Habari na Mwandishi wetu @Fredrizzo Samson #ccm #jambotv #trending #yanga #makonda #simba
Пікірлер: 71
@kingmseti9205Күн бұрын
Ilibhancha na Ubhoro 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Tarime Vijijini Tunaenda na John Heche Tarime Mjini Tunaenda na Bob Wange Kama tupo Pamoja gonga like waone
@DandasiKundi17 сағат бұрын
Wanafaa Kwa asilimia 100
@charlesnyanhanga43822 күн бұрын
Viva heche njia za MUNGU siyo za mwanadamu hapo sawa
@josephmahando4932 күн бұрын
Kamanda umeongea point sana uko vizuri. Viva kijana vivaaa
@infodigtechforcommunityemp41032 күн бұрын
Safi Kabisa CCM sema kweli daima
@mahengedaktari-ek8goКүн бұрын
Asante mwamba
@MATHAYOPETROGARYA2 күн бұрын
Naona huyu jamaa kaamua kumwombea John heche kura asubuhi sana sasa wewe jichanganye kumtoa waitara uone kama ccm tarime huko hautakufa!!!
@infodigtechforcommunityemp41032 күн бұрын
Haaaaaahaaaaaaaa
@infodigtechforcommunityemp41032 күн бұрын
Safi sana
@FredMwamgogwa-td6ni2 күн бұрын
Bora kama mmegundua
@josephmahando4932 күн бұрын
CSR, Itamtafuna sana ni haki ya waliyo karibu na mwekezaji, aendeee,, na CSR ITARUDI TU NI HAKI YETU SISI TUNAO UMIA NA SHUGHURI ZA UENDESHAJI WA MGODI WA.
@user-id6xo9td6kКүн бұрын
Chuki binafsi zina wasumbua sana ccm. Heche jimbo wamesha kupa.hilo asubuhi mapema.
@YoyoChacha-gl5uiКүн бұрын
Wew wetar hahuwezi kusida tarime
@lameckrange-ol6uz2 күн бұрын
Hayo yapeleke kwenye chama kwani hamna vikao Hiyo haijakaa vzr..
Unafiki tu wa kisiasa mbona 2020 mlikula hela zake na mkamnadi mpaka akapita ubunge we kijana lazima umekisa vijicent vya waitara
@samoskiyalo60952 күн бұрын
Njia muliyo ipita je mutabadikisha? Hongera kutambua wema huzaa wema tenda utaweza
@joycethomas7918Күн бұрын
Sasa kwanini usipeleke kwenye viongozi wa kanda ya juu. Hilo kosa kusemea kwenye mitandao, hiyo inaonekana vitina zenu wenyewe
@georgedaudisabuni53392 күн бұрын
Kukataa wazee wa mila hapo ndipo unabugi viongozi wa dini wanaumhim wao na wazee wa mila wanaumhim wao usiangalie imani yako
@sospeterodhiambo68692 күн бұрын
waitara hakubaliki huku tarime Ss tunangoja kipyenga kilie tuanze naye
@usembiphonedar5632Күн бұрын
Tarime mjini na vijijini hiyo ni chadema ninyi majoka ya kijani mlipata hayo majimbo kwa bahati na michongo tu! 2024/2025 tunataka majimbo hayo yarudi Chadema. Bob Wangwe na John Heche wanatosha sana! Wana Tarime ikatae ccm kuanzia wenyeviti wa mitaa, vitongoji, vijiji, madiwani, wabunge na Rais msiwachague hao mafisadi ccm.
@MashakaMatuku2 күн бұрын
Na bado mmeanza kusinichiana wenyewe,, waachieni wenye Jimbo lao
@user-ig7tb1cf8z2 күн бұрын
Wenzako bungeni mpina aliyesema kweli katimuliwa.
@MweraRiro2 күн бұрын
Fuatilia katika tiktok ya wiki moja iliyopita,,,,,nilisema tangu 2005 hakuna mbuge alie wahi kurudi mara mbili au awamu ya pili bungeni kufikia 2025 itakuwa miaka 20 sijui kama kaka yangu atavunja record
@WazaeliStefano2 күн бұрын
Aheri huyo waitara kuliko huyo mliyemkaribisha juzi atawavuruga kwelikweli
@HadaikaNgabonaКүн бұрын
Huyu si mwana ccm.
@helencyprian87452 күн бұрын
Kumbe hata nyie wenyewe mnatoana uhai😢😢😢😢
@margarethpolepole7438Күн бұрын
Mungu wangu Waitara kimemsibu nini
@joachimkalungwana86542 күн бұрын
Hiyo tabia ya Waitara ndio aliyonayo huyo mwingine uliyemkaribisha hana sifa za uongozi kwa Sasa akiona Kuna mtu anaongelea nafasi yake ndie anakuwa adui yake
@HadaikaNgabonaКүн бұрын
Wewe ni mjinga kabisa. Mambo hayo ni ya vikao.
@kibwetere14182 күн бұрын
Kumekucha!!
@HappyCalicoCat-zq8moКүн бұрын
Wewe unataka jambo acha kumsumbua mheshimiwa
@user-fw6xu8gn2q24 минут бұрын
Broo upigaji ndani ya ccm ni haki yao kwani ripoti ya cag inajileza vzuri tu nani kachukuliwa hatua mama amesema kila mtu alee kwa urefu wa kamba yake hujasikia? Acha watu wale mema ya inchi
@PhilipoMwita-wc1ku2 күн бұрын
Binafsi hua naona waitara ni mwanasiasa mwenye hoja...lkn. Amekua kigeugeu sana KATIKA kuwatetea wananchi bungeni Kuna muda unaona huyu mwamba anatuteetea lkn kwa muda mwingine unaona anajipendekeza na kulamba miguu ya Samia.. Halafu Sasa amekua haonekani kwenye majimbo
@MATHAYOPETROGARYA2 күн бұрын
Ndo siasa inataka hivyo
@SeverinepauloPeterКүн бұрын
Jimbo la heche.
@helencyprian87452 күн бұрын
Mbona uwizi ni asili yenu unashangaa nn? Wakiwaambia nyingi ni wapigaji mnawaona wabaya, sasa mnasema wenyewe. Ni muda tu
@Kanyawela4 сағат бұрын
Nileteee uyu imeanza kutugeuka
@majaliwabwitonde69002 күн бұрын
Kama hutoi huduma yeyote akiwekwa anapigwa tu
@yohanamsongole6489Күн бұрын
Huyu kijana hafai
@BoscorPatrickКүн бұрын
kijana mwenzangu achana na siasa.unusuru uhai wako .ccm hawapend mkweli watakupina au kukustava/ kukutundulis.kukuben sanane n.k
@nestor3842 күн бұрын
Wewe ni mpuuzi kama wapuuzi wengine
@michaelmwikalo971Күн бұрын
Si mlimuona lulu 😂 kisa muibomoe Chadema wenyewe kwa wenyewe sasa mnanyukana kwisha habari yenu na msubiri ya Msigwa sasa😂
@MayalakusekwaNkwabiКүн бұрын
Wewe na Waitara ni CCM ni WAONGO
@ryobajohn7177Күн бұрын
HUYO HAFAI
@richardbegga667918 сағат бұрын
😂😂😂😂 MaCCM yamevurugana Hatari
@yohanamsongole6489Күн бұрын
Huyu hana jipya nimusaka tonge
@henrymwamakula6 сағат бұрын
Kiongozi umetukosea wanaccm kamati ya maadili na kamati ya siasa ya wilaya ipo mbona umkurupuka kwenda kuongea kwenye media
@mustafaalli4698Күн бұрын
Mshikemshike Tarime....😂
@sainatv26886 сағат бұрын
Sasa kimeumana ila chunga ulimi utafichwa msa c mrefu tata maana chama chenu kwa kuficha hahahaha
@SungwaFrancis-sx1ls2 күн бұрын
Wewe ni musaka tonge huna lolote la maana la kusaidia chama,kwa kashifa hii unayotoa ikiwezekana naomba chama kikufukuze uanachama hufai kuitwa mwana CCM.
@leonceuwandameno6378Күн бұрын
mkimfukuza ndo mtashinda uchaguzi? mlipewa ubunge kama ubani na mwenda zake --- sasa mtaisoma namba kama kauli ya chama chenu inavyosema.
@zebedayokatamaduni9676Күн бұрын
Waitara tupeni nje. Weka Heche hapo
@MonicaBeniКүн бұрын
Sasa unamlalamikia nani? Wakati ccm woote ndio tabiya yenu. Kwani yule mama yenu marangapi anang'oa watu anaohisi wanampinga? Hiyo ni tabiya ya mzaziwenu mkuu kwaiyo waitara karithi kutoka kwa yuleee mama yake
Kumbe wewe ni mpuuzi tu unaongelea mambo ya uchaguzi leo mbona bado acha mbunge afanye kazi aliyo tumwa na wananchi
@ChristerKokuКүн бұрын
Nyie watu wa Tarime CCM,msijaribu kumuengua Waitara,na Mbunge makini ni Mbunge anajua kuzitetea hoja za mama Samia,lakini zaidi anajua kulia bungeni tafadhali kaa naye.Hoja zako peleka kwenye vikao vyenu.
@emmanuelcharles5613Күн бұрын
Jomba uko vizuri waitara mbwembwe nyingi tiripu hii ataenda gombea msata
@hemedimbilikila97685 сағат бұрын
Hahahah msata Tena duh
@user-ze1zz5zy9oКүн бұрын
huyu kiukweli nimjinga kabisa anamsemaje mbunge ktk ujasiri huo simama imara
@clemencemkondya85612 күн бұрын
Hayo simyasene kwenye vikao comrede ..wewe nimwanaccm ??;!Au umetumwa na chadema wewe nimjinga tu
@nicholausmramu2 күн бұрын
Leo umepatikana unapenda kufutilia chadema kumbe kwenu moto unawaka mkonawahuni tunawambia hamtaki sikia hiyo aibu aibu
@zebedayokatamaduni9676Күн бұрын
Chadema safi
@IsayaSosolo-nx8zk2 күн бұрын
Bila mwrnda zake hilo jimbo mnajuwa ni la CHADEMA huyo Waitara kawrkwa kama malaya wa magoti!
@infodigtechforcommunityemp41032 күн бұрын
Haaaaaahaaaaaaaa
@MashakaMatuku2 күн бұрын
Mmeanza kusinichiana wenyewe na bado waachieni wenye Jimbo lao
@MashakaMatuku2 күн бұрын
Hongera kwa kuwambia wasisiemu wenzako kwamba Jimbo siyo lenu lakin pia inaonekana wewe ni mwanachadema uliyejificha ccm ili ufanye mambo yako yaende kua tu wazi jisalimishe uwe salama tatzo mkisema ukweli mnafukuzana na wewe jiandae ila karbu chadema
@nicholausmramu2 күн бұрын
Kijana ww ni mwelewa sana una akili sana nakupongeza
@MawazoMofu12 сағат бұрын
Heche katapila limesafisha njia, watumikie jamii !!