Hoja nzuri muhimu kwa wakati muwafaqa endelea sheikh tunakuelewa vizur
@SalamaKhamis-un8vn Жыл бұрын
Allah akuengeze Nuru yako ya uso mara 2 hapa duniani na kesho Akhera shukran Shekh
@ArabiMuchande Жыл бұрын
Alhamdulillah sheikh tunapata faida na usiache sheikh kubainisha
@noorululaatv8973 Жыл бұрын
YAA RABB NAKUOMBA UWENDELEE KUTONIPOTEZA NA PIA NAKUOMBA UNIWEKE MBALI SANA NA UWAHABI MANA WATU WA HOVYO SANA
@ingodwetrust1852 Жыл бұрын
Amin
@ArabiMuchande Жыл бұрын
Dah tunapata faida hadi bando langu linatumika vema alhamdulillah sheikh
@muftishaban.a.musamombasak6577 Жыл бұрын
Sheikh Abu idi waweke sawa wajitambue
@saidimtoni1148 Жыл бұрын
Wao wanaishia kumdharau na kumtukan ila shekh anajitahid kuelezea kutumia vitabu
@noorululaatv897311 ай бұрын
Mwalimu mawahabi washapotea
@salummakaveli4366 Жыл бұрын
Allah akulinde mwalimu Muhammad akulipe kila kheri dunian na akhera na akupe umri mrefu hapa dunian
@aliyseif8114 Жыл бұрын
شكرا جزيلا يا شيخنا الفاضل محمد ابو عيد الله يسلمك من كل شر يارب ويعطيك العافيه
@bashirusalumbigapsana673 Жыл бұрын
Nimekuelewa
@AthumaniIbrahim-h8y Жыл бұрын
Uko vizuri sheikh abuu idi
@FarajiAbdallah-yw2wn Жыл бұрын
بورکت العلامة ابو عید اطال الله عمرک یا شیخنا
@jabirhussein4180 Жыл бұрын
Nakuelewa sana Shekhe baaraka Allaahu fiika
@Ahbabrasulintegratedacad-ok7uh Жыл бұрын
Sheikh umemaliza ubishi umelezeya vizuri sanaa umeleweka
@Ahbabrasulintegratedacad-ok7uh Жыл бұрын
Sheikh nime kuelewa vema sana shukran sheikh
@LujuoShabani Жыл бұрын
Sina mashaka hata kidogo na shekhe abuu idi ni moja ya mashekhe wenye uwalii kwadalili nyingi juu yahilo
@swalehabdulrahman4118 Жыл бұрын
Allah akuhifadhi shekh wetu
@SharifRashid-g1j Жыл бұрын
Hogera mize shehe wetu
@Ahbabrasulintegratedacad-ok7uh Жыл бұрын
Shukran sheikh
@swahilitherapytv3846 Жыл бұрын
Allah akuongoze kwenye haki ww SUFI Muhammad iddy , upo mbali sana na sunnah.
@fahmiiidrisa5110 Жыл бұрын
Allah akulipe kher Abuu Iddi Mwaka huu Mawahabi lazima Watage 😂😂😂
@salummakaveli4366 Жыл бұрын
Tena mtago khaswaaaaaaaa😅😅😅
@YahyaShabani-tl2sr Жыл бұрын
Assalaam alaykum warahmatullaahi wabarakaatuh uhali gani mwalimu wangu na shekhe watu anatolea wapi darsa yako
@HusseinPaula Жыл бұрын
غفر الله أباك أي محمد بن شيخ أيوب الكماذي و يحفظك من كل شر و بارك الله فيك وصلى الله على سيدنا محمد وآله و صحبه أجمعين و الحمد لله رب العالمين
@matanohassan9667 Жыл бұрын
Asante nimekuelewa sana nilisoma katika Madrasa za kiwahabia kenya madrastul munawara hadi thanawiyah sasa hivi naona mwanagaza niko na vitabu nakufuatilia pole pole allah akuhifadhi mwana muelewa huelewa tu
@muktarkassim6647 Жыл бұрын
Tusomeni History ya sheikh Abdulwahab ....
@fahmiiidrisa5110 Жыл бұрын
MashaALLH inaonekan wew ni muelewa ALLAH akuongoze
@RahmaKhalfan-j1c Жыл бұрын
@@muktarkassim6647 Abdulwahab ni sheikh wakiwahabi
@hassanseyvunde6683 Жыл бұрын
@@muktarkassim6647l0 pp
@sama-_8368 Жыл бұрын
ماشاء الله تبارك وتعالى
@hamisisalimu6908 Жыл бұрын
Mashallah shukran sana sheik wangu iddi
@SalamaKhamis-un8vn Жыл бұрын
Swadaqta
@mohamadathman596111 ай бұрын
Utahukumiwa kesho kwa allah na watu wote wanao kufwata utabeba jukumu Lao
@jumaamohamed4203 Жыл бұрын
Abuuu Eid unaeleweka sana mwamba Asie kuelewa wewe Anamtindio Wa ubongo
@hajihamisi6929 Жыл бұрын
naam shekh tunaomba utupe mawili matatu kweny hiyo majmau bahrayn ili tupate fawaid zaidi inshaallah
@abubakaryusuph6555 Жыл бұрын
Shukran sheykh umeeleweka
@hamisibuki7057 Жыл бұрын
Huyu mzee Allah akuongoze
@JumaHamadi-n5p Жыл бұрын
Kumbe mawahabi ni wezi waliojificha nyuma ya dini 🤣🤣 Asante abuu eidd nakuelewa
@mnolamanyendi4956 Жыл бұрын
Mmeshatudanganya Sana
@AllySalim-gc1ql Жыл бұрын
Sheghe Kuna jambo moja umelisahau kuhusu Mohammed ishaka kenda mbali zaidi aliulizwa kwamba Kuna mtu alifukuzwa msikitini kisa kutikisa kidole akatoa fatwa tuswalini miskiti yetu huko sikugawa watu
@MasudiAthumani-kx7ye Жыл бұрын
Shekh anatiririka kwa ushahidi sio mdomo mtupu hoja za nguvu hizo hamuezi kupangua hata moja mawahabi
@fahimaOmary Жыл бұрын
Hahahaha. Huo akianza kujibiwa anakimbia. Tushamzoea
@MasudiAthumani-kx7ye Жыл бұрын
Mawahabi muje na vitabu sio maneno matupu
@amanisaidi8757 Жыл бұрын
Me naomba sheikh aweke clip fup walau dakika 20 au 30
@Machapatize11 ай бұрын
Ni BIDA'AA IN CAPITAL LETTERS
@yazidurashidi8443 Жыл бұрын
Yaani ukimsikiliza muhammad idd unajua anashida ya uelewa au anakusudia kupotosha na kuleta talbiisi kwasababu unayoyaeleza na mjadala ulipo ni vitu viwili tofauti
@HamiduMtandika-lc2tp Жыл бұрын
Wew ndy mwenye shida ya uelewa
@AbdulkarimShosi Жыл бұрын
Swadakta 4:17 😂
@AbdulkarimShosi Жыл бұрын
Swadakta hamidy mtandika huyo jamaa ni taasub ndiyo inayo msumbua
@hafidhseif1686 Жыл бұрын
Huo Wizi Na Uongo Ndio Swifa Yao Kubwa Mawahabj
@hafidhseif1686 Жыл бұрын
Huo Wizi Na Uongo Ndio Swifa Yao Kubwa Mawahabj
@iddimutua420 Жыл бұрын
A.aleikum Kama wewe M.Iddi uko kwenye haki basi kubali ombi la M.Is'haka la munaqasha ili uje umuumbue huo oungo wake kama unavyodai.
@RahmaKhalfan-j1c Жыл бұрын
yani nyinyi mawahabi mnachekesha sana. wapi kwa wapi sheikh mohamed Idd aje apoteze mda wake na huyo comedian wenu
@noorululaatv8973 Жыл бұрын
😂😂😂😂 WALLAHI MAWAHABI NI KAMA KATUNI
@noorululaatv897311 ай бұрын
Eti tuingize Fedha😂😂😂😂
@shabanabdullaziz9934 Жыл бұрын
Mkusanyiko ambao mnaitakidi kuwa ni IBADA ndo tatizo acha kupotosha watu. Wewe utakuwa masuuli ktk unachowapotosha watu.
@HamiduMtandika-lc2tp Жыл бұрын
Sehem ya saba mbona haipatikani
@hassanmohamedabdalla410811 ай бұрын
Kitabu chilicho andikwa na shehe wenu na kupinda uzushi ni kweli au kitabu chimeandikwa na mawahabi?
@OmarHamad-c3g11 ай бұрын
Mohd iddi anakuita said omar mukakate viuna Kenya mamrui dini yenu haina tofauti na daimondi dini hiyo ni dini ya mtume gani
@manrectorz Жыл бұрын
NILICHOJIFUNZA HAPA NI: 1. MUHAMMAD IDDI, Anafanya propaganda ili kuwa furahisha WAKUBWA. 2. KUNA TOFAUTI KATI YA MAULID NA KUMSWALIA MTUME. Kila Muislam anayeswali anamswalia mtume(S.A.W) katika swala. 3.TWARIQA WENGI MNAPENDA ZILE SHEREHE ZA MAULID ILA HAMUMPENDI MTUME NDIO MAANA HAMRIDHIKI NA UKOMO KATIKA IBADA ALIZOLETA, PIA HAMTAKI KUMFUATA KIMATENDO.
@riddi6767 ай бұрын
Akili ndogo haihitaji madrasa 1. Wakubwa wapi? 2. Tofauti ipi? Kwenye maulid mtume haswaliwi? Au ni mambo gani yanafanyika kwenye maulid? 3. Kusema huyu hivi yule vile bila elimu ni kutoa hukum, huoni kama unafanya Kazi ya Allah? Je hiyo ni sahihi?
@Muqadis-t8t Жыл бұрын
Huna ulipo
@abuuammar4924 Жыл бұрын
Hawana tatizo ktk mikusanyiko mingine kwa sabab ni mambo ya ada na wala sio ibada. Kumswalia mtume ni ibada hivyo unapoharib ktk ibada ni lazma kuwe na tatzo
@aliomar5589 Жыл бұрын
So hijja nayo inakuaje
@abuuammar4924 Жыл бұрын
Hijja imefanyaje sasa
@hassanmohamedabdalla410811 ай бұрын
Huu sanamu yuko yuma yako ni nani?
@mnolamanyendi4956 Жыл бұрын
Mauridi hitima arubaini niwongo mtupu
@Muqadis-t8t Жыл бұрын
Toa hilo sanamu hapo ulipo😊
@RahmaKhalfan-j1c Жыл бұрын
wahabi huna jipya umefilisika kimawazo
@noorululaatv8973 Жыл бұрын
HUYO KASIMU MAFUTA ANALO SANAMU LAKE ..ATEMBEA NALO KILA MAHALA .. AKISAFIRI KWENDA NJE LAZIMA AWE NA SANAMU .. AKISAJILI LAINI ZA SIMU LAZIMA AWE NA SANA LAKE YEYE MWENYEWE, PIA ANALO SANAMU LAKE LA URAIA WA TANZANIA
@muharamisaidpazzi2539 Жыл бұрын
😊😊😊😊😊😊😊😊😊@@RahmaKhalfan-j1c
@muharamisaidpazzi2539 Жыл бұрын
😊😊😊😊😊😊😊😊😊@@RahmaKhalfan-j1c
@muharamisaidpazzi2539 Жыл бұрын
😊😊😊😊😊😊😊😊😊@@RahmaKhalfan-j1c
@mwambashiiddi9295 Жыл бұрын
WAONGEA kwanufaham wanani??
@HUSENSHARIF-in3nd Жыл бұрын
Anaongea kwa ufaham wako weboya?
@HUSENSHARIF-in3nd Жыл бұрын
Anaongea kwa ufaham wako weboya?
@fahmiiidrisa5110 Жыл бұрын
Wew mpumbav wa mwisho aisee wew unataka aongee kwa mfaham wa nani au wa bibi yako
@IKOLAPORT Жыл бұрын
Dah! Huyu nae nimwanafunzi anaetafuta elimu kweli ndio anaakili ya hivi?
@bashiromary4897 Жыл бұрын
Mbona swali zuli kama Huna jibu usitukane
@mbjunior166 Жыл бұрын
Kuanzia leo sasa maadamu ameanza kujitia ilmu eti kwa ufahamu na hawaa zake pasi na kunukuu kutoka kwa mwanachuoni yoyote ameanza kuzifasiri Aya na Hadithi basi na angoje majibu ya kielimu kutoka kila pembe ya nchii hii na hapo utakua ndio mwisho wake! Watu hawakua na haja ya porojo na matusi yake lakini huku alikojitia sasa keshayakanyaga😂
@OmarHamad-c3g11 ай бұрын
Mohd iddi nenda chuoni Bado ujinga unakusumbua
@mohamadathman596111 ай бұрын
Hakuna dalili bali ni maneno matupu na dini ni amesema allah amesema mtume bali naskia porojo tu
@fahmiiidrisa5110 Жыл бұрын
Answaar sunna wezi 😂😂😂
@OmarHamad-c3g11 ай бұрын
Kakate viuno huko
@bashiromary4897 Жыл бұрын
Uongo unaendana na ukweli
@noorululaatv8973 Жыл бұрын
UONGO UKO WAP JAMANI , AU NI VITABU ANAVYOVIWEKA
@bashiromary4897 Жыл бұрын
@@noorululaatv8973 ndugu yang kweli sisi tuna ugomvi na mtume .au namna ambavyo tumetofautiana katika kumswalia
@mdoekibai3991 Жыл бұрын
mkizidiwa huwa hujazenu nihizo kamaniuongo bainishaapo kwaushahidi wavitabu kama shekh anavofanya usiletechuki ktk dini
@shabanabdullaziz9934 Жыл бұрын
Kama masheikh walipondoka na kuporomoka ktk yale aliyotufundisha mtume swala na salamu ziwe juu yake je tuwafuate hivohivo?! Hii dini sio ya makhurafi
@mwambashiiddi9295 Жыл бұрын
Sasa muhamed idd hapo kuna qarina
@noorululaatv8973 Жыл бұрын
MAWAHABI NI MAKAFIRI WANAOVAA KANZU
@ingodwetrust1852 Жыл бұрын
Naendelea kufuatilia napata namm wasiwasi
@ASHRAFUOMARI Жыл бұрын
Hivi kweli unaakili timamu na unajua mzigo wasmadhambi unao ubeba Kwa kukufurisha waislamu? ALLAH AKUSAMEHE NA AKUONGOZE KTK HAQ
@noorululaatv897311 ай бұрын
Naendelea kusema .. MAWAHABI NI MAKAFIRI WANAOVAA KANZU.. MAWAHABI NI MAKAFIRI KAMA ALIVYO IBN TAYMIYYAH
@habibuchakusaga7981 Жыл бұрын
Habari ya kutakiw tangamano mbona sijaiskia hap
@RahmaKhalfan-j1c Жыл бұрын
tangamano akafanye nini kwani yeye machinga?
@NassoroNassoro-wl9ok Жыл бұрын
@@RahmaKhalfan-j1c😂😂😂,asante sana
@RashidMohamed-cq8jf Жыл бұрын
Hata yule shekh kassim mafuta anamuona yule mzee anamatatizo mana shekh mafuta yeye kapita shamsiya lakn hajwahi kuleta uongo kama hili zee
@HUSENSHARIF-in3nd Жыл бұрын
We kwanza jifundishe Adabu halafu ndo uskilize hizo darsa
@mdoekibai3991 Жыл бұрын
yule analaana ya shekhewake na anapoelekea atakuja kuvuanguo jiulize wee mtu kayakataa maulidi alaf badalayake anakwenda kuyasoma ndani yamisikiti yao na wenzake wanaitika simtihaniuwo?
@OmarHamad-c3g11 ай бұрын
Mdomo wako mohd iddi ni nzuri kwa tarumbeta la mziki unsubiriwa kenya na said omar mukaanzishe chama cha mziki
@saidkhamisi9592 Жыл бұрын
Hivo unavotafsiri ni kwa ufahamu wanani? Hivo ndivo walivofahamu wema waliotangulia ?....acha talbis abu iddi
@mdoekibai3991 Жыл бұрын
ebu naww tafsiliyako tuone nyumbu ww
@bashiromary4897 Жыл бұрын
Nami nitaaza kupiga adhana mje mswali idd bila shaka hakuna kizuizi nikianzisha jambo la kheri Maana kila mtu ajua faida ya adhana.kwa kuzingatia maana yakullu
@ArabiMuchande Жыл бұрын
Ibada hio ya idd mtume ashaeleza namna ya kutekekeza idd huweza kuongeza hapo
@malickyhussein9032 Жыл бұрын
Halafu ufahamu swala ya eid ni sunnah, Halafu adahana ni wito wa wajabu (yaani ukiadhini unamaanisha ni lazima watu waitikie wito wa adhana) Sasa utaadhini vipi katika swala ya sunnah..? Hebu someni Dini nyinyi masalafi bhana, msitumie akili zenu kuuliza ujinga
@FarajiAbdallah-yw2wn Жыл бұрын
hapana sala ya iddi inautaratibu wake tauqifiyyah swala la maulid nijambo ambalo wanazuoni wamekhtlifiana nawala sitatizo
@bashiromary4897 Жыл бұрын
@@malickyhussein9032 haya inshall nitaanza Leo kusoma
@mbjunior166 Жыл бұрын
@@FarajiAbdallah-yw2wn Maulidi ni bidaa wala hakuna mwanachuoni aliohitilafiana ktk hilo acha uwongo!
@abuuammar4924 Жыл бұрын
Aliyesema kila bidaa ktk dini ni upotofu ni shekh wenu wa kisufi Abul Abbas Ibn Hajar Alhaythamiy anasema kila bidaa ktk dini ni upotofu ktk kitab chake chake alfataawa alhadiithiya Alaf kwan mm nikimfunza mtu Quran...huyo mtu akisoma yy si anapata thawab na mm napata thawab kwahiyo mm ndio nimeanzisha kusoma Quran? Alaf ktk kuuwa...kwan mauaji si yalianzishwa na majini kabla ya binaadamu? Alaf kwa maelezo yako kumbe nimefaham kuwa kullu haienei ndiomaana tunasema bidaa zote ktk dini au ktk ibada ni upotofu lkn bidaa ktk mambo ya ada na wasiila sio bidaa ya upotofu. Kisha km mtume alikuwa akipokea kheri na kukataa shari..mbna alimkataza swahaba kuswali usiku kucha na yule aliyetaka kufunga swaum? Au hayo ni mambo ya shari? Alaf mtume,alisema tufuate sunnah za makhalifa tayari yeye ameshatoa tazkiya kwao hao makhalifa hao na kuna kanuni pia...nyie mmepewa tazkiya na nan? Alaf huoni kuwa maswahaba na tabiina na waliofuatia walikuwa wakitahadharishana kuhusu bidaa ktk dini. Yaonesha almaswaalihul mursalah huyajui shekh..na mpk hoja za kuweka AC bado unazitumia...yan bado unahisi kujenga msikiti wa matope au wa mitende ni sunnah aisee huu ni mtihan
@الحَمْدُِلله-ص8م9ش Жыл бұрын
nan abebe kalamu na pensel wala huna hoja
@athumanimahunda6541 Жыл бұрын
Bwege we
@fahmiiidrisa5110 Жыл бұрын
Tuliza dawa ikuingie mwehu wew
@RahmaKhalfan-j1c Жыл бұрын
hoja ndiyo ipi
@RahmaKhalfan-j1c Жыл бұрын
@@fahmiiidrisa5110 Na keli dawa mawahabi imewaingia maana hapa siwaoni wengi sijui wamekimbilia wapi
@manrectorz Жыл бұрын
ACHA PROPAGANDA NA KUTENGENEZEA MANENO WATU, ALLAH NI FUNDI KUKULIKO. HAKUNA MTU ANAYEPINGA WALA KUKATAA KUMSWALIA MTUME!. TATIZO NYIE IBILISI AMEWAPAMBIA KATIKA HILO JAMBO NA MNALIPENDA HASWA, NYIE MNAPENDA SHEREHE WALA HAMUMPENDI MTUME KWA DHATI
@HassanSalim-hl8qs Жыл бұрын
Wewe mwenyewe ni tatizo wala usimsingizie Mtume wetu SAW
@pilabiliani9394 Жыл бұрын
Hivi huyu ni sheikh au #Shehena? Maana jiimwili kubwa akili ndogi
@AbdulkarimShosi Жыл бұрын
Acha matusi toa hoja zako
@fahmiiidrisa5110 Жыл бұрын
Tupe dalili 😂😂😂
@fahmiiidrisa5110 Жыл бұрын
Tuliza dawa ikuingie barabbara
@dj_ha17-ux6st Жыл бұрын
JIHADHARINI NA HAWA WANAWAGAWANYA BWANYENYE AENDELEE KUTAWALA HAWA NI ZAO LA WAZAYUNI ..iDDI UNATUMIKA NA WAZAYUNI BILA KUJUA ACHA HAYA MAPOTOFU
@TwahirBurhan Жыл бұрын
SHEKH BAADA YA KUKAA BENCHI MUDA MREFU ANAPAMBANA APEWE NAFASI TENA BAKWATA...DAH!
@fahmiiidrisa5110 Жыл бұрын
Wew unajua yalio moyon mwake???
@mwalimjecha6893 Жыл бұрын
Mawahabi msikilizeni huyu mwanachuoni ili musipotoshwe tena na Mafuta na washirika wake wasiojua kitu
@mwambashiiddi9295 Жыл бұрын
Sio kuanzishaa Nimwenye kuhuishaa Sema sababu ya hadithi
@ArabiMuchande Жыл бұрын
Sanna lqatla wakwanza kuuwa nani? Ikawa akahuisha nwana wa adamu? Elimu bahari
@abuuuyaynah8801 Жыл бұрын
Umekwama kasome Quran utajua wakati Allah alipotaka kuumba khalifa walisema Nini malaika utajua huko baqara
@fahmiiidrisa5110 Жыл бұрын
Wew huna akili الأصل في الكلام الحقيقة hyo tafsri umetoa wap