur abdallah mjinga san
@joycemkeka3769
@joycemkeka3769 5 ай бұрын
Ombeni msamaha jamani kabla mzee anafika mwisho litawakuta jambo
@ibraahmfw1147
@ibraahmfw1147 2 жыл бұрын
A lesson , mtegemea cha Ndugu
@bongorecaps3558
@bongorecaps3558 2 жыл бұрын
Mi nisingevunja nyumba ningewaweka ndani kwa kujaribu kuniua nitafute mteja taratiiibu kabisa nikiuza nyumba yangu naingiza hela zote bank nakula maisha🤣🤣🤣 na nnaandika nikifa hizo pesa zijenge hata msikiti na kidogo apate mwanangu anaenizingatia hao wengine wakitoka hawana chao
@ilovejesus666
@ilovejesus666 2 жыл бұрын
Mzee anavituko 🤣🤣🤣😂😂 ety anavuta sauti kama anasoma habari 😂😂😂😂😂😂
@kherymaganga4107
@kherymaganga4107 2 жыл бұрын
Watoto wanapambania baba yao asidhulumiwe na wala si kwamba wanataka kurithi nyumba hv mzee km huyo afungiwe ndan wiki nzima?ni jambo ambalo ni la uongo
@shamumaabdala6341
@shamumaabdala6341 2 жыл бұрын
Ndio maana tunasemaga mtoto wa kike dili
@jebellwallace3509
@jebellwallace3509 2 жыл бұрын
Mzee uza ule chako bana
@magiehermess9949
@magiehermess9949 2 жыл бұрын
Ujinga tuu,angeuza apate pesa ndio akaishi kwingine. Kuvunja ni hasara
@mwanzashinyanga8060
@mwanzashinyanga8060 2 жыл бұрын
uza kabisa mzee watoto wanashindwa kujitaftia vyao wanasubiri wazazi wafe
@ashooraashoora1180
@ashooraashoora1180 2 жыл бұрын
Subhaanallah liadhim
@marrysamweli833
@marrysamweli833 2 жыл бұрын
Babu kawakomesha hiyo ndio daqa yao mijitu yenye tamaa,tuma greda tu
@isunga1964
@isunga1964 3 ай бұрын
Hapo kwenye maviiiiiiiii hongera sana babu uamuzi mzuri na uza kiwanja kabisa kula pesa zako
@elispiuselias1339
@elispiuselias1339 2 жыл бұрын
huyu mzee katoa funzo kubwa Sana! nadhani kijana wake hana hamu 😂
@dalali_professionalwa_dodo8330
@dalali_professionalwa_dodo8330 2 жыл бұрын
Jamani abdalla ni kobisi wa pili..mzee iddi cheza na hati tu...
@qwqw1665
@qwqw1665 2 жыл бұрын
Tena uza ulehelazako baba uko sahihi sana kwasababu ulitafuta kwajasho lako
@niyomugabojohn8329
@niyomugabojohn8329 2 жыл бұрын
Mzee umefanya vizuli saana
@cheiknamouna2058
@cheiknamouna2058 2 жыл бұрын
Abdalah tafuta pesa usitafute laana kwa mzazi utakuja ujutie haya maisha broo haya mie napita nshasema omba msamaha angali hai🙏🏽 🙋‍♀️🚶‍♀️
@NgaizaKimbeNgaizakimbe
@NgaizaKimbeNgaizakimbe 6 ай бұрын
KBS🚶🚶
@omaryonga1776
@omaryonga1776 2 жыл бұрын
Wengi tunatamani baba zetu waendelee kuishi tupate busara zao na pia baba zetu waliotangulia mbele ya haki warudi .... lakini wengine ndio wanataka kuwauwa jamani....
@ubuntubantu2404
@ubuntubantu2404 2 жыл бұрын
Eee Mungu tusamehe waja wako
@aminatijuba8252
@aminatijuba8252 2 жыл бұрын
Wtto wasahii n wabaya kuna wtto wa ustadh flan watamuua babayao hawaskii wanavuta bangi pombe mpka hyo ustadh kla mara sukar presha ..wtto wasahii hawana adabu unawalea vzr lkn wanaiga tabia za mitandao
@samsonsamson9811
@samsonsamson9811 2 жыл бұрын
agekuwa mtoto wangu nigeagiza watu wamumalize kuliko kumbomoa heri nitoe uhai wa mtoto mmoja ambae ni tishio kwenye maisha angu nikabakiwa na wale wenye mapenzi ya dhati na Mimi baba ako, kma mtoto anaamua kufanya hvo kunafaida ip sasa ya kuzaa
@celinyin1494
@celinyin1494 2 жыл бұрын
Alafu ufungwe?ya nini?
@GibsonNtamamilo
@GibsonNtamamilo 5 ай бұрын
Wanatakiwa kuomba msamaha kabla hajaondoka hapa Duniani na maumivu hayo moyoni mwake.
@MigomgoMigali-ky1jl
@MigomgoMigali-ky1jl 3 ай бұрын
Huyu abdalah hana akili badala amlee baba yake adi pale mungu atakapo mpenda zaidi ndo arithi jamani hii dunia ina watu wajinga sana😢
@abelpaul5235
@abelpaul5235 2 жыл бұрын
Nakula maviiiii
@breymbasa3451
@breymbasa3451 2 жыл бұрын
Mzee awekewe ulinzi watamdhuru washenzi hao
@hamzakimaro3764
@hamzakimaro3764 2 жыл бұрын
DUNIA IMEISHA WATOTO WAMEKUWA WANYAMA WAOVU KULIKO HATA SIMBA!! TUNAOMBA ALLAH ATUNUSURU NA VITIMBI VYAO!! POLE SANA MZEE WETU,!INATIA HUZUNI!!
@malopemaliyamungu5243
@malopemaliyamungu5243 2 жыл бұрын
Watoto Ni wema.. Ila ikitokea wamekuwa wanyama kimbia.. kajifiche. Na watoto wanaofanya hayo inawezekana Ni wale waliopendwa saana na mzazi.
@petermboje5839
@petermboje5839 2 жыл бұрын
Mzee yupo sawa mafala hao watafute zao
@onescaniaonescania8227
@onescaniaonescania8227 2 жыл бұрын
Massawe kamuokoaa mzee wa kirangiii😂😂😂
@husseinnkuna4260
@husseinnkuna4260 2 жыл бұрын
Daah huyo Abdallah ni mvivu sana si atafute yake jamani
@chunaamahamud1089
@chunaamahamud1089 2 жыл бұрын
Why kila siku Arusha me nishaanza kuwaogopa sasa!
@aishaabrahaman9957
@aishaabrahaman9957 2 жыл бұрын
Uzaa ukatunie na mtoto wako na mume wake hadi rahaaa hawabaki na kitu
@zuenampandeni3347
@zuenampandeni3347 2 жыл бұрын
POLE
Man Mocks Wife's Exercise Routine, Faces Embarrassment at Work #shorts
00:32
Fabiosa Best Lifehacks
Рет қаралды 6 МЛН
How do Cats Eat Watermelon? 🍉
00:21
One More
Рет қаралды 11 МЛН
Running With Bigger And Bigger Lunchlys
00:18
MrBeast
Рет қаралды 120 МЛН
Can BBC reporter's AI clone fool his colleagues? - BBC World Service
4:19
Why Does the U.S. Support and Fund Israel So Much? | WSJ
8:52
The Wall Street Journal
Рет қаралды 1,1 МЛН
ALIYEWAHI KUWA MKE WA SAID APATIKANA ASIMULIA ALICHOWAHI KUFANYIWA
5:27
MVUVI NA MSOMI
7:21
Joti TV
Рет қаралды 1,5 МЛН
Man Mocks Wife's Exercise Routine, Faces Embarrassment at Work #shorts
00:32
Fabiosa Best Lifehacks
Рет қаралды 6 МЛН