THE CLASSIC SAIGON: MIAKA 32 YA NDANI YA GAME/MIAKA YA GIZA YA RAP KABLA YA BONGOFLEVA/KUZALIWA DPT

  Рет қаралды 21,381

KuviFacts

KuviFacts

Ай бұрын

Saigon ni mwamba kabisa wa Hiphop Tanzania amekua kwenye game kwa miaka 32 sasa na amefanya mengi kukuza Hiphop Tanzania ikwemo kufanya kazi kwenye vyombo vya habari na kusaidia ukuaji wa wasanii wengi sana,amefika kupiga nasi stories muhimu za maisha yake

Пікірлер: 105
@abdulengadumwala8025
@abdulengadumwala8025 Ай бұрын
Saigon is the Fckn Genius ,jinsi anasikiza kwa makini, anaongea kwa tones, kupanda, kushuka,kusisitiza na swaga. The way anaelezea na kufafanua jambo. Mjuzi wa lugha, anatamka maneno kwa usahihi kabisa, kifupi jamaa ni hazina. Big respect to this man ebana Oi!!
@Basagamp4
@Basagamp4 Ай бұрын
Aaaaamin
@othumanlorenzo260
@othumanlorenzo260 Ай бұрын
namsikiliza na kumuangalia hapa
@joshuamuro9494
@joshuamuro9494 Ай бұрын
Jamaa anajua sana nilitamani Majizo amvute Efm
@hassanhassan1019
@hassanhassan1019 Ай бұрын
Anajua sana
@abdulrajabu8252
@abdulrajabu8252 Ай бұрын
Ooooi saigon badest bigtime
@jameskinuthiamunene6356
@jameskinuthiamunene6356 Ай бұрын
Nlimjua kwa show yake ya hip hop kali EATV...legend...salute toka Kenya
@verbalverbal2019
@verbalverbal2019 Ай бұрын
Eee bwana Jabir hao wamba walikuwa wanafanyiwa video na ITV, nyimbo zote :- Tururuke Kwa Furaha, Word is Bond, Are You Down... Na rap za Era yao yote zilikuwa na video za ITV, mi sina connections ila wewe unaweza ukampata mtu kama Nicko Track asaidie kujua kama bado zipo pale ITV... Kuna historia kubwa sana itapotea (kama haijapotea tayari)... Kama zipo zitunzwe properly
@zuberyaunda5263
@zuberyaunda5263 29 күн бұрын
Exactly umeongea fact
@mohammedabdallah9692
@mohammedabdallah9692 23 күн бұрын
No comments with this dude....!!!! Saigon Kalinye ''oy'' Monster. Aajeeb saNA...!!
@officialmrdeo8116
@officialmrdeo8116 Ай бұрын
Kuvi Misuti Please Please Tuletee na Jose Mtambo asee
@fongaamike2768
@fongaamike2768 Ай бұрын
nilisha mwambia. Ila ana sema jamaa ni ngumu kumpata yani ataki kufanya interview. msanik wangu bora kabisa
@khalifasaid1131
@khalifasaid1131 Ай бұрын
Mzee wa kigambonino msanii wangu wa miaka yote
@FranklinMtei
@FranklinMtei Ай бұрын
Kwa kweli, amlete muasisi wa commercial rap
@NotiAbdullah-d1f
@NotiAbdullah-d1f 17 күн бұрын
Much love my brother saigoni sale Allah akuweke unajuwa
@Chemba67
@Chemba67 Ай бұрын
Legendary......wapewe maua yao ...hawa ndio waliochora ramani........♨♨
@yudaogonyi2383
@yudaogonyi2383 Ай бұрын
OYAAAAA . Baada ua interview na j moe nilitaka kukuandikia kuwa nataman umuite SAIGON … eee bana ulkua unaish akilin mwangu. Umetisha sana broo
@user-zy2vg6kl1s
@user-zy2vg6kl1s Ай бұрын
Daaah huyu ni Shekh wangu,pia nakubali anachokifanya kabla sijamjua kama ni Sheikh,but ALL IN ALL ALLAH ATUPE MWISHO MWEMA.NAMPENDA KWA AJILI YA ALLAH
@Basagamp4
@Basagamp4 Ай бұрын
Aaaaamin
@westcijosh
@westcijosh Ай бұрын
Saigon ana jua kuelezea stori sana alafu ndani yake anafurahisha pia😂😂
@prophdj
@prophdj Ай бұрын
Saigon the legend,kwangu Mimi humuona kama our African DMX kutoka na Ile style yake ya rap
@maxmiletz4563
@maxmiletz4563 Ай бұрын
Mwamba alikujaga secondary mbez makonde kipind nipo kidato cha 1 akaturecod kipind Fran cha kuchagua nyimbo east Africa redio kwa mara Ya kwanza niliuza sura Kweny luninga😅❤
@kingkizeve1973
@kingkizeve1973 Ай бұрын
Is Among the people who have made a Mark in Hip Hop Ooi ooi
@boitumeloboitumelo8038
@boitumeloboitumelo8038 Ай бұрын
Big up kaka mkubwa leo na msikiliza saigoni ebwana oiii ebwana mzukaaaaa maua ya pokeka kaka hip hop bila madawa ✊🏿✌🏿👊🏿💪🏿
@kakorejrboyz6447
@kakorejrboyz6447 Ай бұрын
Oi ..Oi ..Oi.. SAIGON longtime sana Mnyamwezi sana
@johnrichard5482
@johnrichard5482 Ай бұрын
Eeeeebana Daaaah Oi Oi Oiiii.. SAIGON..🔥🔥🔥 SALUTE TO Former MC's #Saigon_Diplomats 🙌🙌🙌🙌
@bernardmunuo2137
@bernardmunuo2137 Ай бұрын
Moja ya mc wakali na nimoja ya best tv presenter during my childhood
@kherisalum6304
@kherisalum6304 Ай бұрын
Hip Hop Base enzi hizo inaruka channel 5 Aisee 🫡🫡🫡🫡shout out to the legendary Saigon
@khalidgugu4964
@khalidgugu4964 Ай бұрын
R.I.P mwalimu Lukinga
@jojigeorige1056
@jojigeorige1056 Ай бұрын
Rolling back those years... a lot of mixed emotions! Ila maisha yale ilikua ni ya furaha sana...
@lucianoluciano6795
@lucianoluciano6795 Ай бұрын
...kwa sisi tunao watch youtube tusikilizishe hizo nyimbo hata kwa 10sec
@vincentmaholo9179
@vincentmaholo9179 Ай бұрын
Bonge la show, bonge la mcee ever! Naomba kupata hiyo album
@ksonrap
@ksonrap Ай бұрын
Oiiiioii Kali Ni Kali Fikra Pana Namsayin'... It's Saigon Youh!!!✍️🫡🫡
@allysudi4429
@allysudi4429 Ай бұрын
Happy sozi again yan tena...ooohhhiii ooohiiii mzukaa# saigon💥💥
@mohamedhamisi9766
@mohamedhamisi9766 Ай бұрын
Huyu mwamba mwanaharakati sana wa hip hop
@erastotweve2586
@erastotweve2586 Ай бұрын
Nakukubali Saigon! Hop uturekodie ngoma mpya!
@christopherjames3684
@christopherjames3684 Ай бұрын
Saigon noumer sana legacy ya hip hop east Africa
@Jabali_Media
@Jabali_Media Ай бұрын
Saigon ana Ngoma yake moja inaitwa POVERTY hatari sana 🔥
@ericdeogratius970
@ericdeogratius970 Ай бұрын
Mchizi mtoto wa mjini sanaa ana madini kinoma
@kaundasutikaunda7769
@kaundasutikaunda7769 Ай бұрын
NAMKUBALI SANA KAKA SAIGON
@DaudiSaid-bj7dh
@DaudiSaid-bj7dh Ай бұрын
Hawa ndo waasisi wa hip hop Og must respected. Namkubali sana brother wangu sijui Yuko wapi siku hizi
@maprojectalltrends1296
@maprojectalltrends1296 Ай бұрын
Bro tunaomba The Classic kwenye TV....
@mellahcoffee
@mellahcoffee Ай бұрын
Kipindi namfatilia sana Saigon nkawanajiita na jina lake kama nickname kakaang akasema usije ukawa kama yeye. Lakini baadae Saigon akaancha mziki akawa mtu wasala sana😂
@karibuautotanzania3979
@karibuautotanzania3979 Ай бұрын
Saigon wa Mandela Court alikua hatari sana.nakumbuka enzi zetu za uk wazee
@user-pp7ug2bc1y
@user-pp7ug2bc1y Ай бұрын
Nakumbuka sana, Forodhani the thing mlikua manzingatia maswali ya Lukinga? Alinisaidia sana Physics na Chemistry
@DaudiSaid-bj7dh
@DaudiSaid-bj7dh Ай бұрын
Saigon uwezo wake katika hip hop Bado hakuna wakumlinganisha naye ila kwa wanaowajua.
@emmanuelbarnabas2577
@emmanuelbarnabas2577 Ай бұрын
Makelele atusikii interview ,,sijui efm imekuaje,,tangu hii kitambo mipya,imekuwa NI shida,na pia mpaka TV,sauti zimekuwa azitoki sweet
@stevechampion6559
@stevechampion6559 Ай бұрын
LThe Living Legend SAIGON
@kennethbenjamin275
@kennethbenjamin275 Ай бұрын
Paul beda alisoma agakhan nakumbuka
@VisenthYohana
@VisenthYohana Ай бұрын
King crazy gk hapo ndo aliye baki CEO wa east coast team
@afreecastzaxie
@afreecastzaxie Ай бұрын
OOOIII OIII Saigon... ebwana daah
@jeverinopembe7945
@jeverinopembe7945 Ай бұрын
Namuomba Joze Mtambo Mwana Kigambonino
@SipeKato
@SipeKato Ай бұрын
Haa Saigon Karne Karne ww kaka wapi ulipoterea hata mm nilikuwa nakufatilia kipindi hichoo
@ricchjamez
@ricchjamez Ай бұрын
Mmmhh is the classic way up 🙌
@kalutaabedi2742
@kalutaabedi2742 Ай бұрын
Mama Rudia ana watoto wawili,wa kwanza anaitwa Tena wapili anaitwa nani???ah ah😅
@atenionesmo_A10
@atenionesmo_A10 Ай бұрын
aah ahh rudia😅😅
@rajabulyanga8438
@rajabulyanga8438 Ай бұрын
MY Role model ✌✌✌
@cholobrighter104
@cholobrighter104 Ай бұрын
Safi sana ✌️
@jacksonmsendo3478
@jacksonmsendo3478 Ай бұрын
Saigon marapa wa mwanzo kabisa miaka ile
@muddylikwena128
@muddylikwena128 Ай бұрын
Tuletee dark master mzee
@iamzillahx6901
@iamzillahx6901 Ай бұрын
Alishapitaga kwenye kipindi
@Blacksamitz
@Blacksamitz Ай бұрын
Oioioio ebwana daah 💯
@dullahsimbaulanga6472
@dullahsimbaulanga6472 Ай бұрын
>>>Eenh bhaana Daah
@shenamtukufu1224
@shenamtukufu1224 Ай бұрын
Kalinye
@DaudiSaid-bj7dh
@DaudiSaid-bj7dh Ай бұрын
Mzee wa oiii oii dadadaaaa
@DaudiSaid-bj7dh
@DaudiSaid-bj7dh Ай бұрын
Kaka bongo palikuwa sio mahali pako kabisa. Level zako nyingine kabisa. Ila watz hawawezi kuelewa maana wakata viuno wameteka akili zao.
@braggadachu1723
@braggadachu1723 Ай бұрын
Kwo kuvichaka na suti😂
@ubuntubantu2404
@ubuntubantu2404 Ай бұрын
Hichi sio kipindi ni makumbusho ya sanaa ya tanzania
@KuviFacts
@KuviFacts Ай бұрын
🙏🏾
@salumuathuman5286
@salumuathuman5286 Ай бұрын
wa kigambonino ahusike kwenye pindi
@KalamuYaGalana
@KalamuYaGalana Ай бұрын
Saigon Aminia.... Malindi Kenya
@udizungwahimalaya5213
@udizungwahimalaya5213 Ай бұрын
Oiiiiiii ebwana oiiiiiiiii saigon
@famakasari
@famakasari Ай бұрын
Nipo nairobi wanakataa kua Jamaa NI mbongo😂😂😂😂😂 anavyo freestyle kimarecani
@aboubakarmahmoudmashaka696
@aboubakarmahmoudmashaka696 Ай бұрын
Imekuaje
@aboubakarmahmoudmashaka696
@aboubakarmahmoudmashaka696 Ай бұрын
Saigon c alikua ustaaadh huyu
@kakorejrboyz6447
@kakorejrboyz6447 Ай бұрын
Ustaadh WA nn
@hundredcopies2719
@hundredcopies2719 Ай бұрын
Aliacha mziki akawa sheikh na alikuwa anatangaza Redio na Tv Iman ya Morogoro
@meckpro5574
@meckpro5574 Ай бұрын
​@@hundredcopies2719namimi nashangaa kumuona kafanya tena mziki
@hundredcopies2719
@hundredcopies2719 Ай бұрын
Dunia inadanganya watu ... Alikuwa anatumiwa sana kwenye midaharo ya dini kwa lugha ya kingereza sababu anaongea kingereza kizuri
@mugadimon3563
@mugadimon3563 Ай бұрын
Aliacha muziki akawa ustaadh. Lakini jamaa ni hazina ya mziki wa nchi hii.
@andrewmmbaga1665
@andrewmmbaga1665 Ай бұрын
🙌🏽🙌🏽🙌🏽🙌🏽🐐
@YusufuAbas
@YusufuAbas Ай бұрын
Anaumwa saigon huo uso vipi?
@AgustinoAlexander
@AgustinoAlexander Ай бұрын
Ni uyu mimi
@jacksonmsendo3478
@jacksonmsendo3478 Ай бұрын
Uyu jamaa alikuwa mnoma sana slang imetulia ila kama anaumwa saivi alikuwa bonge la handsome
@joshuamuro9494
@joshuamuro9494 Ай бұрын
Yah inaonesha hvyo, jamaa na mkubali sana kwa Lugha na Swagaa ni mtu mbad sana
@AlexMosha-ci5uq
@AlexMosha-ci5uq Ай бұрын
Tv Gani 1994 Tanzania 🇹🇿🧠🤔 ilikuwa inaonyesha
@Sean1877
@Sean1877 Ай бұрын
CTN
@omarmkumba3547
@omarmkumba3547 Ай бұрын
Saigon
@JijoAce
@JijoAce Ай бұрын
Kipindi kile Dah Saigon what is Born
@yusufsuwi5350
@yusufsuwi5350 Ай бұрын
Ni km cku nne zilizopita nikasema nimsachi huyu mwamba you tube baat namuona hapa daa mnyamwezi sn huyu Namkubali
@REVOLUTIONARYLYRICS
@REVOLUTIONARYLYRICS Ай бұрын
Oi🇰🇪
@GeorgeSikazwe-mm7nn
@GeorgeSikazwe-mm7nn Ай бұрын
Oiiiii ebhn duh ebhn duh oiiiii..sigoniiii
@RaiderTube
@RaiderTube Ай бұрын
Oiii
@killindoabile3128
@killindoabile3128 Ай бұрын
Ebhna hoi ebhan hoi ebhan oi oi
@RashidMuhunzi-pr5xj
@RashidMuhunzi-pr5xj Ай бұрын
Mbona niliskiaga amekufa?
@KuviFacts
@KuviFacts Ай бұрын
Ulisikia wapi?
@user-xm9wr1lk4t
@user-xm9wr1lk4t Ай бұрын
Saigon ana ngoma yake moja hivi ambayo I can relate myself with or relate myself with inaitwa 'MSAMAHA' kwenye chorus hapo alifanya majani dah! Anakwambia ndugu jamaa na washkaji washkaji naomba msamaha!! USHETANI ulinipanda kwasababu ya 'POMBE' Bila kuisahau verse yake kali sana kwenye ngoma yake T.I.D inaitwa 'VIWANJANI'
@tasukutechnologies2573
@tasukutechnologies2573 Ай бұрын
Nafikiri kwa makini
@aboubakarmahmoudmashaka696
@aboubakarmahmoudmashaka696 Ай бұрын
Kwa iyo kaacha usheikh kabisa
@aboubakarmahmoudmashaka696
@aboubakarmahmoudmashaka696 Ай бұрын
Kwa iyo kaacha usheikh kabisa??
@mugadimon3563
@mugadimon3563 Ай бұрын
​@@aboubakarmahmoudmashaka696Ni sheikh mpaka kesho
路飞太过分了,自己游泳。#海贼王#路飞
00:28
路飞与唐舞桐
Рет қаралды 13 МЛН
Slow motion boy #shorts by Tsuriki Show
00:14
Tsuriki Show
Рет қаралды 8 МЛН
Best Toilet Gadgets and #Hacks you must try!!💩💩
00:49
Poly Holy Yow
Рет қаралды 9 МЛН
Best KFC Homemade For My Son #cooking #shorts
00:58
BANKII
Рет қаралды 62 МЛН
STORY ZA LINEX NA BABA LEVO, KUISHI GETO MOJA, KUUZA STILI WAYA
12:07
路飞太过分了,自己游泳。#海贼王#路飞
00:28
路飞与唐舞桐
Рет қаралды 13 МЛН