Sabah mashallah umependeza sanaa umejistiri vizuri sanaaaa
@amatillah9700 Жыл бұрын
Mamangu mpenzi ni wakti sasa utumie sauti yako nzuri masha Allah katika kusoma kitabu cha Allah, dunia ni mapito jana sio leo umri unakatika Subhana Allah
@khamisgangawiya865125 күн бұрын
MashaAllah
@fardhanamahmoud7313 Жыл бұрын
HII NI TAARABU JAMANI MUOGOPENI MOLA WENU SUBHUHANAALLAH
@swalehabrar3766 Жыл бұрын
😂😂😂😂 kama ni taarabu basi icheze hall ukiowa 😂😂😂😂
@husseinmaula4965 Жыл бұрын
Allha atuongoze ktk njia iliyonyooka inshaalha na atukinge na uzushi kwa uwezo wake
@diyembarak5506 Жыл бұрын
Amiin
@aliabdulwahab509 Жыл бұрын
Ameen ya Allah
@khadijashabani6167 Жыл бұрын
Amen inshallah
@Abuukarmaxme3 ай бұрын
Duh hii kiboko taarab eti imekuwa kaswida Allah u Akbar Allah tunusuru na wayahudi na makafiri na wanafiki popote pale duniani
@ChumanaSusi3 ай бұрын
Sasa way ahadi wamekufanyia nini. Wewe uko Zanzibar unakula.pilau. Mutahudi yuko Israel anakula falafel mtapatania wapi muzozane? Ama tu ni kuropoka maneno. Kafiri ya mkristo kama mimi nitabishana na ndugu zangu wa zanzibari ni faidi nini? Naona ni kurusha maneno tu wayarusha
@mohamedmahmudali9346 Жыл бұрын
Sijaona tofauti naona ni vilevile zaidi nilichoona Mimi ,jinsi alivojistiri na vazi la heshima 👍
@FatmaSaid-sl9rk7 ай бұрын
Hakika
@khamisjina8833 Жыл бұрын
Tukifika kwa Allah tuandae jawabu kutia ngoma kwenye dini iliyo kamilika. Yarabii tusamehe sisi n wazazi wetu katika kila uzushi na utuomgoe sisi na wenzetu na vizazi vyetu katika bidaa mbali mbali. Aaamin
@niwemahassan Жыл бұрын
Amin
@FatumaninjamaShaban Жыл бұрын
mbaya zaid mwnamke anaimba mbele ya wanaume jamani allah atuongoze inshallah.
@ukhtyzainab7254 Жыл бұрын
Aamiin
@oii6zlaboshelby17 Жыл бұрын
Subhanallah , inna lillah wainna ilayhi rajiun
@adamapollo9859 Жыл бұрын
Mbona ni taarabu hii
@laila9458 Жыл бұрын
Hii ni miziki sio qaswaida kabisa taarabu kabisa eeee mola tunusur waumin be careful...
@thuwaybah5679 Жыл бұрын
Allah atujaalie mwisho mwema
@ukhtyaminah1183 Жыл бұрын
Laanatulah hii sio kasida ni taarabu na mtaenda kujibu kwa Allah mnatuharibia dini yetu na hapo waliokuwepo wote hamna mwenye imani ya kweli mmechanganyika waume na wanawake inailaih wainailaih rajoun
@mwanakombomwandekwa1259 Жыл бұрын
Inna Lillahi waina illaihi rajuun. Mungu Atuongoze kwenye njia iliyonyooka in ShaaAllah. Kwani mbona mama wetu usiachane na haya mambo na urudi kwa Allah kwani ulikotoka ni mbali wendako kama si sasa ni sasa hivi. Bado kwenye jukwaa mpaka lini Yarrabb.
@athmanbaya2053 Жыл бұрын
MashaaAllah
@diyembarak5506 Жыл бұрын
Hii channel twaisifia Ramadhan nzima kwa madarsa na mafunzo mazuri kwa hili leo hatukubaliani nalo abadan katan.
@hawakiza6067 Жыл бұрын
Kweli kabisa ni msiba
@suleimanahmadaali5989 Жыл бұрын
Njaa inawafanya watu waiwache hakki
@RamadhanAlly-y5s5 ай бұрын
Sema hukubaliyani nalo c kusema hatukubariyani
@SoudShuraim9 ай бұрын
Sabah mzur mashallah sema achana na nyimbo umri umeshaenda
@amatillah9700 Жыл бұрын
Subhana Allah Allah tuingoze yarab umatu Mohd tunaelekea wapi? Atakuja kuwauliza kama yeye aliwafundisha haya muyafanye kwa jina lake 😢
@majutoomari7445 Жыл бұрын
Subhanalah lijitu limezeeka mishavu imening'inia lakini bado linajitafutia moto tubieni kwa Allah munayo yafanya mutayakuta
@kijitamfyomi5598 Жыл бұрын
We inaonesha unachuki binafsi na Sabaha hata dini yako huijui yani mtu kumsifu mtume wake ndio kujitafutia moto hao masheikh wanakupandikizeni chuki ndio wana lakujibu mbele ya Allah
@mwakughumwarigha68875 ай бұрын
Wivu haujengi...mwanzo wewe huswali....utabaki hapohapo mwenzako anafurahisha watu haja mkosea mungu na mtume wake wala!!
@babuantar8215 Жыл бұрын
Hamna Adabu na uislam na hakuna hio kitu msizalilime Mtume wetu na dini ...mtajibu kwa Allah
@diyembarak5506 Жыл бұрын
Huu ni uzandik
@swalehabrar3766 Жыл бұрын
😂😂😂😂 wewe unayo adabu???😂😂😂
@AliAbdalla-s9i Жыл бұрын
Wallah hapo kuna mabeby ilee mbaya
@bintmuhammad4913 Жыл бұрын
Akaah! Lahawla wala quwata illa billah na masheikh wapo hapo! Khatariii hii sasa 😢😢
@rahimasaid6721 Жыл бұрын
Milango ya toba iko wazi Basi tena maa tafuta msala ulie na Allah pole sana
@fardoshnassor78479 ай бұрын
Masha Allah 💖💖💖
@nasrasuleyman39319 ай бұрын
mtihani wallah Allah atuongoe mtihn
@fatmafatu1128 Жыл бұрын
Hii channel kumbe ya kidhwalimu subuhanna llah tumche Allah popote tunapoishi hatujui saa yetu ya kuondoka kwa dunia
@salummzee9739 Жыл бұрын
Dalili za kiama hizi Mtume Muhammad s a w alitabiri mwisho watu watipenda kuliko dunia,wajinga ndio wataonekana wajua muda umefika,Ametukosea Waislamu hapa Ila Allah ndie ghafuru,halafu watu wanafurahia na kutunza hii
@ahmedmbarouk3463 Жыл бұрын
Alhad nae ndani ushekhe tupa kule subhaana llah
@alhabsi6430 Жыл бұрын
Subuhana Allah dunia hii
@jumabalozi8 ай бұрын
Nilikua najiuliza huyu c alhad
@oldnavy7828 Жыл бұрын
Hebu tuweni serious na dini ya mungu😢😢
@MohamedHuseein-s5i Жыл бұрын
Mashaallah still up to now nice ❤ voice
@alhilaltvonline Жыл бұрын
Ampendaye Mtume humfuata Kwa kauli na matendo.... Hapo hapana.....Tarabu live..... Wanawake walivyovaa...
@abubakarkhamis3884 Жыл бұрын
2024 ❤ on top bado
@jamilamasoud85448 ай бұрын
Muogopeni Mungu
@WazirrashadYussuf-um5uq Жыл бұрын
Subhannallah Ati wapenzi wa mtume ...munamkosea adabu Mtume nyinyi ...mtume hausiki na hizi kwaya ...hakuna tofauti na waimba kwaya ..kuweni na Adabu na Mtume ...yaani hiii akili iliokuwa salama haikubali hata siku mmoja kama hii ni Dini kabla hatujaenda kwenye Qur an na sunnah Mutawapotezea mda hao hao سفهاء العقل
@fahadfaraj6474 Жыл бұрын
Khatari sana Wallah
@fatmasaleh2707 Жыл бұрын
Mtihani mtupu subhanallah
@alhabsi6430 Жыл бұрын
Hawa hawajui la kufanya wamejieibisha sana
@hdmrope8438 Жыл бұрын
Kweli kabisa
@saidybhoky-lb7hg9 ай бұрын
watu wa bidaa wakiambiwa wanakuwa wakali hata mimi zamani nilikiwa kama hao baada yakujuwa ukweli nikawakimbia waimba tayabu
@ramxomtum2babu414 Жыл бұрын
Inna lillah wainna ilaih rajioon
@zainabomar5144 Жыл бұрын
Jamani hi ni taarabuu,mbona tunakosea sana,dini hii sio ya mtu jaman,Babu deo usiweke hivi vitu utapata dhambi,tuwe makin sana Kuna akhera jaman,tusijal sana makaratasi, Allah atusamehe na atuongoze inshaallah
@omarjuma2521 Жыл бұрын
innalilahi wainna ilayhi rajoun😢
@fathiyasalim3946 Жыл бұрын
Inna lillahy wainna ilayhi rajioun. Hii taarab mnamtaja Mtume jamani Waislaam tunafurutu sana Sabah muchacho una dhima kwa Allah
Sauti ambazo zikisukwa vizuri zinaweza kuwa za huzuni na zikiimbwa kwa hisia unaweza hatakulia ni pampja na nahwandi, hijazi bayati, na hata ajemi. Ingawa kikanuni inaweza ikawa haipo hivyo lakini mtunzi akiwa mahiri anaweza kufanya hatari mpaka watu wakalia
@zainabusadi6469 Жыл бұрын
Subhana llaah huu ni mtihani 😢😢
@mirrow1983 Жыл бұрын
Taranasheed..subhanallah!
@alisaid7299 Жыл бұрын
PUMBAAAAVU
@SaidShkel9 ай бұрын
Innalillah wainnailah Rajiuun
@abdulkadirmayange Жыл бұрын
Muogopeni Allah sio wa kumchezea taatabu mnaita qaswida huyo mama kwanza kope katia za bandia Innalillah
@abuuayoubayoub9260 Жыл бұрын
Babdeo leo umetukoroga sana hujatutendea haki kabisa maana hata kama maneno ni ya mtume lakini si kwa miziki hii na yule shekh aliyeuzuliwa hapo dar namuona hapa kavaa kapero yeye na wenzake
@babuantar8215 Жыл бұрын
Tubieni kwa Allah ....
@ChumanaSusi3 ай бұрын
Watu wakuwe na wazoee kuwa tolerant na chagua za watu wengine. Silazini mama afanye vile wewe upendavyo.Mama unapendeza sana na sauti yako nzuri 🇰🇪..Muzoee kama.kenya kila mtu to mind their own business na si kukashifu mama bure.
@hawakiza6067 Жыл бұрын
Innalilah wainnailah rajighun
@miskyabdillah7451 Жыл бұрын
Innalih waina ilayhy rajeoun, msiba mkubwa huku tulipokasirikiwa tukaletwa kutubia
@aliabdalla9297 Жыл бұрын
Hii ni taraabu wazi unatwambia kasida
@AminaAmina-up8ce Жыл бұрын
Subhanallah 😢
@HaulaSaid-p5p8 ай бұрын
Huyu bibi hajielewi wallah huu mziki wanasema wafuasi wa mtume wetu kakataza vinanda hatari wallah
@Asha-jt8zf Жыл бұрын
Allah akuongoe akuoneshe njia ya haqqi😢
@miskyabdillah7451 Жыл бұрын
Ameen
@fatumamwalimu5765 Жыл бұрын
Muandae majibu kwa Allah
@zabibuwazir2377 Жыл бұрын
Hii tarab vilevile
@nully1234 ай бұрын
Haraam hii ni haraam taarab wasipoteze watu..huu sio mfano wa kuigwa..wanaume na wanawake Jamani tuaipoteze watu..
@abilahimohamed5869 Жыл бұрын
Duh namuona ALHADI kavaa kapelo
@rahimajuma4633 Жыл бұрын
Sabab yupo katika mziki
@nailaomar4810 Жыл бұрын
Mm nimemtizama mara 3 mpaka 4😅 nikasema yy au macho yangu subhanaallah
@nailaty Жыл бұрын
Alhadi anaendaga hata kwenye matamasha ya taarabu itakuwa hiyo
@eng.saalim8646 Жыл бұрын
Sasa kaenda kwenye taarb wategemea avaae vp
@feisalboy67029 ай бұрын
Mambo ya kibaradhuli baradhuli yy ndio anayapenda
@fathiyasalim3946 Жыл бұрын
Sabah rudi kwa mola wako. Si pahala pa kumtaja Rasuli hapo. Inna lillahy wainna ilayhi rajioun
@AfuwaNassor8 ай бұрын
Dunia kwishaaaaa😢
@stoperclassick6996 Жыл бұрын
baitul Halali hamna kaz za kufanya dunia inakuhadaeni mtaenda kujibu hili
@hamashmaundu7552 Жыл бұрын
❤❤❤❤❤
@rahmamohammed7707 Жыл бұрын
😮
@almaalmo7616 Жыл бұрын
Innaalillaahi wainnaailaihi raajiuun
@khamissaleh-ef6dd Жыл бұрын
hamna kasida humu
@jumangosho7569 Жыл бұрын
Mwenye Lyric ya hii naomba anisaidie
@JuwairiyaHassanKhamis Жыл бұрын
Ndugu mtangazaji umetukosea sana sisi waislamu
@ashiadauda8289 Жыл бұрын
Sana
@thuwaibathaniawesu1980 Жыл бұрын
Adabu hamna
@ummuwalid7796 ай бұрын
Hata haisikiki Ngoma Iko juu kuliko sauti
@saidfikirinidundo1998 Жыл бұрын
😭😭😭😭
@ahmedelalawy639 Жыл бұрын
Qaswida na tarabu baba mmoja ila mama mbali mbali
@zahorsalum4976 Жыл бұрын
Acheni kumchezea Allah ipo sikumtafika kwake nyy.
@assoistiquamat2397 Жыл бұрын
Huo Huraira Saidi Alipe Pesa200$Alizopewq Burundi Kama Amana Leo Miaka3 Nasim Kuwablok WalomuhifadhixNaakifaxMaytixYake Iziwiliye Hadi200$Zilipwe Nafamiliyake HurairaxNidhwalim Kabisa Mungu Anamuona Mwambiyeni Kesi Ilienda Muviongozi Mufamiliya Ila Hakulipa Pesa Hiyo Ajuwe Kuwa Madhwalim Hawatonusurika Siku Yaqiyama Alipe200$Maushahidi Yapo mpakasautu Zake Alidanganya Kuwa Mzazi Wake Anaumwa Kachanganikiwa iliaazimwe Atarudisha Tokasikuhizo Akawablok walomuazima
@azizaaziza7996 Жыл бұрын
Hii dunia bd siku ya kugezwa juuu chini chini juu
@musambogamboga4259 Жыл бұрын
Nai nai babdeo kk mbona umeanza kishari hivo
@saidhamad9723 Жыл бұрын
Sasa mmevuka mipaka naona 😔😔
@mwanajumawachu7543 Жыл бұрын
Waislamu tuacheni mizaha ,hii Sio qaswida Bali Ni Bango tarab,sijaipenda mm ,hizi ndio gani
@ashasalmin1625 Жыл бұрын
Ama kweli upo uislaam na muislamu, katika Uislaam haikubaliki na haswaaa wanaume kuchanganyika na wanawake uzushii mkubwa, mnawaiga makafiri kujifananisha nao
@MbaroukAlly-y2y5 ай бұрын
Kampala international University
@suleshmarsalmy Жыл бұрын
swabaha akijitanda anapendeza
@bintmuhammad4913 Жыл бұрын
Haraam Haraam... Muogopeni Allah na adhabu zake ni nini hiki jamaniii. Innalillah wainna ilayhi raajiun hata sijaskiza yote naskia manung'uniko na vinanda nimestopisha
Huyu mama si kahijji vipi tena innalilah wainnailah Rajaun
@Jadidatz Жыл бұрын
Hana tofauti mzee yussuf....njaa mbaya...allah atunusuru
@laylatabdallah2796 Жыл бұрын
Kuna walokwenda hajj na walioenda makka😝
@safiasaleh7742 Жыл бұрын
Ametoka kwenye maasia ya nyimbo ameingia kwenye bidaa ya kasida BIDAA ANAIPENDA BILISI KULIKO MAASIA KWANI BIDAA NI VIGUMU KUACHA KULINGANISHA NA MAASIYAH
@mohdmohd2550 Жыл бұрын
Tarab na wenziwe Talbeesul haqq bil baatil
@diyembarak5506 Жыл бұрын
Watu wazima na mijikanzu yao wanaenda kutunza ...Duh
@ummtuma8137 Жыл бұрын
Astaghfirullah astaghfirullah astaghfirullah
@Ramadhwan7 Жыл бұрын
Msiba
@mwanamwinyi337211 ай бұрын
Tena ni msiba mkubwa dini tunaifanyia masikhara 😢 turudini kwa Mola wetu na tulete istighfar kwa wingi kwani Allah ni ghafurun rahim 😢
@khadijamgambo6874 Жыл бұрын
lkn kawaambia nani kua Qasida zinavinanda? Msanii wa nandi aliimba nyimbo mkaita kasida... Mm Naskia Raha tu apa naskliza Mziki mazur umetulia.. Wamejistri, wametulia na wamependeza, wanacheza kwa ustarab Ma Shaa Allah, style ya Zanzibar twaarabu wallah...! Msihukumu watu.
@MuzafarSaid-k8w9 күн бұрын
MIMI NINGELI KUSHAURI MAMA YANGU NAKUPENDA SANA ..UNGELISOMA TU NSHEED PASI NA VINANDA..KAMA RIZKI UTAPATA TU..APO BADO MAKOSA
@ahmedcantona45809 ай бұрын
dúuuh mtihan
@FatmaKombo-y8e Жыл бұрын
Astaghfirullah astaghfirullah astaghfirullah mumezidi tena Allah atujaalie mwisho mema
@nazirymahmoudnaziry6510 Жыл бұрын
Naaam ahluu nnabiiy
@ahmedzahor2975 Жыл бұрын
Hii ni ttarabu muogopeni Alla
@yahyahamad1802 Жыл бұрын
haya,sio mafunzo ya uislam
@hutiswalehe2444 Жыл бұрын
Maashaallaah....!!!!😍
@choggysly3541 Жыл бұрын
Hivi hii babdeo si chanel ya mambo ya dini au channel mchanganyiko?maana taarabu tena?
@princeshaulath268 Жыл бұрын
MashaAllah MashaAllah
@Legends_Interviews Жыл бұрын
MakubwA iyo tarab na sio kaswidal
@saadaliy3979 Жыл бұрын
Babdeo ondosha hio video na utake radh watu ila hio sioqasda