Shenzy sana wabongo comments chache sana tokea mwaka jana...kazi kumtazama amber rutty
@husseinjarufu50475 жыл бұрын
hhaahhhaah🤣 kweli ndugu
@mussambyana10354 жыл бұрын
Ha ha ha ha watz hovyo saaana
@raymondbashaka59484 жыл бұрын
hahahahaaaaaaa
@Pedeshee014 жыл бұрын
Amber rutty naye eti ni legend?
@MkaliMaliyaga-hi6yg Жыл бұрын
Shenzy sana wabongo
@kingsoboropayani51272 жыл бұрын
Kuna kitu nimemuelewa Balozi kwamba yeye ni hip-hop sio bongo flava.. salute sana legend (hip-hop)never die
@fazeelshomary87436 жыл бұрын
Jamaa anaongea sense sana, LEGEND!
@danielwerema236 жыл бұрын
kiswahili mwanzo mwisho, japokuwa anaishi state,
@zaudatmakula34546 жыл бұрын
Daniel Werema kawaida watu wanajua english vizuri hawana hashuo sio hawa akijua neno moja basi hujifanya hata kiswahili kinampa shida
@mtanzaniamzalendo70014 жыл бұрын
Sio tuu anaishi state jamaa Ni familia Bora kitambo sanaaaa
@Waberoya4 жыл бұрын
@@mtanzaniamzalendo7001 tangu anazaliwa wazazi ni mabalozi wanaishi nje ya nchi
@ramadhankhamis14933 жыл бұрын
@@mtanzaniamzalendo7001 62 68342
@Chemba676 жыл бұрын
Legendary Dola Soul.....niliangalia video yako moja ukiwa Bronx...
@stepheng97655 жыл бұрын
Salute to Diplowmats DPT👍Respect kwako baloz dola
@bigwhipy91147 ай бұрын
Mziki Ulianza Kufa Pale Radio Djs Ambao Hawana Spirit Ya HipHop Moyoni Walipoamua Kuwa Ma Managers Wa Wasanii Dats Y Wakajikuta Wanatoa Airtime Kwa Waimbaji Tu Badala Ya Wachanaji Media Iko Na Nguvu Sana Ya Kuskuma Content Yeyote Hivi Sasa Wanatupa Content Za Aina Moja Tu Since Then Na Zingine Sasa Ni Wack Contents
@kiuwamhina28025 жыл бұрын
Hajasahau wadau wake wa bongo safi Sana legend
@jimmyx84124 жыл бұрын
Halafu mnaanza kuongea ongea ujinga tuu, Nick wapili ndio msanii msomi,. Nadhan mmewasikia wasimi sasa
@eddydben2 жыл бұрын
Sana kaka
@mohamedamir78314 жыл бұрын
Dah nilikua nawaza sana balozi dola soul yuko Wapi? Maana huyu jamaa ni moja wa marapa waliocha alama kwenye mziki huu Leo hii umenufaisha wengi Balozi a.k.a mtaalam
@kadrihussein1526 жыл бұрын
Nakukubali sana sky mtafute na imamu abbas
@jelasnkoma42404 жыл бұрын
Balozi yuko vizuri kwenye interview
@bongeone4 жыл бұрын
Balozi dola soul... Last Legend
@godfreymbukwa69212 жыл бұрын
Akil kubwaaa sana
@jisamjoseph45584 жыл бұрын
Ilikua Balozi Dola soul,Mr II,Saigon na Triple dogs
@husseinjarufu50474 жыл бұрын
Dpt na Mr ilikuwa combination ya hatarii..🔥
@majaliwaandulile83793 жыл бұрын
I'm appreciate brother
@salimkaole2471 Жыл бұрын
Respect to you legend
@athanasmgungusi99965 ай бұрын
Heshima kwa Bradha Balozi doll soul
@bushzerahamusic47626 ай бұрын
Bro uko juu
@ahmadyrotty54783 жыл бұрын
Respect bro dola soul
@othumanlorenzo2606 жыл бұрын
Sana kbs
@marthalufingo70544 ай бұрын
Kwenye chati ni bonge Moja la ngoma nilie wahi kuisikiliza mfululizo Kwa muda mrefu sanaaaa
@moziidavchonchi33383 жыл бұрын
Nawakubari sana
@youngdula54093 ай бұрын
Legend
@kaporosalum61235 жыл бұрын
Dulla Soli jembe sana hili
@peternansio53056 жыл бұрын
hatari sana wakongwe hawa
@therevolutionbrandtanzania49094 жыл бұрын
Dpt for life
@sabrenamputa2894 Жыл бұрын
Hip hop ❤❤
@pesangwasalim52583 жыл бұрын
Sam stigid yeeeah r.i.p braza
@johnmgejwa97544 жыл бұрын
Mziki ule kwenye chati huwa unanikuna sana.
@Skomi-0nedayyes4 жыл бұрын
Salut brother umetisha wengi wamepita ila ww bado upo balozi
@mandyfitnesstv67386 жыл бұрын
Safi
@kelvinallen83954 жыл бұрын
Dola soo, balaa tupu.
@shukurkatembo28074 жыл бұрын
Heshima kubwa
@anwarfundi57484 жыл бұрын
Solute
@mohammedally51854 жыл бұрын
Brother mpaka umesahau swahili..!!
@Waberoya4 жыл бұрын
Kazaliwa familia ya kishua, mchawi umeanza, kazaliwa unyamwezini huyo, sio kuwa aliimba hiphop kimaskini na hajaongea kiswaenglish hapo