Allah akueke akupe afya na swiha njema na akuzidishie hekima ndugu yangu sheikh Ramadhan Kuria. Aamiyn
@sheemaryam Жыл бұрын
Alhamdulillah Allah guided me to the right path I nvr regret for the past 12yrs
@aishamsangi9834 жыл бұрын
Maa shaa Allah, Allah awape uzima, nguvu na afya. Allahumma aamiin.
@StraightPathDawah4 жыл бұрын
Ameen, nawe pia
@hashimmhashim26634 жыл бұрын
Maashaallah waalimu zetu mungu awape subra, na huyo Bishop mungu amuonyeshe jia ya haqqi
@StraightPathDawah4 жыл бұрын
Ameen yaa Rabb
@oman77103 жыл бұрын
Allahumma amiiin Yarabb
@salimalawi14185 ай бұрын
😊@@StraightPathDawah
@farahmacalinadan66883 жыл бұрын
Sheikh ramadan may Allah protect you and bless you
@minabuelysee83 жыл бұрын
Allahuma Amin
@liyanahilwa96662 жыл бұрын
Brother,may Allah Grant yu protection,keep guard over yu&yur team on this noble calling. The job yu're doing is great
@rosemery5422 жыл бұрын
Kuria Ma Sha Allah unajitajidi sana Allah akulipe. Amin
@abdikeirjimale8620 Жыл бұрын
MashaAllah may Allah Reward you All. When truth is hurled against falsehood, falsehood perishes, for falsehood is by its nature bound to perish: Quran 17:81"
@berberaboy9277 Жыл бұрын
Ramadhan kuria Allah atakulipa kwa ulichomfanyia sheikh mwaipopo
@user-rc7oi2hp8l7 ай бұрын
Yesu si Mungu kw sababu Mungu hafi wala halali wala hasinzii ukweli umedhihiri uogo umejitega
@jamuhurialiwazir46858 ай бұрын
Alhamdo lilhai Mwenhezi mungu awape afiya njema Amin Amin
@111dudi3 жыл бұрын
I like this Bishop. He is very positive and willing to learn. May Allah guide him
@maimunafzaka8803 жыл бұрын
And positive
@maimunafzaka8803 жыл бұрын
Imajin he wants to change kina sheikh said na Kuria lakini Allah amuongoze jamani
@kassu9930 Жыл бұрын
nipo zanzibar napenda saana debate zako kwa kweli unawaweza vizuri, mashaalla ALLAH akuongoze
@alishamlan7434 Жыл бұрын
ALLAH SW atawahifadhi leo duniani na kesho Akhera
@tawhidislam44183 жыл бұрын
In Shaa Allah bishop ata silimu tu iko siku maana bishop huyo ni mtu mzuri sana hana hasira wala zarau uyo aki slimu awe imam msikitini tena aitwe Issa maana anavio mpenda Yesu apewa jina la Issa
@StraightPathDawah3 жыл бұрын
Allah amuongoze
@user-op7vm9mr3z2 ай бұрын
Kiboko ya ramadhan ni ndacha tu. Huwa akikutana nae anamkwepa kwenye hoja. Ustadh Anaongeeeeeeeeea sana kukuchanganya na ndiyo sifa ya waisla. Hiyo.
@sabihahamadi22873 жыл бұрын
Mashehe wetu mungu awabariki
@mohammadalfani80043 жыл бұрын
Masha Allah kazi nzuri.. Mungu amuongoze askofu aisome Qur_an ❤️
@minabuelysee83 жыл бұрын
A slim tu ili aache kuadanganya watu akisem Eti Yesu ni Mungu kipindi Anajua Mungu ni mmoja na hana mshiriki
@salimdaawah1234 жыл бұрын
MashaAllah
@francinensavyimana56014 жыл бұрын
Katika bibilia kuna iyo iyo gisi atapogwa mawe vazi lake lidondoke damu iyo ni haya yacangamoto yamuda wautume kumukanakana lwa ule muda wakutangaza utume wewe askofu Allah akuongoze
@jasminmohamed61454 жыл бұрын
Shukran Jazakallahu kheir Akhi
@StraightPathDawah4 жыл бұрын
Allahuma ameen
@asiaogle58329 ай бұрын
Munguajazawalaajazaliwa
@halalwaithaka25734 жыл бұрын
Ustadh Ramadan Kuria bin Kaguo that laughter is contagious 🤣🤣
@StraightPathDawah4 жыл бұрын
Hahahahaha🤣
@horatiusmzaledo16983 жыл бұрын
@@StraightPathDawah bure kabisa
@abordecapester9086 Жыл бұрын
Mwenyew Muhammad akuamini akawapa wao waamini, yesu alituonesha njia ya kweli pigap Askofu
@abordecapester9086 Жыл бұрын
Yesu ninjia ayo nimaneno ya kirioo wao Wana tafsiria kimwili muwe makini wa Cristo kua vizuri kimwili na kirioo wao , Wislam Wapo vizuri kimwili s
@halkanokosi Жыл бұрын
Mashallah mualeweshe usthi
@mwanaishahussein26353 жыл бұрын
Hongera Ustafh Ranadhan,. Bishop ni kishipa lkn umemgandamiza ukuta🤣🤣🤣👋👋👋🇰🇪
@StraightPathDawah3 жыл бұрын
Shukran Mwanaisha
@professerayyub48253 жыл бұрын
Our basta he's so funny we mostly welcoming in the future we really welcoming you our brother to be Muslim inshaAllah and others in large number inshaAllah 🙏♥️
@amenakenya79933 жыл бұрын
Ma ustdhsti zangu Allah awslipe kwakweli ma shaa Allah huyo masta ni mkaidhi sanaaa ila amelowa haha hana lakusema ila Allah amuongoze amiin
@StraightPathDawah3 жыл бұрын
Allahuma ameen
@tatuhaji84983 жыл бұрын
Waislamu takibir
@StraightPathDawah3 жыл бұрын
Allahu akbar
@ramazubery26413 жыл бұрын
Allahu aqbar
@maimunafzaka8803 жыл бұрын
AllahuAkbar
@SalmanMughal-lq5lt4 ай бұрын
AllahuAkbaru
@lkaboro78823 жыл бұрын
Am realy happy uria gikuyu gitu kiramenya uhoro uria uri wama,hongera team
@StraightPathDawah3 жыл бұрын
Shukran sana, Allah arotutongoria
@abdallahmoussa6143 жыл бұрын
Njia nzuri kabisa yakueleweshana...
@saumuseif91893 жыл бұрын
Kwakweli nikazi Allah awalipekherii
@StraightPathDawah3 жыл бұрын
Allahuma ameen
@kamauwauhoro89934 жыл бұрын
Pia mimi naomba Quran Kama hio
@StraightPathDawah4 жыл бұрын
Utapata inshallah
@icetruth4 жыл бұрын
Allah Akuongoze
@amirmohamedali79224 жыл бұрын
Asalam aleykum mashekh wetu Kwakweli muna kazi ngumu kuwailimisha hawa wakristo Allah awape kila lakheri hapa duniani na kesho akhera na awajaalie mwisho mwema na waislamu wote Amin
@amirmohamedali79224 жыл бұрын
Ni kweli ukitaka kua mkiristo kamili mpaka upinge Biblia hilo ndilo sahihi mkiristo nambar one lazima apinge Biblia
Yesu Kristo ni Bwana wa mabwana Yasua almasihu Mungu mkuu
@hannanyokabi75883 жыл бұрын
Mungu wetu sio wa kufananiswa na kristo ndie somo lake kubwa
@martinemaganga52533 жыл бұрын
Kristo ni mtume wake mungu na Muhammad ni mtume wake mungu
@sheikhmuhammadabdallatv25773 жыл бұрын
Askofu kele hazisaidii...Kubwali ukweli tu
@johnbernad68063 жыл бұрын
Nimefurahi tu kitu kimoja mnaamani na furaha ya kutosha
@StraightPathDawah3 жыл бұрын
Mungu atuzidishie
@omakywazamani6696 Жыл бұрын
Kaka John mie Wallah kitu kimoja tu nafurahia kwenu kwa Kenya ni kuacha utafauti wenu za ki imani mkawa nchi moja
@stoispapi23802 жыл бұрын
That's why the holy Quran has many translations but one version and the bible has many versions and translations.
@AbdirahmanhHalakhe-pn2zd5 ай бұрын
MASHAALLAH
@pungopungo411 Жыл бұрын
Nampenda Ramadhani kwa utani wake
@eddy49983 жыл бұрын
Upo wapi ndugu yangu mazinge kuna mtu anachelewa kufata haki huku njoo umsilimishe huyu mtuu
@abordecapester9086 Жыл бұрын
Mazinge ndo wamwish ajuwi kbsa
@fardoshnassor78473 жыл бұрын
Allah Akbar
@StraightPathDawah3 жыл бұрын
Alhamdulillah
@husha63723 жыл бұрын
Bishop haelewi Maana ya beduwi kiarabu ni Mtu wa ma Shambani
@magdalenajohn65643 жыл бұрын
Mungu ndie wakuunganisha watu
@daawaonlinetv44863 жыл бұрын
ASALAM ALYKUM SHEIKH RAMADHAN HABARI ZA SIKU? NAKUPONGEZA KWA KAZI NZURI YA DAAWA ALLAH AKUFANYIE WEPESI WEWE NA WANA DAAWA WOTE KENYA NA SISI WATANZANIA. KARIBU SANA DARESALAM MAANA TANGU MIAKA ILE HUJAJA TENA TZ
Simwamini mwamadi Ila maandiko2 kusilimu sitaki kwamana atanami nafunulia n'a Mungu kirioo lakini si kimwili
@magerezasanaa8666 Жыл бұрын
Sheh Ramadhani kiria safi sana
@abordecapester9086 Жыл бұрын
WISLAM UKISIKIA biblia imesema bahari ujuwe aijamaanisha ni maji Bali ni watu kwaiyo musiyageuze maneno yakina bii amujuwi chochote Muna ukweli waki mwili si wakiroo
@sifahamisi58723 жыл бұрын
Hongera bishop
@husseingabo54972 жыл бұрын
We mbona umempongeza askofu Kwan we nikafiri?
@abordecapester9086 Жыл бұрын
Kweli Askofu ww ni mtume wayesu WA kweli
@ramadhanabdalla18473 жыл бұрын
Kuna tafauti ya uislam na waislam
@jamuhuraly12383 жыл бұрын
Salam alaikum ,vizuri Sana ,Ila naomba muda wakuongeya ongeyeni taratibu kama vile entevyou.
@marimman48213 жыл бұрын
Manshaallah shurani sanaa
@MishiPapalan3 жыл бұрын
Kama yesu mungu kwako muhammadi yeye ni mtume hawezi kuongopa yeye ndio kila kitu anajuwa mungu yupo alla
@munaisa58502 жыл бұрын
MashaAllah ♥️
@sabihahamadi22873 жыл бұрын
Takibirii
@StraightPathDawah3 жыл бұрын
Allahu akbar
@mtupeacetambi11713 жыл бұрын
Allah akbar
@francinensavyimana56014 жыл бұрын
Makafiri manayeke watu wenye kupinga maneno ya MUNGU nakupinga MITUME ao mutume waowo wanageuza maneno ya mungu nakukana kweli njomakafiri sasa kwanjambo moja kafiri ni mupingaji .MUNGU hazaagi wewe bunadamu navingine viumbe njomutaza ili mupate furaha Allah iko na viumbe hana watoto ni baba muumbaji sio kuza za wewe naviumbe vingine mupate kufurahi na neema Allah anataka viumbe vimuabudu tu .yesu binadamu kama wewe isipokua MUNGU kamupaceo kaama MANABI wengitu Mungu anaumba atakavyo .yesu hajuwi sikuyakiyama ni Mungu gani awo mitume wote wanaambiwa madalilitu sikuyakiyama niya Mungu na hakuna anaye fafanua dalili za kiyama kama Mutume MUHAMADI fata haki aca kuona kama makanisa ndiyo mwissho mwema mwesho mwema lazima umuamini uyo unayomukata apo nakufata alicofundisha
@StraightPathDawah4 жыл бұрын
Ni kweli kabisa
@uuubfyfftyvcf48963 жыл бұрын
Brother si ukuwe muislamu
@alijuma73913 жыл бұрын
Ustaz mfundishe huyu mchungaji uisilamu. hajafahamu Quran ya Allah
@StraightPathDawah3 жыл бұрын
Inshallah
@francinensavyimana56014 жыл бұрын
Maneno mengiya paulo amemupinga MUNGU wamaheshi ayo makanisa yote mungu hajafurahi na ibada izo paulo njo kaanzisha nanuinyi mukawa wapangaji ayo sio ma amurisho ya ALLAH
@StraightPathDawah4 жыл бұрын
Njoo tujadiliane ndugu.
@mamdiakite6984 жыл бұрын
Lo ni hatari kweli mashaallah Allah awazidishie awaongoze na daawa
@omaryissagumbi5242 Жыл бұрын
ALLHAMNDU LLLAH RABI
@mwajumamwajuma37563 жыл бұрын
Mashaallah pasta haeleweki kujibu 🤣 wataelewa
@StraightPathDawah3 жыл бұрын
Wataelewa inshaAllah
@ikhavi3 жыл бұрын
Kama Yesu sio mungu,,, Yuda 1:5 ningependa ufafanuzi wake
@khuzeimaabdul42752 жыл бұрын
Soma yohana 17:3 utalipata jibu
@domianomururu6885 Жыл бұрын
Quran anaimanya vyema lkn bibilia ankumbuzwa
@abordecapester9086 Жыл бұрын
Wislam muwe WA Cristo2 acheni kua budu majini
@dalali_professionalwa_dodo83303 жыл бұрын
Katika kitu huwa natamani katika dunia hii ni kuona ndugu zangu wakristo kujua kuwa wapo gizani...na kufaham mwanga uko wapi... these people wanaowafundisha wanajua what is the truth ila mtu akizaliwa anaaminishwa kitu cha uongo....
@alicemwangi1742 жыл бұрын
Kweli hawani wapiga neno
@abordecapester9086 Жыл бұрын
Kila kitu nicha kiroo matayesu walishindwa kumuelewa wakasema ana kufuru akasema yesu wao utafsiria ya mwili
@dalali_professionalwa_dodo83303 жыл бұрын
24:12 😂😂😂😂😂 pastor was like what is this now mazeee..... mnanichoke... adam tena ni muislam?!!!! Hahahah... nacheka kama mazuri yaani...
@abordecapester9086 Жыл бұрын
Adi Muna futa comment za wacristo Muko WA nafki ndo muta hokowa Nani Sasa?
@horatiusmzaledo16983 жыл бұрын
Mimi hustaajabu sana nikiona mtu akipumbazwa na kukubaliana na uislaam na vile matendo yao ni wazi kwamba hawana Mungu. Inakuaje walio waislamu mia kwa mia mfano kama somalia afghanistan ni vita siku baada ya siku miaka saidi ya dharadhini, damu ikimwagika, na allah hasimamishi. Mnaomba mara tano kwa siku kwa miaka hiyo yote kwani maombi yote yaenda wapi. Ni maombi mwaomba ama ni desturi tu? Mungu aliye hai hujibu watu wake. Wenye haki hujulikana kwa matendo yao sio kusema tu. Waislamu mambo yenu ni ya mdomo tu. Hamna hata upendo kwa wenzenu isipokuwa saa ile mnapingana na wakristo.
@badmanno.1650 Жыл бұрын
Tofautisha baina ya uislamu na waislamu... Hakuna nchi zilizua watu wengi duniani kama nchi za kimagharibi.. world war 1 & 2 zilianzishwa na waislamu? Vita ya iraq ilianzishwa na waislamu? Wanaopiga wapalestina ni waislamu? Walioiteka Africa ni waislamu? Afghanistan wanapigana kwa 7bu america ameingia nchi yao.. Somalia wanapigana kwa 7bu america ametia fitna.
@badmanno.1650 Жыл бұрын
The way sheikh Ramadhan alikuwa anamuangalia bishop akismile nikajua tu anamlia tyming 😅😅
@cyrusmwatua5150 Жыл бұрын
Huyu Bishop hajielewi
@pungopungo411 Жыл бұрын
Kuna mahali wanakuzuga wamengundua makafili ni nani wabane hapo
@user-rc7oi2hp8l7 ай бұрын
Uyu postor hajui mtume hupewa maneno kw ajibu mwenyew ndo maana ameambiwa sema sijui ntakachofanyw n nyinyi mtakachifanyw kw sababu lazima afunuliwe n Allah ndo aseme
@deusnzelan84133 жыл бұрын
Tanzania mihadhara iliisha yenyewe baada ya waislamu kuanza kufumbuka macho na kuanza kuacha uchawi na majini na msikiti na kumgeukia Yesu hasa kigoma Tanga na pwani hadi Dar sasahivi waislamu hatuwasikii wanaogopa kwamba uislamu utaisha
@kulwamangalu12243 жыл бұрын
A cha uongo
@yusuphmashallah37323 жыл бұрын
Tatzo uongo mwingi bila evidence,,,tatzo mnasimuliw tu makanisan kuw waislam Wana majini na uchawii lakin wakat hamjui kuwa piah majin n viumbe Kama viumbe vingne Kama ilivyo miti,,wadudu,,,wanyama na binadam kwa hyo suala Ni shule ( IQRAA) Soma kwa jina la mungu wako update kujua ukwelii!!!!
@alimakame35293 жыл бұрын
Aaa wapi?!!
@rukayyawendo12683 жыл бұрын
@Chambo the traveler we acha kukufuru jiheshimu usiwachanganye waumini na hao washirikina unaosema
@BisharAbdi-vp7bt Жыл бұрын
M a ☝️☝️🤲🤲☑️☑️
@davidmugabwa25273 жыл бұрын
Mbona mwasoma bibilia n Quran? na mshika mawili moja uponyoka.
@inamxmdsheekh19784 жыл бұрын
Mashekhe Allah Awabariki na Awahifadhi. Kweli mnafanya kazi kubwa sana na Allah awalipe kheri fi dunya wal akhira... naomba umulize askofu kwanini hawa magaidi wanawauwa waislamu kule Somalia kama wao ni waislamu ? Hiyo ni propaganda ya media na magaidi wenyewe. Wanaokufa zaidi dunia kote mkononi mwa wagaidi ni waislamu...mtafakari !
@StraightPathDawah4 жыл бұрын
Shukran sana ndugu
@inamxmdsheekh19784 жыл бұрын
@@StraightPathDawah Baarakallahu fiik kaka
@francinensavyimana56014 жыл бұрын
Yesu ninjia alikua anaongeya na Israël sio wewe .iyo sio ata neno ya paulo iyo ni yesu kabisa kwawatuwake mudahule bila mutume aliwaalbia wana wa Israël bilahajakuja lazima wabakikwanjiya yayesu napakija mutume yesu aliaca anatangazia wa Israël atakuja ya yesu lazima wamuamini Mutume anayekuja sio paulo paulo ni mutume wa shetani kwasababu anapinga manenomengi ya yesu na Allah sasa paulo akisema watu wakitailia yrsu hatowapokeya we umeona wapi mutume wakukataza amri ya Allah?
@pazimazongera4934 Жыл бұрын
Shehe naomba namba kuna msaada nataka kutoa
@pungopungo411 Жыл бұрын
Simnasema mungu hana mwana mbona mnaamini kwamba malaika hajui wala mwana ila baba peke yake .huyo mwana ni nani na mnakataa Mungu hana mwana?
Makafiri maana yakevni wanaopinga. .. sasa waislam wanapinga kristo...sasa hao ndio makafiri..
@shuwehaharuna6309 Жыл бұрын
Huyu bishop,,, ukweli kma kashaanza kuujua
@ahmedjuma26743 жыл бұрын
Naomba nimulze bisp kabla ya yesu kuzalia mungu wao alikuwa nn?
@princessminah22223 жыл бұрын
Good question
@user-pj8ed9kn6g3 жыл бұрын
Hakika
@user-pj8ed9kn6g3 жыл бұрын
🤣🤣🤣
@martinemaganga52533 жыл бұрын
Mungu alikuwepo tangu enzi,yeye ni alfa na omega,lakini yesu siyo mungu bali ni nabii wa mungu
@horatiusmzaledo16983 жыл бұрын
Mohamadi aliongeza kwa kitabu cha mungu wacheni kiarabu mingi . Hio ni lugha Kama kimasai ,kizungu,kiturkana nk. Mnataka kusema mlango wa binguni ni kujua kiarabu. Stop heckling the lone ' bishop'
@khuzeimaabdul42752 жыл бұрын
Toa ushahidi wa aya aliyoongeza na uwache kelele
@abordecapester9086 Жыл бұрын
Dini moja unajua Muna unabii Gani kuusu dini iyo ? Katika coroani nataka iwe kwajili yangu shee nivunulie