Asante kumpigia MPINA makofi Mimi nilishampigia sana makofi baada ya kusikiliza ueledi wake. Uzalendo wake. Na pia kujitoa kwake Kwa taifa hasa Kwa WATANGANYIKA. ILA NASIKITIKA sana kuona WATANGANYIKA HATUMUUNGI MKONO VYA Kutosha.
@nestor3843 ай бұрын
Uko vizuri mhe. Mpina spoke the truth
@hajjisanga7892 ай бұрын
Mpina si alituchomea nyavu zetu wavuvi sasa yeye aliwatetea wazalendo gani
@Aziz-p6s2 ай бұрын
Ufisadi kwao ccm
@eliakazilo60782 ай бұрын
Mpina hawezi kuhama ccm.kwa sababu anaipenda ccm saana.isipokuwa yeye ameamua kujitoa muhanga ,ili ccm na wananchi wapone...na wote wanaompinga Mpina ,ni wapigaji .na swala hili lina mtu mkubwaa
@DaimonMwapelele3 ай бұрын
Tulia amepewa uspika wa mabunge dunian il tanzania iwe pango la mashoga wazungu sio wajinga, sasa yanayotokea tsnzania watoto mpaka madhulen wanalawitiwa
@SanziNzige2 ай бұрын
Hivi huyu anaeongea huyu katoka wapi.anajitambua kweli.tanzania wamerogwa na aliekufa.maneno anayoongea huyu yanaeza kukutoa kamasi
@MinskBelarus-il2tl2 ай бұрын
SIJAWAHI kuona mtoto wa Maskini anahojiwa na hata Tai huwa havai na haimtoshi😅😅😅😅 inaelekea huyu jamaa ana Ofisi Sokoni....maana yake hapo alipo kuna KELELE mno
@ceciliamagalabajimmy43913 ай бұрын
Kweli kabisa
@MpajiAlisoni2 ай бұрын
Tuna itaji mabadiliko ya chama kingine sio chadema wala ccm
@praygodmawalla78843 ай бұрын
Huyu nabii ni shida. Sheria hazijui viziti au anajua sana . Nilichopenda ni kutambua Mpina ni mkweli.
@davidlyamboko74773 ай бұрын
Twendeni polepole ndugu zangu, haya ni mapito tu. Msije kupita mitaani mmeinamisha vichwa, hakuna mjinga Nji hii.
@margarethpolepole74383 ай бұрын
Hawezi kuja Chadema kamwe na asithubutu kugombana ndani ya Ccm ni kitu cha kawaida
@nabiimgongolwa87283 ай бұрын
AU NYIE NDO MNANUFAKA KUAGIZA SUKARI?
@YORAMYETERO3 ай бұрын
Mpina kaza buti na wasikundanganye kuhama baki huko ulipo
@FelicianSimon3 ай бұрын
Ataongea ukweli na atabaki kuwa kijani
@monicamwita78653 ай бұрын
Hawampendi hapo alipo2 amewaumnua
@victorkisenha59333 ай бұрын
Baba upo na akili nyingi sana, pokea 100%
@FredymaswiMwita-oj6gv3 ай бұрын
duh duh duh
@janethpallangyo38553 ай бұрын
Mpina❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@HaulSidney3 ай бұрын
Mpina ndiyo mbunge mazarendo anatetea wananchi,bashe kabadilika kwa Sasa
@jacksonmsele15003 ай бұрын
Hehe here
@Aziz-p6s2 ай бұрын
Hakuna kuhama chama banana nao humohumo
@FrederickThadeo3 ай бұрын
Aungane na machinga siyo vyama vya upinzani atuhamasishe tuiondowe ccm
@MeshackRobert-c4k2 ай бұрын
Wewe hakuna unachokiongea wewe Mpina hajakosea
@margarethpolepole74383 ай бұрын
Na athithubutu kwenda Chadema hata kama hataendelea na Ubunge
@petermogha70253 ай бұрын
Mpina nakuomba tulia ukiamia cdm utapitea kama nyalandu usiwasikilize
@victorkisenha59333 ай бұрын
Ni kweli,
@DottoMussa-ro6rw3 ай бұрын
mpina mwamba
@ZaidSeifSuleiman3 ай бұрын
Kwa dalili ccm kumuacha 2025 si rahisi lazima wampige panga
@enziseme47123 ай бұрын
Huyu mzee kaamua kufanya komed ya siasa, eti Dr Tulia hana sifa duuh!!! Kweli nabili na watu wa kwao!!
@Mima-cl2im3 ай бұрын
Hakuna lolote Chadema. Tanzania haiko huru. Hatuna upinzani, na wanaotuongoza kwa sasa wanatumia ujanja na mabavu kuzuwia watu kuanzisha vyama vipya kwa kuweka mashariti yasiyokuwa na haki. Kama Bashe harachukuliwa hatuwa, Basi watanzania tukate tamaa. Serikali inawaonea watanzania kwa upole wawo. Nchi hii haina amani bali wananchi wamenyimwa haki zawo, wachache walio Iteka nchi wanatuongoza kwa mabavu.
@FelicianSimon3 ай бұрын
Ww mzee nimegundua unashida ya akili kwani magufuri alikuwa chadema mbona alisema ukwe siasa ya Tanzania inatakiwa ikomae watu waishi kwa wanayo amini ww na wengine wengi munaishi kwa mkumbo sio nyinyi kusimama mm binafsi na simama na MH MPINA
@margarethsolomon98233 ай бұрын
Felician wewe ndio akili haziko sawa, yakupasa ukapimwe akili zako. Bado una blanketi usoni mwako .Ujinga umekujaa hadi kwenye 😏😏😏
@JosephLadisilaus3 ай бұрын
Mtu mzima unaongea utumbo uo kwahyo unatak nayeye awe mjinga kama waninga wengine et
@monicamwita78653 ай бұрын
Manganese usiyejitambua
@lupyanamatimbwi80642 ай бұрын
Mpina
@Mima-cl2im3 ай бұрын
Bashe ni waziri kaajiliwa na watanzania. CCM Itaongoza maisha kwasababu wanaongoza wajinga. Wananchi hawajuwi haki zawo. Na serikali inajua. Mpina asikae kimya aende tu mahakani watanzania wengi wanangoja kuona haki inatendeka. Hata kama akikosa haki, kuta kuwa na record ya watoto wetu kujifunza.
@victaboy72733 ай бұрын
Kwani na huyu ni nani sasa
@MinskBelarus-il2tl2 ай бұрын
Huyu ni baba yake KENYONYO
@EmmanuelSimion-d3e3 ай бұрын
Tulishangaa tulia kulalia nafac kubwa kiasi kile! Lkn your NEVER KNOW!!!
@Mima-cl2im3 ай бұрын
Kichwa cha habari kinapotosha
@majaliwabwitonde69003 ай бұрын
Huyu ametoka wapi tena 😂😂😂
@pancrasluoga45843 ай бұрын
Unauliza usenge gani we kiumbe😮
@omarkapula5883 ай бұрын
Mchukueni hata muda huu
@hassanmitayo18753 ай бұрын
Kwani wabunge wanawake wa Chadema wakijiuzuru kwa kukiheshimu chama chao spika atawalazimisha wabaki?,
@hajihassan54333 ай бұрын
Mbunge kuingia au kutoka Bungeni haihusiani na Spika ni Tume ya Uchaguzi NEC ndio wanaohusika na hilo. Ni ujinga wa watu kumvamia Spika badala ya Tume ya Uchaguzi.
@Aminmwansile-we8vn3 ай бұрын
Kwa hyo waliomchagua hawana akili?
@hajihassan54333 ай бұрын
Unaongea ujinga kweli, vigezo vya Spika waliomchagua duniani ni watu wenye akili timamu. Hivi bila kujali hoja ya Mpina kuwa ni nzuri au mbaya kweli hukuona utovu wa nidham aliofanya? Mpina ni Mbunge kwa kipindi cha nne sasa katoka hewani lini kutuelezea ajenda ya mkutano wa Bunge jambo ambalo Watanzania ni haki tunayokoseshwa na Wabunge.
@2003hintay3 ай бұрын
Mpina anausongo wa madaraka baada ya kupigwa chini uwaziri, wewe pia hapo ni muongo
@usembiphonedar56323 ай бұрын
Hayo ni ya kwako yeye hajakwambia hayo unayowaza! Jichunguze afya ya akili!
@FelicianSimon3 ай бұрын
@@usembiphonedar5632umeongea ukweli mtupu
@RubenMtuwaMungu-bz8ee3 ай бұрын
Afya ya akili ni tatizo kwa baadhi ya watanzania badala ya kujadili hoja iliyopo mtu anajadili hisia zake. Sasa huo si uchuro.😂😂😂😂