Huyu mzee ni mstaarabu sana anaongea kwa point sana.
@rugendorunene5454 жыл бұрын
Millard, you're the best.... From Kenya. Keep up bro!
@asiajuma83304 жыл бұрын
Wamasai wengi ni wakristo lakin uwezi kuta ana mke mmoja
@oum7594 жыл бұрын
Kuna watu watu hwaelewi kwn pesa nza watoto Au nza baba.. Watoto wa tafute zao baba ashawapa makao wanakaa n kazi
@janerosempeta56624 жыл бұрын
ni vizuri sana baba.maana watoto wetu wa sasa hivi ni hatari sana. umewambia vizuri kuwa Mali yako ni yako sio yao
@vero574 жыл бұрын
SAFI SANA BABA,WATOTO JITAFUTIE WENYEWE
@teychriss32484 жыл бұрын
Safi sana kwa misimamo! Uwiii!
@Amneamne-qi2du4 жыл бұрын
Safi sana nawao wapamba ne wapate pesa
@tusajigwemathias37584 жыл бұрын
Kabisa... Hilo neno alikuwa anapenda kusema baba angu.". Tafuteni Mali zenu hizi ni zangu na mke wangu" na kweli Mungu ametushindia rip Daddy
@ktravel35274 жыл бұрын
Mzee wangu alikua ananiambia " we usisome tu tegemea vitu vyangu nikizeeka nauza vitu vyangu vyote 🤣🤣🤣🤣"
@davidnyambuche3524 жыл бұрын
Mali zote ni za kwangu na wake zangu, sio za kwenu
@juliaayieta25784 жыл бұрын
Mali ni ya laizer na wake zake 🤣🤣🤣🤣🤣 Daah!!!
@rajabuhamisi29404 жыл бұрын
Wana wake wa kimasai hawana tamaa wivu kama wakezetu wa kiswahili.
@juliaayieta25784 жыл бұрын
Rajabu Hamisi 😂😂😂😂😂 sema pole pole kipenzi......mwanzo hapo kwa kuchambana sasa 🤐🤐🤐🤐🤐
@markminja43074 жыл бұрын
Ehee Kama ulikuwa unajipanga na mtoto wamzee habari ndio Hi yo oo😂😂😂🤣🤣
@naamohamed99644 жыл бұрын
Hongera baba upo vzr
@charlesnassary66894 жыл бұрын
hongera mzee
@rachelmbeyu43854 жыл бұрын
Congrats millard ayo pamoja na laizer
@markminja43074 жыл бұрын
So true.. Mali yako ni yako na wake zako Bro..
@rahimamkumbo32384 жыл бұрын
Sana baba umesema kweli
@idrissabyser7274 жыл бұрын
Noma
@muniraahmed6244 жыл бұрын
Saniniu mwaka wako huu saniniu😂
@denisntamamilo85694 жыл бұрын
Nina taarifa Millard Ago .
@unknown-vl6tz4 жыл бұрын
Good
@felisianlissu68784 жыл бұрын
Hatimae Bilionea afunguka waswahili kuoa mke moja kwasababu ya kusomesha 😁😁😁
@mariamsuleiman16384 жыл бұрын
Nani ameona Akina mamaa wakichungulia
@tablatabula58664 жыл бұрын
Pesa hufata penye pesa... Wanyonge tuelewane kwanza
@shehasaid17864 жыл бұрын
Mahitaj unayowapatia ni mgao toxha kwa wanao
@dicksondeogratias47364 жыл бұрын
🤝
@shamiss77124 жыл бұрын
Mmh ndugu tumekua wengi jaman msitusahau ach ukaidi mjomba
@priscambwambo10304 жыл бұрын
Safi sana baba wa kimasai una akili mtoto atafute zake sio atolee macho za baba
@juliuskato51004 жыл бұрын
Sio hatoi mtt kula pesa ya mzazi ni kwd tu
@aceotz25794 жыл бұрын
Siyo pesa yao ni ya nani sasa jmn😗😗😗❤❤❤😍😍😍❤❤❤😙😙😙
@wilbertalfred73884 жыл бұрын
Hapo unataman kumu ibia
@tarakeatv46384 жыл бұрын
Ni yakwake na wake zake
@tusajigwemathias37584 жыл бұрын
Ni ya kwake wenyewe wasome ili waje wapate zao!!! Mali za mzazi sio zetuu
@juliaayieta25784 жыл бұрын
Daah!!
@salummilanzi79364 жыл бұрын
Julia naon unatamani nawewe ungekuwa mkewe ufaidi ela maana nimeona Daaa hahahaha
@juliaayieta25784 жыл бұрын
Salum Milanzi 😂😂😂😂 umeona kumbe 😘😘😘😘
@yusuphmsuya99764 жыл бұрын
Saf sana
@venancekavishe98234 жыл бұрын
Nimemuelewa sana huyu Mzee, Akili yake kubwa sio kama hatowapa ila atawapa muda au pindi atakapo amua maana akitangaza sasa nagawa Pesa kwa Watoto wangu, watajitokeza watu wengine ambao sio watoto wake nao wakitaka Pesa... Hawezi kutangaza urithi kwenye media
@nonstopafrica4 жыл бұрын
20 comment like za mirrad hapa
@timothmwakakusyu45634 жыл бұрын
Maisha yalivyo magumu unatamani uwe mtoto wa nje wa mzee Laizer, kweli pesa haina adabu 🙌🙌🙌🙌🙌😬😬😬😬😬😬😬😬😬😬😬
@matarisuma90364 жыл бұрын
Huyu masai anajielewa sana
@mulikatvonleni53394 жыл бұрын
Abari za ukweli nakubar mirlad
@selemankishema57804 жыл бұрын
Millard ondoka mwache jamaa basi afanya kazi zake do!!!
@albeleenalberto1584 жыл бұрын
Millard what have you done with your face
@jasminali59214 жыл бұрын
Vizur
@dianamalingumu45164 жыл бұрын
Huyu jamaa anamiakili mingi pongezi kwake
@edwinekahatano84724 жыл бұрын
Duh
@simbomart61864 жыл бұрын
Hiyo cash up ni nini? Nieleweshe maana napenda Sana kukusuport
@MS.independent89344 жыл бұрын
daaaa baba anaitaji pongrzi sn maana ameweza kujali familia yake kwa ajili ya wtt waweze kupata elimu nivizuri sana, huu ji mfano wakuigwa kwa zazi haswaa wa kiume
@nassirvarane18774 жыл бұрын
Wa Tanzania iyo ndo shida yetu mtu akishapata pesa mna anza kumpangia jins pesa vya kutumia
@denismassawe92554 жыл бұрын
Je?? Ni kweli akili ilitangulia shule ??? Hebu nijibuni nielewe
@chachamaheri77854 жыл бұрын
Ndy Akili MUNGU ndye aliye iumba lkn shule hata ww unaweza kujenga
@keffaonchiri78134 жыл бұрын
Kitu nimependa,mimi ni minimizi tu.
@muhammadj19984 жыл бұрын
Huyu jamaa bc atakuwa mbakhili sana si vizuri
@SefrozaMafuru4 жыл бұрын
😆😆😆🤣
@niaanthony95884 жыл бұрын
Tajiri yeyote ni habahir hatar sana kwanza hawalali hawa matajiri tofauti na ss maskini
@kelvinjohn68514 жыл бұрын
Sijawahi ona tajir ambaye sio bahiri. Ni maskini pekeao ambao sio mabahiri.
@pilimagongo73804 жыл бұрын
Unataka wamuue mirathi kuna watu hawapaswi kuambiwa kabisa wataona akifa na hakuna warithi zaidi ya watoto wake ila anawafundisha watafute vya kwao
@fazzohwakishua15914 жыл бұрын
Like hapa wakwanza
@abdullaabdalla19754 жыл бұрын
Na nyinyi waandishi bwana hebu muacheni atafakari nini afanye mmemshika kila siku stori zimetuchosha tayari leteni mpya nyengine duuu
@mdeeboy8464 жыл бұрын
Hizo namba umempa laisaa,ushingae ukatumiwa m 100🏃♂️😂
@khneesajumaa20524 жыл бұрын
Ukosawa kabisa
@jaklinifaustini42594 жыл бұрын
Umenena
@meruboytz.70254 жыл бұрын
Mi mtoto wa kwanza
@alirahma89674 жыл бұрын
Miladi ayo,mwambie laiza mimi niko tayari pia🤣🤣
@veronicanyakire98074 жыл бұрын
Unaona siiifaaa kutuwekea nusunusu eti?!
@godiegodie13364 жыл бұрын
😀😀😀
@teddyndungurusabnu47924 жыл бұрын
Hahaha 🤣😜 😜 nimecheka eti sifa
@said306nyatu94 жыл бұрын
Ndio milard una sifa unaeeka kiduchu duchu. Mchumi uyu
@devaxtz4 жыл бұрын
Kama unaamini kesho nakeshokutwa utakuja kupata pesa Sana gusa hii link hapa tuinjoy wote jaman kzbin.info/www/bejne/kIvGeYChgriCidE
@josephojwang43874 жыл бұрын
Poa
@devaxtz4 жыл бұрын
Kama umekuja kujua njia zautajiri gusa hii link hapa 😂😂😂kzbin.info/www/bejne/kIvGeYChgriCidE
@esterwakidunda62484 жыл бұрын
Aliyenacho ataogezewa ndio nilichojifunza
@khamisjuma50464 жыл бұрын
Sei dia wachaujinga mungu mmoja
@ashurar27214 жыл бұрын
KwAni hamna stilizingine mshatuchosha😏😏😏
@ceninibe76224 жыл бұрын
Umeangalia ya nin 😏😏😏😏
@dalancydevin43024 жыл бұрын
@@ceninibe7622 ndio hapo xx 😂😂
@azizisaidy85534 жыл бұрын
stili zingine ndo nini sasa
@d.a.t33834 жыл бұрын
Lazima uwape mgao umewaleta wewe hapa duniani na wewe hizo ng'ombe ulizouza umesema zilikua za baba yako sasa kwa nini na wao wasipate mali ya baba yao. Wazungu wanasema Sharing is caring kwa hiyo unataka wakukimbie wakaibe?? Share wewe acha hizo za ubahili
@nickodemmwandambo89244 жыл бұрын
Atawapa kwa muda wake maana akitangaza kwenye midia watajitokeza watoto wengine wa family frend
@مركزمصادرالتعلمبمدرسةروضةعمان4 жыл бұрын
Karidhi hawajampa wapohai sawa nao wasubir akifababayao watarithi pia acha ujinga usimpangie maisha hukomkuwasomesh kwahitaji pesa nana atalip siyeye mwenyew watoto 30simchezo acha awahifadhie
@nassirvarane18774 жыл бұрын
😂😂😂😂😂nyie wa Tanzania mnachekesha mtu mkisha muona ana mali tn mna anza kumpangia mali zake atumie vp
@richardcharles52104 жыл бұрын
Wajitafutie na wao acha ulimbukeni
@jacquelinosmond2214 жыл бұрын
Kurithi na kupewa ni tofauti..tatizo mnakurupuka ..watoto anawapatia elimu bora kwa maisha yao ya baadae, kwa hiyo awagawie wasisome?
@CyimSky4 жыл бұрын
HIZI HAPA SABABU ZA MTU KUSHINDWA KULALA UGENINI WANASAYASI WAZIAINISHA. kzbin.info/www/bejne/Y3bUep2OoryBoMk