Singeli huenda ni mziki mkubwa saana kuliko Amapiano🔥🔥🔥🔥
@shabanimudi Жыл бұрын
Nakubaliana na wewe
@salumuseif3324 Жыл бұрын
yah njoo uswaz uone
@feyxalbarry4595 Жыл бұрын
Shida hatujui kubrand vyakwetu mm Huwa nakaa kujiuliza tunatafuta mdundo wa Taifa wakat tuna singeli haiimbwi popote Zaid ya tz Sasa Kwa Nini tusiifanye kuwa ndio ya Taifa kma ilivo amapiano Kwa sauzi
@ExseviaSamwel Жыл бұрын
Exactly 💯 hasa kupitia creativity za aina hizi👍👍
@stevengeorgetibenda1647 Жыл бұрын
lakini akili zetu zipo makalioni tunajua kugeza za wenzetu mara amapiano mara kwaito
@sharafimohamed5937 Жыл бұрын
Kama unaamini huyu jamaa mwamba like hapa 😊🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@abdyissaabdi108 Жыл бұрын
Not unstoppable 🎹🎶👊
@fideacynthia26904 ай бұрын
😂😢😅😮 6:35
@rechokizumbe7314 Жыл бұрын
Sipendi mziki ya hivi ila kupitia huyu kaka nimejikuta namfatilis Sana Mungu akutangulie Inshallah ❣️
@shyfettymtunda4619 Жыл бұрын
Mimi pia jamani.😂😂😂😂We Miso Misondo
@emilianapaskal7319 Жыл бұрын
Kumbe tuko wengi
@denicymichael6284 Жыл бұрын
Eh misso misondo UmepigajeAPO!🧐🥳🕺🏻🕺🏻🕺🏻⌨️⌨️🔥🔥
@jeremiapeter683 Жыл бұрын
Mimi napenda hapo Anapo sema.Ume pigajee hapo? Pacome wa Yanga.😂😂🙌🏿 mweeh!
@williamdetkvant1313 Жыл бұрын
Hyo ndio unatuonyesha utamaduni wetu
@esterdavid4190 Жыл бұрын
Bongo ukiwa serious mafanikio utachelewa sana big up misso
@victoriacharles2053 Жыл бұрын
Anafanya udj kwa feeling inaonesha n kitu anakipenda big up misso🎉🎉🎉🎉🎉
@clementmdoe2211 Жыл бұрын
Hakika Majizzo anajua vipaji. Chalii amekuja kuongeza kitu hapo Efm. Big up sana bro Majizzo kwa kuinua vijana
@zeddymourice4249 Жыл бұрын
Huyo dj sio wa efm bhana,wamealikwa hapo ndio dj kapewa mashine akiwashe.
@imanuelmkinga1294 Жыл бұрын
@@zeddymourice4249 bro kashapewa kazi anakipindi Kila jumanne
@laurentmbuya5882 Жыл бұрын
@@zeddymourice4249nadhan watakuaa wamemuajirii awaez achaaa ela kama iyo ipiteee kizembe jamaa ni elaa tupuuu saivi uyooo😂😂😂😂
@MejaBoy Жыл бұрын
Hatali
@ashurajengela3926 Жыл бұрын
yani awa madansa wake me ata awanichoshi kuwaangalia wananipa rahaa apo limekosekana vumbi tu panoge zaidi 😂😂😂
@UmmyZakiah Жыл бұрын
Itabid hii show irudiwe halaf wachezee pale nje tuone vumbi😂😂😂nyiee Raha sana
@ShaziliMilanzi-oq8xj Жыл бұрын
Aiseeeh Kila kitu na wakati wake now ni wakati wako bro mungu akubarik sana na abarik kazi ya mikono yako🙏🙏
@RamadhaniAlphani-j6g Жыл бұрын
Huyu mtoto anahatari sana hongera majizo huyu mtt ataisogeza sana singel
@Joekwid960 Жыл бұрын
Talent 100% Good Music 100% Vibe 100% Makoti 100% Vumbi 0%
@harounreg1137 Жыл бұрын
We misso missondo!! Umepigaje hapooo 🤯🤯🤯💣💣💢
@kaizerabilahi5958 Жыл бұрын
Wakusini tuna weka hapa like zetu jaman 😂
@williamgeorge-hd2tn Жыл бұрын
When you get a chance do it to the fullest..normally golden chance can not come twice. Bigup nigga❤
@khamisbk8569 Жыл бұрын
Fact
@susanlazaro8956 Жыл бұрын
😂😂😂😂😂Vionjo vyake vimemfanya watu wamfatilitilie utafika mbali mdogo wangu Misso🔥🔥🔥🔥🔥
@EmmanuelJeremiah-r2s Жыл бұрын
🎉🎉Nimeanza kuuelewa huu mzk kuptia dogo miso
@abduratifu5802 Жыл бұрын
Aiseee mwamba anajua sana kucheza nahizo keyboard bgup sana wakati ni wake huu weeeh misso unapigaje hapo🏃🏃🏃ngoja niwahi efm kumenoga huko no🔥🔥🔥
@hamzaathumani1573 Жыл бұрын
Hatari sana🔥🔥🔥🔥🔥
@kassimkambi7122 Жыл бұрын
Sijawai sikiza fm za bongo lakini Leo nimesikiza juu ya huyu DJ🔥🔥🔥🔥
@hyasintndimbo2998 Жыл бұрын
NIlijua tu hapo EFM patawakaaa😅,, Basi hii IMEENDA.... UMEPIGAJE HAPO
@jamilamsafiri2501 Жыл бұрын
Nawaza tu pasije pakatimka vumbiiii apo we misoooo weeeeeeee 😂😂😂❤️❤️❤️❤️❤️❤️
@rechokizumbe7314 Жыл бұрын
Umewaza kama mimi🤣🤣🤣
@alfredymalata269 Жыл бұрын
😅😅😅😅 Ndio nilichowaza wamewanjima vibe lao la vumbi 😊😊
@azizymachadeson3577 Жыл бұрын
Hapo ukiwaachia lisaa mama angu ukikuta Tile's niite mmbwa nmekaaa apa ani fumbi lisipo timka 😂😂😂😂 ni tope la volkano
@mosesregnald7117 Жыл бұрын
I really appreciate him,thankyou Mr Majizzo for realizing his potentials
@paulndomba1247 Жыл бұрын
Another biggest star in the music industry is taking over 2024
@cleopajackson9934 Жыл бұрын
😂😂😂Nimeanza kupenda Singeli ghafla Ee Mungu nisamehe Mbwa mimi😢😢
Unyama sanaa misso na wajuba wa Makoti Raha ya ngoma wachezaji🏃🤸🤾🤣🤣💯🤝
@filipejohnchuma1985 Жыл бұрын
Mais força Misso Missondo💪 Deus te abençoe ❤🇲🇿
@subiraaddo864 Жыл бұрын
Miaka hii talents kwa vijana wadogo zimekuwa nyingi sana Tz lakini bahati mbaya baada tu ya kuonekana na vipaji vijana wanajisahau na kujiingiza kwenye maisha yaliyojaa michanganyiko na hekaheka za huu ulimwengu yanayowapa stress na kupoteza maisha yao kwa depression😢 vipaji vinapotea wakati watanzania bado tunavihitaji 😥, huyu dogo ana talent kubwa sana ushauri wangu usijichanganye na mahangaiko ya ulimwengu stay focused linda afya yako na epuka depression, utafika mbali sana🎉🎉🎉
@barakaleader1550 Жыл бұрын
Aiseee God knows how to bless his people banange
@PeterWillypnk Жыл бұрын
❤❤❤❤❤ Safi sana Misso Una Atareee mwanetu...Wakati wako Now Mungu Akubaliki Kazi zako Ni 🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@EdsonMwandikile Жыл бұрын
Sifa zote apewe mkurugenzi mtendaji wa efm & tve big boss majizzo kwa kazi anazo fanya kuinua vipaji ❣️❣️❣️
@BarakaAlaka Жыл бұрын
Big up bro your very talented and you love what your doi it when you get chance use to shoo poeple what you have ilove you broo we are together never give up
@fbensony Жыл бұрын
Hongera kijana umejitafuta umejipata na unajiweka sehemu sahihi kwa kipaji chako
@Mapatina Жыл бұрын
Efm munaweza sana kufikilia Danger music Apa
@innocentswai6239 Жыл бұрын
Ukiwa gym ukiskia hii mixing hakika hauchoki vibe kama lote
@sokastreet Жыл бұрын
Misso misondo una balaaa ntakupa dadaa😅
@ritapiusnicolaus7068 Жыл бұрын
Vaibu la kutosha 🔥🔥💃🏼💃🏼💃🏼💃🏼💃🏼💃🏼💃🏼Nimewapenda❤️❤️❤️❤️❤️Mungu azidi kuwafungulia mfike mbali🤲🏼🙏🙏
@maishamapenzimikasa7149 Жыл бұрын
We Miso missondo umepigaje hapo💪🏽💪🏽💪🏽 Big up sana
@zahrababygarl1568 Жыл бұрын
Hii kubwa sana efm Mwenyezi Mungu awabariki sana ❤❤😊
@ShadidaIssa-u7z Жыл бұрын
Wa kwetu❤❤❤❤❤❤nakupenda tu jamn missooooo❤❤❤
@darhustler Жыл бұрын
All the best to Misso na wanae, 100% is good
@MchomvuSuphiani-sl8ei Жыл бұрын
Mwamba Sana kipaji ✅ nmeipenda
@JosephJohn-zz1yk Жыл бұрын
Misso Ivo mwanang nikiwa nmm dj katoto nyambe mtwara❤❤❤❤
@MrishoMakamba Жыл бұрын
Miziki yetu hii ya kwetu kivyetuvyetu daah nakumbuka vigodoro so poa miso una mizuka balaa sample atarii 🙌🙌🙌
@SalamaNauthar Жыл бұрын
Nawapenda balaaaaaaaa❤❤❤❤❤
@AmirKassim-vq8th10 ай бұрын
Mmmh aisee misso 2seme2 umetixha ❤❤❤❤🎉🎉🎉
@mohamedihatibu3524 Жыл бұрын
ÙNYAMA SANA ,uyu mpeni show ya nchi nzima aisee ,mtapiga pesa sana @EFM
@EzzyEddy-il3ce Жыл бұрын
Wazo Zur nshawah kutoa comment ya hivyo kwamba jamaa aandaliwe shows za mikoan kwa hisani ya EFM watapiga hela
@zaiduothmani5771 Жыл бұрын
Kuna jamaa apo nikimuona uchezaji wake nacheka atar😂😂😂 wamwisho kuingia
@DannyMasuka-ut4oq Жыл бұрын
We miso misondo umepigaje apo hunyahiya🤣🤣🤣🤣🤣
@joshuamuro9494 Жыл бұрын
Amapiano now bye bye through the heavy weight dj MISO MISONDO
@shomiydizo7573 Жыл бұрын
Jamaaa anablaaaa sana heshima yakoo majizo
@AishaAloni-j9z Жыл бұрын
Mpaka rahayaani hongera Sana kijana😆
@aaminaasljbgbvf745 Жыл бұрын
Kumekuchaweeeeeeeeee😂😂😂 sutdo kuna kunatifuka vumbiiiii😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@AllyMasoudi Жыл бұрын
We Miso umepigaje apo unakipaji utafika mbali kilinde kipaji chako nacho kikulee kwenye maisha yako mashabiki zako leo hatukudai umetuletea wanetu wa makot imekua pw wik iliyopita ulikua unahojiwa kuhusu wazee wa makot ulijibu kua watakuja unafanya maandaliz leo kweli tumewaona hongera ata leo mwenyewe nakuona unavaibu la hatar wanao wamekuja
@idreamfoto Жыл бұрын
Msenge Hapoi 🔥 🔥🔥🔥🔥🔌
@charleschito6341 Жыл бұрын
Ebna Home BWAY kongole za kucheba, kweli wakati huwa unatoa maamuzi na ndio umefika kwko.... poa sna
@joakimndanga1170 Жыл бұрын
Kama umesikia kichina jipige kifua😂😂😂 misso misondo🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@carlitacelestino5548 Жыл бұрын
Deus abençoe irmão 🇲🇿❤🔥🔥
@frolakamwela-fr5zn Жыл бұрын
❤❤❤❤❤❤❤❤
@Paplick9 Жыл бұрын
Miso misondo is the miracle 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@SaniaMustapha-w7c Жыл бұрын
2020 nilikutana nae ndanda alinifanyaa na Mimi nichezee bila kupendaaa
@JumaMohamedeLaisse Жыл бұрын
Misso força aí meu jovem,umepigaje hapo?
@LPBRANDSTUDIO Жыл бұрын
yani video za miso ndio zina Views wengi kuliko zingine😂😂😂😂 weeeee Misso Misondo Umepigaje Hapooo