Sasa fain iyo kalipwa samia au nani 😢😢😢 picha tuu milion 5 shikamoo tanzania
@talibsaid80962 ай бұрын
Sheria ni sheria tu ingekuwa we we Mzee wako katukwanwa na mtu bila sababu ungesikiaje pia maisha magumu lakini kila usiku mko bar hamtaki kujishughulisha watanzania wacheni kuchezea amani waangalieni kenya ilivyo vurugu la muda mfupi lakini litawarudisha miaka kadhaa nyuma na Jawa mawakili hawana la kufanya
@rukiaiddyyahaya95062 ай бұрын
@@talibsaid8096 tusi gani alio tukanwa pengine kachora vibaya picha kaamua kuunguza,, kusema wa tanzania hatu ji shughulishi unatulidha weye,, ukome labda wewe una maisha magumu mwenzio nishajenga na maisha yangu tuu
@MfiriFulgensi2 ай бұрын
Kwahio wakenya wote wameshindwa baa?
@MfiriFulgensi2 ай бұрын
Alitukana tusi gani
@rukiaiddyyahaya95062 ай бұрын
@@MfiriFulgensi hapo sasa ana njaa huyu mkenya
@iddidandodando60633 ай бұрын
Safi Sana mliosimamia kuhakikisha chaula yupo huru,Hali ya maisha ni mbaya Sana.
@batashqiraa99363 ай бұрын
Kuna mijitu ipo serikalini mijizi ya pesa za umma lkn hawakamatwi wala hawashtakiwi, huyu mnyonge amechana picha tu na kusema ukweli kuwa maisha magumu amefungwa, yaani nyinyi mahakimu mtakwenda kujibu mbele ya Mwenyezi Mungu kwa kuwaonea wanyonge
@RechoMzava-gt7so2 ай бұрын
Kabisaaa na watahukumiwa kama wanavohukumu wenzao
@MfiriFulgensi2 ай бұрын
Anaetukana na mlarushwa nani mwenye madhara zaidi?
@SKY-fk3fz2 ай бұрын
TRA ni moja ya wahalifu
@dulaabdallarashid2 ай бұрын
Kenya twachoma hadi bunge na hafungwi mtu nyie picha tu raisi amepanik
@denicegaspar94792 ай бұрын
😂😂😂😂
@RahimaMct-ik8mr2 ай бұрын
Yupo sahih ndoman wamemchangia😅😅
@johnbidya1192 ай бұрын
Democracy zero..
@NuruJuma-zv3yz2 ай бұрын
Kenya hamjafungwa bali mliuwawa😊kufungwa na kuwawa vipi hapo
Wacheni ujinga kwani amechoma picha ya Mungu mnaacha kushughulika na mambo ya maana kuna mijizi huko serikalini mbona hamuishitaki
@KhadijakassimMwaipaya2 ай бұрын
Iyo pesa ingeenda mojakwa Moja kusidia wananchi
@KASSIMMHILU-oh5ch2 ай бұрын
Yani 😀😀 MIMI ndio mana Adi umeme nimeweka wangu tu mana serikali Hamna kitu
@HappyBooks-dj6oy3 ай бұрын
Watu wananyea Mavi picha ya Samia kwenye kanga mbona hamuongei.Sio kila mtanzania muoga.Safi sana bro.Salute
@nancolower_80322 ай бұрын
Ujinga
@AmourAmour-ux3nm2 ай бұрын
Na ya mama Yako ikifanyiwa mbele yako utasemaje samia ana familia yake
@HappyBooks-dj6oy2 ай бұрын
Uyo sio Mama yako ukilala njaa hawezi kukuletea chakula ila Familia yake hawezi kuacha walale njaa.Sio Mama yangu ni raisi tu kama Marais wengine
@AmourAmour-ux3nm2 ай бұрын
@@HappyBooks-dj6oy nakuuliz ni rais Lkn n mzaz wa mwenzako je angekuwa ni mama yako mzazi ungefurahia
@floraflora57172 ай бұрын
Uyo kwaza. Sio raisa alipigiwa kura lini uchanguzi ulifanyika lini mimi naamini tuu tazania akuna rais rais alikufa atujachagua bado
@jumahamadomar91242 ай бұрын
Kwa muujibu wa katiba ya Tanzania anapokufa raisi makamu wa raisi anachukuwa uraisi bila kupiga kura nyengine, kwani kawaida ya kura Tanzania mgombea wa urais na makamu wake wanachaguliwa pamoja kwa iyo ukisema hukumpigia kura unajidanganya,INSHA ALLAH mitano tena hata kwa shari maana kinachowauma ni asili ya huyo mama si jengine lolote wala hamukutarajia kuona raisi kutoka zanzibar lakini Mungu mkubwa ameficha tusivyovijuwa,kitawauma sanaaaaa na bado
@mariakabonga22 ай бұрын
😂😂😂😂 yaani uko sawa kabisa
@SmilingFlowerBouquet-hs2hv2 ай бұрын
We ni mijnga sana hatakama ujui kusoma hata picha huni@@jumahamadomar9124
@emanuelnisetas75102 ай бұрын
@@jumahamadomar9124 huyo mama hafai
@DottoMussa-ro6rw2 ай бұрын
yes,,nakuunga mkono na ndio maana Hana uchungu na ardhi yetu ama nchi yetu
@fettiemaganza14843 ай бұрын
Huu ni ujumbe mwenye akili na aelewe watu wanaumia maisha magumu
@FatimaAli-of4gh2 ай бұрын
Ni kweli yy kasema kweli maisha magumu shida ni ipi hata huku ulaya maisha magumu juzi tumepiga kura tumechagua kiongozi mwengine muhindi tumempiga na chini juu maisha magumu 😢
@PhilipoMwita-b2x2 ай бұрын
Kuna wezi wa CAG mnawaacha mnaenda kufunga mtoto
@elimuvisioncenter2 ай бұрын
😂😂😂 mtoto😅
@AnethMushi-c3e2 ай бұрын
😅
@harshkirit67803 ай бұрын
Safi sana. Hongereni watanzania wenzangu kwa kumsaidia ndugu yetu.. kuna mijitu serikalini wanatunyanyasa wananchi. Haya sasa wajiandae 2025 kama watapita hayamajitu PIPOZ PAWA...HAPO SAWA
@jaybajay99732 ай бұрын
Watapita maana wasanii wa sanaa totauti tofauti eanampigia Debe
@AmourAmour-ux3nm2 ай бұрын
Ingelikua Samia ni mama yako mzazi ungekuj kupongeza watu km unavyofanya juu ya mama w mwengin
@SalmaAthuman-hp3en2 ай бұрын
Mama samia umeona nguvu ya watanzania ndo ujue tumekuchoka
@MnubiMm2 ай бұрын
@@SalmaAthuman-hp3en nguvu Ujinga huo wangechoma ya Mama yako na kukashifu ungeshabikia hivi umechoka na Nani? Kwa nini mnakuwa mnapenda kuwachanganya watu kwenye mambo yenu ya na fikra zenu wewe na wenzio saw usifikili wa msifikili Kila unachoona sawa wewena wengine ni hivyo hili mnalo sifu ni Jambo la hivyo kabisa subili wazazi wenu waanze kuzaliliswa ndio mtajua
@NuruJuma-zv3yz2 ай бұрын
Umemchaka wewe,
@AbdallaMpambika-bp6ub2 ай бұрын
Acha ujinga wewe rais mwenyew hameifanya kesi iwe rahisi kama angeonesha amechukizwa uyo jamaa angekaa jera
@SalmaAthuman-hp3en2 ай бұрын
@@AbdallaMpambika-bp6ub milembe iko wazi muda wote muhimbili sibishani na vichaa
@SalmaAthuman-hp3en2 ай бұрын
@@NuruJuma-zv3yz tumemchoka ndiyo wewe anakusaidia nini 😂kichaa ww
@pyerinajilatu28842 ай бұрын
Mbarikiwe sana mnaojitoa kusaidia watu Kwa moyo wa upendo Atawalipa Mungu
@CeciliaShauri-vc7up2 ай бұрын
Kweli maisha ni magumu mno. Kuna baadhi wanakimbiwa na waume zao, mama wanabaki na watoto kwa mateso makubwa. Mungu tusaidie hatujui kesho yetu.
@rebekakulwa61592 ай бұрын
Anayeona ni vurugu ana maisha mazuri. Tunaoshindia buku tunafurahi sana
@AmourAmour-ux3nm2 ай бұрын
Angefanyiwa mama yako je
@Zainab-f9w5x3 ай бұрын
Musiwatukuze marais kama manabii
@Amirimwashembe2 ай бұрын
P1 na koment zte nzur za kumpongeza kijana au kuwapongeza waliomsaidia ila mm namuombea dua ya maisha yke usalama wake kua Allah amhifadh aise
@leahmagaiwa9099Ай бұрын
Na kweli kapote
@edsonnelson44643 ай бұрын
Uzuri amechangiwa na chenji imebaki amepata na kianzio
@EliaShirima-rh4wq2 ай бұрын
❤❤tumechoka utawala wa kikoloni watupe katiba utawala huu ni wa utumwani
@Rakim-y2z2 ай бұрын
Mwinyi alipigwa Kofi lkn alisema mwacheni huyo mtu asifanywe chochote hivi jamani viongozi tuangalieni nafasi zetu no mitihani tu wala sio raha kuwa hapo
@ayshasaid15472 ай бұрын
Hakimu rudisha pesa za fain kwani kamchoma rais au picha wizi ulokithiri tanzania yetu
@MageAwe-hl5zb2 ай бұрын
Ugumu wa maisha ni kweli jamani kadi kwenye umeme kodi kubwa sana
@BakariMtangenange3 ай бұрын
Jamani jamani inamaana Samia anahadhi kubwa sana kuliko Muumba watu wanamtukana Muumba mchana kweupe hatujackia hata kufikishwa kwa mjumbe
@BasiliClement-ql1yg2 ай бұрын
Napenda tu kutoa hongera kwa makanda wenye uchungu na nchi yao mawakili wameonyesha uzalendo juu ya nchi yao na wananchi kiujumla
@ThomasMmary-r7w2 ай бұрын
Umoja Ni NGUVU moja
@TeleziaMwaipopo2 ай бұрын
Safii Sana kijana Kwa kumchamba MTU xxxx😅😅😅
@danielkanso2 ай бұрын
Hawa watu wameshindwa kutatua mahitaji ya wananchi kazi kufuatilia mambo ya picha si ichorwe tena kwa raisi au ndiyo tuseme raisi amechomwa short mind
@RajaaRajaa-id5wx2 ай бұрын
Mm binafsi huyu rais cmpend
@Neema-m6s2 ай бұрын
😂😂😂😂
@barakanyanchama42972 ай бұрын
Msionee watanzania kwani hiyo picha ariyo choma niayamwenyez Mungu au niyamwanadam
@karimmveyange25583 ай бұрын
ASANTENI SANA WASHIRIKA. MBALI KIDOGO. LAKINI UMOJA NI NGUVU, NA MUNGU YUPO PAMOJA NA WENYE KUPAMBANA KWA HAKI
@leokamil62843 ай бұрын
Mchanganyiko kiakili maisha magumu wachache wanakula maisha, maumivu ya ndani kwa ndani mpaka mtu anaona liwalo naliwe
@MsJuniormjunyhandsomeboy2 ай бұрын
Mubarikiwe sana wapendw
@DottoMussa-ro6rw2 ай бұрын
hongereni sana watanzania hongereni sana sheria wetu,hamjawah kufeli
@dicksonkilupa22583 ай бұрын
Dogo wa Tz tumekuelewa na tumekupenda kwa udogo wako message imefika ila imegusa panapouma tuombe Mungu kwamba hawajakudhuru afya yako.
@MnubiMm3 ай бұрын
Hebu usiwasemee watanzania semea wenzio na wewe Mliofurahi Mama kutukanwa na kuona ni Jambo lafahali na furaha Mama Samia KUTUKANWA mjiandae Mama zenu nao KUTUKANWA au kuzalishwa Kama huyu alivyomfanyia Mama nasi tutafurahi na kuchangia pesa kwa ajili ya sherehe
@monicamwita78652 ай бұрын
Anajitambuà huyo kijani.
@lukomanomaliki54422 ай бұрын
Uchawa unakusumbua wewe sio bure.
@Mona-pn2pv2 ай бұрын
Pole watanzania kwaku kosa uhuru wenu mpaka picha piya 😢 Allah awasamehe na viongozi wenu
@LeloJonas2 ай бұрын
Hauna adabu kabisa una choma picha ya raisi
@ushindiushindi574920 күн бұрын
Wew unaadabu
@SalimKombo-xo4pq2 ай бұрын
Asante sana kwa kumsaidia huyu kijana.
@AminaHasan-n6l2 ай бұрын
Mama umeshachokwa achiangazi
@RobertNdaskoy2 ай бұрын
Kwakweli mungu azidi kuwa barick sana
@FrancisRM-ex8vfАй бұрын
Nawakubali sana wanasheria😅 Picha ilikua ya dogo maana aliichora mwenyewe na sio Rais... Mpiga picha wa serikali aseme kama ile picha aliipiga yeye😂😂 Tofauti na hapo hakuna uthibitisho kama yule ni Rais😅😅
@AmaniLukumay-wk6zm2 ай бұрын
Mungu awabariki sana
@donatiKimati2 ай бұрын
Tatizo katiba ya nchi imekaa vibaya rais anafanywa kuwa mungu
@MaywaTifurukwa2 ай бұрын
Watu wanalalamika watoto wanapotea , wapotezaji hawakamatwi ila wanalinda Picha kuliko uhai wa watu
@CretusMwalongo2 ай бұрын
Safi sana,ni uchawa tupu wote huo unao sumbua,yaani achore yeye afu ahukumiwe,mahakama zetu ni shida sana
@bbclondonulimwenguwasoka61263 ай бұрын
Una bahati angelikuwa mwamba sa hz ingelikuwa historia
@sylvestercameo62633 ай бұрын
Mwamba ndiyo kitu gani? Ni ujinga kusifia ukatili!
@bbclondonulimwenguwasoka61262 ай бұрын
Nikusifia au huo ndo uhalisia
@SanulaMustafa2 ай бұрын
Wakina januali na nape wao hawaukumiwi mnakuja kuonea wanyonge mungu anawaona😂😂😂
@fotunatusiMsongole2 ай бұрын
Mungu mlindee na wasiojulikanaa. Mungu anasamehee na wewe samehe
@zulekhamohamed34312 ай бұрын
Watanzania Wana njaa
@AliMahmoud-p7o2 ай бұрын
Nyinyi watanganyika rais wenu ni Nyerere tu.nduye muliyekuwa mnamheshimu.mna ubinafsi sanaaaaaa
@msemakweli2432 ай бұрын
Tanzania 🇹🇿 sheria zinawagusa masikini tu mijizi ilitajwa na CAG ipo tu CCM hatari sana kuchoma picha kesi inachukua siku moja na kifungo hapo hapo
@kichenjekichenje20723 ай бұрын
Hii imewapa picha kuwa watanzania wamechoka,na cku wakiamua ndipo haya majizi yatatuelewa vzr
@monicamwita78652 ай бұрын
Sahihi kabisa
@MwalimuAdamuАй бұрын
Vijana tufanye kz tuachane na mambo yasiyo na maana kwetu tusifate makundi
@hajjisanga7892 ай бұрын
Usirudie Tena dogo hapa sio Kenya tuna ustaarabu wetu kwahiyo uwe na adabu
@David-if6nk2 ай бұрын
Acha kututisha Wew bado mimi najiandaa kumyoosha huyo mama yako
@hiyanimsangi732 ай бұрын
Upo sahihi
@ShaahenAbas3 ай бұрын
Mimi niulize kwamba kwanini aliamua kujirikodi kama picha kachora yeye na kaona hana haja nayo kwanini ajirikodi ? Kwanini aongee kwamfumo wa hasira kivile mbona hapo anaonesha mpole kama sio yeye au siku anajirikodi alilewa ? Mipaka ya wanasheria ikoje hata kutete ujinga nakooo ? Kwanini watu wamemtumia hela ili atoke kama hajafanya kosa kwa fikra zao ? Maneno ya atakaye taka kuelewa Jee wee uko tayari kuchorwa ama kupigwa picha na mtu kujitokeza na kuchoma picha yako hadharani na kuitupa hivo jee wanao ndugu jamaa watakuona wee picha yako iliyochomwa ni kama siiichochote wala lolote Jee rais wetu picha yake ya kuchora ama laa kuchomwa moto ni sawa na kwa kejeli ya maneno kama yale ? Akiiachiwa hamuon tatizo litakuwa kubwaa wengine wataiga ujinga zaidi ya huo Kuchomwa picha ya mtu ni sawa na kuchomwa mtu kweli ,kwakuwa picha ni nusu uhalisia wa mtu Kama anatumika kisiasa hatuwezi kuamini ? Jeee mtu akiiba kwako ukakuta picha imeanguka kwa kumfukuza mwizi jeee hatua ya kuanza kumtafuta mwiz utaanzia wapi ? DNA inaonesha damu na mtu husika kwanini isiwe picha pia inaonesha uhalisia wa mtu
@hamidamussa-sy4fm2 ай бұрын
Wao wanakosea wanaiba pesa za uma wanafanywa nini Hao viongozi mtu anachoma picha kesi mungu ndio mtoa hukumu
@zulekhamohamed34312 ай бұрын
Mume wangu amechoma picha yangu nimshitaki??
@fatmakhanii16762 ай бұрын
Fanya haraka iwezekanavo ila ujue asipochangia fain humpati tena 😂😂😂
@marthakimia40752 ай бұрын
Mnamtania Mungu
@mosesmaduhutv79852 ай бұрын
Mtu wa Mungu Mungu huyoooo
@issakazi27582 ай бұрын
Kichaa na vichaa wenzake
@isayamwashibanda58193 ай бұрын
Umoja ninguvu
@Sawaka-v9b2 ай бұрын
Safi sana mawaziri wetu
@TuntufyeBrayson2 ай бұрын
Marahaba unthinking government
@MedsonUlendo2 ай бұрын
Wakati fulani wanao haribu taswila ya Rais ni watendaji wake wanao chukulia kila jambo kisiasa ushauri wangu watendaji waserikali kuna jumbe nikuzifanyia kazi kwa kuhojiana nao ili wajue namna yakumshauri Rais kwa faida ya nchi yetu na utawala bora
@jullythedone86152 ай бұрын
Ndyo maana watoto wa wafanya Kaz serikalini hawafanyi vzuri mashulen maana wanavaa na kula Hela za damu
@fetyalmas6982 ай бұрын
Na yeye alisema kbs anachoma kwa sababu Ana mungi, na kweli Mungu kamuona
@FEBRONIAFABIANIАй бұрын
Jamani tanzania tulikuw na amani ila kwasasa amani haipo ukifatilia swala la utekaji limezid usalama haupo na yote hay yanaumiza
@KassimKhalaid3 ай бұрын
Picha limeanza tz kazi iko africa viongozi mmpaka waache kutumiwa na magharibi plz atutaki ujinga
@MomyMomt2 ай бұрын
Kasema kweli bwana maisha magumu
@petermboje583920 күн бұрын
Dogo ungepotea mtaani ulifanya kosa la jinai ungetokomea
@jamalkishangu2 ай бұрын
Kwa hiyo mtamtuma akamtukane baba yake, mama yake au viongozi wake wa dini? Huyo dogo alikosea Watanzania hatujafika katika hali ya kuwadharau watu wazima achilia mbali kiongozi wa nje
@KamiliLyimo2 ай бұрын
Hapo.sawa.
@jkifutu79362 ай бұрын
CCM wengi wezi tufanyeni tuitoe mdalakani maisha magumu kweli tena kweli
@molenicharles91072 ай бұрын
Mmemlopia 5mls...je yeye ana sh. ngapi mfukoni yakuanziaa maisha...hatari HAWA ndiyo wasomi wetu wa Sheria tz.☹️☹️
@willymwaipaja67832 ай бұрын
Nchi hii naishangaa sana na kwa kweli inakwenda kubaya kwani imeacha maadili ya kwanza ya binadamu na kurukia madili ya kutetea viongozi na haki za binadamu zitokanazo na wazungu waliopotoka. Taasisi zinazoendesha mambo ya ushoga na upinzani dhidi ya maagizo ya Mungu hazichuliwi hatua kali. Ushoga na uinua juu wanawake dhidi ya wanaume ni uovu mkuu kuliko kuchoma picha ya Rais, japokuwa hilo nalo ni vyema. Miziki ya ovyo ipo huru kwenye mabasi na mitaani na kwenye TV; Wasichana na wanawake wanavaa mavazi ya uchi mitaani na maofisini lakini hakuna sheria au hatua zinazochukuliwa!!! Mfumo jike uko kazini duniani kwa matakwa ya shetani akiwatumia wazungu ambao nao hutumia wale wasiopenda kutawaliwa na Neno la Mungu.
@AllyKija2 ай бұрын
Ndo wajue wananchi wanechoka maisha magum serikari imeka kimya tu watanzania sasa tumechoka
@stephenwakunyala40042 ай бұрын
Dogo yupo freshi mama hatumwelewi kabisha Maisha Magumu
@VeronicaJoseph-h6h2 ай бұрын
Tunashukuru watz wote kumchangia kwa upendo swali langu hivi hizo hela zinaenda wapi?
@AmourAmour-ux3nm2 ай бұрын
Usiulize si mshalipa chetu
@MageAwe-hl5zb2 ай бұрын
Labda alikoseakuchora vizuri
@Enerygozbet2 ай бұрын
Mama samia mi nakupenda sana hila ukweli nimesoma sina kazi nimekuwa ombaomba lakini kwa neema ya mungu nilipata kazi ya private hila kiu yangu ni kuokoa vichaa na watu ambao wanamazigira magumu naomba nafasi nikuone
@Kabeya4102 ай бұрын
Nenda kalime kenge we Aridhi imejaa tele kalime mahindi vitunguu tumbaku nyanya kabichi kilimo ndo mkombozi wako acha kulalama hovyo wadomi wapo wrngi toka 1990 mpaka leo je wote hao eataajiriea wapi wenye degree, na diploma wengi tu. Fanya biashara anza na mtaji hata wa karanga au machungwa au vyombo. Ati ooo Rais naomba ajira ichumi unao umeukalia 😅
@DiwaniMwafongo3 ай бұрын
Mimi nimepika Picha ya Samia , sijachoma na mchuzi wake nikanywa....😢
@paschalsafari97473 ай бұрын
😂😂😂😂
@daviddouglas95653 ай бұрын
Hahahahaha vipi tamu ehn?
@DiwaniMwafongo3 ай бұрын
@@daviddouglas9565 taaaamu kama nini
@hafidhali30203 ай бұрын
Sasa ungejirekodi ingekuwa vizuri,ikiwezekana fanya tena halafu usisahau kurikodi na sisi tupo tutakuchangia once things are getting worse
@AbdalahMtambuka-rh1dp2 ай бұрын
nyinyi munao Pinga faini kweni yeye mtuumiwa kufanya vile lengo lake nini sikujiamin na kumzalilisha rais kweni cheo. Cha rais nikikubwa sana ata kama aumpendi. Aina aja umzalilishe kama ingekua Mimi u uyo mtoto ange potea kama walio potea wengine .uyo jeuli kweni nchi Ii yababayako .Mimi mbona magufuli nilikua simpendi ila sikusubutu kumzalilisha nilituza .ishima yake
@ConsalvaMumbara3 ай бұрын
Kachome tena
@RashidMohamed-j9p2 ай бұрын
Mwenye inch kashaga kuf
@stevenkatani30472 ай бұрын
Ay mgeeni kichwa hiii serikali xo Kama mzaniavo
@AbdulmalikFredrick2 ай бұрын
Vijana mnatumika vibaya Laisi Samia suluhuhasani Nilaisi muungwana ila nyinyi amjitambui angechoma picha Ya mama yake kwanza kuliko Kuchoma picha ya lais wangu Anaetea uuovu alioufanya uyu kijana Ajitambui
@josephshirima98362 ай бұрын
Eleza maana ya neno 'Laisi'
@joycefrances45162 ай бұрын
Tunaomba huyu kijana arudishiwe pesa zake,afanye mtaji,hali ni ngumu kweli,vitu vimepanda kila mahali
@josephmusagasa2 ай бұрын
Picha Tanzania bunge Kenya
@HasanooTozzy2 ай бұрын
Mbona kama bado amjamuachia awo jamaa sina imani nao
@SubirahKalamu-m6k2 ай бұрын
Mhhhhhh jaman nyie au mlimtuma!!!
@NuhuOmar-wx2ym3 ай бұрын
❤
@fridagustaphmwenda66582 ай бұрын
Funzo kwa wengine maana kama hali ngumu na hiyo milioni tano je ni ndogo? Tupatiwe Mikopo tufanye biashara tu inatosha.
@DouglasMkude2 ай бұрын
Itafika kipindi watajua awajui
@FIDELISMfugale2 ай бұрын
Kwan kuchoma picha Kuna shida gan Hii nchi some inaendeshwa kidictetaa
@AdiaOmari2 ай бұрын
😅😅😅😅😅😅😅 Duuuh nimejue kuchek Jamani et Kenya t mwachom bunge ss pich t tumepanic Duuuh khataei
@naturelle10972 ай бұрын
At least huyu sio mnafki
@KasalamaAlly2 ай бұрын
Huyo muhuni tu kama wahuni wengine chezea Dola we
@HoseaLuwoneko2 ай бұрын
Mawakili msipotoshe ukweli pamoja na kuchoma picha maneno aliyoyasema wakati anachoma hayakuwa kashfa kwa kiongozi Mkuu wa nchi.?
@hamidamussa-sy4fm2 ай бұрын
Hawo viongozi wanao kosea wawo wanafanywa nini
@AtuganileGodson2 ай бұрын
Huna njaa,mwenye njaa hajawahi kuwa na hekima hata siku moja na watu wakichoka hufanya chochote. Angalia mfano wa Kenya.Nazani ni Muda WA viongozi wa siasa kuangalia haki za wananchi na kugawana mkate wa Taifa. Hali ni ngumu sana mtaani wakati wengine waniba mabilioni na
@allyopi61012 ай бұрын
Kwahiyo hiyopesa yafaini iliyolipwa anapewa mama Samia au watu wanagawana kwaidadi
@JoshuakaruJoshu-pk3es2 ай бұрын
Ongera chaura umemshinda shetani ulikuasawa
@MeddyZambetakis-iq6pg2 ай бұрын
Pumbavu SAMIA SULUHU NA NYIE WOTE WAPUMBAVU ,ELIMU HAMNA 😂😂😂 ,NIKAMATENI MIMI,
@malimilandegemabunhi85282 ай бұрын
Kweli hii nchi,usipokuwa makini unawezapelekeshwa Kama kuku,watu wanacheza na media siku hiz,huyo kijana ni askar,wanatuchezea filam tuu yaani ni maigizo tuu,