CCM YAPEWA ANGALIZO KUPOTEZA JIMBO LA TARIME DC 2025 IKIMSIMAMISHA WAITARA -KADA CCM ZAKAYO WANGWE

  Рет қаралды 9,538

JAMBO TV

JAMBO TV

4 күн бұрын

Habari na Mwandishi wetu @Fredrizzo Samson
#ccm #jambotv #trending #yanga #makonda #simba

Пікірлер: 71
@kingmseti9205
@kingmseti9205 Күн бұрын
Ilibhancha na Ubhoro 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Tarime Vijijini Tunaenda na John Heche Tarime Mjini Tunaenda na Bob Wange Kama tupo Pamoja gonga like waone
@DandasiKundi
@DandasiKundi 17 сағат бұрын
Wanafaa Kwa asilimia 100
@charlesnyanhanga4382
@charlesnyanhanga4382 2 күн бұрын
Viva heche njia za MUNGU siyo za mwanadamu hapo sawa
@josephmahando493
@josephmahando493 2 күн бұрын
Kamanda umeongea point sana uko vizuri. Viva kijana vivaaa
@infodigtechforcommunityemp4103
@infodigtechforcommunityemp4103 2 күн бұрын
Safi Kabisa CCM sema kweli daima
@mahengedaktari-ek8go
@mahengedaktari-ek8go Күн бұрын
Asante mwamba
@MATHAYOPETROGARYA
@MATHAYOPETROGARYA 2 күн бұрын
Naona huyu jamaa kaamua kumwombea John heche kura asubuhi sana sasa wewe jichanganye kumtoa waitara uone kama ccm tarime huko hautakufa!!!
@infodigtechforcommunityemp4103
@infodigtechforcommunityemp4103 2 күн бұрын
Haaaaaahaaaaaaaa
@infodigtechforcommunityemp4103
@infodigtechforcommunityemp4103 2 күн бұрын
Safi sana
@FredMwamgogwa-td6ni
@FredMwamgogwa-td6ni 2 күн бұрын
Bora kama mmegundua
@josephmahando493
@josephmahando493 2 күн бұрын
CSR, Itamtafuna sana ni haki ya waliyo karibu na mwekezaji, aendeee,, na CSR ITARUDI TU NI HAKI YETU SISI TUNAO UMIA NA SHUGHURI ZA UENDESHAJI WA MGODI WA.
@user-id6xo9td6k
@user-id6xo9td6k Күн бұрын
Chuki binafsi zina wasumbua sana ccm. Heche jimbo wamesha kupa.hilo asubuhi mapema.
@YoyoChacha-gl5ui
@YoyoChacha-gl5ui Күн бұрын
Wew wetar hahuwezi kusida tarime
@lameckrange-ol6uz
@lameckrange-ol6uz 2 күн бұрын
Hayo yapeleke kwenye chama kwani hamna vikao Hiyo haijakaa vzr..
@benjaminmiselya2622
@benjaminmiselya2622 6 сағат бұрын
Mmmh Ngoja tuone Mwishowe mtukuja kusema Samia hafai🤣🤣🥹🤣🧐
@George-jz3jg
@George-jz3jg 15 сағат бұрын
Unafiki tu wa kisiasa mbona 2020 mlikula hela zake na mkamnadi mpaka akapita ubunge we kijana lazima umekisa vijicent vya waitara
@samoskiyalo6095
@samoskiyalo6095 2 күн бұрын
Njia muliyo ipita je mutabadikisha? Hongera kutambua wema huzaa wema tenda utaweza
@joycethomas7918
@joycethomas7918 Күн бұрын
Sasa kwanini usipeleke kwenye viongozi wa kanda ya juu. Hilo kosa kusemea kwenye mitandao, hiyo inaonekana vitina zenu wenyewe
@georgedaudisabuni5339
@georgedaudisabuni5339 2 күн бұрын
Kukataa wazee wa mila hapo ndipo unabugi viongozi wa dini wanaumhim wao na wazee wa mila wanaumhim wao usiangalie imani yako
@sospeterodhiambo6869
@sospeterodhiambo6869 2 күн бұрын
waitara hakubaliki huku tarime Ss tunangoja kipyenga kilie tuanze naye
@usembiphonedar5632
@usembiphonedar5632 Күн бұрын
Tarime mjini na vijijini hiyo ni chadema ninyi majoka ya kijani mlipata hayo majimbo kwa bahati na michongo tu! 2024/2025 tunataka majimbo hayo yarudi Chadema. Bob Wangwe na John Heche wanatosha sana! Wana Tarime ikatae ccm kuanzia wenyeviti wa mitaa, vitongoji, vijiji, madiwani, wabunge na Rais msiwachague hao mafisadi ccm.
@MashakaMatuku
@MashakaMatuku 2 күн бұрын
Na bado mmeanza kusinichiana wenyewe,, waachieni wenye Jimbo lao
@user-ig7tb1cf8z
@user-ig7tb1cf8z 2 күн бұрын
Wenzako bungeni mpina aliyesema kweli katimuliwa.
@MweraRiro
@MweraRiro 2 күн бұрын
Fuatilia katika tiktok ya wiki moja iliyopita,,,,,nilisema tangu 2005 hakuna mbuge alie wahi kurudi mara mbili au awamu ya pili bungeni kufikia 2025 itakuwa miaka 20 sijui kama kaka yangu atavunja record
@WazaeliStefano
@WazaeliStefano 2 күн бұрын
Aheri huyo waitara kuliko huyo mliyemkaribisha juzi atawavuruga kwelikweli
@HadaikaNgabona
@HadaikaNgabona Күн бұрын
Huyu si mwana ccm.
@helencyprian8745
@helencyprian8745 2 күн бұрын
Kumbe hata nyie wenyewe mnatoana uhai😢😢😢😢
@margarethpolepole7438
@margarethpolepole7438 Күн бұрын
Mungu wangu Waitara kimemsibu nini
@joachimkalungwana8654
@joachimkalungwana8654 2 күн бұрын
Hiyo tabia ya Waitara ndio aliyonayo huyo mwingine uliyemkaribisha hana sifa za uongozi kwa Sasa akiona Kuna mtu anaongelea nafasi yake ndie anakuwa adui yake
@HadaikaNgabona
@HadaikaNgabona Күн бұрын
Wewe ni mjinga kabisa. Mambo hayo ni ya vikao.
@kibwetere1418
@kibwetere1418 2 күн бұрын
Kumekucha!!
@HappyCalicoCat-zq8mo
@HappyCalicoCat-zq8mo Күн бұрын
Wewe unataka jambo acha kumsumbua mheshimiwa
@user-fw6xu8gn2q
@user-fw6xu8gn2q 24 минут бұрын
Broo upigaji ndani ya ccm ni haki yao kwani ripoti ya cag inajileza vzuri tu nani kachukuliwa hatua mama amesema kila mtu alee kwa urefu wa kamba yake hujasikia? Acha watu wale mema ya inchi
@PhilipoMwita-wc1ku
@PhilipoMwita-wc1ku 2 күн бұрын
Binafsi hua naona waitara ni mwanasiasa mwenye hoja...lkn. Amekua kigeugeu sana KATIKA kuwatetea wananchi bungeni Kuna muda unaona huyu mwamba anatuteetea lkn kwa muda mwingine unaona anajipendekeza na kulamba miguu ya Samia.. Halafu Sasa amekua haonekani kwenye majimbo
@MATHAYOPETROGARYA
@MATHAYOPETROGARYA 2 күн бұрын
Ndo siasa inataka hivyo
@SeverinepauloPeter
@SeverinepauloPeter Күн бұрын
Jimbo la heche.
@helencyprian8745
@helencyprian8745 2 күн бұрын
Mbona uwizi ni asili yenu unashangaa nn? Wakiwaambia nyingi ni wapigaji mnawaona wabaya, sasa mnasema wenyewe. Ni muda tu
@Kanyawela
@Kanyawela 4 сағат бұрын
Nileteee uyu imeanza kutugeuka
@majaliwabwitonde6900
@majaliwabwitonde6900 2 күн бұрын
Kama hutoi huduma yeyote akiwekwa anapigwa tu
@yohanamsongole6489
@yohanamsongole6489 Күн бұрын
Huyu kijana hafai
@BoscorPatrick
@BoscorPatrick Күн бұрын
kijana mwenzangu achana na siasa.unusuru uhai wako .ccm hawapend mkweli watakupina au kukustava/ kukutundulis.kukuben sanane n.k
@nestor384
@nestor384 2 күн бұрын
Wewe ni mpuuzi kama wapuuzi wengine
@michaelmwikalo971
@michaelmwikalo971 Күн бұрын
Si mlimuona lulu 😂 kisa muibomoe Chadema wenyewe kwa wenyewe sasa mnanyukana kwisha habari yenu na msubiri ya Msigwa sasa😂
@MayalakusekwaNkwabi
@MayalakusekwaNkwabi Күн бұрын
Wewe na Waitara ni CCM ni WAONGO
@ryobajohn7177
@ryobajohn7177 Күн бұрын
HUYO HAFAI
@richardbegga6679
@richardbegga6679 18 сағат бұрын
😂😂😂😂 MaCCM yamevurugana Hatari
@yohanamsongole6489
@yohanamsongole6489 Күн бұрын
Huyu hana jipya nimusaka tonge
@henrymwamakula
@henrymwamakula 6 сағат бұрын
Kiongozi umetukosea wanaccm kamati ya maadili na kamati ya siasa ya wilaya ipo mbona umkurupuka kwenda kuongea kwenye media
@mustafaalli4698
@mustafaalli4698 Күн бұрын
Mshikemshike Tarime....😂
@sainatv2688
@sainatv2688 6 сағат бұрын
Sasa kimeumana ila chunga ulimi utafichwa msa c mrefu tata maana chama chenu kwa kuficha hahahaha
@SungwaFrancis-sx1ls
@SungwaFrancis-sx1ls 2 күн бұрын
Wewe ni musaka tonge huna lolote la maana la kusaidia chama,kwa kashifa hii unayotoa ikiwezekana naomba chama kikufukuze uanachama hufai kuitwa mwana CCM.
@leonceuwandameno6378
@leonceuwandameno6378 Күн бұрын
mkimfukuza ndo mtashinda uchaguzi? mlipewa ubunge kama ubani na mwenda zake --- sasa mtaisoma namba kama kauli ya chama chenu inavyosema.
@zebedayokatamaduni9676
@zebedayokatamaduni9676 Күн бұрын
Waitara tupeni nje. Weka Heche hapo
@MonicaBeni
@MonicaBeni Күн бұрын
Sasa unamlalamikia nani? Wakati ccm woote ndio tabiya yenu. Kwani yule mama yenu marangapi anang'oa watu anaohisi wanampinga? Hiyo ni tabiya ya mzaziwenu mkuu kwaiyo waitara karithi kutoka kwa yuleee mama yake
@user-mx8om2iv1d
@user-mx8om2iv1d Күн бұрын
waitara ni taira kama kichwa chake
@VenanceMbanga
@VenanceMbanga Күн бұрын
Acha wafu wazikane wanyewe
@fredysiwale5413
@fredysiwale5413 Күн бұрын
Acha ujinga wewe nani akuamini wewe mchumia njaa tuache kumuamini mh mbunge mwakilishi wetu.
@fredysiwale5413
@fredysiwale5413 Күн бұрын
Kumbe wewe ni mpuuzi tu unaongelea mambo ya uchaguzi leo mbona bado acha mbunge afanye kazi aliyo tumwa na wananchi
@ChristerKoku
@ChristerKoku Күн бұрын
Nyie watu wa Tarime CCM,msijaribu kumuengua Waitara,na Mbunge makini ni Mbunge anajua kuzitetea hoja za mama Samia,lakini zaidi anajua kulia bungeni tafadhali kaa naye.Hoja zako peleka kwenye vikao vyenu.
@emmanuelcharles5613
@emmanuelcharles5613 Күн бұрын
Jomba uko vizuri waitara mbwembwe nyingi tiripu hii ataenda gombea msata
@hemedimbilikila9768
@hemedimbilikila9768 5 сағат бұрын
Hahahah msata Tena duh
@user-ze1zz5zy9o
@user-ze1zz5zy9o Күн бұрын
huyu kiukweli nimjinga kabisa anamsemaje mbunge ktk ujasiri huo simama imara
@clemencemkondya8561
@clemencemkondya8561 2 күн бұрын
Hayo simyasene kwenye vikao comrede ..wewe nimwanaccm ??;!Au umetumwa na chadema wewe nimjinga tu
@nicholausmramu
@nicholausmramu 2 күн бұрын
Leo umepatikana unapenda kufutilia chadema kumbe kwenu moto unawaka mkonawahuni tunawambia hamtaki sikia hiyo aibu aibu
@zebedayokatamaduni9676
@zebedayokatamaduni9676 Күн бұрын
Chadema safi
@IsayaSosolo-nx8zk
@IsayaSosolo-nx8zk 2 күн бұрын
Bila mwrnda zake hilo jimbo mnajuwa ni la CHADEMA huyo Waitara kawrkwa kama malaya wa magoti!
@infodigtechforcommunityemp4103
@infodigtechforcommunityemp4103 2 күн бұрын
Haaaaaahaaaaaaaa
@MashakaMatuku
@MashakaMatuku 2 күн бұрын
Mmeanza kusinichiana wenyewe na bado waachieni wenye Jimbo lao
@MashakaMatuku
@MashakaMatuku 2 күн бұрын
Hongera kwa kuwambia wasisiemu wenzako kwamba Jimbo siyo lenu lakin pia inaonekana wewe ni mwanachadema uliyejificha ccm ili ufanye mambo yako yaende kua tu wazi jisalimishe uwe salama tatzo mkisema ukweli mnafukuzana na wewe jiandae ila karbu chadema
@nicholausmramu
@nicholausmramu 2 күн бұрын
Kijana ww ni mwelewa sana una akili sana nakupongeza
@MawazoMofu
@MawazoMofu 12 сағат бұрын
Heche katapila limesafisha njia, watumikie jamii !!
WHO DO I LOVE MOST?
00:22
dednahype
Рет қаралды 79 МЛН
FOOLED THE GUARD🤢
00:54
INO
Рет қаралды 63 МЛН
Khóa ly biệt
01:00
Đào Nguyễn Ánh - Hữu Hưng
Рет қаралды 21 МЛН
Василиса наняла личного массажиста 😂 #shorts
00:22
Денис Кукояка
Рет қаралды 10 МЛН
Watch the Best of MSNBC Prime: Week of June 30
42:13
MSNBC
Рет қаралды 191 М.
Sunrise Daily |01/07/2024
2:00:29
Channels Television
Рет қаралды 5 М.
WHO DO I LOVE MOST?
00:22
dednahype
Рет қаралды 79 МЛН