I am a Zambian I live in Lusaka Generali Ulimwengu was my classmate at secondary school and we were to gather at the university of Daresalaam lam 76 years old Harrison NG'ANDU
@mbuthigathenji78452 ай бұрын
Awesome. The last time I saw Jenerali must be in 1974 50 years ago when I left University of Dar es Salaam. It's amazing to see him.
@Chemba672 ай бұрын
Hongera sana Big Chawa....bonge la interview.........umempunguzia tension mzee........umemfanya awe relaxed...
@rwekazamugasha64482 ай бұрын
Mwandishi sio msikilizaji nzuri wa kuelekea swali ilitalo fuatia. Hajipanga
@TygahLupha2 ай бұрын
Huyu ndo BIG CHAWAA😅😅😂.. weka pemben chawa wenu wooote... mtangazaj gan angeweza muuliza such questions.. which ndo tunazotaka sasa... hizi za kitaifa zpo kibao tu.. big up BIG CHAWAA
@godwinnkya20232 ай бұрын
Mzee Shikamoo,uchawa haukufai,ungana na Warioba mnyooshe mambo ya katiba,nchi imekuwa vibaya mzee!
@Kasika-hi6hfАй бұрын
Mzee wa nyagi 😂
@dismasmtui9652 ай бұрын
Waandishi wa habari wa siku hizi mnakua kama hamjasoma Maswali yenu hua yanatukasirisha sana watazamaji, hamnaga maswali yenye tija
@osodowilberforce23212 ай бұрын
Congratulations for a good home,Mhe.Generali Twaha Ulimwengu.
@Chemba672 ай бұрын
Big Chawa mjasiri sana umeweza kuuliza tata kwa mtu mzima tena mwenye nafasi na anayetazamwa na kusikilizwa kwa wingi. Anyway Jenelali ni mkwasi wa elimu ya ufahamu hivyo haikua tabu kujibu hata maswali ambayo wengi wameyaona hayakustahili kuulizwa.
@generosennko83432 ай бұрын
mengi yalioulizwa hayaendani na calibre ya generali ulimwengu. But i watched anyway.
@paulkasunga88172 ай бұрын
We litoto n lipumbavu sana
@noelnoel49162 ай бұрын
Big chawa general interview zako nzuri
@philomenastephen3364Ай бұрын
NI MASWALI GANI HAYO?
@rukundorwiza52232 ай бұрын
Generali ulimuwengu kibaraka cha wazungu
@CHRISVISION-z9x2 ай бұрын
Tunachie mzee wetu kahoji wajinga wenzio please
@shikonyimchuma49672 ай бұрын
Mwandishi maswaligani kwa Mzee na mtu muimu kama Huyu? Maswali ya mhuni
@andrewnyerere31532 ай бұрын
Jamaa anauliza maswali ya zinaa tu. Lakini ni bora,ama sivyo Jenerali angekuwa ameambiwa ajisalimishe Central.
@elioimer8423Ай бұрын
Umepoteza wakati wa Generali kwa maswali yako ambayo hayana maana yeyote na Sidhani Kama atakupa kazi katika tasnia ya habari . Umefeli interview.
@MichaelmotikaLaiser-dl6wm2 ай бұрын
Huyu mtu anayemzungumzia diamond anajua anachosema mbumbu kabisa stupid even😢
@emanuelgella82012 ай бұрын
Huyu jamaa kazingua sana, maswali mengi aliyo uliza hayaendani general, hata pia alikuwa akimzuia general kuzungumza mambo yanayo endana na yeye kwasababu Kila general alipo taka kuongea mambo ya angle yake huyu jamaa aliuliza maswali kama vile kumtawala kimazungumzo Ili azungumze Yale ambayo muandishi anataka azungumze.. muandishi ameonesha kukosa ueledi Katika kuendesha vipindi vya mahojiano Kwa watu mashuhuri kama general, muandishi ana hulka za kihuni huni, Hana uwezo mkubwa wa kufikiri na kutafsiri mazingira yalio mzunguka Kwa usahihi, lakini General ameonesha hekima za Hali ya juu na uvumilivu na pia kuonesha kuto zidhia maswali ya muandishi Kwa kumridhisha kisoma, kwasababu muda wote baada ya kugundua muandishi ni kichwa maji yeye amekuwa na plastic smile ili kuficha kuto zidhika kwake,, japo interview hii haikupaswa kurusha hewani kwasababu imeshusha heshima ya General ulimwengu Kwa aina ya maswali Alie ulizwa na yeye kuyajibu,,
@francismassawe14352 ай бұрын
Jenerali Ulimwengu this guy is down playing you. You should have stopped him from.interrogating you. Anyway may he has a hidden agenda 9:14
@DiwaniMwafongo2 ай бұрын
Waandishi wapumbavu kama huyu komeni kabisa kumsumbua Mzee wetu. Komeni kama mlivyokoma kunyonya kwa mama zenu!! Huyu Mzee ana authority, busara na uzalendo zaidi ya Samia.. Kumbafu Sana wewe mwandishi...
@betuelmgullu46312 ай бұрын
Huenda Angelika kusikiliza nyimbo za dini mbona hukumwuliza ????