Please subscribe to our channel @StraightPathDawah .
Пікірлер: 206
@HassoNalka-ei6frАй бұрын
ManshAllah Ustad Ramadha bin kuria Allah Akuhifadi na akuzidishie umri ili. Usaidie🤲🤲🤲🤲
@aminamahamud9333Ай бұрын
I love this debate it's hot sana. Sheikh Ramadan keep it up
@alinurharun8468Ай бұрын
Jazakumullahu Khairan sheikh huyu daudi ataslimu jaribu vizuri ,he is a resource person
@rahilyas254Ай бұрын
Ahsante bwana Ramadhan Allah akupe afya na umri mrefu uzidi kuelimisha watu Ameen
@fandere3745Ай бұрын
ManshaAllah,What a debate❕Sheikh make it a series 👏🙌,Part 2 plzz 🔥
@Wida_de_bossАй бұрын
Yani huyu bishop ananifurahishaga kweli 😂😂😂😂😂 Allah amuongoze inshallah
@user-hu3uw4pd7yАй бұрын
Allah akuhifadh sheikh Ramadhan na inshallah AK watasilimu wote
@minaniyasini7834Ай бұрын
Allah aibariki kazi ya daawah Nawapongeza sana wahubiri zetu
@BahariaАй бұрын
Jamani tunangoja part 2 mashallah mdahalo mtamu sana mpe hongera Brother pilot
@samxx411Ай бұрын
Bishop leo hana majibu sana anadefend his dissertation tu kuhusu kuoa wake wengi na anaona bado shule yake bado ndogo ila namkubali sana yupo very friendly inshallah Mungu amfanye awe muislamu
@edsonnelson4464Ай бұрын
Suala siyo shule ila kukaririshwa mahubiri na mafungu ya wazungu, hiyo ni mipangulio ya maisha ya wazungu ya
@hanifa9153Ай бұрын
Na pastor c asilim jamen amebakisha kidogo tu😂😂😂 allahumma bariki❤🤲
@arqam2020Ай бұрын
Napenda hii, Kimemramba Askofu hahah
@sleifikhajjir262Ай бұрын
Kiukweli nawapenda wote kwa ajili ya Allah. SLEIFIK HAJJIR from Zanzibar
@didasmajor9288Ай бұрын
Okoka ktk jina la Yesu, Kristo Yesu anakuhitaji
@SheeMaryam.MАй бұрын
Kuokoka ni ni akhera sio duniani
@fatumamwalimu5765Ай бұрын
@@didasmajor9288waliokuwepo kabla ya yesu kuzaliwa waliokoka kwa jina la nani? Wazungu pia wanaokoka kupitia jina yesu? Maana yesu ni East Africa pekeyake, nchi zengine ukitaja yesu hawajui yesu ni nini
@Khalifaathumani-cy5omАй бұрын
😂😂😂😂Hawa ndio maaskofu??? Hawa wamechemsha. Allah awape mwongozo kamili inshallah.
@ShillingiАй бұрын
Kwani huyoo ambaye ww unamuamini siumwambie aje kama uko tayri ata ww karibu kenya
@Adm9464Ай бұрын
It seems Bishop Steven is confused because the only verse that talks about one wife is directed to the Bishop not the parishioners. So the Bible confirm the Islamic belief of polygamy.
@rahilyas254Ай бұрын
😂😂😂
@SheeMaryam.MАй бұрын
Dume uoe dume mwenzako but kuoa wake wawili ni haramu Wallahi Hawa wakristo
@didasmajor9288Ай бұрын
Elewa kuwa kiongozi wa wakristo wote duniani ni Yesu, usikariri maisha ya kizungu ukayafanya ndiyo utamaduni wa kikristo. Soma kanuni za Imani ya kikristo kabla hujatoa oni mgando
@SheeMaryam.MАй бұрын
@@didasmajor9288 yesu mwenyewe ni huyo mzungu Brian decon na Kila siku alikuwa aliishi kuwaambia msimuambudu yeye ni actor na Kila siku yesu wenu ako TikTok akiwaambia mpite na like.kama basi maisha yenu kiongozi ni yesu ,basi msioe juu yesu hakuoa, 😂😂😂
@zaidiissa3714Ай бұрын
Wakristo wamechanganyikiwa hawajui Nini ni Nini Yani wapotu kufuata upepo
@softymoha5484Ай бұрын
@@SheeMaryam.M 🤣🤣
@SheeMaryam.MАй бұрын
@@didasmajor9288 si mnawaozesha kanisani sio siri
@Jingajinga64Ай бұрын
Assalamu Alaykum sheikh. Allahumma Barik
@halimaali3719Ай бұрын
Amini yarabi mungu uko❤
@Natashaamina-u7wАй бұрын
Mashallah sisi ntunawempenda sana ❤
@MWALIMUCHAKATVАй бұрын
Sijamwona Daudi karibu miaka 10 na kitu. It's good to see him still soldering on. Yehova Elohim bless you both
@Adm9464Ай бұрын
Bishop Stephen is definitely caught off guard and is struggling to confront his pastor opponent. Either he hasn’t read the Bible in its entirety or he is ignoring the teachings of the Bible.
@AminiIlungajumaАй бұрын
We can’t wait for part two 😊
@josemu870Ай бұрын
Barikiweni sana sana
@husha6372Ай бұрын
Sheikh Ramadhan ungekwenda na daudi kule Bungoma Tomgaren Kwa Yesu wa TONGAREN am am AME Kwa maandiko
@user-wt4yk1wg4uКүн бұрын
Ramadhani please tell the bishop to read the whole verse. Corinthians 7varse 1 and 2
@ChadCommaz-bx6xfАй бұрын
My bishop is shivering today
@Adm9464Ай бұрын
Jameni Bishop Stephen seems stuck in a deep mud and has no way out.
@badmanno.1650Ай бұрын
Huyo bishop msimueke na wasomi .. huyo ni mpiga debe .. fujo tupu maandiko zero.😅😅
@PaulRichard-vq9xz12 күн бұрын
Mm nmemuelewa askofu yko correct saaaana
@AssumaniKibiritiАй бұрын
Assalam alayikum warahmatulilah wabarakatuh kwa kweli bishop hajuwi maandiko wako wanampa somo longine alikuwa halijuwi 😂😂
@user-ie7yt9db6fАй бұрын
😂😂😂😂kimemkuta Leo bishop aamini tu na awache upotofu😢
@Adm9464Ай бұрын
The two Christian pastors can’t agree with one another.
@AlexEinstein-by8woАй бұрын
Poligamy is humanity way to whitewash sin and legalize it with scriptures!!
@adanabdi5249Ай бұрын
Masha Allah.
@nurumuhamad3817Ай бұрын
Thanks sheikh
@Kuminamoja1995Ай бұрын
🤣🤣🤣🤣🙆♀️🙆♀️🙆♀️🙆♀️ part 2 please
@arafatabubakar001Ай бұрын
Bishop,rudi tena shule,bado twakusubiri...Wallahi nashangaa mpaka waikataa kile ulioenda kusomea😂😂😂
@salimbahatisha3003Ай бұрын
😂😂😂Bishop yuko hoi bin taaban....ety ah😅😂😂
@ramadhanrashid1040Ай бұрын
Hee, huyu pilot yuko sharp.
@MWALIMUCHAKATVАй бұрын
By the way Zipporah is the very lady mentioned as Cushite . The black Ethiopian, the cushite or medianite . It's the very woman
@rashidwalwanda199120 күн бұрын
Maashallah ❤❤
@warsameabdi9366Ай бұрын
Bishop Huna Bahati...Biblia imekukataa..😂
@user-wt4yk1wg4uКүн бұрын
Basi kulingana na Bishop, anamaanisha mungu amekosea kuwaumba wake wengi kuliko waume? Ikiwa mungu hapendi polygamy, angeumba idadi sawa
@PaulRichard-vq9xz12 күн бұрын
Mke zaidi ya mmoja huo ni uzinzi uliojificha ktka ndoa ya wake zaidi ya mmoja
@SusanWanjiku-yq6bkАй бұрын
Harakisha nataka kuona ndacha na bishop nataka kujua maana ya kamungu kadogo
@StraightPathDawahАй бұрын
😂😂😂 insha'Allah
@user-iz1er8vg7uАй бұрын
Mashallah
@RamadhaniRamadhani-yd4hqАй бұрын
Huyo baba ni mwalimu, ilifaa awafundishe maaskofu bibilia
@MWALIMUCHAKATVАй бұрын
Hahaha eti Eve was just one of the many bones of Adam. Very funny argument
@MosesMaina-o7kАй бұрын
Upload part 2 kindly
@emmanuelgongoro1014Ай бұрын
Mke mmoja hio ni uzungu...Mungu hakuadhibu walio oa wake wengi...uzungu ndio unao tawala makanisa mengi...
@fatumamwalimu5765Ай бұрын
Hao wazungu wenyewe uacha wake zao uzunguni nakuja nchi za Africa kuoa wake wengine
@emmanuelgongoro1014Ай бұрын
@@fatumamwalimu5765 kabisa na ss wanatudanganya hapa
@mangofish9079Ай бұрын
Bishop huwa unanichekesha kwa kweli sana napenda kukusikiliza unavyozungumza.
@jei_IbrahimАй бұрын
Kama kuna muisilamu hapendi bishop uyo atakuwa na issue zake tu personal Rama ambia bishop waislamu tunampenda sana 😂😂😂😂😂😂😂
@SalmanMughal-lq5ltАй бұрын
Hawajui.kama.wanawakeawengi.kuliko.wakiume
@edsonnelson4464Ай бұрын
Sure!!
@imranbanda3963Ай бұрын
Today bishop goes to Sunday school
@zaidiissa3714Ай бұрын
Hapa hautawaona wale makafili wanaotetea mwanaume kuoa mwanaume mwenzake na kukataza mwanaume kuoa wake wengi wakristo hawajielewi ya ni wanakataza mwanaume kuoa wake wengi harafu wanaotetea ushoga na LGBTQ hatasijui wanaamini bibilia Gani au ukristo gani
@mobutu3884Ай бұрын
Kwani wewe unajua Biblia inasemaje kuhusu ushoga? Au huwa mnaamini watu na sio Biblia? Wakristo wanaongozwa na Biblia na sio mihemuko ya watu, ndio maana wapo waislamu wengi sana mashoga ila quran sidhan kama inaruhusu ushoga, au unataka tuhoji uislamu kwa sababu wapo mashoga pia
@SheeMaryam.MАй бұрын
Askofu tu ndio inasema mtu aoe bb mmoja Lkn manabii hakuna alie kuwa na bb mmoja Japo wao wanasema manabii niwazinifu ..... Bb mmoja lkn mahawara akonao akifa ndio unajuwa you were not alone😂😂
@user-mc2xd4eu2pАй бұрын
@@mobutu3884biblia pia inaruhusu polygamy nyie mnapinga nyie mnaamua tu mnavyotaka wala hamfati bibilia
@zaidiissa3714Ай бұрын
@@mobutu3884kwanza ningependa kujua wewe nimwanaume au mwanamke maana kama wewe nimwanaume utakua natatizo la nguvu zakiume na kama wewe nimwanamke utakua na wivu ndio inakusumbua nakama wewe nshoga huna tofauti na mwanamke au kama wewe nimwanaume unaogopa majukumu maana hueleweki kwani wete watatu wanosoma hapo wanasoma bibilia au nimanenoyao yakutunga ???
@ShahazaMarsha-jo9ctАй бұрын
New testament inapotosha,old testament ndio yenyewe na Qur'an
@alinurharun8468Ай бұрын
Naona bishop anajaribu kuficha msalaba wake
@RossaMengoАй бұрын
Huyu brother dawood bado asilimu tu maana hapo ako sawa kabisa..askofu leo umekutana na pastor anakutoa jasho
@muhinabakali7377Ай бұрын
Mdahalo mwengine mwambie huyo mchungaji aongee kixwa hili
@Therealkhalid254Ай бұрын
Bishop ameishiwa hoja kabisaaaa.
@gechtv580Ай бұрын
So called bishop alijigamba vile amesoma na amewekwa chini vibaya sana.
@MohamedAli-ng9jgАй бұрын
Bishop yani Ame'jam lakini Bado anajaribu kuuza Sura 😅 Kama so hizo camera, angerusha makonde hapo 😅
@husseinmoha7959Ай бұрын
Asalamu aleykum
@hamisiomari6181Ай бұрын
Walaikum salaam warahmatullah wabarakat
@martinchambala9399Ай бұрын
Watu kama huyu daudi sikunyingine hatumtaki anaongea kingereza wengine anatuacha solemba
@badmanno.1650Ай бұрын
Bishop leo hataki kizungu leo haaaahaaha si amesomea Bible Theology, au amesoma kwa kiswahili 😁😁, kizungu hakipandi leo.
@hanifahkhamiss8485Ай бұрын
Hebu sema kwa kiswahil tusikie😂😂😂😂
@imranbanda3963Ай бұрын
Bishop for second wife
@MedpearlHealthcareАй бұрын
Bishop Stephen gachochi kapigwa na butwaaaa
@user-to3wz6gv5nАй бұрын
Bishop rafikiangu leo ni kizungu 😂😂😂😂😂😂
@Alithoya-qr7diАй бұрын
Bishop huko shule alikua anasoma bible gani anashangaa
@edsonnelson4464Ай бұрын
Lakini nyie wakristo mnang'ang'ania mke mmoja lakini wanawAke ni wengi kuliko wanaume! Na kadri siku zinavyoenda ndivyo tofauti ya ke inavyokuwa kubwa maaana na ndiyo wote wameumbwA na mwenyezi Mungu nani apate mume nani akose, hata sasahivi na nyie mna mabinti kama siyo mabinti ni dadAe zenu wanatamani kuolewa lakini wanaume hakuna
@omaar5693Ай бұрын
mzee anatetea mke m1 kwa utashi tu... adam alikatwa ubavu mmoja.. iyo ni uumbaji inausianaje ma ndoa. mama alitoka kwa mwili wa adam. tungesema hakupaswa kuwa mkewe... na watoto wao walioana ndugu... haimanishi ni ruhsa kuoana ndugu... ILIKUWA NI UUMBAJI NA WA WALIPOTOSHA MUNGU AKAWEKA SHERIA...
@Wida_de_bossАй бұрын
Hebu ongea Kiswahili tuskieew😂😂😂😂
@alinurharun8468Ай бұрын
Bishop 😢😢😢😢
@samxx411Ай бұрын
Naona Bishop ameganda kama ametiwa kwenye friji
@SalmanMughal-lq5ltАй бұрын
Kamungu.kadogo.mwenyewe.hujiita
@bashirmahero7021Ай бұрын
Bishop anaona kivumbi😂😂😂😂😂 anaganda
@kassimabdilatif1802Ай бұрын
Kukumbusha ndugu Ramadhan. Hii aya ya kuoa wake wanne ilipoteremshwa mtume Muhammad (s.a.w) alikua tayari ana wake tisa. Kuna aya nyengine inayomwambia mtume kuwa hana ruhusa ya kuongeza wala kuoa tena ikiwa yeyote katika hao tisa atakufa ama kuachika. Yaani Allah alimpa ruhusa ya kuendelea na hao wake alionao kwa kuwa tayari wameshaolewa. Kwa hiyo kama Mathalan kama katika hao tisa wake watano wangefariki wakabaki 4 mtume asingeruhusiwa kuongeza.
Bishop huanzi leo kupingana mzee. UMESAHAU 6YRS AGO NA GERISHEN, YAHYA ETC. #Armie2Palestine #WorkForChange #WorkForPeace #WorkForKhilafah
@mohamedsoud3225Ай бұрын
Brother pilot we kweli umesoma unabishana kwa hoja ,so kwa ubabaishaji
@SuleimanJuma-dv8gtАй бұрын
Huyo pastor ni zuzu hajui anachozungumza, yusakataa mpaka maandiko yakitabu chake.
@salamalsawaqi1206Ай бұрын
Nyinyi mlisha telemshiwa kitabu inaeleza majibu yooooteeee ya kweli na ya haki kur'an lakini bado hamfahamu moto unawangoja
@user-ie7yt9db6fАй бұрын
Mm nilikuwa nataka bishop nimsikilize vizuri leo lkn amekuwa ????nyingi tu kwn haya yametoka wp bishop utaiibika ww na kuna hao ma sister ambao hawailewi lkn ...... Mungu atuongoze maana iyo ni kufuru kubwa 😂😂😂😂😂😂😂bishop awe na mmoja masisters wasiolewe kweli huo ni ungwana???
@yabdul1782Ай бұрын
😂😂Askofu kashaji kufunga kwa sentence za kwanza kusema "initially" ndio maana mungu ka tuma Manabi na vitabu za sharia! STOP SAYING WOMEN R BYPRODUCTS. That's degrading women n questioning the intelligence of the creator and his wisdom. Pastor ako na shida. Tht was God's wisdom at the time of Adam.
@halimaali3719Ай бұрын
😂😂😂😂😂wewee
@AssumaniKibiritiАй бұрын
Lakini sheikh watu uko mchokozi unatupa jiwe jizani kumwambia pasta anavaa kofeya ya wayahudi😂😂😂😂😂
@salhkasmm558Ай бұрын
Anajifananisha na mayuda
@hasinaalrahbi6681Ай бұрын
Huyu Bishop ni mgonjwa.
@mohamednurmohamed8812Ай бұрын
Brother Asalam Aleikum nakuomba tujaribu kutumia language nzuri tujenge heshima shukran brother ALLAH Barik❤
@buyuni1Ай бұрын
please do not provide a platform to these people to confuse multitudes
@bacteria5184Ай бұрын
Sheikh ramadhan wape wageni angalau soda au maji au nimekuja saana ndugu zangu?
@abdulJambeАй бұрын
Bishop ako na mke mmoja lkn mpango wa kando hawezi kosa
@adrisshagi1255Ай бұрын
Oooh. Mr iskof. Naku salamiya kaka . And Ramadan Korea kaka. Asalamu aleykum.
@user-ev3pw5me1wАй бұрын
Hawataki tuowe wanawake zaidi ya mmoja lkn wako tayari kupigia debe tuowe wanaume wenzetu
@SheeMaryam.MАй бұрын
Uoe dume mwenzako 😂😂😂 na wanawake rate Yao Iko juu kuliko wanaume na wanaweka mahawara nje
@fredrickgitonga1972Ай бұрын
Nini swali kaini uliowa wapi ju, kulikuwa na watu wainne tu Dunia na alipo muuwa duguye alikimbia nyumba, na kwenda kuowa je aliowa wapi
@yusufmwangichannel6692Ай бұрын
😂😂😂Bibilia hapo iliwadanganya na unafaa uende kwa pastor wako umuulize hilo swali uone kama hatakukemea kwa sababu hakuna jibu
@SheeMaryam.MАй бұрын
@@yusufmwangichannel6692 aaah mwangi ATI kiî 😂😂😂 wallahi alhamdulillah kwa neema ya uisilamu
@zaidiissa3714Ай бұрын
Ndio ujue bibilia nikitabu cha story zajabatu
@SheeMaryam.MАй бұрын
@@fredrickgitonga1972 alienda nchi ya Nondi
@SheeMaryam.MАй бұрын
@@fredrickgitonga1972 nchi ya Nondi alienda kuoa huko
@francisjoseph1074Ай бұрын
Ramadhani kama unataka debait ya kisomi njoo Tanzania kuna bishop anaitwa bishop ngonyani , fundi WA maandiko geneous , njoo na mada yyte unayojua wewe hasa ya Uungu wa yesu karibu Sana
@Smart_jarmАй бұрын
MAANDIKO YAPI HAYO YALIOBADILISHWA AU KUNA MAPYA?
@user-te3ir8yh6kАй бұрын
Endelea kuota mchana,andiko Moja pekee Yesu anasema "Mimi ni mungu"
@@SalmanMughal-lq5lt Mimi naamini Yesu Mungu , asilimia 💯💪, wewe kama huamini NI wewe kwani shida iko wapi amini unacho amini
@francisjoseph1074Ай бұрын
@@user-te3ir8yh6k Narudia tena Yesu NI Mungu asilimia 💯💪 niache niamini nacho amini , Yesu hakuja kujisia Uungu wake Bali Kwa KAZI zake yatupasa kuamini