BANDARI YA DSM: KINACHOENDELEA CHINI YA DP WORLD/ MKURUGENZI ATOA SOMO
Пікірлер: 38
@abdallahkambangwa721511 күн бұрын
kweli kazi inafanyika, Hongera sana Mama Samia
@saidkipalo442711 күн бұрын
Safi Sana Mama Samia suluhu Hassan 🙌
@fredducaunt9 күн бұрын
Chaw
@Ba6382811 күн бұрын
Fantistic developments asante kwa taarifa
@user-vl4rz6lf6d9 күн бұрын
Angalia jitu jinga kama hili eti linawakaza watanzania wasiwape ushitikiano wawekezaji mhuuu
@josephkmarwa74257 күн бұрын
Sawa .meli..tumeiinna...umepunguza. ugumu..wa..maisha.. je..mpina..kila. kitu..bei..iko..juu..hayo..maneno..sio..maisha.👣👣👣👣👣
@lucymsheshi587111 күн бұрын
Huu ni uhuni mbona vinatajwa havionekani 😂😂😂😂😂😂
@user-vl4rz6lf6d9 күн бұрын
Hakuna ujinga hapo Bali wewe unaesema wewe ndio mpumbavu unachuki binafsi na mama
@Misheckkazilist-cv2hb10 күн бұрын
Apo niujinga 2 hakuna jipya washenzi ninyi sioni mabadiliko mimi hapo
@yusufurhobi967811 күн бұрын
Mama kasema bandari inaweza kulisha nchi nashangaa mnatafuta kiki ya picha za meli badala ya kutafuta kiki ya maokoto yaliyoletwa serikalini.
@rommyshabby39598 күн бұрын
Viva Burkina Faso kwa kukata utumwa wa kizungu
@JamesChrizestome10 күн бұрын
Kweli hayo yanayoongelewa au?
@user-vl4rz6lf6d9 күн бұрын
Nakusudia miladi alioicha magufuli yote kaimalizia halafu yule mama pale kwenye nafasi kawekwa mungu yeye hata ikieneza chuki ili watu wsmchukie ni bure Tu jambo alolipanga mungu binadamu hawezi kulipsngua mtamsikia Mtu mzima Tena kiongozi wa Kiroho anatangaza upumbavu wake oo samia kakataliwa na mungu wewe Nani mbele ya mungu mpaka uyajua hayo ?wewe hata ukichukia Yule mama ndio kashakua raisi wako unataka hutaki ni hivyo hivyo
@saidkipalo442711 күн бұрын
Wataelewa tu piga kazi Mama wenye akili timamu na wazalendo wa hili taifa tunakuelewa
@mwalimumstaafu852911 күн бұрын
Tuache uchawa. Anayeongea hapa ni Mkurugenzi mpeni maua yake.
@Misheckkazilist-cv2hb10 күн бұрын
Acha ujinga wewe unahakili timamu kweli ama m aise
@deohaule816111 күн бұрын
Huu ni upuuzi, kama serikali ili weza kutengeneza gati kwanini ishindwe kununua mitambo? Kwani DP world ana nunua wapi hiyo mitambo kama sio kwa wachina. Tatizo serikali yetu ina viongozi wasio taka kufikiria Tanzania yakesho matokeo yake wana fikiria majawabu ya leo ili wafaidike kipindi wako madarakani matokeo yake wanao umia ni watanzania wengi
@soudmoshmnyika581311 күн бұрын
Najua watu kama ninyi hamkosekani, mitambo mingapi imekuwa ikinunuliwa na ikiharibiwa makusudi na watendaji bandarini, unataka kila siku kodi za wananchi ziwe zinaenda kununua mitambo ambayo haina faida kwa wananchi na kodi zao
@deohaule816111 күн бұрын
@@soudmoshmnyika5813 Kwasabu anae hujumu ni mfanyakazi wa serikali na si mtu binafsi, kwahiyo unacho sema ni kwamba serikali imeshindwa kusimamia bandari. Kama imeshindwa kusimamia bandari basi inabidi iachie ngazi wengine wachukue nchi.
@killy_hoffman269811 күн бұрын
chochote kile cha serikali huwa lazima kuwe na uzembe na rushwa za hovyo....private sector wanapokuja kusaidia kwny management inaipunguzia serikali hasara kubwa
@deohaule816111 күн бұрын
@@killy_hoffman2698 huo ni uzembe, wezi ni hao hao viongozi. sasa kama private sector inasaidia kwenye management kwanini makampuni ya wazawa yasipewe hizo nafasi kwenye kusimamia management ya bandari? Kwani Tanzania haina makampuni makubwa yenye international exposure ambazo zingeweza kusaidia kupunguza au kuondoa ubazilifu. Kwanini nchi nyingine ziweze kusimamia bandari zao sisi tushindwe?
@walidmgonja36448 күн бұрын
Tatizo huna akili bali unaendeshwa na chuki dhidi ya Samia,toa ujinga wako humu.
@RaphaelHhari9 күн бұрын
Sawa pole mambo hayo yalipaswa kuwa yameshashulikiwa miaka thalathini yaliyopita
@Beauthoms9 күн бұрын
Wewe ndo mjinga unaeponda kila kitu kana kwamba amna kinachofanyika nchi hii
@exaverysimon106411 күн бұрын
KUNAWATU WALISEMA BANDAR IMEUZWA KWAN VIP TENA AU ZILIKUWA N SIASA 😂😂😂 SAMIA MITANO TENA IMEISHA IYO😂😂
@lucymsheshi587111 күн бұрын
Wautoe mkataba yaonekane yaliokubalika katika mkataba
@jekoniarubeni460910 күн бұрын
Alisema mwenyewe imeuzwa
@walidmgonja36448 күн бұрын
Hata ukiuoneshwa huo mkataba unaweza kusoma au ni kihererhere tu choko wewe?@@lucymsheshi5871
@user-vl4rz6lf6d9 күн бұрын
Kuna watu wana akili ya watu wa libiya Gadafi aliwafanyia kila kitu lakini bado wakamuona hafai matokeo yake ndio yale mama samia anapambana sana Kazi yake inabezwa kwachuki binafsi Tu miladi alioacha yote kaimalizia kaanzisha mingine mingi nayo inaendelea nyinyi unataka Afanye nini jamani mnyonge mnyongeni lakini mpeni haki yake
@mohammedamour49304 күн бұрын
Safiii mama
@zobakazizi763711 күн бұрын
Tumeisha anza kuingiza au bado?
@yakobokuzenza683711 күн бұрын
Tayari asilimia 15 ya gawio limetolewa kwa serikali.Vipi bado una jingine la kupotosha?Maana mlitaka kutuaminisha bandari imeuzwa.
@soudmoshmnyika581311 күн бұрын
Baada ya kutolewa gawio hilo wapingaji wakasema sio DP World, ni TPA wala hatuna haraka nao ngoja mda utaongea
@yakobokuzenza683711 күн бұрын
@@soudmoshmnyika5813 ww ndio mpingaji mmojawapo.Wapingaji huwa wapo kila sehemu.Na hao mara nyingi ni mawakala wa shetani
@mvunge710811 күн бұрын
Watz msiwape ushirikiano hao
@suleimanh182610 күн бұрын
Hatukupi ushirikiano wewe unayetaka kutugombanisha. Tulia uangalie maendeleo yetu. Tz one love
@nassercurtis957910 күн бұрын
Utawapa wewe kazi, mbona mwehu kiasi hicho, hivi serikali inaweza kumpa mtu uwekezaji bila kupa faida, huu ni ushindani wa kibiashara, kama ni mfuatiliaji mzuri angalia Kenya wana bandari moja tu na nusu tatu wamiliki ni Marekani, Tanzania ina bandari karibu kila pande ya nchi, mfano Lindi, mtwara, kilwa,Tanga, Bagamoyo, pangani, na sehumu nyengine nyingi mno zinaweza kuanzishwa bandari, hivyo hawa jamaa wakienda kinyume itakula kwao. Mfano Tanga ina asili ya kina kirefu bila kuchimbwa au kuongezwa na pia meli zonafika Tanga, hivyo serikali kufanya hivyo ni sehemu ya kupunguza majukumu ya uendeshwaji kwao lakini huku wakipata faida na wàtanzania wakipata ajira, si kitu rahisi Tanzania ya sasa inakuwa kwa kasi sana na watu huongezeka mno, tumepata uhuru tukiwa watu milioni nane mpaka kumi na mbili milioni, leo hii tupo milioni zaidi ya sitini na tano, baada ya miaka sita kuanzia sasa dar es salaam peke yake itafikia watu milioni kumi hiyo ilikuwa idadi ya watu wa nchi nzima, dodoma nayo inaanza kujaa taratibu hayo yote ni majukumu ya serikali kupeleka miundo mbinu ikiwemo bara bara reli mahospitali ya hadhi ya kimataifa ongezeko ya vyuo vikuu na mashule, hivyo msichukulie kawaida. Twendeni na muda tuache kulalamika tuiachieni serikali ifanye kazi yake na tuipe sapoti kwa ajili ya kesho ya vizazi vyetu, watakuja kufanya mabadiliko hata ya kwatoa hawa wawekezaji tunaowaona hawatufai mikataba yao ikikapo kikomo. Hata kama ni miaka hamsini watoto wanaozaliwa sasa na watakaozaliwa miaka kumi ijayo ndio watayoitoa Tanzania kimaso maso, maendeleo hutaka uvulimivu na wakati mwengime pia kujivalisha mabomu si kutaka kufa ila tu ni sehemu ya kutaka mabadiliko ya lazima.